This is true about cleanliness! Yes the CBD area is clean but the rest of the city is questionable! When it comes to tarmacking the roads, you’ve got to remember Tanzania is one BIG country, landmass wise, therefore it won’t be easy as tarmacking let’s say a small country like RWANDA! Please take that into account as you air your grievance!! Thanks & have a blessed day!
Ni hadithi tu uwa wanaongea mambo mengi ila hawatekelezi, sport arena sijui zimeishia wapi na sasa wameanza uwongo mwingine wa kujenga daraja dar hadi Zanzibar
@@kabwelasutiviraka4765😂😂😂 tena awamu hii yaani ni mapacha na ile ya 4 wazee wa TUPO kwenye MICHAKATO liko wapi BWAWA LA UMEME? Iko wapi SGR? Iko wapi Msarato Airport? Liko wapi daraja la mzee baba? Liko wapi daraja la Jangwani? Yako wapi ma BRT? daraja la dar to zenji nasikia nguzo 3 tayari zishasimikwa 😂😂
Dar tamu sana this is east Africa New York r.l.p jpm wetu mzalendo, Dar au Tanzania imebadilika baada ya jpm wetu mzalendo kuwa rais wengine nadhani walijisahau na kupiga Noti tuuu 😂😂
@@rogerabdallah439 hiyo mihogo unayonitajia ninahamu nayo kichizi Durban huwa tunapikaga na Tukianza kula tunagombania kwasababu inapatikana kwa Nadra sana
KUNA HAJA YA KUIBADISHA NWANYAMALA /MANZESE NBUGURUNI KUWA KISASA KAMAWALIVYOFANYA FUMBA TOWN KUNA HAJA YA KUBADRISHA KILA MKOA KWA YA KITALII ZAIID@MAMASAMIASULUHASSAN
Jiji la Dar es salaam miundo mbinu bado sana sehemu nyingi hakuna barabara za lami au taa za barabarani....mji bado mchafu sana
Katika wanao chafua we ni mmoja wapo pumbaaavuuuu wee
This is true about cleanliness! Yes the CBD area is clean but the rest of the city is questionable! When it comes to tarmacking the roads, you’ve got to remember Tanzania is one BIG country, landmass wise, therefore it won’t be easy as tarmacking let’s say a small country like RWANDA! Please take that into account as you air your grievance!!
Thanks & have a blessed day!
@@shinipapaya846 Abeid kaongea wewe unamtukana, lakini anasema Ukweli
Nchi ilirudi nyuma kipindi Cha awamu ya nne hakuna kilichofanyika Cha maana zaidi ya Wavuta unga
SISI HATUNA VITA HATUPASWI KUFANANA NA NCHI NYINGINE@MAMASAMIASULUHUHASSANI
Hivi lile daraja la jangwani limeishia wapi mana story zimekuwa nyingi vitendo kidogo
Ni hadithi tu uwa wanaongea mambo mengi ila hawatekelezi, sport arena sijui zimeishia wapi na sasa wameanza uwongo mwingine wa kujenga daraja dar hadi Zanzibar
@@kabwelasutiviraka4765😂😂😂 tena awamu hii yaani ni mapacha na ile ya 4 wazee wa TUPO kwenye MICHAKATO liko wapi BWAWA LA UMEME? Iko wapi SGR? Iko wapi Msarato Airport? Liko wapi daraja la mzee baba? Liko wapi daraja la Jangwani? Yako wapi ma BRT? daraja la dar to zenji nasikia nguzo 3 tayari zishasimikwa 😂😂
Dar tamu sana this is east Africa New York r.l.p jpm wetu mzalendo, Dar au Tanzania imebadilika baada ya jpm wetu mzalendo kuwa rais wengine nadhani walijisahau na kupiga Noti tuuu 😂😂
😂😂😂zuzu
Unaijuwa new York au umeshiba miogo uchungu yaapo kwenu bongo
@@rogerabdallah439 hiyo mihogo unayonitajia ninahamu nayo kichizi Durban huwa tunapikaga na Tukianza kula tunagombania kwasababu inapatikana kwa Nadra sana
Na hasa yule alienda kubembea JAMAICA 😂😂
KUNA HAJA YA KUIBADISHA NWANYAMALA /MANZESE NBUGURUNI KUWA KISASA KAMAWALIVYOFANYA FUMBA TOWN
KUNA HAJA YA KUBADRISHA KILA MKOA KWA YA KITALII ZAIID@MAMASAMIASULUHASSAN