Afisa Elimu 'ALIVYOZIMIA' Baada ya RC MWANRI Kutumbua "Mimi SIJALI Ukizimia"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 май 2019
  • Afisa Elimu 'ALIVYOZIMIA' Baada ya RC MWANRI Kutumbua "Mimi SIJALI Ukizimia"
    Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri, amewasimamisha kazi baadhi ya watumishi wanaosimamia mradi wa ujenzi wa shule...
    Miongoni mwa waliosimamishwa kazi kupisha uchunguzi ni pamoja na Afisa elimu wa shule hiyo ambaye baada ya kusimamishwa amejikuta akiishiwa nguvu na kupoteza fahamu ambapo alibebwa na kukimbizwa hospitali.
    #RCMWANRI
    Https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
    globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Комментарии • 174

  • @kingyehoshafatitvbornerys2496
    @kingyehoshafatitvbornerys2496 4 года назад +54

    Hizo ndo namba zinazotakiwa Tz...gonga like

  • @andrewmmbaga1665
    @andrewmmbaga1665 5 лет назад +41

    😆😆😆😆 dingi nalikubali sana!..."mimi hata kama mtu amelala chini amezimia sijali!"

  • @jeninunu9177
    @jeninunu9177 5 лет назад +14

    hongela baba Mungu akujalie wewe na wasaidizi mtimize wajibu unanaotakiwa kwa niaba ya maendeleo ustawi nchini

  • @baruaninombo291
    @baruaninombo291 4 года назад +10

    Mzee naomba Magufuli akitoka madarakani ugombe urais fasta nimemaliza xna maneno mengi....kukubali sana

  • @johnmasala6684
    @johnmasala6684 3 года назад +2

    Kiukweli mwanri namuitaj San Toronto(Tabora imebadilka) nidhamu ipo am feel proud though nipo nje ya mkoa

    • @raymondjohn1876
      @raymondjohn1876 2 года назад

      Hzondo namba za magufuli 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Itarusii
    @Itarusii 5 лет назад +15

    Tatizo letu hatuthaminj ufanisi! Mambo lelemama lelemama tu. Tuzipende kazi zetu!

  • @mwanamisidihoni1610
    @mwanamisidihoni1610 5 лет назад +23

    Kiboko ya wachakachuaji Tabora washa moto mzee

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 4 года назад +19

    Mzee umesema jamaa kanywa dirisha🤣🤣🤣🤣

  • @barakamweta9958
    @barakamweta9958 4 года назад +4

    Safi Rc,uko safi.

  • @keffajacob8952
    @keffajacob8952 3 года назад +4

    hili father noma sana...dilisha lahap amekunywa🤣🤣🤣🤣..samia angelipa cheo hili dingi...ni nooooma

  • @rahimbukutu6904
    @rahimbukutu6904 4 года назад +16

    Mjomba Magu akimaliza muda wake nchi tumpe Mwanri.

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 5 лет назад +1

    Noma sana hii

  • @jenifaleonard3910
    @jenifaleonard3910 2 года назад

    Nakukubali xna dingi Ang mungu akujalie maisha marefu

  • @michaelkichaka6189
    @michaelkichaka6189 5 лет назад +10

    Natamani sana kuwa na kiongozi kama wew
    Mzee Baba nakuelewa sana

  • @williammackanga4871
    @williammackanga4871 4 года назад +13

    Kama ulisikia dilisha la hapa wamekula tia like yako hapa

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 5 лет назад +38

    ALIPO KUA ANAIBA MBONA HAKUZIMIA?

    • @KhalidAli-xx4vk
      @KhalidAli-xx4vk 4 года назад

      Hahaha

    • @KhalidAli-xx4vk
      @KhalidAli-xx4vk 4 года назад +2

      Kisha tuna uhakika gani kama kweli kazimia
      Mm nahisi ili hali ipungue na mkuuu arudi nyuma inabidi mmoja,ajiangushe

    • @zefamange7281
      @zefamange7281 4 года назад +1

      @@KhalidAli-xx4vk Wametuzurumu sana enzi za utawala dhaifu wa kikwte

  • @msowanelson5452
    @msowanelson5452 5 лет назад +6

    Waziri mkuu 2020

  • @shedrackboniphace7755
    @shedrackboniphace7755 5 лет назад +12

    Cheka Sana usiombee yakukute 😂😂😂😂

  • @aminamaulidi1788
    @aminamaulidi1788 4 года назад +1

    Nakukubari sn Mh Dc

  • @fundjosemtumish7296
    @fundjosemtumish7296 5 лет назад +16

    Natamani huyu mkuu ahamishiwe mkoa wa dar.

  • @jumasaid3278
    @jumasaid3278 3 года назад

    Yeah it so good

  • @noelkabaila3284
    @noelkabaila3284 3 года назад

    respect sana mweshimiwaa

  • @ibrahimmwanza6162
    @ibrahimmwanza6162 2 года назад

    Noma

  • @yohanamacapy1438
    @yohanamacapy1438 5 лет назад +4

    Aiseeeh huyu Jamaa anatakiwa awe wazili Wa mambo ya ndan

  • @martinusdamian3085
    @martinusdamian3085 4 года назад +2

    Eti dirisha namba mbili hapa halipo 'kalinywa tayari' nimecheka sana, hawa ndio kind ya viongozi tunaowataka kaliba ya Nyenyerere

  • @condegsubscribes7911
    @condegsubscribes7911 5 лет назад +3

    haya mambo hatukuyaonaga enzi zilee hakika DR MAGU NI KAMA UMEME UNAOZUNGUKA AMECHAGUA WATU NAMBA YAKE TANZANIA HII MUNGU KAAMUA IWE JUU SASA HONGERA MAGUFURI

  • @zechyulewagreenapple5705
    @zechyulewagreenapple5705 4 года назад +4

    Wah

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 4 года назад +6

    Mwanri oyee

  • @godfreymeshack8305
    @godfreymeshack8305 4 года назад +2

    Kioja..

  • @lasteckmmary9741
    @lasteckmmary9741 4 года назад +7

    Muhandisi, amekunywa dirisha?

  • @abdielymchome805
    @abdielymchome805 4 года назад

    Mkuu. kumbe niinjinea I see mtani uko vizuri sana

  • @sirsebaonline9106
    @sirsebaonline9106 3 года назад

    Samia mama uko wapi mkoa wa dar es salama tunamtakaa huyu safi sana

  • @mirajially9178
    @mirajially9178 4 года назад +2

    Tutakukumbuka sana soma hiyooooooooo

  • @barakamweta9958
    @barakamweta9958 4 года назад +2

    Safi Baba,wamezoea legelege

  • @nazarethdanda9586
    @nazarethdanda9586 4 года назад

    Hapa kazii! Xaf xana mkuu wa mkoa

  • @nghonolimusa3904
    @nghonolimusa3904 4 года назад +4

    Usimamiz mzur was fedha za umma

  • @kassimramadhani3077
    @kassimramadhani3077 2 года назад

    Hakuna cha kuonywa ni kusimamishwa tu kazi!! Bila kuelewa watu Wana familia, serikalini hapaeleweki Bora kuwa mfanya biashra hata Kama ya kuuza nyanya

  • @leahvenas4140
    @leahvenas4140 2 года назад

    Jamani namis sana utendaji wake

  • @jumalimbende4021
    @jumalimbende4021 4 года назад +2

    hili jengo kumaliza mpaka yesu arudi 😂😂😂😂😂😂 huyu mzee kituko

  • @Unclerammaschannel
    @Unclerammaschannel 5 лет назад +11

    Sukuma ndani wrote na msa idizi wako fyekelea mbali dilisha lime liwa ame kunywa hilo

  • @dismapayovela
    @dismapayovela 3 года назад +1

    Sukuma ndani

  • @frankylora3053
    @frankylora3053 4 года назад +2

    Watu waache kufanya kazi kwa mazoea aisee...kuna mambo ya kua nayo serious aisee

  • @dasonsdachi3087
    @dasonsdachi3087 4 года назад +1

    Presha noma sana mama chali pole yake

  • @pricejr2621
    @pricejr2621 5 лет назад

    sukuma ndani

  • @issaibony6386
    @issaibony6386 4 года назад +2

    Namkubali sana huyu dingi

  • @nasrayame7587
    @nasrayame7587 5 лет назад +1

    Huyu mkuu wa mkoa Yuko powa kuzimia au kufa wakati wameiba ata mungu atamrani huyu mama km amefanya ujuma km ajafanya anashida adhabu kwake aitampata

  • @gracelauzi9746
    @gracelauzi9746 3 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️Nataka kiwanja tz huyu ndio asimamia nyumba yangu kujengwa mpaka ishee 💕💕💕💕💕🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🙏🙏🙏🙏🙏

  • @bukuratanchande4588
    @bukuratanchande4588 4 года назад

    Duh😳😳

  • @leymanleyman7426
    @leymanleyman7426 4 года назад +3

    Hahahahaha yani mbavu zaniuma huyu jamaa kigogo

  • @lugendondayanse4910
    @lugendondayanse4910 5 лет назад

    Mkuu endelea kufanya kaz, zaidi angalia juu ya kutukuzwa kwa Yesu juu ya kazi na nafasi yako.
    Ukiwaangalia wanadam, hutamaliza salama.

  • @ameirbadru6572
    @ameirbadru6572 4 года назад +3

    Natamani awe raisi wa zanzibar Mzee mwanri mana zenji ndo kumeoza

  • @peninacharles9757
    @peninacharles9757 2 года назад

    Jamaaa alikuwa noma Sana 😂 😂😂 Eti usiniangalie kwa uluma

  • @iddninga
    @iddninga 5 лет назад

    Nakukubali saba Mzee,chapa kazi Tusonge mbele.

  • @isatryphone3545
    @isatryphone3545 3 года назад

    Somaa hiyooooooooo

  • @dicksonandrew25
    @dicksonandrew25 5 лет назад

    Sukuma ndaniiii

  • @ramafrica9016
    @ramafrica9016 5 лет назад +13

    One mistake one goal😂😂😂

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani7519 4 года назад +2

    Huyu bb sijui km hakuwa komandoo wa jesh

  • @michaelkaunda6854
    @michaelkaunda6854 5 лет назад

    kwel

  • @helenamwaipopo967
    @helenamwaipopo967 4 года назад

    Kweli unaenda kazi haswaa maana binadamu kwenye upande wa hela ndo hatariii unaweza kuaangamizi ila ukila pesa ya serikali nikujipalia kaa la moto

  • @yusufwewe8600
    @yusufwewe8600 3 года назад

    Hi

  • @evarestjoseph8755
    @evarestjoseph8755 4 года назад +1

    Waizi hao mahali pa dirisha unapanga tofali, tofali moja wastani wa1500*10=15000 wameiba hao dirisha moja kubwa 180000mpk 200000

  • @yohanamacapy1438
    @yohanamacapy1438 5 лет назад +4

    Hahahaaaaaa soma hiyoooooo

  • @mabebyb6427
    @mabebyb6427 5 лет назад +2

    Nakuaminia mzee baba

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani7519 4 года назад +3

    Tumbo la uzazi mama hapo mpk likukamate duuuu

  • @faridaaloyce7672
    @faridaaloyce7672 2 года назад

    Duuuh...ad mtu anazimia

  • @urbanuskioko3617
    @urbanuskioko3617 5 лет назад +2

    That's not good

  • @adamoismael7253
    @adamoismael7253 4 года назад

    Dah,bi mkubwa wa watu kazima masikini..

  • @fatmakizimba744
    @fatmakizimba744 4 года назад

    Hahaaa.
    Wewe njoo hapa,usiogope haihitaji elimu ya chuo kikuu.

  • @budalamasasi4668
    @budalamasasi4668 5 лет назад +7

    Dingi unatufaa sana

  • @mwambakibucheche1255
    @mwambakibucheche1255 2 года назад

    Wabongo mmzidi yan mnakunywa madilisha 😁😀🤣

  • @piuslugata4931
    @piuslugata4931 2 года назад

    Lakini kipidi hicho Cha jpm kulikuwa watumishi kweli

  • @onesphoryo407
    @onesphoryo407 Год назад

    dah kipindi cha magu watumishi wamekondaa snaa mpaka walitia huruma walah..!

  • @deomugu1616
    @deomugu1616 4 года назад +2

    Viongoz tunahitaji sana busara. Utu na udhamani wa binadamu yeyote huwezi kufananisha na maendeleo ya namna yeyote ile. Heshimu watu.kilichofanyika sio sahihi

  • @tatusilima422
    @tatusilima422 4 года назад

    Wagombey uraisi zanzibar

  • @hossanawilliam5876
    @hossanawilliam5876 3 года назад

    Miaka bukuuuu madarakani baba unawezaaa uongozi mnooo

  • @chichasam9032
    @chichasam9032 4 года назад

    Unakunywaje dirishaaa aloooo

  • @peninacharles9757
    @peninacharles9757 2 года назад

    Mzee alikuwa anaongea kwa kutisha Sana 😂 😂

  • @daynamuniro14
    @daynamuniro14 5 лет назад

    Shule Yangu ziba sec mpaka Leo alijamalizika ili jengo madam pendo pole sanaa

  • @umunafisa7060
    @umunafisa7060 4 года назад +1

    😀😀😀huyu hatr

  • @pauljohn3360
    @pauljohn3360 4 года назад

    Viongozi Kama Hawa ndo wanatakiwa ili nchi yetu iwe na maendeleo bora

  • @novatidamian7236
    @novatidamian7236 5 лет назад +3

    Watanzania mna vichwa ngumu kweli!! Duuui hata hizi enzi za hapa kazi tu' bado mnakula cement na mfuko wake? Hata muogopi kutumbuliwa ka kitumbua kilicho shika mawese.

    • @amanichatila4627
      @amanichatila4627 4 года назад

      watu wanapenda kuiba sana ndio mana jpm wanampinga wanataka kiongozi asiefatilia pesa ili wazitumie kwa mambo yao binafsi

  • @clifordedenny2267
    @clifordedenny2267 4 года назад +1

    No hii nooma sana.lakin tatixo mambo ya serikali yanachelewa sana.Acha wazimie

    • @flova7022
      @flova7022 2 года назад

      We wafikiri kwann huchelewa? Kwann wasiajiri watu wenye uzoefu na ujenzi...we unampa mganga mkuu au mwalimu mkuuu kupitisha na kufatilia fedha akati wao ni watibu wagonjwa na wafundushaji...huo ni uonezi

  • @zackleykadengele2604
    @zackleykadengele2604 4 года назад

    Duuuuuuuh

  • @mrishomasenga7118
    @mrishomasenga7118 4 года назад +1

    Hataukizimia Mimi sjari

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 4 года назад +1

    😂😂😂😂😂😂Ahata akidondoka yote ishu hii kali

  • @roinajohnson9788
    @roinajohnson9788 4 года назад

    Mh.rais magufuri nakuomba umpatie kitengo kingine mh. MWANRI kwakwel huyu mzee anafata utendaji wako wa kazi nawapenda sn

  • @denismwalukunga8686
    @denismwalukunga8686 5 лет назад +4

    Sukuma ndani hahaaaa

  • @1stladyafrica402
    @1stladyafrica402 4 года назад

    Sasa Afisa manunuzi anahusikaje hapo wakati kila kitu kinafanywa chini ya BOQ ya injinia???na hata malipo yanafanyika baada afisa Elimu na bodi kujiridhisha chini ya injinia?

  • @msafirimatingo4447
    @msafirimatingo4447 3 года назад

    Kama anazimia mm sielew,yaan akimaliza kuzimia atazinduka bado atamkuta huyo mzee

  • @johnjacob9587
    @johnjacob9587 4 года назад

    Duuh

  • @denisjoel1592
    @denisjoel1592 3 года назад

    Anapaswa kugombea urais aise anatufaa % !!!!

  • @kagamedimaria4787
    @kagamedimaria4787 3 года назад

    Jamaa wa sukuma ndani😂😂😂

  • @Unclerammaschannel
    @Unclerammaschannel 5 лет назад +4

    Soma hiyoo igunga

  • @nabagalahadijjah1074
    @nabagalahadijjah1074 3 года назад

    Nmecheka😂😂😂

  • @willambimgalla5601
    @willambimgalla5601 5 лет назад +9

    Watu wanategema vibarua hadi wanazimia

  • @tumpelugano7811
    @tumpelugano7811 3 года назад

    6

  • @mustaphamsumary2303
    @mustaphamsumary2303 4 года назад

    Mzee wa Toronto utaua baba

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 4 года назад

    Hata wewe uliousoma ujumbe watapisha majukumu yao ili kuupa afasi uchunguzi pia uwepo kupisha majukumu yako sababu eti uliongea apo mwanzo ndio kwanza umesikia kwa nini aukutembelea mpaka uambiwe

  • @sophiaeric8277
    @sophiaeric8277 5 лет назад

    hahahaaa!!! mpaka yesu atakaporudi

  • @kamarahusseinhussein9806
    @kamarahusseinhussein9806 4 года назад

    Jamaa anakuwa mpore na ghafla ana badilika anakuwa mkali kinoma