Afisa Elimu 'ALIVYOZIMIA' Baada ya RC MWANRI Kutumbua "Mimi SIJALI Ukizimia"
HTML-код
- Опубликовано: 21 май 2019
- Afisa Elimu 'ALIVYOZIMIA' Baada ya RC MWANRI Kutumbua "Mimi SIJALI Ukizimia"
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri, amewasimamisha kazi baadhi ya watumishi wanaosimamia mradi wa ujenzi wa shule...
Miongoni mwa waliosimamishwa kazi kupisha uchunguzi ni pamoja na Afisa elimu wa shule hiyo ambaye baada ya kusimamishwa amejikuta akiishiwa nguvu na kupoteza fahamu ambapo alibebwa na kukimbizwa hospitali.
#RCMWANRI
Https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Hizo ndo namba zinazotakiwa Tz...gonga like
😆😆😆😆 dingi nalikubali sana!..."mimi hata kama mtu amelala chini amezimia sijali!"
hongela baba Mungu akujalie wewe na wasaidizi mtimize wajibu unanaotakiwa kwa niaba ya maendeleo ustawi nchini
Mzee naomba Magufuli akitoka madarakani ugombe urais fasta nimemaliza xna maneno mengi....kukubali sana
Kiukweli mwanri namuitaj San Toronto(Tabora imebadilka) nidhamu ipo am feel proud though nipo nje ya mkoa
Hzondo namba za magufuli 🤣🤣🤣🤣🤣
Tatizo letu hatuthaminj ufanisi! Mambo lelemama lelemama tu. Tuzipende kazi zetu!
Kiboko ya wachakachuaji Tabora washa moto mzee
Mzee umesema jamaa kanywa dirisha🤣🤣🤣🤣
Mungu akutie nguvu
😂😂😂
@@liberatuskapufi6798 🙏
Safi Rc,uko safi.
hili father noma sana...dilisha lahap amekunywa🤣🤣🤣🤣..samia angelipa cheo hili dingi...ni nooooma
🤣🤣🤣🤣
Mjomba Magu akimaliza muda wake nchi tumpe Mwanri.
Unawaza ka mimi😂😂
Kweli Kabisa. Namkubari sana. Na amteuwe. Magufuli awe waziri wa ulinzi ,shelia na ulinzi.
Huyu atatuua mzee hafai
Noma sana hii
Nakukubali xna dingi Ang mungu akujalie maisha marefu
Natamani sana kuwa na kiongozi kama wew
Mzee Baba nakuelewa sana
Kama ulisikia dilisha la hapa wamekula tia like yako hapa
Wameliywa 🤣🤣🤣🤣
😀😀😀
ALIPO KUA ANAIBA MBONA HAKUZIMIA?
Hahaha
Kisha tuna uhakika gani kama kweli kazimia
Mm nahisi ili hali ipungue na mkuuu arudi nyuma inabidi mmoja,ajiangushe
@@KhalidAli-xx4vk Wametuzurumu sana enzi za utawala dhaifu wa kikwte
Waziri mkuu 2020
Kwa kwel
Cheka Sana usiombee yakukute 😂😂😂😂
Nakukubari sn Mh Dc
Natamani huyu mkuu ahamishiwe mkoa wa dar.
Yeah sana
Itakuwa vzr sana aje ainyooshe vzr
Yeah it so good
respect sana mweshimiwaa
Noma
Aiseeeh huyu Jamaa anatakiwa awe wazili Wa mambo ya ndan
Eti dirisha namba mbili hapa halipo 'kalinywa tayari' nimecheka sana, hawa ndio kind ya viongozi tunaowataka kaliba ya Nyenyerere
Hhhhaaaa madiishakumbe yananywewa 🤣
haya mambo hatukuyaonaga enzi zilee hakika DR MAGU NI KAMA UMEME UNAOZUNGUKA AMECHAGUA WATU NAMBA YAKE TANZANIA HII MUNGU KAAMUA IWE JUU SASA HONGERA MAGUFURI
Wah
Mwanri oyee
Kioja..
Muhandisi, amekunywa dirisha?
Mkuu. kumbe niinjinea I see mtani uko vizuri sana
Samia mama uko wapi mkoa wa dar es salama tunamtakaa huyu safi sana
Tutakukumbuka sana soma hiyooooooooo
Safi Baba,wamezoea legelege
W
Hapa kazii! Xaf xana mkuu wa mkoa
Usimamiz mzur was fedha za umma
Hakuna cha kuonywa ni kusimamishwa tu kazi!! Bila kuelewa watu Wana familia, serikalini hapaeleweki Bora kuwa mfanya biashra hata Kama ya kuuza nyanya
Jamani namis sana utendaji wake
hili jengo kumaliza mpaka yesu arudi 😂😂😂😂😂😂 huyu mzee kituko
Sukuma ndani wrote na msa idizi wako fyekelea mbali dilisha lime liwa ame kunywa hilo
Sukuma ndani
Watu waache kufanya kazi kwa mazoea aisee...kuna mambo ya kua nayo serious aisee
Presha noma sana mama chali pole yake
sukuma ndani
Namkubali sana huyu dingi
Huyu mkuu wa mkoa Yuko powa kuzimia au kufa wakati wameiba ata mungu atamrani huyu mama km amefanya ujuma km ajafanya anashida adhabu kwake aitampata
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️Nataka kiwanja tz huyu ndio asimamia nyumba yangu kujengwa mpaka ishee 💕💕💕💕💕🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🙏🙏🙏🙏🙏
Duh😳😳
Hahahahaha yani mbavu zaniuma huyu jamaa kigogo
Mkuu endelea kufanya kaz, zaidi angalia juu ya kutukuzwa kwa Yesu juu ya kazi na nafasi yako.
Ukiwaangalia wanadam, hutamaliza salama.
Mwanry alikuwa hatr
Natamani awe raisi wa zanzibar Mzee mwanri mana zenji ndo kumeoza
Jamaaa alikuwa noma Sana 😂 😂😂 Eti usiniangalie kwa uluma
Nakukubali saba Mzee,chapa kazi Tusonge mbele.
Somaa hiyooooooooo
Sukuma ndaniiii
One mistake one goal😂😂😂
Huyu bb sijui km hakuwa komandoo wa jesh
Alikuwa mjeshi
😁😁😁😁😁😁😁😁
kwel
Kweli unaenda kazi haswaa maana binadamu kwenye upande wa hela ndo hatariii unaweza kuaangamizi ila ukila pesa ya serikali nikujipalia kaa la moto
Hi
Waizi hao mahali pa dirisha unapanga tofali, tofali moja wastani wa1500*10=15000 wameiba hao dirisha moja kubwa 180000mpk 200000
Hahahaaaaaa soma hiyoooooo
Nakuaminia mzee baba
Tumbo la uzazi mama hapo mpk likukamate duuuu
Duuuh...ad mtu anazimia
That's not good
Dah,bi mkubwa wa watu kazima masikini..
Hahaaa.
Wewe njoo hapa,usiogope haihitaji elimu ya chuo kikuu.
Dingi unatufaa sana
Wabongo mmzidi yan mnakunywa madilisha 😁😀🤣
Lakini kipidi hicho Cha jpm kulikuwa watumishi kweli
dah kipindi cha magu watumishi wamekondaa snaa mpaka walitia huruma walah..!
Viongoz tunahitaji sana busara. Utu na udhamani wa binadamu yeyote huwezi kufananisha na maendeleo ya namna yeyote ile. Heshimu watu.kilichofanyika sio sahihi
Hebu shauli alitakiwa afanyeje hapo
Shauri kuanzia pale kosa linaanza kutokea kwenye utekelezaji wamrad
Wagombey uraisi zanzibar
Miaka bukuuuu madarakani baba unawezaaa uongozi mnooo
Unakunywaje dirishaaa aloooo
Mzee alikuwa anaongea kwa kutisha Sana 😂 😂
Shule Yangu ziba sec mpaka Leo alijamalizika ili jengo madam pendo pole sanaa
😀😀😀huyu hatr
Viongozi Kama Hawa ndo wanatakiwa ili nchi yetu iwe na maendeleo bora
Watanzania mna vichwa ngumu kweli!! Duuui hata hizi enzi za hapa kazi tu' bado mnakula cement na mfuko wake? Hata muogopi kutumbuliwa ka kitumbua kilicho shika mawese.
watu wanapenda kuiba sana ndio mana jpm wanampinga wanataka kiongozi asiefatilia pesa ili wazitumie kwa mambo yao binafsi
No hii nooma sana.lakin tatixo mambo ya serikali yanachelewa sana.Acha wazimie
We wafikiri kwann huchelewa? Kwann wasiajiri watu wenye uzoefu na ujenzi...we unampa mganga mkuu au mwalimu mkuuu kupitisha na kufatilia fedha akati wao ni watibu wagonjwa na wafundushaji...huo ni uonezi
Duuuuuuuh
Hataukizimia Mimi sjari
😂😂😂😂😂😂Ahata akidondoka yote ishu hii kali
Mh.rais magufuri nakuomba umpatie kitengo kingine mh. MWANRI kwakwel huyu mzee anafata utendaji wako wa kazi nawapenda sn
Sukuma ndani hahaaaa
Sasa Afisa manunuzi anahusikaje hapo wakati kila kitu kinafanywa chini ya BOQ ya injinia???na hata malipo yanafanyika baada afisa Elimu na bodi kujiridhisha chini ya injinia?
Kama anazimia mm sielew,yaan akimaliza kuzimia atazinduka bado atamkuta huyo mzee
Duuh
Anapaswa kugombea urais aise anatufaa % !!!!
Jamaa wa sukuma ndani😂😂😂
Soma hiyoo igunga
Nmecheka😂😂😂
Watu wanategema vibarua hadi wanazimia
Umeona eeh
Wilambi nambie kaka daaah kitambo sana
Dar ipo mashine japo haipendwi, naona huyo angefaa kuwa mkuu wa mkoa wa kigoma, bira shaka tutasogea mbele.
Kabisa
6
Mzee wa Toronto utaua baba
Hata wewe uliousoma ujumbe watapisha majukumu yao ili kuupa afasi uchunguzi pia uwepo kupisha majukumu yako sababu eti uliongea apo mwanzo ndio kwanza umesikia kwa nini aukutembelea mpaka uambiwe
hahahaaa!!! mpaka yesu atakaporudi
Jamaa anakuwa mpore na ghafla ana badilika anakuwa mkali kinoma