Matangazo ya Dira ya Dunia TV Ijumaa 09/08/2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
    #BBCSwahiliLeo

Комментарии • 35

  • @loyaltytv6330
    @loyaltytv6330 Месяц назад +3

    Jameni before mutangaze fanyeni utafiti kwanza huyu bingwa wa Botswana 🇧🇼 hapo huja sema ukweli wakwanza ni Frankie Fredericks winning 2 silver medals from Namibia 🇳🇦 1996

    • @GastoJohn-s1p
      @GastoJohn-s1p Месяц назад

      Hiv wew kama haukiamini hicho chanzo cha habari useme mwenyew unataka ukiamin chanzo gan?

    • @JacobZawadi
      @JacobZawadi Месяц назад

      Nakumbuka kuangushwa na Team kubwa la Utangazaji fulani
      (Staki kutaja jina)

  • @JacobZawadi
    @JacobZawadi Месяц назад

    Kinachoni Chukiza, pale nakuta Sauti ya Makaribisho yame badilishwa. Hatari sana tena Mfumo wa kuPeperusha Matangazo

  • @WILLIAMLUKUMAY-n4b
    @WILLIAMLUKUMAY-n4b Месяц назад +4

    Nawapata mubashara nikiwa luansha Zambia

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Месяц назад +2

    Huyu yukrane sasa ataipata sawa sawa
    Atamalizwa moja kwa moja

    • @masweto
      @masweto Месяц назад

      Hayo mawazo Yako Putin anahaha

  • @lucasmollel9699
    @lucasmollel9699 Месяц назад

    Jamani tuwe makini. Mimi natokea AFRICA mashariki

  • @faisalikabarabara9473
    @faisalikabarabara9473 Месяц назад

    Mimi bbc namfahamu vzr ni mdau toka miaka 2000 nawajua vzr

  • @hassanmnyonge3155
    @hassanmnyonge3155 Месяц назад +2

    mbona ukreini ikipigwa hamsemi

  • @JosephJunda
    @JosephJunda Месяц назад

    Tuko pamoja ndiye afande Paulo Muvumba kutoka Pahari ya Uganda Mbarara

  • @peterbayo4677
    @peterbayo4677 Месяц назад

    Sayansi ipi bro Filbert ilhali wakenya uliowatikisa 1974 wanafanya vema kwenye mazoezi yayo hayo hata leo mkashindwa kuwaandaa wa kwetu ipasavyo wasifikie rekodi yako!!!

  • @EdwardKisota
    @EdwardKisota Месяц назад

    😢

  • @Lemalali85
    @Lemalali85 Месяц назад

    Filbert uko sahihi kabisa porini vijijini wapo watu wanakimbiza upepo balaa.

  • @mohamedbedui9486
    @mohamedbedui9486 Месяц назад +1

    Wanajeshi wote waliotumwa zaidi ya elf1 wameshauliwa nyny bado mwatuficha

    • @PenuelDaniel
      @PenuelDaniel Месяц назад

      BBC wako nyuma sana ktk taarifa

    • @masweto
      @masweto Месяц назад

      Uwe unataangazaa wewe

    • @PenuelDaniel
      @PenuelDaniel Месяц назад

      @@masweto sawa mkuu

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc Месяц назад +1

    Hakuna watu wa ongo kama vyombo hv vya magharibi hasa Dw, VOA, BBC. Kuweni wakweli tu

    • @newgarden8036
      @newgarden8036 Месяц назад

      Sana

    • @masweto
      @masweto Месяц назад

      Kama ni waongo uwe unataangazaa wewe maana tumwamini nani ukiona wanatangaza Gaza imepigwa au Hezbollah au Irani au urusi hupendi ila wakisema hao napiga na kuua adui zako basi hapo unafurahi na utawaona wakweli tulia putiy wako ayaoge na hao ni NATO miamba hao

    • @IssacNtacho
      @IssacNtacho Месяц назад

      Anzisha chombo chako ,ili ukiamni,,yan wakitangaz habar unazopenda,wewe wakwel lkn Kama nihabar mbaya kwako tayar niwaongo,,unatakiwa ukubarian na habar zote ,

    • @masweto
      @masweto Месяц назад +1

      @@IssacNtacho ndivyo walivyo waswahili brother

  • @godefroidm741
    @godefroidm741 Месяц назад

    Tunashukuru kwa matangazo,ila SAUTI TUNAOMBA IONGEZEWE

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl Месяц назад

    Afadhali hivo.

  • @shirimabenedict5431
    @shirimabenedict5431 Месяц назад

    Wakipigwa Ukraine hamsemi

  • @ManaseBuhanza-cl1lc
    @ManaseBuhanza-cl1lc Месяц назад

    Kumekucha jumamos leo baadhi ya nchi kuomba sampuli ya nafaka zisizo na kemikali ikiwemo ,uganda ,Congo,& burundi ili kuomba ujuzi nao wa uhifadhi wa nafaka bira kutumia kemikali kali

  • @JosephSozi
    @JosephSozi Месяц назад

    Acha wakome

  • @ManaseBuhanza-cl1lc
    @ManaseBuhanza-cl1lc Месяц назад

    Vorecano tena kutoke uganda wananchi na rais kutaharuki vikali tukio hilo na kusambabisha vifo zaidi wakazi 250

  • @doubletapkama3901
    @doubletapkama3901 Месяц назад

    Russia imepigwa imesskia uzito ya Ukraine,they thought watapiga Ukraine na 2weeks wapi 1 year down the line , russia wamepigwa imekaliwa ngum kaka wacha waskie vle wengine wanaskia

  • @Haruniiibareee
    @Haruniiibareee Месяц назад

    Acheeee uwongo hiyo propaganda tuu

    • @KesembeBelela-p8r
      @KesembeBelela-p8r Месяц назад +1

      Ila nyinyi watu mnafurahisha kweli kwahiyo wewe unaona una habari ya ukweli zaidi ya bbc Ingia kwenye mitandao tia ya kwako then tuone watu kama mamiluki

    • @masweto
      @masweto Месяц назад

      @@Haruniiibareee huo ni uppuzi wako wa kiubishi wewe kenge wa mtaani una Nini mpaka useme BBC ni waongo

  • @rasammudmar5455
    @rasammudmar5455 Месяц назад

    Propaganda engine is here.