Jameni before mutangaze fanyeni utafiti kwanza huyu bingwa wa Botswana 🇧🇼 hapo huja sema ukweli wakwanza ni Frankie Fredericks winning 2 silver medals from Namibia 🇳🇦 1996
Sayansi ipi bro Filbert ilhali wakenya uliowatikisa 1974 wanafanya vema kwenye mazoezi yayo hayo hata leo mkashindwa kuwaandaa wa kwetu ipasavyo wasifikie rekodi yako!!!
Kama ni waongo uwe unataangazaa wewe maana tumwamini nani ukiona wanatangaza Gaza imepigwa au Hezbollah au Irani au urusi hupendi ila wakisema hao napiga na kuua adui zako basi hapo unafurahi na utawaona wakweli tulia putiy wako ayaoge na hao ni NATO miamba hao
Anzisha chombo chako ,ili ukiamni,,yan wakitangaz habar unazopenda,wewe wakwel lkn Kama nihabar mbaya kwako tayar niwaongo,,unatakiwa ukubarian na habar zote ,
Kumekucha jumamos leo baadhi ya nchi kuomba sampuli ya nafaka zisizo na kemikali ikiwemo ,uganda ,Congo,& burundi ili kuomba ujuzi nao wa uhifadhi wa nafaka bira kutumia kemikali kali
Russia imepigwa imesskia uzito ya Ukraine,they thought watapiga Ukraine na 2weeks wapi 1 year down the line , russia wamepigwa imekaliwa ngum kaka wacha waskie vle wengine wanaskia
Ila nyinyi watu mnafurahisha kweli kwahiyo wewe unaona una habari ya ukweli zaidi ya bbc Ingia kwenye mitandao tia ya kwako then tuone watu kama mamiluki
Jameni before mutangaze fanyeni utafiti kwanza huyu bingwa wa Botswana 🇧🇼 hapo huja sema ukweli wakwanza ni Frankie Fredericks winning 2 silver medals from Namibia 🇳🇦 1996
Hiv wew kama haukiamini hicho chanzo cha habari useme mwenyew unataka ukiamin chanzo gan?
Nakumbuka kuangushwa na Team kubwa la Utangazaji fulani
(Staki kutaja jina)
Kinachoni Chukiza, pale nakuta Sauti ya Makaribisho yame badilishwa. Hatari sana tena Mfumo wa kuPeperusha Matangazo
Nawapata mubashara nikiwa luansha Zambia
Huyu yukrane sasa ataipata sawa sawa
Atamalizwa moja kwa moja
Hayo mawazo Yako Putin anahaha
Jamani tuwe makini. Mimi natokea AFRICA mashariki
Mimi bbc namfahamu vzr ni mdau toka miaka 2000 nawajua vzr
mbona ukreini ikipigwa hamsemi
Tuko pamoja ndiye afande Paulo Muvumba kutoka Pahari ya Uganda Mbarara
Sayansi ipi bro Filbert ilhali wakenya uliowatikisa 1974 wanafanya vema kwenye mazoezi yayo hayo hata leo mkashindwa kuwaandaa wa kwetu ipasavyo wasifikie rekodi yako!!!
😢
Filbert uko sahihi kabisa porini vijijini wapo watu wanakimbiza upepo balaa.
Wanajeshi wote waliotumwa zaidi ya elf1 wameshauliwa nyny bado mwatuficha
BBC wako nyuma sana ktk taarifa
Uwe unataangazaa wewe
@@masweto sawa mkuu
Hakuna watu wa ongo kama vyombo hv vya magharibi hasa Dw, VOA, BBC. Kuweni wakweli tu
Sana
Kama ni waongo uwe unataangazaa wewe maana tumwamini nani ukiona wanatangaza Gaza imepigwa au Hezbollah au Irani au urusi hupendi ila wakisema hao napiga na kuua adui zako basi hapo unafurahi na utawaona wakweli tulia putiy wako ayaoge na hao ni NATO miamba hao
Anzisha chombo chako ,ili ukiamni,,yan wakitangaz habar unazopenda,wewe wakwel lkn Kama nihabar mbaya kwako tayar niwaongo,,unatakiwa ukubarian na habar zote ,
@@IssacNtacho ndivyo walivyo waswahili brother
Tunashukuru kwa matangazo,ila SAUTI TUNAOMBA IONGEZEWE
Afadhali hivo.
Wakipigwa Ukraine hamsemi
Kumekucha jumamos leo baadhi ya nchi kuomba sampuli ya nafaka zisizo na kemikali ikiwemo ,uganda ,Congo,& burundi ili kuomba ujuzi nao wa uhifadhi wa nafaka bira kutumia kemikali kali
Acha wakome
Vorecano tena kutoke uganda wananchi na rais kutaharuki vikali tukio hilo na kusambabisha vifo zaidi wakazi 250
Russia imepigwa imesskia uzito ya Ukraine,they thought watapiga Ukraine na 2weeks wapi 1 year down the line , russia wamepigwa imekaliwa ngum kaka wacha waskie vle wengine wanaskia
Acheeee uwongo hiyo propaganda tuu
Ila nyinyi watu mnafurahisha kweli kwahiyo wewe unaona una habari ya ukweli zaidi ya bbc Ingia kwenye mitandao tia ya kwako then tuone watu kama mamiluki
@@Haruniiibareee huo ni uppuzi wako wa kiubishi wewe kenge wa mtaani una Nini mpaka useme BBC ni waongo
Propaganda engine is here.