Matangazo ya Dira ya Dunia TV Jumanne 01/10/2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024

Комментарии • 20

  • @shadrackjacob800
    @shadrackjacob800 3 дня назад +4

    Mungu wangu ! Sudani..... Ubinadamu uko wapi duniani ? Uchu wa madaraka , mnawaua wananchi wenu kwa njaa ? Nani atalipa kodi ya serikali na ni nani mtamtawala sasa !

  • @jamesshirima33
    @jamesshirima33 3 дня назад

    Asante sana 🎉❤

  • @abdallahomari7630
    @abdallahomari7630 2 дня назад

    Daah mung awajalie

  • @KenedyMboma-zb4cq
    @KenedyMboma-zb4cq 3 дня назад +2

    Irani imeyakanyaga

  • @RaphaelMbughi-n1g
    @RaphaelMbughi-n1g 3 дня назад +2

    Hakuna chakufanyika maana hao nikupe wanatafuta Damu nimajini tuuuu alie yafuga ashakufa hataishi kamwe!!

  • @innocentbangirinama5008
    @innocentbangirinama5008 3 дня назад

    Rwanda 🇷🇼 hawalimi kahawa wao wanauza kahawa ya kutoka Burundi 🇧🇮 muwe mnafanya uchunguzi wakina kwenye habari zenu

  • @MarckMasaki
    @MarckMasaki 3 дня назад

    Leo nimeshangaa sana mmetangaza kichapo kulichowakuta mashoga,vp muanze kutudanganya tena wazuiya aslimia99 wakati tumeshaona mzigo unavotua TelAviv kuna Waka moto yajayo yanafuraishà Vodacom kazi ni kwako

  • @PaulOrenge-eo4hb
    @PaulOrenge-eo4hb 2 дня назад

    Maeneo ya Marekani kusini nakupata mbashara Nairobi Kenya nyumbani

  • @NuruJuma-zv3yz
    @NuruJuma-zv3yz 2 дня назад

    Sudan mlimuondoa alba sheer kwa sababu tu ya mkate kupanda bei Sasa hatahuo uliopanda bei hauko poleni

  • @fredericngabonziza2646
    @fredericngabonziza2646 3 дня назад

    dunia hii inaelekea wapi kweri

  • @fahadivumiliaamadi
    @fahadivumiliaamadi 2 дня назад

    naitwa fahadi amadi mkazi bukoba vijiji maoni yangu umojamataifa mpowapi mbowatu wanauwanaivyo mm ayondomaoniyang

  • @PhilipoMassawe-z1i
    @PhilipoMassawe-z1i 3 дня назад

    Waislam wana matatizo sana

  • @mwema5009
    @mwema5009 3 дня назад +1

    Nyinyi waongo mnaeleza tu Israeli ndo inapigaka?wao hawafaki?mnaupendeleo wa maelezo nyinyi vibaraka

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 3 дня назад

      😂usiteseke,uzuri vyombo vya habari ni vingi tu sio lzm hapa
      Btw,hawataiweza Israel acha wahangaike!
      Makombora yameangushwa

    • @mwema5009
      @mwema5009 3 дня назад

      @@christinewomanoffaith5479 acha upuuzi wewe

    • @FrankMpembu-l7z
      @FrankMpembu-l7z 2 дня назад

      ​@@mwema5009Iran imeyakanyaga, Subiri jibu la Israel, hakuna kulialia, hakuna kusema Israel magaidi, mara ohoo inaua watoto, mara ohoo sijui nini, mnatakiwa mtulie

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 дня назад

    Hii sio vita km vita nyingine hii ni spirtual war
    Its not jus ordinary war....
    Asikiae na afahamu
    Hezbollah/hamas they are powerd by spirit from marine kingdom
    Tuwafungue ubongo mnaodhani ni vita ya kawaida
    Safi Israel, iran mmeanza eeh
    Haya na USA anaingia kazini ss