MASWALI TATA YA WAKRISTO YAJIBIWA NA DR.MWALUSMBO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Je, Yesu ni Mungu? Je, Mungu Ananafsi tatu?
    Haya ni baadhi ya Maswali ambayo yamewasumbua sana wakristo wengi na kuwafanya wasiwe na Imani sahihi.
    Karibu ujifunze kupitia Majibu ya maswali haya, unaweza uliza pia kama unswali lolote na utapata Majibu.
    #drmwalusambo
    #gospelmusic
    #bibleknowledge
    #gospel
    #biblestudy
    #maswali
    #nenolamungu
    #america
    #kiswahili
    #africa
    #africanmusic
    #gospelmusic
    #mwalusambointernational
    #love

Комментарии • 10

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano Месяц назад

    , Mungu ni mmoja hana nafsi tatu, yeye anaitwa Bwana Yesu Kristo. Nafsi ya Mungu ni Neno

  • @deussimbeye9531
    @deussimbeye9531 2 месяца назад

    Ubarikiwe baba nimekuelewa

  • @user-sg2jm3bu8y
    @user-sg2jm3bu8y 2 месяца назад

    Mungu ni mmoja yesu ni mwana wa Mungu na roho ni Roho ya Mungu tusichangany mamb

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin1839 2 месяца назад +1

    Mhh! Hapo kwenye Mungu Mmoja Nafsi tatu umetuchanganya....Tangu mwanzo Mungu Alisema Natufanye Mtu kwa mfano wetu....Yesu Kristo Anasema Mimi na Baba tu Umoja...Nafsi Yesu Kristo Alipokuwa Akibatizwa, Nafsi Mungu Baba Sauti yake ikasikika Huyu ni Mwanangu Mpendwa Msikieni Yeye...Yesu Kristo Anasema Naenda kwa Baba na Roho Mtakatifu Atakuja kwenu...Professor.. Mungu ni Mmoja katika Nafsi Tatu.

  • @albert_Victor
    @albert_Victor 2 месяца назад

    Amina🙏

  • @ZephaniaMwalusambo
    @ZephaniaMwalusambo Месяц назад

    Semina nyingine imefanyika Juni, nyingine itafanyika Desemba.

  • @ANYELWISYEGODWIN
    @ANYELWISYEGODWIN 2 месяца назад +1

    Tar ngapi semina nyingine? Tunatamani tuhudhulie.

    • @ezekmusic2578
      @ezekmusic2578 2 месяца назад

      28-30 mwezi huu wa sita, Iringa

  • @AureaKimati
    @AureaKimati 2 месяца назад

    E,,🙄

  • @user-ox8pc5wu7u
    @user-ox8pc5wu7u Месяц назад

    Pumbafu