Mwalusambo International Ministry
Mwalusambo International Ministry
  • Видео 39
  • Просмотров 33 859
JE, WAJUA BIBLIA NI KITABU KINACHO ONGOZWA NA KANUNI #kingdomphilosophy
Hakuna naamna ya kuielewa Biblia isipokuwa kwa kufuata kanuni za kufasiri Biblia, karibu ujifunze somo hili na Mch.Dr Mwalusambo.
................................................................................................................................................................
There is no way to understand the Bible except by following the principles of interpreting the Bible, you should learn this lesson by Rev. Dr. Mwalusambo.
#biblestudy #kingdomphilosophy #drmwalusambo #gospelmusic #motivation #america #bíblia #nenolamungu #bibleverses #biblesecrets
Просмотров: 153

Видео

MAKOSA YA KIUFUNDI NDANI YA MAFUNDISHO YA KIKRISTO NA DR MWALUSAMBO
Просмотров 1159 часов назад
Kuna mmbo mengi wakristo wamefundishwa kwa muda mrefu na kuona yapo sawa kumbe hayapo sawa hii ni kutokana na makosa yaliyofanywa na waasisi wetu wa mwanzo kabisa ya kufasiri Biblia pasipo kufuata kanuni zake. Karibu ujifunze somo hili. kama unaswali lolote karibu. .................................................................................................................... There are many...
UTAMBULISHO WA HUDUMA YA MWALUSAMBO INTERNATIONAL MINISTRY(MIM) NA DR MWALUSAMBO #kingdomphilosophy
Просмотров 13821 день назад
Kwa mala ya kwanza Dr.mwalusambo ambaye ndiye muhasisi wa Huduma ya Mwalusambo International Ministry anatoa maelezo mafupi kuhusu MIM. Karibu Umsikilize. ......................................................................................................................................................... For the first time, Dr. Mwalusambo who is the founder of the Mwalusambo International Mi...
SOMO: KITABU CHA UFUNUO WA YOHANA SIO UNABII NA DR MWALUSAMBO
Просмотров 502Месяц назад
Watu wengi sana ndani ya Imani ya kikikrsito wameaminishwa kuwa kitabu cha Ufunuo wa Yohana ni kitabu cha Unabii, si kweli hii nikutokana na kufasiri Biblia pasipo kufuata kanuni zake. Karibu ujufunze somo hili, pia unaweza jipatia kitabu cha kanuni za kusoma na kufasiri Biblia Bonyeza link hii: www.getvalue.co/prod/kanuni_zakufasiri_biblia .........................................................
MASWALI TATA YA WAKRISTO YAJIBIWA NA DR.MWALUSMBO
Просмотров 9372 месяца назад
Je, Yesu ni Mungu? Je, Mungu Ananafsi tatu? Haya ni baadhi ya Maswali ambayo yamewasumbua sana wakristo wengi na kuwafanya wasiwe na Imani sahihi. Karibu ujifunze kupitia Majibu ya maswali haya, unaweza uliza pia kama unswali lolote na utapata Majibu. #drmwalusambo #gospelmusic #bibleknowledge #gospel #biblestudy #maswali #nenolamungu #america #kiswahili #africa #africanmusic #gospelmusic #mwal...
WOKOVU UMEKUWA KAMA MZIGO MZITO KWA WAKRISTO NA DR.MWALUSAMBO
Просмотров 1863 месяца назад
Wokovu umekuwa Kama Mzigo kitu ambacho siyo sahihi lazima wakristo wafurahie wokovu. #drmwalusambo #nenolamungu #bibleknowledge #biblia #biblestudy #mafundishoyakikristo #mafundisho #kristo #africa #america #urope #gospel #gospelmusic #gospelsongs
KANUNI ZA MANABII WAKUBWA NA WADOGO NA DR.MWALUSAMBO // MBEYA - PART 2
Просмотров 4003 месяца назад
Miongoni mwa mambo ambayo yamewafanya wakristo wengi wasifurahie ukristo wao ni kwasababu mambo mengi wanayofundishwa sio ya kweli na yanafundishwa pasipo kanuni sahihi za kufasiri Biblia. Karibu kwenye mfululizo huu wa Semina ya Kuyachunguza Maandiko iliyofanyikia Jijini Mbeya Mwezi March, 2024. #bibleknowledge #nenolamungu #biblesecrets #biblejournaling #biblestudy #drmwalusambo #africa #amer...
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 2 - Mtiririko wa Habari | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Просмотров 3264 месяца назад
Ungana nasi kwenye Mtiririko huu wa Masomo ya Kuifahamu Lugha ya Mungu na Dr.Zephaniah Mwalusambo, hapa utaenda kujifunza undani wa Mambo ambayo yawezekana hukuwahi jifunza. Karibu sana. Kwa uhitaji wa Vitabu vyetu ili upate upana na uelewa mkubwa. Wasiliana nasi: 255 769 007 328 Email: imwalusambozephaniah@gmail.com Karibu kwenye Group la Whatsap: chat.whatsapp.com/K02nLlBXwxDEF7ZUZ0HdZy ........
UNAHITAJI KUIELEWA LUGHA YA MUNGU ILI UFANIKIWE NA DR.MWALUSAMBO // MBEYA - PART 1
Просмотров 5654 месяца назад
Miongoni mwa mambo ambayo yamewafanya wakristo wengi wasifurahie ukristo wao ni kwasababu mambo mengi wanayofundishwa sio ya kweli na yanafundishwa pasipo kanuni sahihi za kufasiri Biblia. Karibu kwenye mfululizo huu wa Semina ya Kuyachunguza Maandiko iliyofanyikia Jijini Mbeya Mwezi March, 2024. #bibleknowledge #nenolamungu #biblesecrets #biblejournaling #biblestudy #drmwalusambo #africa #amer...
JE, MJI WA MUNGU UKO WAPI? NA DR MWALUSAMBO
Просмотров 7484 месяца назад
Wakristo wengi hudhani Mji wa Mungu uko mbali sana, ungana na Dr Mwalusambo kwenye somo hili ili ujifunze na upate ukweli. Kwa vitabu vyetu Tembelea kwenye duka letu: www.getvalue.co/home/seller_collection/7619 ................................................................................................................... Many Christians think that the City of God is far away, join Dr. Mwalu...
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 1 - Mtiririko wa Habari | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Просмотров 4724 месяца назад
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 1 - Mtiririko wa Habari | Dr. Zephaniah Mwalusambo
UKWELI USIOUJUA KUHUSU KITABU CHA UFUNUO NA DR MWALUSAMBO// MBEYA - PART 3
Просмотров 1,4 тыс.4 месяца назад
UKWELI USIOUJUA KUHUSU KITABU CHA UFUNUO NA DR MWALUSAMBO// MBEYA - PART 3
FAHAMU KOSA LA KIUFUNDI KWA WATUMISHI WENGI WANAOFUNDISHA KITABU CHA UFUNUO WA YOHANA
Просмотров 2285 месяцев назад
FAHAMU KOSA LA KIUFUNDI KWA WATUMISHI WENGI WANAOFUNDISHA KITABU CHA UFUNUO WA YOHANA
LIVE MASWALI TATA YAJIBIWA NA DR MWALUSAMBO//ACCESS FM MBEYA TANZANIA
Просмотров 3995 месяцев назад
LIVE MASWALI TATA YAJIBIWA NA DR MWALUSAMBO//ACCESS FM MBEYA TANZANIA
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 16 - Kucheza Mbele za Bwana | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Просмотров 4005 месяцев назад
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 16 - Kucheza Mbele za Bwana | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 15-Mafundisho yanayowatoa watu katika Imani | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Просмотров 4186 месяцев назад
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 15-Mafundisho yanayowatoa watu katika Imani | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 14 - Kanuni ya lugha na misamiati ya Biblia | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Просмотров 3176 месяцев назад
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 14 - Kanuni ya lugha na misamiati ya Biblia | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 13 - Mia na arobaini na nne elfu | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Просмотров 5338 месяцев назад
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 13 - Mia na arobaini na nne elfu | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 12 - Vitabu vya hukumu Mbinguni | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Просмотров 3359 месяцев назад
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 12 - Vitabu vya hukumu Mbinguni | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 11- Kukifungua kitabu kuzivunja Muhuri zake | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Просмотров 3809 месяцев назад
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 11- Kukifungua kitabu kuzivunja Muhuri zake | Dr. Zephaniah Mwalusambo
HIZI HAPA KANUNI ZA KUSOMA NA KUIELEWA BIBLIA
Просмотров 7 тыс.11 месяцев назад
HIZI HAPA KANUNI ZA KUSOMA NA KUIELEWA BIBLIA
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 10 - Wazee Ishirini na nne | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Просмотров 526Год назад
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 10 - Wazee Ishirini na nne | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 9 - Wenye uhai wanne na maserafi | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Просмотров 541Год назад
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 9 - Wenye uhai wanne na maserafi | Dr. Zephaniah Mwalusambo
MAFUNDISHO SAHIHI KUHUSU KITABU CHA UFUNUO WA YOHANA
Просмотров 6 тыс.Год назад
MAFUNDISHO SAHIHI KUHUSU KITABU CHA UFUNUO WA YOHANA
Full Interview Na Dr.Zephaniah Mwalusambo
Просмотров 1 тыс.Год назад
Full Interview Na Dr.Zephaniah Mwalusambo
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 8 - Utawala wa miaka elfu | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Просмотров 637Год назад
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 8 - Utawala wa miaka elfu | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Kanuni za kufasiri Biblia| Dr. Zephaniah Mwalusambo
Просмотров 709Год назад
Kanuni za kufasiri Biblia| Dr. Zephaniah Mwalusambo
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 7 - Kukielewa kitabu cha Ufunuo | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Просмотров 466Год назад
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 7 - Kukielewa kitabu cha Ufunuo | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 6 - Kukielewa kitabu cha Ufunuo | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Просмотров 382Год назад
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 6 - Kukielewa kitabu cha Ufunuo | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 5 - Kanuni ya Manabii wakuu na wadogo | Dr. Zephaniah Mwalusambo
Просмотров 532Год назад
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 5 - Kanuni ya Manabii wakuu na wadogo | Dr. Zephaniah Mwalusambo

Комментарии

  • @moriasimingate6665
    @moriasimingate6665 10 часов назад

  • @LosotwaMichael
    @LosotwaMichael 21 час назад

    We're Nenda darasani Elimu yako katika maandiko bado sana

  • @rupiangwigulila2987
    @rupiangwigulila2987 2 дня назад

    Naomba nifahamu maana ya maandiko haya Matakatifu kama yalivyo andikwa. 1, Zaburi 23:1-6 2. Zaburi 24 yote

  • @gwakisamwakilema
    @gwakisamwakilema 4 дня назад

    Elimu kubwa sana...

  • @Chr196
    @Chr196 4 дня назад

    Amina barikiwa mtumishi

  • @albert_Victor
    @albert_Victor 4 дня назад

    Shule🎯

  • @costantinemihayo
    @costantinemihayo 4 дня назад

    Nakuelewa sana Mtumishi

  • @eng.godwinjsamboho973
    @eng.godwinjsamboho973 5 дней назад

    ufunuo wa yohana 20:11 kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, na yeye akiteye juu yake; (naomba ufafanuzi hapa huyu nabii aliona tofauti na unachofundisha?) naomba msaada hapo

  • @ryobanchagwa2499
    @ryobanchagwa2499 6 дней назад

    Huyu mchungaji yaani SIJAKUELEWA KABISA YAMKINI UMEPOTOSHA WENGI EBU KAA KIMYA UMSIKILIZE MUNGU WEWE NI MJINGA SANA

  • @bennymkubwa6196
    @bennymkubwa6196 6 дней назад

    Umenifanya nisome zaidi maana mh!!??

  • @leganluvanda2173
    @leganluvanda2173 15 дней назад

    ❤ ubarikiwe sana Baba ASKOFU MKUU mstaafu

  • @j3st660
    @j3st660 17 дней назад

    Mbona twafundishwa yesu alikufa akafufuka akazikwa na sk ya tatu akafufuka akapaa mbinguni jamani mpaka kuja wengine kuelewa nikazi ninavyo tazamaga juu 😅😅 sijui namwangaliaga nani mmmmh yerusalemu sijui niitazamaje kiroho kwakweli mungu nisaidie jicho la tatu

  • @azimiompobota
    @azimiompobota 17 дней назад

    Ubarikiwe sana baba

  • @deussimbeye9531
    @deussimbeye9531 23 дня назад

    Amen

  • @LoshaLosha-z9s
    @LoshaLosha-z9s 25 дней назад

    Walio weng wametoa maoni yenye mashiko na maswali ndani yake lakin ndugu zetu wengine wametiwa upofu macho yao maana wanapenda kusomewa na kuhadithiwa than kutafuta ukwel wa biblia wao wenyew# binafsi nabii isaya alisema wachungaj kama hawa kwao hapana asubuh maana wananena yaliyo matakwa yao ...kwanza haelewek anachofundisha kama kuna mtu amemuelewa anieleweshe

  • @TabithaMalisa
    @TabithaMalisa 25 дней назад

    Amen

  • @jifunzeleo.8610
    @jifunzeleo.8610 26 дней назад

    Typo pamoja saaana.

  • @jifunzeleo.8610
    @jifunzeleo.8610 26 дней назад

    Amen

  • @albert_Victor
    @albert_Victor 26 дней назад

    Be blessed 🙏

  • @BankuwihaNorobeti
    @BankuwihaNorobeti 27 дней назад

    Barikiwa sana Mtu WA MUNGU

  • @NanahJadili
    @NanahJadili 29 дней назад

    Mtuuu Ana unanganisha unganisha vifunguu ili awa changanyee zaidiii hao mashaid wawilii watakuja ndio na Wata uwawa na baada ya ya siku tat nanusu Wata uwaaa jamn angalien msije mkajichanganyyaaa

  • @NanahJadili
    @NanahJadili 29 дней назад

    Ila wew mchungaji ni muongo saan wew na nyie mnao msikilizaa msikubali kusimewa jufunzeni kusoma na kuelewa mtu Ana kuchanganyia vifunguu vifungu ili atengenezee maana yake mwenyew jiangalien msije mkarubuniwaa

  • @CHARLESMAJALIWA-b3h
    @CHARLESMAJALIWA-b3h Месяц назад

    3 Heri asomaye na wao wayasikiao maneno ya unabii huu, na kuyashika yaliyoandikwa humo; kwa maana wakati u karibu. Ufunuo wa Yohana 1:3

  • @GraceSambula
    @GraceSambula Месяц назад

    Ubarikiwe sana mutu wa Mungu

  • @UpendoChurch-u6c
    @UpendoChurch-u6c Месяц назад

    Hekalu lazima liwe. ,hekalu la tatu lazima lijegwe na unabii wa hio sura unayosoma ni habari la hekalu la tatu ....kiukweli mzee hujui chochote.

  • @UpendoChurch-u6c
    @UpendoChurch-u6c Месяц назад

    Mambo gani iliyotabiriwa na manabii ....ambapo nabii ni mmoja hapa ..

    • @MjumbeAgano
      @MjumbeAgano Месяц назад

      @@UpendoChurch-u6c soma Isaya 41:1-2, Malaki 3 na 4. Mathayo 17:11, Marko 9:12.

  • @UpendoChurch-u6c
    @UpendoChurch-u6c Месяц назад

    Kitabu cha ufunuo ni unabii brother,,Ufunuo wa Yohana 22:19 [19]Na mtu ye yote akiondoa lo lote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima, na katika ule mji mtakatifu, ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki. And if any man shall take away from the words of the book of this prophecy, God shall take away his part out of the book of life, and out of the holy city, and from the things which are written in this book.

    • @ZephaniaMwalusambo
      @ZephaniaMwalusambo Месяц назад

      Kwa nini kisiitwe kitabu cha Unabii, kikaitwa kitabu cha Ufunuo? Je, unamhitaji msaada wa Mungu kukufahamisha tofauti ya maana ya Unabii na Ufunuo?

  • @dnewztz
    @dnewztz Месяц назад

    Mwalimu nina Swali. Kama kitabu cha Ufunuo sio unabii wa Agano jipya. Je, (Ufunuo wa Yohana 1:3 [3]Heri asomaye na wao wayasikiao maneno ya unabii huu, na kuyashika yaliyoandikwa humo; kwa maana wakati u karibu. .) kwa nini anesena unabii!? Na kama Agano Jipya hakuna Unabii Je, Mathayo 24 yote kwa nini inaongelea Ujio wa Yesu Mara ya Pili na Mambo Yatakayokuwako kabla ya kuja kwake!?? Na vipi Yesu alitudanganya hapa!? Ufunuo wa Yohana 1:1 [1]Ufunuo wa Yesu Kristo, aliopewa na Mungu awaonyeshe watumwa wake mambo ambayo kwamba hayana budi kuwako upesi; naye akatuma kwa mkono wa malaika akamwonyesha mtumwa wake Yohana;

    • @CasmiryJames
      @CasmiryJames 21 день назад

      Ukipata kitabu alichoandika Cha ufunuo utapata majibu ya maswali yako

    • @dnewztz
      @dnewztz 21 день назад

      @@CasmiryJames kitabu cha Ufunuo alichoandika nani,??

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano Месяц назад

    Je! Unaijua hiyo mihuri saba ukinijibu hapo ndipo nitajua umetumwa ila unachanganya na uongo, uwe mnyenyekevu au lengo lako ni pesa, Jifunze kwa mjumbe wa agano mwenye elimu ya ufalme wa Mungu.

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano Месяц назад

    Nimekuambia biblia imetiwa mihuri saba hakuna awezaye kuisoma, hapa unanukuu maandiko sio ufunuo wa kweli, Ni mjumbe wa agano duniani pekee ndiye aliyekusudiwa kufunua siri yote ya Mungu, Ufunuo wa Yohana 5:1- - -

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano Месяц назад

    Kanuni ya biblia anajua mmoja tu ndiye Mjumbe wa agano pekee, Mathayo 13:52. Marko 9:12. Malaki 3:1-3.

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano Месяц назад

    Vipofu wasiojua hupongeza kwa kutojua kupambanua roho hiyo ni roho ya upotovu.

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano Месяц назад

    Nikuombe wewe ni mtu mzima ila utakuja kupata sana mapigo kwa kusema UONGO mfano kurudi kwa Yesu, dalili uliyoisoma kuwa ni chukizo la uharibifu, hapo walikuwa wanaambiwa Israel chukizo la uharibifu ni mataifa kuuzingira mji wa Yersalemu, wakati huo mataifa watakuwa wameingia kwenye ufalme, kwa ujumbe wa Mjumbe wa agano duniani, usiendelee kupotosha watu,

    • @manoahjoseph5283
      @manoahjoseph5283 Месяц назад

      🤣 Nilijua hutaelewa it needs high IQ pole soma vitabu vyake viko getvalue na mfuatilie video zake utaelewa barabara

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano Месяц назад

    Kanisa ni lipi?

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano Месяц назад

    Mwisho wa dunia ni mwisho maongozi ya mtawala wa dunia shetani, huna ukweli mpinga kristo alikuja kabla ya mitume wa Yesu,1Yohana 4:1-3. Acha uongo.

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano Месяц назад

    Imeandikwa tena habari njema ya ufalme itahubiriwa na nani na mjumbe wa agano duniani hapo ndipo mwisho wa dunia utakapofika, jifunze kwa mjumbe wa agano ujue nyakati na majira yaliyoamuliwa na Mungu.

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano Месяц назад

    Mwenye kufundisha ni Mjumbe wa agano pekee, hayo ni UONGO biblia ina mafungu matatu, kuna mapokeo ya watu, mafumbo,mithali na mifano, hilo ni fungu la pili, fungu la tatu ni Neno la wakati ambalo limetiwa mihuri saba hata wewe hujui unawapotosha watu, Neno la wakati huu wa sasa ni mjumbe wa agano pekee ndiye aliyekusudiwa kuhubiri ni habari njema ya ufalme wa Mungu hapa duniani, kwa roho ya Eliya, mathayo 17:11, Malaki 3:2-6, 4:1-6. Huyo ndiye mwandishi mwenye elimu ya ufalme wa Mungu, wengine wote ni waongo na wevi tu.

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano Месяц назад

    , Mungu ni mmoja hana nafsi tatu, yeye anaitwa Bwana Yesu Kristo. Nafsi ya Mungu ni Neno

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano Месяц назад

    Hekalu ni mtu aliyekamilika katika cheo na utimilifu wa kristo, wewe ni mwongo huna unachokijua, Jifunze kwa mjumbe wa agano duniani uingie kwenye ufalme uepukane na dhiki kuu inayoujilia ulimwengu wote fuatilia you tube MJUMBE AGANO upate semina ya ukamilifu wa kristo. Ni mjumbe wa agano pekee wewe ni kipofu yapaswa ufungwe kinywa chako.

    • @ZephaniaMwalusambo
      @ZephaniaMwalusambo Месяц назад

      Ukitukana unadhihirisha kuwa hujui kitu. Pinga kwa hoja.

    • @user-yw5sz7kd3u
      @user-yw5sz7kd3u Месяц назад

      Wewe mwenyewe utakuwa mungo mbn wamuhukum mwenzio

    • @MjumbeAgano
      @MjumbeAgano Месяц назад

      @@user-yw5sz7kd3u ukiwa kipofu huwezi kuona Chochote ila ukiwa na macho kama yangu utajua UONGO na UKWELI. Wewe ni kipofu unamsikiliza kipofu mwenzako wote jehanamu.

  • @FaidaMhala
    @FaidaMhala Месяц назад

    Umenibariki mtumishi wa MUNGU

  • @FaidaMhala
    @FaidaMhala Месяц назад

    Mtumishi kimeandikwaje hicho kitabu

    • @MjumbeAgano
      @MjumbeAgano Месяц назад

      @@FaidaMhala kuna matoleo saba yenye Siri yote ya Mungu kuhusu ufalme wa Mungu hapa duniani, MANA YA MBINGUNI.

  • @annmukami7660
    @annmukami7660 Месяц назад

    Mafundisho mazuri Dr Asante ninabarikiwa na pia na fundishika, tafadhali naomba wakati mwingine mzingatia kelele za watoto huko zinatatiza Asante

  • @miguelzubelpunda7282
    @miguelzubelpunda7282 Месяц назад

    Nakusikiliza nikiwa Msumbiji, barikiwa sana mtumishi wa Mungu. Kwa yule aliye tayari na kujifunza anakuelewa vizuri tu,nami ni mmoja wao. Keep it up man of God,

    • @mwalusambointernationalmin9065
      @mwalusambointernationalmin9065 Месяц назад

      Amen, karibu sana Mpendwa pia unaweza jipatia vitabu kupitia duka letu hili la online: www.getvalue.co/home/seller_collection/7619. ili uendelee kujifunza zaidi.

    • @ZephaniaMwalusambo
      @ZephaniaMwalusambo Месяц назад

      Nimefurahi kutoka Musumbiji Mungu akubariki sana! Fuatilia RUclips Akaunti Mwalusambo International Ministry.

    • @fabianjaphet-kb8oh
      @fabianjaphet-kb8oh 5 дней назад

      Ubarikiwe sana mtu wa Msumbiji.

  • @paulmayiku6268
    @paulmayiku6268 Месяц назад

    Hapana nimekataaa

  • @joshuajohn8533
    @joshuajohn8533 Месяц назад

    Wewe umekengeuka na unadanganya watu sana. Yesu atakulipa

  • @georgekadaga
    @georgekadaga Месяц назад

    Ufunuo ndio kitabu kinachomfunua kristo yesu ndio kanisa mtu asiposoma ufunuo ni sawa na buere

  • @rahelmunuo1415
    @rahelmunuo1415 Месяц назад

    Asante mchungaji kwa Somo zurich

  • @user-ox8pc5wu7u
    @user-ox8pc5wu7u Месяц назад

    Pumbafu

  • @ZephaniaMwalusambo
    @ZephaniaMwalusambo Месяц назад

    Semina nyingine imefanyika Juni, nyingine itafanyika Desemba.

  • @PeterMbugua-wt9vl
    @PeterMbugua-wt9vl 2 месяца назад

    Nimekufanya mlezi wangu katika imani kwa mafundisho mazuri.naitwa peter kutoka kenya nairobi.nimekujua juzi tu nikiwa kwa yutube nikasema nikusikie unavyo funza biblia.wawawah kumbe ni wewe nimeishi kutafuta nimeishi kutafuta elimu ya kweli naona ka nimefika natumia MB nyingi kukufuatilia kila siku nashukuru mungu kwa kunipatanisha na wewe

    • @mwalusambointernationalmin9065
      @mwalusambointernationalmin9065 Месяц назад

      Amen, karibu sana Mpendwa pia unaweza jipatia vitabu kupitia duka letu hili la online: www.getvalue.co/home/seller_collection/7619. ili uendelee kujifunza zaidi.

    • @ZephaniaMwalusambo
      @ZephaniaMwalusambo Месяц назад

      Nimefurahi sana kukupata kutoka Kenya, Mungu akubariki kwa kuipenda kweli ya Mungu.