Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
MAFUNDISHO SAHIHI KUHUSU KITABU CHA UFUNUO WA YOHANA
HTML-код
- Опубликовано: 28 авг 2023
- Watu wengi wanafikiri kitabu cha Ufunuo ni unabii wa mambo yanayokuja kutokea bali ufunuo ni kufunuliwa yaliyofichika hivyo unahitaji kujua kanuni sahihi za kufasiri Biblia ili uweze kujua mambo mengi ndani ya Biblia.
..........................................................................................................................................................
Many people think that the book of Revelation is a prophecy of things that are going to happen, but revelation is the revelation of what is hidden, so you need to know the correct principles of interpreting the Bible so that you can know many things in the Bible.
#bibleknowledge
#nenolamungu
#kingdomphilosophy
#bible
Ubarikiwe sana mutu wa Mungu
MUNGU wa mbinguni akutunze Baba ninapenda sana kujifunza kutoka kwenu nipate na Mimi kuwaachia kizazi kijacho injili halisi kabisa
Nimefurahi kusikia kutoka kwako, pamoja na kuwa nimechelewa sana kujibu comment yako, ubarikiwe!
Pole sana Mtumishi wa Mungu unaitaji kujifunza tena
Amina
Barikiwa mtumishi kwa ufafanuzi mzuri, songa mbele.
Nakushukuru kwa kuuelewa ukweli, ubarikiwe na Bwana!
Mtuuu Ana unanganisha unganisha vifunguu ili awa changanyee zaidiii hao mashaid wawilii watakuja ndio na Wata uwawa na baada ya ya siku tat nanusu Wata uwaaa jamn angalien msije mkajichanganyyaaa
Asante kwa ufafanuzi mzuri
Mengi Sio kweli lakini umenifikirisha nimeingia kusoma zaidi
Nakushukuru
Mwalimu nina Swali.
Kama kitabu cha Ufunuo sio unabii wa Agano jipya.
Je, (Ufunuo wa Yohana 1:3
[3]Heri asomaye na wao wayasikiao maneno ya unabii huu, na kuyashika yaliyoandikwa humo; kwa maana wakati u karibu. .) kwa nini anesena unabii!?
Na kama Agano Jipya hakuna Unabii Je, Mathayo 24 yote kwa nini inaongelea Ujio wa Yesu Mara ya Pili na Mambo Yatakayokuwako kabla ya kuja kwake!??
Na vipi Yesu alitudanganya hapa!?
Ufunuo wa Yohana 1:1
[1]Ufunuo wa Yesu Kristo, aliopewa na Mungu awaonyeshe watumwa wake mambo ambayo kwamba hayana budi kuwako upesi; naye akatuma kwa mkono wa malaika akamwonyesha mtumwa wake Yohana;
Babaangu ubarikiwe sana kwa mafundisho haya mazuri unanifungua sana ufaham wa kuielewa biblia
Soma ufunuo 1:3
Huyo ni muongo anapotosha watu na theojia yake ya ujanja ujanja tu
Mungu akubariki kwa kupokea kweli, asante sana!
Rudia somo
Jina la Yesu na makanisa lipo kwenye ufunuo wa Yoh.) .Ufu.22 :16.Mimi Yesu nimewatuma Malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa . Mimi ndimi niliye shina na Mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung'aa ya asubuhi.
Meambir basi ili arudie maana ananikoroga kabisa au ndo amevuviwa na roho mtakatifu
Nakupata vyema baba barikiwa sana tuongeze uwezo.
Ubarikiwe sana ndugu Msikilizaji.
Ila wew mchungaji ni muongo saan wew na nyie mnao msikilizaa msikubali kusimewa jufunzeni kusoma na kuelewa mtu Ana kuchanganyia vifunguu vifungu ili atengenezee maana yake mwenyew jiangalien msije mkarubuniwaa
Na usichangaye neno na akili ata vyuo ivi vingaliwe mitaala yao itakuwa inashida adi wapentecost hii ni hatali... kitabu cha ufunuo huo ni unabii ufunuo 1.3
Je samahani kwahiyo mi sjaelewa kabisa ivi ndo kutakuwa hakuna mwisho wa. Dunia? Kama ufunuo ni rejea ya mambo yalio pita???
Baba jipe moyo mkuu ha yohana alipingwa na yesu alipingwa songs mbele
Mungu akubariki kwa mafundisho sahihi T Mwanuke
ASANTE sana kwa comment yako nzuri, ubarikiwe!
@@ZephaniaMwalusambo Amina baba Mungu wa mbingu na nch akutumze
Duuh,
Mzee ungekubali kujifunza ndo usalama Wako.
Fuata bib Lia usifuat akili Yako mambo ya Mungu hayapo ivy utapotosh weng kutokana na kufwat akili yak ufunuo ni unabii kama ilivy andkw
Huyu mzee apuuzwe anapotosha watu.
Mzee nimekuelewa sana ubarikiwe
ASANTE kwa Kuelewa, maana ni rahisi kwa wengi Kuelewa uongo kuliko ukweli; ubarikiwe!
Kitabu iki kinatoa onyo kwa kupunguza au kuongeza maneno katika kitabu iki kwa Sababu ni Cha watu maarumu ACHA kabisa
Ndugu hiki ni kitabu cha ufunuo. Unabii uliishia kwa Yohana mbatizaji na kama ufunuo ni unabii je kipi kilichofichwa na kitafunuliwa kwa kizazi kipi wakati unabii wote ulishatimia?
Kutoongozwa na roho ni shida sana,yaani Wakati wote wanatumia akili zao wenyewe.
Wataka kumfanya YESU KRISTO mwongo, wakati kasema katika ufunuo 1:3
Ndugu nakuonya kwa jina la Bwana Yesu Kristo,Acha kutanganya Jifunze kwa Mjumbe wa agano duniani mwenye kweli yote ya Mungu angalia RUclips Mjumbe Agano upate semina ya mwisho wa Dunia na jinsi kanisa halisi linavyojengwa na kunyakuliwa barikiwa sana. Soma Mathayo 17:11, Marko 9:12.
Unamuonya kwa kipi ndugu yangu? Huu ndio ukweli ndio maana hiki kitabu kinaitwa ufunuo sio unabii basi kama kitabu hiki tukikisoma kama unabii hakika mambo hayo yatafunuliwa kwa watu gani kama sio sisi?
Ufunuo wa Yohana 1:3
[3]Heri asomaye na wao wayasikiao maneno ya unabii huu, na kuyashika yaliyoandikwa humo; kwa maana wakati u karibu. .
Neno unabii linefata nini hapo!?
Tumieni hekima na kujifunza zaidi itawasaidia
@@MjumbeAgano tafadhari sana jifunze vizur na uelewe umuonye baba kama Nan wewe kama haujaelewa uliza ujibiwe na Mungu wetu wa mbingu na nch akusaidie
Sasa baba ebu sema kwahiyo tuseme wokovu ni bure kwakua kila kitu kimetimia sasa alafu na yule Montana alafu na kuhusu moto wa milele na kwa habari ya uzima wa milele je vimeshatokea na tukifa tunaendawapi??? Je hakuuna hukumu??? Ya wenye haki na wasio haki maana biblia inasema tutahukumiwa kwakadiri ya matendo na kila mtu ataendakutoa hesabu je vimetimia au???
ANGESEMA MAFUNDISHO KUHUSU KITABU CHA UFUNUO.KAMA ANAFUNDISHA KITABU CHA UFUNUO. LKN KAMA ANAFUNDISHA KUHUSU UFUNUO WA YESU KWA MTUMISHI WAKE YOHANA KWAAJILI YA NYAKATI.... ANGESEMA
Soma ufunuo 1: 3 na Ufunuo 22: 19 Hiki ni kitabu cha UNABIII.
NA KUNA ONYO LA MTU AKIONDOA UNABII WA KITABU HIKI.
Je, unajua kwanini neno Unabii linapatikana Mwanzo na mwisho wa kitabu?Je, unataka kusema kuwa kujua tofauti ya Unabii na Ufunuo unamhitaji Mungu akufundushe?
Acha upotoshaji mzee kitabu cha ufunuo kimeandikwa kwa nyakati 3 wakati uliopo wakati ujao wakati uliokwisha kupita ufunuo 1:19 huu ndiyo ufunguo wa kitabu cha ufunuo
Huyu Ni muongo sijui kasomea wapi theolojia mbovu hivo. Ni kipofu huyu
Unazeeka vibaya wewe babu huujui ufunuo acha kupotosha nakuonya Acha
Usiogope kumjua Mungu. Ufunuo hauwezi kuwa unabii. Kizazi chetu hakikuja na unabii mpya basi utimilifu wa unabii ambao upo kwenye vitabu vya agano la kale
Sasa baba mbona ufunuo 1:3 inasema unabii na wewe unasemaa ni ufunuo? 😱🙄
Ati Yesu hakutabiri ??😂😂😂
Mzee unachekesha bana
Hebu Soma hili Andiko kisha utuambie ni Unabii au Ufunuo?
Mathayo 24:15-33
Hapa mathayo alikuwa anadhibitisha unabii uliitabiliwa na Daniel
Hakuna ambacho Mzee amejibu vibaya Yuko sahihi
Mengi Sana watu mnangojea yatokee kumbe yalishatokea
@@costantinemihayo MUNGU AKUSAIDIE UFUMBULIWE MACHO
Mzee umetaja ufunuo sura 11 kuhusu mizeituni miwili eti ni yohana na yesu acha kupotosha hawa atakua elia na henoko kwa sababu elia alichukuliwa hakufa 2 wafalume 2:1-11 na henoko pia hakufa wanzo 5:22- 24 wataludi wakati wa miaka 3 nanusu ya kwanza ya mpinga kristo watakua wakihubili ijili maana wanatakiwa waludi wafe ili wavae mwili wa mbinguni 1 wak 15;40
Mimi nimekupa maandiko, wewe unakisia,
Jalibu kuwaza, hawa ndio waalimu wa vyuo vya biblia. Sasa anatuambia nini kuhusu huduma 5 waefeso 4:11-14
Ufunuo sura 1 inaeleza wakati ulikwisha kupita na ufunuo sura 2na sura ya 3 inaeleza wakati huu uliopo tunaoenderea nao mpaka wakari wa dhiki kuu na hapa yanatajwa makanisa 7 yalio kua ASIA ndogo kwa sasa ni icnh ya utuluki sura 4 mpaka 22 inaeleza wakati ujao au wakati wa unyakuo wa kanisa sasa mbona unakichanganya hivi kitabu hiki?
Hivi kujua tofauti ya maana ya maneno, Unabii na Ufunuo, unamhitaji ufundishwe na Mungu?
Nimefurahi kukusikia leo. Nataraji kujifunza mengi. Naomba namba yako ya what's up.
+255754041599
Unahitaji elimu bado uko mbali hujaeliwa hata bibilia
Sijakubaliana na ww...kama shetani amefungwa mbona uovu bado uko
Kaka nikusahihishe wanatheogia sio waongo muongo ni huyo na wengine kama yeye
Kwakweli theology inavituko.
Unabii ni jicho la kanisa sasa ukitwaambia agano jipya hakuna manabii tafsiri yake kanisa linaupofu halina macho? kama ndivyo basi hiyo itakuwa ni dini iliyokufa mara mbili.
Hakka wewe mzeee theology yako bado haijakusaidia kabsa na unajiita doctor cjui ulipata wap hyo maana nakuona unazidiwa na mtoto wa aliehitimu form four
Muongo tu huyo
Bado neema ya kristo hamjaipata
Mzee Yuko sahihi
Kwahiyo mzee 666 imeshapita ayari? Au bado?? Je vipi kuhusu uzima wa milele na adhabu ya jehanamu zilizonenwa?? Zimeshakwisha kupita au bado?? Je kuhusu mpinga kristo??, Na kama yapo tunayo sasa,, je kama siku zile yalinenwa sio unabii kuhusu ya leo
?
Yaani watu wa theology ni waongo sana kwakwel, kwaiyo hichi kilichoandikwa hapa ni nini👇
Ufunuo wa Yohana 1:3 Heri asomaye na wao wayasikiao maneno ya unabii huu, na kuyashika yaliyoandikwa humo; kwa maana wakati u karibu.
Acha uongo ,tena acha kupotosha kabisa
Asante ndugu nawe umeona hilo na la nyongeza ni Ufunuo 22:19. " NA MTU YEYOTE AKIONDOA MANENO YA UNABII WA KITABU HIKI, MUNGU ATAMWONDOLEA SEHEMU YAKE KATIKA ULE MTI WA UZIMA
Ubarikiwe sana ndugu
Kweli ndugu
Huyu theology yake Wala sio Msingi wa Pentecostal sijui katoa wapi huu upofu
Na usichangaye neno na akili ata vyuo ivi vingaliwe mitaala yao itakuwa inashida adi wapentecost hii ni hatali... kitabu cha ufunuo huo ni unabii ufunuo 1.3