Hili somo nimekisikiliza leo tokea asubuhi. Nasikiliza naacha naandika, nasikiliza naacha . Mafunuo haya ni makubwa mno. Neema hii ni kubwa mno. Asante Yesu kwa ajili mtumishi wako mwl Mwakasege.
Nimebarikiwa sana na huduma hii, seminar hii na ibada hii. Mungu awabariki sana sana na asiwapungukie kiroho na kimwili. Kwako Mwalimu, Mama Mwalimu familia yako na Wana MANA wote.
Mama Mtumishi wa Mungu ni kweli kabisa unayotaaema kuhusu michezo ya vijana wetu inaumiza sana ila Kwa maombi tu Mungu aingilie kati na kubatilisha Kila ufalme wa shetani ndani Yao.
Nimefurahi Sana kukuona kaka Paul Mwangosi. MUNGU aendelee kukutunza
YESU nasumbuliwa na miguu, niponye e YESU 😢😢😢😢 nateseka sanaaa🤲🏿🤲🏿🤲🏿😭😭
YESU gusa miguu yangu uniponye,miguu inawaka mwoto😢😢😢😢
Kaka Mwangosi Yesu akutunze sana
Damu ya Yesu iwafunike nyote katika huduma
Hili somo nimekisikiliza leo tokea asubuhi. Nasikiliza naacha naandika, nasikiliza naacha . Mafunuo haya ni makubwa mno. Neema hii ni kubwa mno. Asante Yesu kwa ajili mtumishi wako mwl Mwakasege.
Nimebarikiwa sana na huduma hii, seminar hii na ibada hii. Mungu awabariki sana sana na asiwapungukie kiroho na kimwili. Kwako Mwalimu, Mama Mwalimu familia yako na Wana MANA wote.
Amen Mchungaji Mungu akubariki kwa Neno zuri❤❤❤❤❤❤
Nimebarikiwa sana na Huduma hii Mungu Azidi kuinua kazi yake kupitia Mwalimu Mwakasege .
Mungu akubariki Mwl kwa mafundisho
Baba, mwalimu, Mungu aendelee kukutunza pamoja na wote unaotenda nao kazi.
YESU nifunguwe miguuu
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen ❤❤🎉sifa NA utukufu ni kwako bwana katikati jina la Yesu kristo. Amen....
Mungu akutunze Mwalim
Babaa na mama tunawaombea Sana
🎷🙌🏾 Ameen.
Mungu nakuomba unifundishe ,kupitia mtumishi wako ,nikujue zaid na zaidi
MUNGU awabariki Sana Baba na mama mwakasege na uduma yaote ya mana
Mama Mtumishi wa Mungu ni kweli kabisa unayotaaema kuhusu michezo ya vijana wetu inaumiza sana ila Kwa maombi tu Mungu aingilie kati na kubatilisha Kila ufalme wa shetani ndani Yao.
Yesu unikumbuke
Amina
Ameen
YESU niponye miguuu
YESU niponye miguuu
Amina MUNGU akubaliki sana mwalimu
Tumebarikiwa na mafundisho
Tunamwinua mungu kwaajili ya uwekezaji alio wekeza kwa mtumishi wake tunaendelea kukuombea baba pamoja mama mungu aendelee kuku tunza
❤❤❤❤❤ mchungaji tunaamini nasi tumebalikiwa sana 🙏🙏
Tunamshukuru MUNGU tunajua ni neema tu .kwetu nchini
Amen🙌
AMEN
Amen
Please Subscribe