Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

Zanzibar kuna mama ana wake wanne na hapo magomeni kuna mwanaume anataka kuolewa - Sheikh Kipozeo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 мар 2023

Комментарии • 70

  • @al-habshimunaa2158
    @al-habshimunaa2158 Год назад +3

    Inna Lillahi wa inna ileyhi rajiun...Allah atuongoze sisi pamoja na vizazi vyetu ,Atusamehe dhambi zetu mkamilifu ni yeye pekee 😭😭

  • @rayasalum5392
    @rayasalum5392 Год назад +7

    Mashallah sheikh Walid una nuru Allah Akujaze kheri huna majivuno mcheshi Alhamdullillah.

  • @sahimm4767
    @sahimm4767 Год назад +11

    Hatupo salama Allah atuongoze kwa kweli😢 jamii zetu zimeoza mno

  • @dralexmakalla3871
    @dralexmakalla3871 Год назад +2

    KIONGOZI umenena mema. Ubariiiwe sana. 🙏 Amen

  • @KiongoziMandara
    @KiongoziMandara Год назад +4

    Ndio mana nakupnda kwaajili ya Allah sheikh هلال شوج مكران المعروف KIPOZEO حفظك الله يا شيخ ورعاك

  • @user-ee8hq1bg5l
    @user-ee8hq1bg5l Год назад +2

    Masha Allah Sheikh Kipozeo tunakupenda kwa ajili ya Allah kwa ukumbusho wako mzuri Allah atujalie tuwe wasikilizaji na watekelezaji wazuri

  • @chloecallie3619
    @chloecallie3619 Год назад +18

    Hata Wakristo Biblia inasema mke mmoja na mme mmoja. Haijasema mke mmoja na mmke mmoja wala mme mmoja na mme mmoja. Mungu atusaidie kuangaangamiza jambo hili

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад +6

      Usituletee dini walotungq wazungu hapa ukiristo na Bible tuletee Injili, Tawrat na Zabour safi ziloshuka kwa Nabii Issa, Mussa na Daudi walizozifuata Manabii waliooa/waliopewa wake zaidi ya mmoja.

    • @shuaibabdy5401
      @shuaibabdy5401 Год назад +1

      Sisi tunaruhusiwa mwisho ni WA nne (yaani mme Mmoja wake WA nne) na pia kama tushindwa kuwa muadilifu basi aoe Mmoja na kama mtu hana uwezo basi alazimiane na funga. Na pia tuna ruhusiwa endapo haiezekani kuendelea kua pamoja basi tu achanane kwa wema...

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 Год назад +3

      ​@@Fear_Allah394 Acha ujinga uislamu bila waarabu ungeujuwa wewe paka

    • @yasmine937-so4mi
      @yasmine937-so4mi Год назад

      ​@@Fear_Allah394 ssa wwe na utuuzima who bdo haujui dini tuliletewa waislam waliletewa na waarabu na ukrist uliletwa na wazungu mtu mzima kisheti 😂😂😂😂😂

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Год назад

      @@yasmine937-so4mi ndio

  • @barwani890
    @barwani890 Год назад +4

    Mashaallah azidi kusifiwa sheikh waleed

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh6082 Год назад +2

    Sheikh kipozeo twakupenda sana kwa ajili

  • @azizamri1522
    @azizamri1522 Год назад +2

    Hawa wazungu na hasa Wamarekani ni watu waovu sana. Wao wanalipigia ngoma jambo hili la qaumu Luut

  • @SalumKasongo-jj6pb
    @SalumKasongo-jj6pb Год назад +6

    Ina lilah waina ilaih rajiun

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 Год назад +4

    Subhanalha yarab toba

  • @usumanezana1775
    @usumanezana1775 Год назад

    Allah wakibar ni ukweli mtupu shk na Allah aendelee kukulinda siku zote na Assalamu alaikum warahmatullahi wabarakatuh

  • @ummyremmy-pc9cy
    @ummyremmy-pc9cy Год назад +5

    Innalilahi waina illahi rajuin

  • @jokhaali5893
    @jokhaali5893 Год назад +4

    سبحان الله

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Год назад +4

    Subhanallah 😢

  • @KarryKillertz
    @KarryKillertz Год назад

    Inalillah wainnalillah raajun

  • @umusuleiman1858
    @umusuleiman1858 Год назад +3

    😢 subhanaAllah ALLAH

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Год назад

    Kwann msiwashitaki Polisi hao

  • @AzizaAbasi-ic7fg
    @AzizaAbasi-ic7fg Год назад

    Yaani hawa wanaovaa herini itoke sheria atakae vaa akamatwe waanzwe hao wasanii ndo wanao potosha jamii mimi nipo tayari kuandamana kuhusu hilo

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh6082 Год назад +2

    Masheikh wetu twawapenda sana lakini mbona hamu yazungumzi ya hawa wasani wetu hasa hawa wa islam wanayo ya fanya ni uchafu tena wanajitoa kwenye midia utakuta wasani hasa wakike tena ni mu islam anatangaza uchafu wake na kujisifu nime zaa na huyu mara huyu na watoto wote na waharam yeye hata hajali

    • @bakarifakih4228
      @bakarifakih4228 Год назад

      washaambiwa sana.wanazirusha tuu akili zao

    • @Abdallahmohamed72
      @Abdallahmohamed72 Год назад

      Mwenzangu yanasemwa kila cku lakini hawajali wala hawaogopi chochote wala hawana haya

    • @Abdallahmohamed72
      @Abdallahmohamed72 Год назад

      Mwenzangu yanasemwa kila cku lakini hawajali wala hawaogopi chochote wala hawana haya

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 Год назад +2

    Subhanallah

  • @afric01
    @afric01 Год назад +1

    Aslm alkm ww.... Ameen Yaa Allah 🙏

  • @rahmamosa2320
    @rahmamosa2320 Год назад +3

    Subuhanallah

  • @kutikavu-jk7ue
    @kutikavu-jk7ue Год назад +2

    Dina amani vipi tena ushoga, nammetamka mashoga wote wachinjwe, anzeni huko visiwani!

  • @54plus41
    @54plus41 Год назад

    Watukufu waislamu hahaa lol

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 Год назад +2

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu MWAMINI YESU na Uokoke na Ulithi uzima WA milele.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

    • @hamadfaki2503
      @hamadfaki2503 Год назад

      Yesu ni nani

    • @WachajiWaForo
      @WachajiWaForo Год назад +2

      Yesu ni mtume wetu na katika nguzo za imani katika Uislamu ni kuwaamini mitume wote. Hivyo tunaamini kuwa yeye ni mtume wetu ila sio Mungu.

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Год назад

      @@hamadfaki2503 Mungu

    • @abdallahmmary8591
      @abdallahmmary8591 Год назад +1

      Jitahid ujue dini yakweli usbakie kudaka maudhui usiojua kufka pahala wachamungu wanavikao vyao unasema yesu ni bwana ISSA bin mariamu ni mtume wakweli Kwa wanawaisrael , ama waislamu tuna mjua kuwa ni mtume tafakar

    • @babazungu3180
      @babazungu3180 Год назад +1

      Ni kweli yeye ni njia ya kweli ktk kipindi chake. musa, Ibrahim, Muhammad na wao ni njia ya kweli ktk vipindi vyao

  • @Islamic-knowledge-TV
    @Islamic-knowledge-TV Год назад

    ruclips.net/video/3PK2qXOgz1s/видео.html
    Karibu katika ISLAMIC KNOWLEDGE TV ☝

  • @rashidiiddi2433
    @rashidiiddi2433 Год назад

    Nyinyi kama viongoz wadini mnamsimamo gani kuhusu maaswi hayo isiwe mnatokeatu kuambia watu kwenye medea

  • @mamouzanzibar545
    @mamouzanzibar545 Год назад

    Huyo mama mwenye wake wanne Zanzibar. Zanzibar sehem gani.
    Nimechunguza mawaidha yaw huyu shekh mengi anapenda kuikandia Zanzibar Na Pemba yake. Nna wasiwasi aliwahi kutaka mwanamke wa ki Zanzibari akakataliwa. Ma shekh wapunguze uongo

    • @rukkysayid6613
      @rukkysayid6613 Год назад +3

      Hapana znz kwetu lkn uchafu umezidi na hayo mambo yapo sana tu tena sasa ndiyo yanazidi c wanawake c wanaume InshaAllah M.Mungu atunusuru na vizazi vyetu🤲🏽🤲🏽🤲🏽

    • @mamouzanzibar545
      @mamouzanzibar545 Год назад

      @@rukkysayid6613 sikatai yapo maovu mengi lakn naimani hujui side effects za kutoa habar za uongo

    • @annasengenge4285
      @annasengenge4285 Год назад

      Hahahha kukataliwa tena

    • @mwanaidiabdallah5821
      @mwanaidiabdallah5821 Год назад +1

      Hayo mambo ni kweli yapo Zanzibar na wala sio uwongo labda uwo uchunguz wako aujangalia sehemu zote lakini wapo wanawake wengi wana mambo hayo labda kama aujafatilia kwa kidokezo tu nenda kwenye ngoma za mashetani za kibuki alaf utaona mwenyew 😭😭 yote kwa yote allah atujalie mwisho mwema inshaallah 🙏🙏

    • @saidsalum2546
      @saidsalum2546 Год назад +1

      Fikiri kabla ujatoa kauli

  • @Inzaghi809
    @Inzaghi809 Год назад

    😂😂😂😂islam dini la majambazi,wahuni ,wachawi,.....angalia uyo cheikh anatia teinture mundevu. Mungu atulinde w'islam

    • @saidsalum2546
      @saidsalum2546 Год назад +1

      Innalillah wainna ilahirajun, Allah akuzindue ujue ukweli na Allah akuongoze dini kheri amin

    • @ganjatunikilemile719
      @ganjatunikilemile719 Год назад +1

      Allah akusamehe

  • @benjamanigabriel3349
    @benjamanigabriel3349 Год назад

    Shekh mbona na ww umeeka ndevu rangi si uhuni huo? Toa na ww hayo marangi

    • @shamzone388
      @shamzone388 Год назад +2

      Kutia hina kwenye ndevu imeeuhusiwA kwa mwanamume

    • @aishaalimnemo4921
      @aishaalimnemo4921 Год назад +3

      Ww nawe hio sio rangi ni heena na ni sunna ya mtume huo ni upambe wake likuwa akifnya anapotaka kuziba rangi ya mvi inaruhusiwa kuipaka seemu yoyote katika mwili (HEENA).

    • @fabssaleh7273
      @fabssaleh7273 Год назад

      Chunga lugha yako.

    • @saidsalum2546
      @saidsalum2546 Год назад

      Sunna si uhuni