IBILISI NI MSHENZI TU //SHEIKH KIPOZEO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 апр 2023
  • USISAHAU KU SUBSCRIBE

Комментарии • 48

  • @allyshaban5444
    @allyshaban5444 4 дня назад

    ALLAH AKUHIFADHI SHEKH WETU HILAL SHAWEJI MAKARANI A.K.A KIPOZEO

  • @mwaringakali483
    @mwaringakali483 Год назад +8

    Kazi nzuri sana bwana kipozeo Allah akupe afya na nguvu

  • @rajabukimosa3377
    @rajabukimosa3377 Год назад +4

    Mashaallah Allah akupe heri duniani na Akulipe wema Akhera

  • @hadjrahkhalfan3584
    @hadjrahkhalfan3584 Год назад +3

    Manshallah tabarakallah imam Abuu Hanifah kwa jibu zuri saana

  • @abduladenya2435
    @abduladenya2435 Год назад +2

    Sheikh Mola amjaze kheri ana ilmu kubwa na Bora zaidi,Kenya tuna m enzi

  • @zayanaduduna1405
    @zayanaduduna1405 Год назад

    Maa shaa ALLAH tabaraka ALLAH ALLAH akupe JANNAH FILDAUSI ALLAHUMMA AMIN YA RABBI 🤲🤲🤲🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @asrymohd6690
    @asrymohd6690 Год назад +6

    Muda mwengine mada zako zinanikosha Mashallaaah

  • @zitoncombo1317
    @zitoncombo1317 Год назад +3

    Mashallah Tabarakallah shekh.

  • @stevenkipara9310
    @stevenkipara9310 4 месяца назад

    Mmmm! Mbona huyu Sheih yote anayo zungumza yapo kwenye bibilia Mungu akubariki mtumishi wa Mungu

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 Год назад +5

    SubHanaAllah.. Allah atujaliye mwisho mwema

  • @saidmwakulika9945
    @saidmwakulika9945 Год назад +1

    Kugongozwa roho Allah atupe wepesi

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Год назад +3

    Mtihani kwa kweli

  • @saidmwakulika9945
    @saidmwakulika9945 Год назад +1

    Yani 😂😂😂😂 ustadhi wangu huwa nakutambua sanaaa

  • @safielimjema4593
    @safielimjema4593 Год назад

    Nakuelew sana sheikh kipoozeo

  • @mohamedali7544
    @mohamedali7544 Год назад

    Ustad kipozeo MashaAllah. Maustadhi wengi tz huwa nimatabibu Inna Lilah wa Inna Lilah rajiun

  • @RadjabuNiragira-xr5zr
    @RadjabuNiragira-xr5zr Год назад

    Mansha allah nakupenda sana maana mawaifha yako napata faida alafu na unanicekesha

  • @stanleychisasa4343
    @stanleychisasa4343 Год назад

    A like this papa

  • @othmanmasoud1672
    @othmanmasoud1672 6 месяцев назад

    Maana vijana wa kileonataka kukifanya kila kitu mnajuwa kazi yenu kuwakosoa mashekhe tu hata kama hamjui

  • @user-sy3qw2zk1b
    @user-sy3qw2zk1b 10 месяцев назад

    Mwenyezi MUNGU akupe umri mrefu na akuongezee hekima ktk mafundisho yako ya kilimani. Mimi ni mkristo lkn napenda kusikiza hekima hii ulionayo.

    • @ibnukhatwib2969
      @ibnukhatwib2969 5 месяцев назад

      Karibu katika dini ya haki,ndugu mpendwa

  • @mudrckshaamal-wb9vx
    @mudrckshaamal-wb9vx Год назад +1

    Shehe fundi mashaallaa baraka Allah

  • @user-du6bd3no2b
    @user-du6bd3no2b 5 месяцев назад

    Mzee wa mizigo miss bantu

  • @issachitupa590
    @issachitupa590 Год назад

    Shekh irali kipozeo nakukubali sana

  • @nurdinibrahimu7312
    @nurdinibrahimu7312 9 месяцев назад

    Alla Karim🙏

  • @pangapeter2758
    @pangapeter2758 Год назад

    Nice

  • @abdallahbrek1698
    @abdallahbrek1698 Год назад

    Hapo katika Sunna mjomba umechanganyikiwa. Allah katuamuru tufuate kitabu chake. Muhammad alikuwa ni mjumbe tu. Tufuate ujumbe aliopewa, Qur'an. Wala hakuna cha makhulafaa wala khilafa. Huo ni uzushi chungeni

    • @fahadmussa8879
      @fahadmussa8879 11 месяцев назад

      Sun bwana wana chunguza mada nzima ili wapate kwakukosoa sio kupata dawa wao niubishanitu

  • @musegedi3197
    @musegedi3197 9 месяцев назад

    Cre

  • @khadijanyevu5866
    @khadijanyevu5866 10 месяцев назад

    Nayapenda mawaidha ya sheikh kipozeo lakini kwanini hapendi kuja Kenya??

  • @engyhy1985
    @engyhy1985 4 месяца назад

    Sheikh, Mtwara hakuna Nanjilinji, yapasa kuweka kumbukumbu sawa.

  • @abdallagaza6864
    @abdallagaza6864 Год назад +1

  • @lulurubby2235
    @lulurubby2235 Год назад

    Shekhe mwalimu alijua kuwa ankufa saabu alikua na stage 4 cancer alikufa muda alioambiwa atakufa na alikufa muda alioambiwa na madaktari na nyerere alimwambia ata mkapa ( ugonjwa huu mimi sitopona) na mkapa akawaambia wananchi

    • @SultanAkram-ou8nt
      @SultanAkram-ou8nt 4 месяца назад

      Uwezo wa kufikiri wa mwanadamu una kikomo ,hivyo na ww hapo ndo mwisho wako wa kufikiri

    • @SultanAkram-ou8nt
      @SultanAkram-ou8nt 4 месяца назад

      😊😊😊

  • @ManaseManase-in3bg
    @ManaseManase-in3bg Год назад

    Naminywilu ndo wapi shekh

  • @othmanmasoud1672
    @othmanmasoud1672 6 месяцев назад

    Hiyo sio mada hayo ni mawaidha wee vip eti wakati mwingine mada zako zinanikosha alafu huyo shekhe kama hujui anavitu vingi kichwani achilia mbali huo uchale wake

  • @soudhussein7396
    @soudhussein7396 Год назад

    Ukitaka kumjuwa IBLIS kwanza ijuwe nafsi yako mwenyewe.

  • @edoedo4973
    @edoedo4973 Год назад +1

    MASHEIKH WETU MNAFULAI SANA KUPATA RAIS MWANAMKE MASHEIKH INABIDI TUPATE NA MAIMAMU WANAWAKE

    • @hassancharo1496
      @hassancharo1496 Год назад +1

      UNA AKILI TIMAMU KWELI WEWE IMAM MWANA MKE ULI MUONA WAPI😢

    • @ashaabubakar5036
      @ashaabubakar5036 Год назад

      Do you real mean it ama wasema thuu for the sake of

    • @abdulhakimhasan7673
      @abdulhakimhasan7673 Год назад

      Imamu mwanamke ni kombo na dini ya kiislamu.

    • @saidisesa5446
      @saidisesa5446 Год назад

      Sasa kama maka ni nchi takatifu aliko zaliwa mtukufu wa drja,mbona makka wakitutangazieni muandamo wa mwezi tunpingaa

    • @mohammedsururu4047
      @mohammedsururu4047 Год назад +1

      Kwani huyo rais wame muweka mashekhe