IBILIS KAFANYA IBADA MIAKA LAKI 6 NI MWANAZUONI MKUBWA //SHEIKH KIPOZEO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • USISAHAU KU SUBSCRIBE

Комментарии • 31

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 10 месяцев назад +2

    Yesu ndiye njia kweli na uzima, mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi. Bila Yesu, hata uswali swala 100 ni motoni moja kwa Moja.

  • @jeshilamtu863
    @jeshilamtu863 Год назад +2

    Kipozeo ALLAH akuweke hai miaka mingi kidogo Ishaaallah 🙏

  • @NduwayoGuillaume-ev3dh
    @NduwayoGuillaume-ev3dh Год назад +1

    Alhamdulillah sheikh wetu ❤❤❤

  • @masoudkhamis-op1vp
    @masoudkhamis-op1vp Год назад +1

    mungu tupe kila lahr

  • @bilo1106
    @bilo1106 Год назад

    ❤❤❤❤❤

  • @deepestmathematics1888
    @deepestmathematics1888 Год назад +1

    Yesu wetu ndio njia ya kweli na uzima. Huko mnateseka tu juzi kuna mtu nilimuuliza Aziizul maana yake nini akasema ni jina la mwenyezi Mungu leo huyu anasema alikuwa shetani duuh hapa kuna siri waislamu mnafichwa kabisa

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 Год назад

      Kula time wewe na huyo yesu wako.. mambo ya waislamu hayakuhusu.. kwanza wewe mkristo huwezi kuujuwa uislamu Kwa style Yako unayoitaka wewe..

    • @ommiehreymerdhein695
      @ommiehreymerdhein695 Год назад +1

      Acha ufala hii page ya waislam ..... Sio kwenye manguruwe yenu! Acha ufala

    • @abuualiyalbahsany8740
      @abuualiyalbahsany8740 Год назад +1

      Jamani tumlinganie tusimlani

    • @husseinkalosa1081
      @husseinkalosa1081 Год назад

      Wewe mkafili shetani alikuwa anaitwa azazil

    • @ahmedosman7698
      @ahmedosman7698 Год назад

      Wewe inaonekana shule ulikua na matatizo mingi Sana ya kutoelewa mwalimu wako..amesema iyo ilikua jina lake kabla ajalaaniwa ibilisi alikua mcha Mungu Sana kabla ya kulaaniwa..usiwe bwege wa kutoelewa mambo

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 Год назад

    Eti ibilisi likainama 😂😂😂

  • @sabdiduwil8436
    @sabdiduwil8436 Год назад

    Mbona wewe umesema

  • @isaackmlayy6228
    @isaackmlayy6228 Год назад

    Sasa kwanini hii dini waongo sana aliye msilimisha shetani ni Muhammad alafu hapo hapo mnasema kafanya ibada miaka laki sita

    • @ramadhanirama7970
      @ramadhanirama7970 4 месяца назад

      😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 Ukikurupukia kitu bila kukijua watu wakuzoom tu

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 Год назад

    SHETANI SIO MWANAZUONI. WANAZUON NI WARITHI WA MITUME. YE HAWEZI KUA MRITHI WA MITUME . YE NISHETANI TU MUOVU NA SIO MWANACHUONI. MWANAZUON GANI ANAWEZA KUMPING MUUMBA WAKE??? MASHEKHE ACHENI KUMPA SIFA NZURI IBILISI

    • @rajabukwaju7795
      @rajabukwaju7795 Год назад +1

      We hujasoma kasome kwnz

    • @shabanmaulana8594
      @shabanmaulana8594 Год назад

      Wee ata huja elewa, kwa nini ameitwa mwana zuoni .unamtoa shekhe makosa na hufaham yanoyo semwe.

    • @ahmaduun6523
      @ahmaduun6523 Год назад

      @@rajabukwaju7795 tujaribu kuelimishana kwa njia nzuri, kila ana upeo wake wa kufahamu, tusikosoane kwa njia ya kuwaudhi wenzetu, tuko katika mwezi wa ramadhani, tujaribu kuelimishana kwa njia nzuri, na nataraji tutakuwa ni wenye kufahamu inshaa Allah.

    • @kdloon2030
      @kdloon2030 Год назад

      Em taja sheikh yeyote,au mwanazuoni yeyote unae mfaham alie na elimu zaidi ya Ibilisi

    • @samkindyymasoud9459
      @samkindyymasoud9459 Год назад

      Acha kupingana na wenye elimu kama ww huna , sasa unapinga nn kama alikua si mwana wa chuoni mkubwa kabla hajalaaniwa, acha kupinga pinga kila jambo, Allah anasema, Hawawi sawa wanaojua na wale wasiojua,