Salama Na TOUFIQ SE6 EP73| um'PENDAE PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460
HTML-код
- Опубликовано: 25 июн 2023
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Toufiq ni moja ya majina makubwa kati ya wafanya biashara wazuri na sasa mwanasiasa na Mbunge wa Mpendae, kwa wazee na vijana wa visiwani humo yeye ni mmoja wa mifano ya kuigwa ingawa kwake yeye yaliyo mengi kwenye maisha yake ni nguvu kubwa ilifanywa na Marehemu Mzee wake Ndugu Salih Hassan Abdullah Turky aka Mr White ambaye na yeye akiacha ukweli kwamba alikua tajiri na mfanya biashara nzuri huko visiwani ila yeye pia alikua kipenzi cha wananchi wa Jimbo la Mpendae ambapo sasa Toufiq ndo anaye liongoza jimbo hilo baada ya Mzee wake kutangulia mbele ya haki. Mwenyezi Mungu Amrehemu.
Kwenye meza yetu ya kigae na kiti chetu kikukuu Taufiq anakumbuka wakati wa msiba wa Mzee wake bado wa moto kabisa watu walikua wanakuja nyumbani kwao na kumshauri yeye agombee ubunge wa jimbo hilo ambalo Mzee wake alikua akiliongoza. Ikumbukwe Mzee wake Mr White alifariki kipindi ambacho wananchi walikua wanajiandaa kwa uchaguzi wa wabunge wawakilishi na Rais, ananiambia kwanza aliwafukuza watu hao, wakarudi tena baada ya maziko bado Toufiq akawakatalia, baadae baada ya mambo kutulizana na kuombeleza kupungua watu ambao anawaheshimu walimfuata tena na kumueleza umuhimu wa yeye kugombea jimbo hilo. Wakamuelezea umuhimu wa Marehemu Mzee wake kwa watu wa Mpendae na kwamba kama hatofanya hivyo basi haitakua jambo zuri kwa wakazi wa eneo hilo. Ndugu Turky ilibidi akubaliane na ombi hilo na kutimiza matakwa ya wana Mpendae ambao walimpa kura nyingi za ndio.
Yeye mawazo yake yalikua kwenye kuendeleza biashara zaidi ambayo kwa kiasi kikubwa Mzee wake alikua alimshirikisha nayo toka akiwa mdogo. Kuweza kufanya yote hayo kwa kijana mdogo kama yeye pengine ingekua mambo mengi sana so kwa heshima wakati mambo mengine yanaenda Toufiq ilibidi aachie majukumu mengine kwa Mdogo wake wa Kiume Ndugu Abdallah Salim na Dada yake Bi Khaytham Salim Turky, ingawa bado yeye ndo Mwenyekiti wa makampuni hayo ambayo yamejikita katika biashara mbali mbali ambazo zimestawi visiwani Zanzibar na nchi nyengine.
Toufiq alikuja kwenye maongezi haya akiwa na mambo yake mengine ya ki majukumu kwenye meza yake na ki ukweli hatukupata wasaa teeele wa kuweza kuyachambua mengi kama ambavyo tungependa lakini pia hatukukosa lolote jambo la lolote jambo hilo ndo tumaini letu litasaidia kwenye kukusogeza kwenye sehemu fulani katika uelewa na uchambuzi wako wa mambo.
Tafadhali enjoy hiki kidogo ambacho tuliweza kukukusanyia kwenye muda mchache.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
RUclips Link bit.ly/RUclipsSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz Развлечения
Huyu jamaa ni genious from day one nilimuona!appart from that he is down to earth person!
Tuletee joel nanuka ni mtu mweny madini mengi sana
Salama.....JOEL NANAUKA tuletee tafadhali..
Salama jitahid kukumbusha sana unaowahoji wazungumze kiswahi.
😂 pole
yaaani, kidhungu cha jumla na reja reja...tulokimbia somo la ngeli darasani interview hiyi hatufui dafu...nimejua ku😂😂😂
@@salamisindimwo303kingereza kutojua sio kukimbia shule tu unaweza jifunza
Kwani kingereza huelewi? Jitahidi ujifunze japo kidogo kama huelewi ndio usikwazike
I like him his is our brother may Allah bless him
Hongeraa snaa
Nzur❤
Huyu ameishi nje ya nchi simlaumu kuongea kiingereza lkn unakuta mtu yupo bongo hata hajawahi kwenda Kenya ndio anajifanya km anatafuta maneno ya Kiswahili
Hahahaha duh nimecheka sana
Thanks 👍
Very bright guy
Salama safari hii umechemka kwenye lugha
Baba yko alikuwa Mtu Mzuri sana ila Chawa wake ndio walimuharibia Mzee.Kwa Jimbo La Mpendae Wabunge bora 2 tu.Issa Baharia na Turkey(Allah warehemu)
Tuletee Juma Mgunda
🔥💯👊
Inakera show za kiswahili ziongelewe kingereza
😎
Watu wa aina tofauti wanapita hapo
Mlete mzungu salamaaaa🤣🤣🤣
Tunamuomba dj joozey
Tuletee soudy brown na ikiwezekana avue lile kofia lake
Maziko ya baba yake Kuna watu hawakuweza ata kuiona nyumba ya marehemu Wala hawakuona jeneza la marehemu kwa watu walivyokua wengi
😘
Ilkuwa tunaomba intavew ya jb
Ujifunze kukuza kitambi au? Learn from toufiq
Juma Mgunda fanya naye kipindi
Anaboa anaongea sana Kingereza wengine hatuelewi
Kwel yan
Anaboa kinoma yaani
Anaboa kinoma yaani
Anaboa kinoma yaani
Mlitumwa msisome😂
Masha'Allah
salama mtafute @sale said wa ZMMI Zanzibar