Naona tajiri Zakaria analia kweli ndio anajua maana ya Salim turki na walipotokea na mtu wake wa karibu Sana nilijua tu hatakosa, Allah amrehemu Salim turki ampe kauli thabit na amsameh makosa yake
Mbele yake nyuma yetu Allah amuhifadhi pema Ammin nasi atupe mwisho mwema Ammin wallahi mauti ni mawaidha kwetu tulio baki nyuma yake sekunde tu unabadilika jina ya Rabbi msamehe makosa yake mja wako
Hiyo ndio khatma yetu nyinyi viongozi mnayaona live hayo musikae mkinyanyasa wananchi tu pamoja na kutesa masheikh eti kisa kutaka MAMLAKA kamili ya zanzibar
DUUH KUMBE ATA MATAJILI WANAFALIKI? DUUH KUMBE ATA WALE WAKELEKETWA DAMU DAMU WA CCM NAO WANAFALIKI? WALE AMBAO UKIWATOBOA NA SINDANO DAMU YAO HUTOKA KIJANI NA KUISHIA NJANO. NAO KUMBE WANAKWENDA MAKABULINI. EEEH KUMBE UMAUTI NI WA KILA MTU SIO TU WA WANYONGE ?
Ohh
Pole mzee Haroon daud Babu yetu
Mzee haroon daud zakharia allah akurehem binafsi nakumbuka msaada wako kwangu.
انا للہ و انا الیہ راجعون ۔
اللہ پاک مرحوم کی بال بال مغفرت فرمائے ۔
اور اہلےخانا کو صبر جمیل عطا فرمائے ۔
Pole mzee haruna zakaria ndo mwishowetu wanadanmu
Naona tajiri Zakaria analia kweli ndio anajua maana ya Salim turki na walipotokea na mtu wake wa karibu Sana nilijua tu hatakosa, Allah amrehemu Salim turki ampe kauli thabit na amsameh makosa yake
Allah amrehemu na amsamehe na amueke pema peponi 😥😥
رحمه الله وأدخله فسيح الجنان ورزق أبنائه الصبر والسلوان
Inna lillah wa inna ileihi rajiun poleni sana
Mbele yake nyuma yetu Allah amuhifadhi pema Ammin nasi atupe mwisho mwema Ammin wallahi mauti ni mawaidha kwetu tulio baki nyuma yake sekunde tu unabadilika jina ya Rabbi msamehe makosa yake mja wako
Inalilah waina Lilah rajun
Allah ampe kauli thaabit na amuepushe na adhabu ya kaburi
Innallilahi wainnaillaih rajiuun
Mungu ampe kauli thabit
Allah amsamehe MADHAMBI yake yote makubwa na madogo anayo yajua na asiyo yajua na siri na dhahir
Inna lillahi wa inna ilayhi rajioon. Ameen
Inna lillah wainna ilayhi raajiuun Hakik maut hukata ladha ya maisha y dunia Ya Allah tup mwish mwm
Innalilahi Wainna Ilayhi Rajiuun , Rest in Jannatul Firdaus🙏🏽
Innalilah lilah wainna ilayh rajiun
إنا لله وإنا إليه راجعون اللهم اغفر له وارحمه وعافه واعف عنه
Innalilah wainailah rajuun
Mcheni Allah nyy msisome wasifu tuu.nanyy mtasomewa.shauriyenu.
Huyu Ni MTU maarufu lazima tutataka kujua mengi tusiyoyajua lazima wasifu usomwe
maneno yako sahihi
Hao madhwalim wawili wamenda kufanya nn apoo
Hiyo ndio khatma yetu nyinyi viongozi mnayaona live hayo musikae mkinyanyasa wananchi tu pamoja na kutesa masheikh eti kisa kutaka MAMLAKA kamili ya zanzibar
Ina lelae w ina aley rajun
Mbele yake nyuma ye2 Allah alitie nuru kabur lake na amuondoshee adhabu za kabur
Dar Tazama Machozi ya Lissu Akimlilia Uyu Maleemu Mr Wite
ruclips.net/video/VV7P56bjYHM/видео.html
jangombeboys1999
Sio boys N taifa jang'ombe
@@fatmasaid1911 boys
DUUH KUMBE ATA MATAJILI WANAFALIKI?
DUUH KUMBE ATA WALE WAKELEKETWA DAMU DAMU WA CCM NAO WANAFALIKI?
WALE AMBAO UKIWATOBOA NA SINDANO DAMU YAO HUTOKA KIJANI NA KUISHIA NJANO. NAO KUMBE WANAKWENDA MAKABULINI.
EEEH KUMBE UMAUTI NI WA KILA MTU SIO TU WA WANYONGE ?
Kafa kipenzi cha Allah unashangaa nn