Utamaduni wa kushangaza Zanzibar, haupo sehemu nyingine Duniani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Tembea uone au subiri usimuliwe...zipo TAMADUNI mbalimbali duniani ambazo hauwezi kudhani kama zipo na zinatumika sehemu fulani kwa sababu huwa ni tofauti sana na ulivyozoea kwa kuwa zinashangaza sana.

Комментарии • 27

  • @samsonmwijage5301
    @samsonmwijage5301 7 лет назад +4

    Zanzibar is a beautiful place to visit

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 7 лет назад +7

    😊pia ndo watu pekee tunaomiliki magorofa yanayofanana na treni

  • @lilobooker2052
    @lilobooker2052 7 лет назад +2

    hio si honi ni IDUVI kwa kiswahili cha asili na ukisema honi ni neno la kizungu.

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 6 лет назад +2

    Mungu atuwekee utamaduni wetu wakizanzibari

  • @MonicaMwoka
    @MonicaMwoka 28 дней назад

    Yaani rais mwinyi ukiweza kujenga mpaka huko beaches du utapiga pesa mpska huko nungwi

  • @dodomikleni9299
    @dodomikleni9299 7 лет назад +2

    ni kweli asemayo..yaani kama hatujaskia honi basi unajiuliza kunani...pia honi ikilia saa 12 na nusu jioni ama jua kukuchwa ni time ya watoto wote kuingia majumbani,na wengine ndo time ya kuelekea tuition au darsa za madrasa..

  • @nassorhilal9807
    @nassorhilal9807 6 лет назад +1

    Kauli ya kwamba wao ni wenyewe,angalifafanunuwa "wenyewe "ni nani?.

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu5011 Год назад +1

    MashaAllah zanzibar ilevokuwa mwanzo ilikuwa makka ndogo leo kila kona makanisa yametujaalia na wabara nchi imekuwa kama yatima wahamiaji kilakona

  • @oopsm3574
    @oopsm3574 6 лет назад +1

    Inamaana mmekuja kutoka nje mmejifanya kuwa wenyewe basi rudini kwenu

  • @idreamfoto
    @idreamfoto 7 лет назад +2

    Beatiful Island For Real.

  • @omarkhamis9514
    @omarkhamis9514 7 лет назад +1

    Kila mji ambao ulikuwa chini ya wakoloni ina hivi ving'ora. Hata kuna mtaa hadi leo Mombasa unaitwa King'orani, na ving'ora vinaendelea na ukikisikia kulia ghafla basi ujuwe kuna hali ya hatari inajaribu kutangazwa.

  • @ahmedyoung7300
    @ahmedyoung7300 7 лет назад +2

    beautiful island

  • @jmwalimutv5114
    @jmwalimutv5114 7 лет назад +1

    nikweliunayo yasema

  • @coogyelectrislabs
    @coogyelectrislabs 7 лет назад +3

    millard hizoo honiii (VING'ORA) mpaka tangaa zipooo mbilii bandari na reli na sIKU ya mwakampya vinaliaaa pia kila saA moja na NUSU ASUBUH KILASIKUUU

  • @naimaabdallah9507
    @naimaabdallah9507 6 лет назад +1

    Masha Allah

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 7 лет назад +3

    NA AKIPITA RAISI VILE VILE KUAMKIA KWA KUSIMAMA LAZIMA ILIKUWA HESHIMA NZURI SANA KWA RAISI WA HAKI SIO KAMA HUYU WA KUBAMIZA BAMIZA TU NA WATANGANYIKA KWA KUMTUMIA KWA KAZIZAO ZA KITUMWA TUMWA KIUKOLONI WA NCHI YAKE

  • @FatmaothmanFatmaothman-ch5oi
    @FatmaothmanFatmaothman-ch5oi 10 месяцев назад

    Mmmh nyny watu hamujaacha tu kuisu mba Zanzibar hamuna jema nyny watu kila mtu na dini yake au mmekatazwa musimuabudu Allah kisa honi na makanisa

  • @thabitmohamed8744
    @thabitmohamed8744 6 лет назад

    Kuhusu honi na kuingia kwa sala ya magharibi hivi vitu haviendani hiyo sio kweli ukweli ni kwamba honi ya magharibi inafata saa za sala sio sala inafata honi si kweli,

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 7 лет назад

    IKILIA HONI WATU WALIKUWA WANASIMAMA BADALA YA KUKAA KITAKO NI HESHIMA YA ZANZIBARI UKIWA HUSIMAMI POLISI WANAHAKI YA KUKUKAMATA NA KUSHITAKI KWA NINI HUKUSIMAMA ULIPOISIKIA HONI ULIZIA ZAIDI

  • @brisketkidari1623
    @brisketkidari1623 6 лет назад

    zamani hata meli zikiondoka zilikuwa zinapiga honi na inaskika hadi michenzani ila sasa haziskiki

  • @emmabays9963
    @emmabays9963 7 лет назад

    zanzibar kuzuri kuliko jijini mbona

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 7 лет назад

    Honi iendelee hadi Yesu atakaporudi, msiacha utamaduni huo kwa ajili ya teknolojia. Kila nchi ina tamaduni zao na hawajaziacha kwa sababu ya teknolojia. Swiss wanapiga mlio mkubwa wa saa kila lisaa nilipotimia usiku na mchana, na hawajaacha kwa vile kila mtu ana saa au simu zenye saa, pamoja na teknolojia nyingine zote walizokonazo.

    • @oopsm3574
      @oopsm3574 6 лет назад +1

      Damaris Zuckschwert : wewe bangi, yesu imehusu nini na honi jinga kubwa.