Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Hayo masharti ni ya Mungu kweli?
Shekh nakuomba ulete dalili kuwa mtume alifanya hivyo
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh Sheikh je kama simfahamu huyo mtu ninaweza nikayaoga hayo maji
Hi dawa ya hasadi unaweza ukaogea chooni
Asalam aleikum ningependa kupata numbari zako moja Kwa moja
Je unaeza okaoga maji ya kutoa hasad ndani ya bahari
Yaa sheikh wakati unatowa miguu katika maji mbona yatamwagika chini ao inabidi uyakaushe kwanza mbele ya kuyachia chini
Nahitaji no yako sheikh nina matatizo
Sasa kama haikutokea situation ya huyo aliyenionea kijicho akubali kufanya ivyo itakuwaje .mimi nataka kujitibu mwenyewe itakuwaje
Allha.akupe.maisha.marefu
Nauliza kuoga huku hii Hasad unaweza kuoga mara nyingi yaani Kila baada ya miezi SITA unaoga Tena.?? Kurudia imo?
Haya shekhe naikiwa ni mt wa barabaran tu hamtembeleani inakuaje
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Yaani mm sheikh hizi dalili ninazo siku nyingi na sikmjui ni nani? Naomba unieleze nijitibu
Nakama aliye nimpe hasadi simjuni nafanyje
Kwani hasadi ndio nini?
Wallaikum Sallam Warahamatullah Wabarakatuh
shida yangu kubwa nipate nambazako za sm kwakweli mungu akulipe
Mwanamke anaruhusiwa kujifanyia mwenyewe
Mungu akuongoze,Napenda masomo yako.
Pia warabu hufanya hivyo wageni wakija nyumbani vile vikombe wanavisukutua kwa maji kisha yale maji wana nyunyizia kwa nyumba na mengine wanajipaka
Wanamacho mabaya saana waarabu
Mashallah Alhamdulilh shukran kama nilivofundishwa na shke wangu❤
Assalam alykum naomba unitafute nina shida kidogo n ww Asmaa
Hii imo ktk mafundisho ya mtume kwa kuondosha Husda kwa njia hii?.
Mimi bdo sjaelewa mwanzo
Ndio yeye Mtume Muhammad SAW aliyefundisha
Mbona sheikh ulianziya kati mimi bado sija elewa !
angalia za nyuma
Mmmmmmh asante
We nimshirikina Allah akuongoze
Kuondoa hasadi ni ushirikina? 😅Ukipatwa hasad ufanyeje??
Allah akusamehe
Hayajakufika!na mbona ufuatilie mshirikina kama sio mwenzako🤔
😂 hahahahaha dah mwanadamu ni kiumbe pasua kichwa wallahy Dah 😂😂😂 🤣🤣🤣
Mshirikina ni wewe hapo usoulija upate kujua dini yako
Hayo masharti ni ya Mungu kweli?
Shekh nakuomba ulete dalili kuwa mtume alifanya hivyo
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh Sheikh je kama simfahamu huyo mtu ninaweza nikayaoga hayo maji
Hi dawa ya hasadi unaweza ukaogea chooni
Asalam aleikum ningependa kupata numbari zako moja Kwa moja
Je unaeza okaoga maji ya kutoa hasad ndani ya bahari
Yaa sheikh wakati unatowa miguu katika maji mbona yatamwagika chini ao inabidi uyakaushe kwanza mbele ya kuyachia chini
Nahitaji no yako sheikh nina matatizo
Sasa kama haikutokea situation ya huyo aliyenionea kijicho akubali kufanya ivyo itakuwaje .mimi nataka kujitibu mwenyewe itakuwaje
Allha.akupe.maisha.marefu
Nauliza kuoga huku hii Hasad unaweza kuoga mara nyingi yaani Kila baada ya miezi SITA unaoga Tena.?? Kurudia imo?
Haya shekhe naikiwa ni mt wa barabaran tu hamtembeleani inakuaje
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Yaani mm sheikh hizi dalili ninazo siku nyingi na sikmjui ni nani? Naomba unieleze nijitibu
Nakama aliye nimpe hasadi simjuni nafanyje
Kwani hasadi ndio nini?
Wallaikum Sallam Warahamatullah Wabarakatuh
shida yangu kubwa nipate nambazako za sm kwakweli mungu akulipe
Mwanamke anaruhusiwa kujifanyia mwenyewe
Mungu akuongoze,Napenda masomo yako.
Pia warabu hufanya hivyo wageni wakija nyumbani vile vikombe wanavisukutua kwa maji kisha yale maji wana nyunyizia kwa nyumba na mengine wanajipaka
Wanamacho mabaya saana waarabu
Mashallah Alhamdulilh shukran kama nilivofundishwa na shke wangu❤
Assalam alykum naomba unitafute nina shida kidogo n ww Asmaa
Hii imo ktk mafundisho ya mtume kwa kuondosha Husda kwa njia hii?.
Mimi bdo sjaelewa mwanzo
Ndio yeye Mtume Muhammad SAW aliyefundisha
Mbona sheikh ulianziya kati mimi bado sija elewa !
angalia za nyuma
Mmmmmmh asante
We nimshirikina Allah akuongoze
Kuondoa hasadi ni ushirikina? 😅Ukipatwa hasad ufanyeje??
Allah akusamehe
Hayajakufika!na mbona ufuatilie mshirikina kama sio mwenzako🤔
😂 hahahahaha dah mwanadamu ni kiumbe pasua kichwa wallahy Dah 😂😂😂 🤣🤣🤣
Mshirikina ni wewe hapo usoulija upate kujua dini yako