🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 40

  • @fredymponji1423
    @fredymponji1423 Год назад +3

    Hayo masharti ni ya Mungu kweli?

  • @HusseinFikiri
    @HusseinFikiri Месяц назад +3

    Shekh nakuomba ulete dalili kuwa mtume alifanya hivyo

  • @AminaBakary-n1i
    @AminaBakary-n1i 5 месяцев назад +1

    Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh Sheikh je kama simfahamu huyo mtu ninaweza nikayaoga hayo maji

  • @Scato777
    @Scato777 Месяц назад +1

    Hi dawa ya hasadi unaweza ukaogea chooni

  • @shabanmurenga9203
    @shabanmurenga9203 8 месяцев назад +2

    Asalam aleikum ningependa kupata numbari zako moja Kwa moja

  • @aymanhamisi-f9d
    @aymanhamisi-f9d 5 месяцев назад +2

    Je unaeza okaoga maji ya kutoa hasad ndani ya bahari

  • @hassanibinhassa7058
    @hassanibinhassa7058 5 месяцев назад +1

    Yaa sheikh wakati unatowa miguu katika maji mbona yatamwagika chini ao inabidi uyakaushe kwanza mbele ya kuyachia chini

  • @naswiharashid7166
    @naswiharashid7166 3 месяца назад +1

    Nahitaji no yako sheikh nina matatizo

  • @geraldadolf4928
    @geraldadolf4928 8 месяцев назад +1

    Sasa kama haikutokea situation ya huyo aliyenionea kijicho akubali kufanya ivyo itakuwaje .mimi nataka kujitibu mwenyewe itakuwaje

  • @husseinkombomwachikobe8828
    @husseinkombomwachikobe8828 6 месяцев назад +2

    Allha.akupe.maisha.marefu

  • @hamismponda8470
    @hamismponda8470 4 месяца назад

    Nauliza kuoga huku hii Hasad unaweza kuoga mara nyingi yaani Kila baada ya miezi SITA unaoga Tena.?? Kurudia imo?

  • @AminaIlala-nw3ul
    @AminaIlala-nw3ul 8 месяцев назад +1

    Haya shekhe naikiwa ni mt wa barabaran tu hamtembeleani inakuaje

  • @Sophia-b3k
    @Sophia-b3k 8 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @NabilAbdallah-ts4vs
    @NabilAbdallah-ts4vs 4 месяца назад

    Yaani mm sheikh hizi dalili ninazo siku nyingi na sikmjui ni nani? Naomba unieleze nijitibu

  • @Zaituni-e6u
    @Zaituni-e6u 8 месяцев назад +1

    Nakama aliye nimpe hasadi simjuni nafanyje

  • @IzaqueYahaya-gd5sy
    @IzaqueYahaya-gd5sy 6 месяцев назад +1

    Kwani hasadi ndio nini?

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 9 месяцев назад +1

    Wallaikum Sallam Warahamatullah Wabarakatuh

  • @TokoosFamily
    @TokoosFamily 4 месяца назад

    shida yangu kubwa nipate nambazako za sm kwakweli mungu akulipe

  • @lulushawaka6200
    @lulushawaka6200 9 месяцев назад +1

    Mwanamke anaruhusiwa kujifanyia mwenyewe

  • @MbiliWay-f9e
    @MbiliWay-f9e 8 месяцев назад +1

    Mungu akuongoze,Napenda masomo yako.

  • @aishamhunziaishamhunzi2904
    @aishamhunziaishamhunzi2904 4 месяца назад

    Pia warabu hufanya hivyo wageni wakija nyumbani vile vikombe wanavisukutua kwa maji kisha yale maji wana nyunyizia kwa nyumba na mengine wanajipaka

  • @AsmaAmar-ok2gl
    @AsmaAmar-ok2gl 8 месяцев назад +1

    Mashallah Alhamdulilh shukran kama nilivofundishwa na shke wangu❤

    • @tiffanysomarriy6075
      @tiffanysomarriy6075 3 месяца назад

      Assalam alykum naomba unitafute nina shida kidogo n ww Asmaa

  • @babawatoto4312
    @babawatoto4312 9 месяцев назад +2

    Hii imo ktk mafundisho ya mtume kwa kuondosha Husda kwa njia hii?.

  • @SewediRamazani-o9s
    @SewediRamazani-o9s 6 месяцев назад +1

    Mbona sheikh ulianziya kati mimi bado sija elewa !

    • @Aminan-k7c
      @Aminan-k7c 4 месяца назад

      angalia za nyuma

  • @KhadijaMhenangu
    @KhadijaMhenangu 8 месяцев назад +1

    Mmmmmmh asante

  • @MIKIDADISHABAN-l5d
    @MIKIDADISHABAN-l5d 9 месяцев назад +2

    We nimshirikina Allah akuongoze

    • @maraone_techonology
      @maraone_techonology 9 месяцев назад +3

      Kuondoa hasadi ni ushirikina? 😅Ukipatwa hasad ufanyeje??

    • @babydylanbakari998
      @babydylanbakari998 9 месяцев назад +1

      Allah akusamehe

    • @halimashaban7038
      @halimashaban7038 8 месяцев назад +2

      Hayajakufika!na mbona ufuatilie mshirikina kama sio mwenzako🤔

    • @MakataWaMakatani
      @MakataWaMakatani 6 месяцев назад

      😂 hahahahaha dah mwanadamu ni kiumbe pasua kichwa wallahy Dah 😂😂😂 🤣🤣🤣

    • @faridalekupe3582
      @faridalekupe3582 6 месяцев назад

      Mshirikina ni wewe hapo usoulija upate kujua dini yako