Sura yako tu na macho yako yanaonesha kuandaa cha kuzungumza na huna ukweli na unacho kisema kwanza watanzania hatuitaji taarifa tunaitaji umeme wa uhakika hayo mambo ya utaratibu sijui asilimia sio jukumu letu sisi kijua
Tunataka viongozi mzungumzie mradi mwingine wa Umeme, tumechoka kusikia habari ya bwawa la J. K. Nyerere bila umeme. Watanzania tunaongezeka kwa haraka, tusikie mkizungumzia bwawa la Mwakanjuki karibu na daraja la Mungu Mbeya,ambalo Nyerere alitaka kulijenga. Panukeni kimtazamo na wabunifu. JKN aliona Kihansi na JPM akalijenga.
Mnafeli sana tena sana Kila wakati umeme Kwa Tanzania ni jibu sugu, Kila wakati nikulizinguwa Hilo Hilo mpka lini acheni siasa kwenye maisha ya watu mbona kimpindi magufuli yupo hayo hayakuwepo??? Kuna nini
RIP Jembeeeeee
Sura yako tu na macho yako yanaonesha kuandaa cha kuzungumza na huna ukweli na unacho kisema kwanza watanzania hatuitaji taarifa tunaitaji umeme wa uhakika hayo mambo ya utaratibu sijui asilimia sio jukumu letu sisi kijua
Hatukuwachagua ili kuonekana kwenye Tv wala maneno bali huduma tuwe tunaipata siyo maneno mengi na misafara.
Hiii Tv waongo sana hai fai
Kazi Nzuri Fatilieni Athari Zatakakuja Kuathili Bwawa Kama Matope Yamafuriko Kujaa Bwawani.
Tunataka viongozi mzungumzie mradi mwingine wa Umeme, tumechoka kusikia habari ya bwawa la J. K. Nyerere bila umeme.
Watanzania tunaongezeka kwa haraka, tusikie mkizungumzia bwawa la Mwakanjuki karibu na daraja la Mungu Mbeya,ambalo Nyerere alitaka kulijenga. Panukeni kimtazamo na wabunifu. JKN aliona Kihansi na JPM akalijenga.
Mnafeli sana tena sana Kila wakati umeme Kwa Tanzania ni jibu sugu, Kila wakati nikulizinguwa Hilo Hilo mpka lini acheni siasa kwenye maisha ya watu mbona kimpindi magufuli yupo hayo hayakuwepo??? Kuna nini
Kwani yy huyo aliliacha bwana asilimia ngapi mbona mnapenda kuleta maneno yasiyo na maana😅😅😅
Broo unaakili sana
Pia tusikilize kuhusu SGR
Huku geita meme ni kero
Naomba Dr.Biteko awe makini sana.januari kahujumu mradi,pesa kaiba...aangalie sasa mashine.wasije wakaiingizie tanzania mashine fake.wazungu ni wajanja ,hawatupendi waafrika.wanataka watutawale.kila siku tuwaombe msaada..hapo ni umakini tuuu......a.k.a. kisiki nikwaeee
Kilasku mnatuletea adisi
Co mnatuchota akiri
Hamna kipya
Hiyo ndo TZ tukijaliwa ..
Hivi nilisikia kuwa hata bwawa likianza kuzalisha umeme, bei ya umeme haitapungua? Ni kweli au stories tu?😂
Sasa wewe mkuu unazungumzia kupunguziwa bei..😂😂😂 ...Nipo hapa nimekaaa hata wakisema limeanza mgao kama kawaida kaka
hahahahah
@@aud548😂😂😂
Maharage alisema tutakuwa na umeme Wa Uhakika ila bei palepale.
@@aud548 we ushajikatia zako tamaa taabu ya nini banaa tunawajuaa 😅😅😅