DUH!! HAIKUWA RAHISI MENGI YALIJIFICHA SASA UKWELI NDIO HUU | BWAWA LA MWALIMU NYERERE KUKAMILIKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 дек 2023
  • TAZAMA MAAJABU YA BWAWA LA MWALIMU NYERERE LIKIKAMILIKA KERO YA UMEME BASI TENA.
    #manaratv #bbc #manaratvupdates

Комментарии • 23

  • @gwakisakaswaga5249
    @gwakisakaswaga5249 6 месяцев назад +6

    RIP Jembeeeeee

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 5 месяцев назад +1

    Sura yako tu na macho yako yanaonesha kuandaa cha kuzungumza na huna ukweli na unacho kisema kwanza watanzania hatuitaji taarifa tunaitaji umeme wa uhakika hayo mambo ya utaratibu sijui asilimia sio jukumu letu sisi kijua

  • @ndiditheodore8272
    @ndiditheodore8272 4 месяца назад

    Hatukuwachagua ili kuonekana kwenye Tv wala maneno bali huduma tuwe tunaipata siyo maneno mengi na misafara.

  • @samuelmyete4637
    @samuelmyete4637 6 месяцев назад +1

    Hiii Tv waongo sana hai fai

  • @gooleserviceyoutubescandar3450
    @gooleserviceyoutubescandar3450 6 месяцев назад +1

    Kazi Nzuri Fatilieni Athari Zatakakuja Kuathili Bwawa Kama Matope Yamafuriko Kujaa Bwawani.

  • @ndiditheodore8272
    @ndiditheodore8272 4 месяца назад

    Tunataka viongozi mzungumzie mradi mwingine wa Umeme, tumechoka kusikia habari ya bwawa la J. K. Nyerere bila umeme.
    Watanzania tunaongezeka kwa haraka, tusikie mkizungumzia bwawa la Mwakanjuki karibu na daraja la Mungu Mbeya,ambalo Nyerere alitaka kulijenga. Panukeni kimtazamo na wabunifu. JKN aliona Kihansi na JPM akalijenga.

  • @mlewamlewa976
    @mlewamlewa976 6 месяцев назад

    Mnafeli sana tena sana Kila wakati umeme Kwa Tanzania ni jibu sugu, Kila wakati nikulizinguwa Hilo Hilo mpka lini acheni siasa kwenye maisha ya watu mbona kimpindi magufuli yupo hayo hayakuwepo??? Kuna nini

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 6 месяцев назад

      Kwani yy huyo aliliacha bwana asilimia ngapi mbona mnapenda kuleta maneno yasiyo na maana😅😅😅

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 6 месяцев назад

    Broo unaakili sana

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 6 месяцев назад

    Pia tusikilize kuhusu SGR

  • @user-qq3sx2sl1u
    @user-qq3sx2sl1u 4 месяца назад

    Huku geita meme ni kero

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 5 месяцев назад

    Naomba Dr.Biteko awe makini sana.januari kahujumu mradi,pesa kaiba...aangalie sasa mashine.wasije wakaiingizie tanzania mashine fake.wazungu ni wajanja ,hawatupendi waafrika.wanataka watutawale.kila siku tuwaombe msaada..hapo ni umakini tuuu......a.k.a. kisiki nikwaeee

  • @user-ds2qr6fx6c
    @user-ds2qr6fx6c 6 месяцев назад

    Kilasku mnatuletea adisi

  • @AidanBosco
    @AidanBosco 6 месяцев назад

    Co mnatuchota akiri

  • @jacobmwalituke8981
    @jacobmwalituke8981 6 месяцев назад

    Hamna kipya

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 6 месяцев назад

    Hivi nilisikia kuwa hata bwawa likianza kuzalisha umeme, bei ya umeme haitapungua? Ni kweli au stories tu?😂

    • @aud548
      @aud548 6 месяцев назад

      Sasa wewe mkuu unazungumzia kupunguziwa bei..😂😂😂 ...Nipo hapa nimekaaa hata wakisema limeanza mgao kama kawaida kaka

    • @hallowkij5677
      @hallowkij5677 6 месяцев назад

      hahahahah

    • @ummusumayya7845
      @ummusumayya7845 6 месяцев назад

      ​@@aud548😂😂😂

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 6 месяцев назад

      Maharage alisema tutakuwa na umeme Wa Uhakika ila bei palepale.

    • @smarty1064
      @smarty1064 6 месяцев назад

      @@aud548 we ushajikatia zako tamaa taabu ya nini banaa tunawajuaa 😅😅😅