MJUKUU WA NYERERE AUTAMANI URAIS.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 мар 2019
  • Mjukuu wa hayati Baba wa Taifa Julius Nyerere,Sophia Nyerere ameeleza ndoto yake yakuja kuwa rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,Msikilize hapa kwenye Break.
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 62

  • @MakameAbdallah-wn3hc
    @MakameAbdallah-wn3hc 9 месяцев назад +1

    Muziki upo juu sauti za mhoji na mhojiwa hazisikiki vizuri

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 3 месяца назад +1

    Mtangazaji upo ki-bishara zaidi, (kutangaza biashara unayoijua mwenyewe), kuliko kutujuza tunayoyataka Sisi.

  • @hassanadam2708
    @hassanadam2708 Месяц назад

    Mh move inaogopesha

  • @sospeterkedmonchitema
    @sospeterkedmonchitema Год назад

    Mungu aendelee kukuhifadhi sehemu salama

  • @roseamos2812
    @roseamos2812 4 года назад +1

    Wewe Dan fod umetumwa kila sehemu unacoment watakufa na umasikini wao sasa wewe una mchango gani na hii family au unashauri nn au unaumia nn na umasikini wa family ya mwalimu nyerere wewe mchochezi ni mtu hatar ktk jamii fata maisha yako achana na family hii haikuhusu

  • @umranim5854
    @umranim5854 5 лет назад +3

    Mnakosea kuweka mziki kwenye intav

  • @samsonhaule8816
    @samsonhaule8816 4 года назад +1

    Acha kumfananisha nyerere na BWANA YESU.

  • @safikapufi422
    @safikapufi422 4 года назад +2

    mm macho yangu huwa yanaona kama baba wa taifa na mkewe wanafanana

  • @lindakapongo8421
    @lindakapongo8421 Год назад

    wafanana songa

  • @innobugobola1694
    @innobugobola1694 2 года назад

    Umependeza but nywele zmekaa zig zaga

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Год назад

    Matehemu du.miguu haina supu

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 5 лет назад +6

    Yaani uyu nyerere mtupu kichwa mkato wa nywere mdomo meno kabisaa nyerere

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Год назад

    Hayo mamiwani mabayaaa

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 5 лет назад +3

    Mtangazaji agana na mgeni ndipo uendelee kutangaza hizo biashara zako.

  • @husseinmillinga1920
    @husseinmillinga1920 3 года назад

    Meno yanafanana

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 5 лет назад +1

    Amefana na babu yake masikini mungu ni mwema

  • @erissaidytours9034
    @erissaidytours9034 2 года назад

    Hata nilikuwa cmjui kabisa

  • @ezrantare7344
    @ezrantare7344 5 лет назад +5

    Anafanana sana na bibi yake mama Maria Nyerere

  • @hamisa3447
    @hamisa3447 2 года назад

    Innalilah wain iray rajinuun

  • @binurusm8886
    @binurusm8886 5 лет назад

    Mtangazaji upo vizuri, pia Sofia Nyerere upo makini katika kujibu maswali, hongereni.

  • @mligombuma2287
    @mligombuma2287 5 лет назад +9

    Anafanana na babu yake hiko kichwa duuuuuh

  • @mawazorose755
    @mawazorose755 4 года назад +2

    Huyu mjukuu ni sura ya bibi yake

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 года назад

    Wimbo wa nini hatusikii kinachoulizwa

  • @chadogyfrankibrahim2976
    @chadogyfrankibrahim2976 5 лет назад

    Inauma sana mwenyezi mungu tutie nguvu

  • @jeremiahzacharia7655
    @jeremiahzacharia7655 5 лет назад

    Miwani hiyo mmmhhh!!!

  • @danfordaugustino3461
    @danfordaugustino3461 5 лет назад +7

    Hiyo miwani inakupoteza Sura halisi. Hiyo miwa amekuwa kituko walio Jirani hawamshauri

    • @hamidaala2832
      @hamidaala2832 2 года назад

      😂😃

    • @hadijalukas5959
      @hadijalukas5959 2 года назад

      😁😁😁😁 du 🤔🤔🤔🤔 wabongo kwanini wafukunyuku hivo miwani hiyoooooo 👉👉👉👉👉🤓🤓🤓🤓😎😎😎😎

  • @vemamawole2228
    @vemamawole2228 5 лет назад +1

    Nampendaga sana sophia

  • @ramadhanisudi4104
    @ramadhanisudi4104 2 года назад +1

    R.I.P Sophia Nyerere

  • @kuchimillionaire6683
    @kuchimillionaire6683 5 лет назад +3

    Eti watu kama wale wanatokea baada ya miaka zaidi ya 400. Unampangia Mungu?

  • @paulmasanja7055
    @paulmasanja7055 5 лет назад +1

    Mwalimu alikuwa havai miwani kama hiyo mmmmhhhh!!!

  • @omarymkalimkalivala2823
    @omarymkalimkalivala2823 4 года назад +2

    kafanana na babu yake huyu bint

  • @robertnoel5232
    @robertnoel5232 4 года назад

    Labda akagombee Serikali za Mitaa

  • @christinasolomon8156
    @christinasolomon8156 4 года назад

    USHAUR (Soph) usiwe muongeaj sana na kwa heshma ya BABA wa TAIFA Tunaomba uwe unafanya (lntervw) na vyombo vya habar kama TBC au BBC VOA n.k kwasabab watangazaj wanaweled; nadhan huyo mtangazaj unamuona alivyo sisemi unafanya vbaya kuwa social lakn kwa kias Nyie ndio VIOO vya TAIFA hili.

  • @priscasiame9179
    @priscasiame9179 5 лет назад +2

    Mtangazaj huo mziki atuhtaji...alafu mwalimu kaiacha familia yake ktk kipindi kigumu alileta uzalendo nch hii...ahahaha!wap mkapa wap kikwete...huyu hapa magu kusanya mali uncle

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 5 лет назад

    Nilimsikiliza Mpaka Pale alivyosema Waziri wake Mahiri ni Kangi Lugola Nikaclic kutoka sikumalizia. Hivi Nyerere angekuwa hai angemshabikia Lugola. HAPO HAKUNA KITU.

  • @severinemabirika2249
    @severinemabirika2249 4 года назад +1

    450...? acha uongo wewe , huo utafiti wenu si sahihi kabisa

  • @anisiamedard3775
    @anisiamedard3775 5 лет назад +3

    Huo music unaboa.

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 4 года назад

    Duuuu...huyu Dada kichwa kama Nyerere

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991 5 лет назад

    Nitumie namba ya Sofia

  • @danfordaugustino3461
    @danfordaugustino3461 5 лет назад +2

    Ninyi na kizazi chenu mnakufa na umaskini wenu. Marais waliofuata na familia zao wanatumbua nchi

    • @hassansalum5362
      @hassansalum5362 5 лет назад +2

      Masikini ushasikiaa wanaomba au wanalalamika maisha magumu

    • @johnmophat5300
      @johnmophat5300 5 лет назад +1

      @@hassansalum5362 swali zuri sana kk maskini siku zote ni kkurupuka tu

    • @mzalendowamwitongo3520
      @mzalendowamwitongo3520 5 лет назад

      Danford Augustino Ahsante mpanga riziki ni Mwenyezi Mungu akiamua vyovyote vile inshalah

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 2 года назад

    RIP Sophia 🙏🏼🙏🏼

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 Год назад

    R.i.p

  • @yussufabdul-rahman5601
    @yussufabdul-rahman5601 4 года назад

    Aaah hmna lolote mltuletea ucku tu😏😤

  • @ivankivinge2987
    @ivankivinge2987 2 года назад

    Rest in peace Sophia

  • @ahmedkapera6989
    @ahmedkapera6989 5 лет назад +1

    Tulikuwa tunacheza pamoja na mwene 🤣🤣msasani na ikulu na unt anna

  • @charlesosward2009
    @charlesosward2009 2 года назад

    R.I.P Dada...

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 5 лет назад +1

    huyo bibi yako aliyekuambia watu kama Juli kichogo wanatokea baada ya miaka 450 alikudanganya sawa?nyinyi musiwe wajinga mukamuabudu binaadamu kama mungu sawa?mtu aliye kuwa bora hapo tena hakuna na kampita huyo kichogo alikuwa Abulrahman Mohamed Babu kutoka nchi jirani yenu sawa?

  • @mohameddamka922
    @mohameddamka922 5 лет назад +2

    Tatzo lako huwa unajibu vitu vingne ambavyo hujaulizwa