NAIBU WAZIRI MKUU BITEKO AELEZA MAENDELEO YA BWAWA LA MWALIMU NYERERE
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
mabingwa wa porojo 🤣🤣🤣
Ukisikiliza wasomi wetu hayo maelezo unajiuliza kwanini tunashindwa kujenga wenyewe?
Ivi hamuoni aibu ,eti ukame na mvua zote zilizo nyesha mwaka huu maji yameenda wap?
bora MH BITEKO ulitatue hili swala la umeme,,maana nchi ipo gizani
Hapo naomba msimtaje mama atajwe magufuli pls pls pls
Ivi haya maji mbona kwa jpm yalikua hayapungui ameingia mama tu yameanza kupungua tunajua hii ni janja janja
Mhuuu sioleo watanzania wenzangu mm niko hapaaaaa
Mbona hivyo vyanzo havikupungua enzi za Magufuli?
hawa wapigaji tuu
Magu Hana zambi
Janja janja ya mama na wafuasi wake bado inaendelea kuelekea 2025
Kwa nini tunatumia pesa nyingi namna hiyo wakati tungeweza hata ku-invest kwenye alternative solar energy na upepo? Maji ni sawa lakini wakati mvua zinakuwa adimu jua kwa kawaida lipo tu. Inatubidi mainjia wetu wafikiries nje ya box. Solar is cheaper in the long run and much more cleaner than hydroelectricity.
Yani intention ya serikali
Miradi imalizike karibu na Uchaguzi ili wapate pakujisemea
Kuna njia nying tu za kuwa na umeme wa kutosha,ajabu ss tunategemea umeme wa maji tu?je nchi za wenzetu wanatumia njia gan kuwa na umeme wakutosha?hii nchi sjui jaman nan alituloga?
Mhe MD unam lipa vizuri sana Jv Arabs Main contractor ume check anam lipa sub contractor zake bada Ku tumia wao. Ujue kama haja lipa Becco Ltd 12B ya kazi Barabara kutoka kabiti mpaka Mloka wakati haipitiki kabisa ku lekea Nyerere Dam 2020.
Bongo uwongo mwingi....na Mh. Biteko nae amezamia humo humo. Tatizo la sasa linahusiana na mvua,JNHPP imo kwenye mvua kama kawaida ...huo umeme wa uhakika unatoka wapi?
😂
Nadhani kasi ya kuboresha infrastructure ya usafirishaji umeme huo inaenda vizuri
Mimi kuhusu mradi huu Sina maneno safisana jpm kwani uwezikusaaulika milele
Wafuge na samaki humo kama sato kambale nk
Kazi ya JPM
Vizuri.
Baba wewe ndio ulikuwa tegemeo letu umatuacha Wanao na upweke tutaenderea kukuk kumbuka kwa mema ambayo umetuachia
Watanzania acheni unafki. Mnapaswa kuzitambua na juhudi za mama Samia. Magufuli kamwachia hii miradi mikubwa sana Mama wa watu anajitahidi kuiendeleza lakini hakuna anayemuombea dua wala kumpa moyo
@@Herson-yw6cn wapo wanaotambua jitihada zake ila Jpm wanamkumbuka kwa sababu alikuwa mwanzilishi
AMINA
Hivi saizi waziri mkuu ana kazi gani? Naomba ufafanuzi🎉
Kwani unaelewa maana ya naibu Wewe? Kuna makamo wa Rais ni msaidizi wa Rais kuna manaibu waziri wapo wengi tu manaibu makatibu hao Wote ni wasaidizi
Huu mradi Kwan ilkua uishe lin jmn
😂😂 swali zuri
June 2022