Ukichaji gari hili la umeme nyumbani kwa umeme wa elfu 20 unatembea kwa zaidi ya kilometa 300

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Wakati huu mbapo ulimwengu unakabiliwa na changamoto za uhaba wa dola, matukio ya vita pamoja na athari za ugonjwa wa korona uliotikisa mwanzoni mwa mwaka 2021, Shirika la Maendeleo la umoja wa mataifa l;imekuwa liihimiza matumizi ya vyanzo mbadala vya nishati ikiwemo magari ya umeme pamoja na nishati ya sola.
    Hapa ni kwenye kituo cha kuchajisha magari ya umeme jijini Dodoma ambapo Mtaalamu wa Nishati Mbadala wa UNDP Kaare Manyama anatudadavulia kila kitu kkuhusu matumizi ya magari ya umeme na uchajishaji wake, kkikubwa ni unaweza kuchajisha gari lako nyumbani na kufanya mizunguko ya siku nzima.

Комментарии • 13