BIASHARA YA MAGARI YA UMEME YASHIKA KASI KENYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Wakati serikali ya Kenya inakusudia kwamba asili mia tano, ya magari yote yatakayokuwa yamesajiliwa kufikia mwaka wa 2025, yawe yanatumia nishati ya umeme pekee, tayari kampuni moja ya teknolojia mjini Nairobi, inayakarabati na kubadilisha magari yanayotumia mafuta, na kuwa ya kutumia nishati ya umeme. Na kama anavyoripoti mwenzangu BMJ Muriithi,

Комментарии • 3