Mwamposa NI MTUME wa kwanza kuvaa Bukta, Watu wa Kinondoni Fanyeni sana Toba

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 554

  • @khairiyyahsultan-vm1fk
    @khairiyyahsultan-vm1fk 7 месяцев назад +12

    Ustadh mazinge Allah akujaalie kila la kher unafanya kazi nzur sana . Achana na watu wanaokukashifu kiukweli unafanya kazi nzur sanaa Allah akulipe kher❤

    • @savinosalamba9174
      @savinosalamba9174 7 месяцев назад

      Huyo Mzee moto jehanam unamhusu,

    • @savinosalamba9174
      @savinosalamba9174 7 месяцев назад

      Vikundi vya ukaidi,ndio picha halisi anayoongea huyu mzee,Mbona sisi wakristo tuna aman sana,hatuna chuki na wakristo,nenda Zanzibar asilimia 90 ya wanawake Wana majini,shuleni na vyuo ,wanapandisha majini kelele shule nzima

    • @savinosalamba9174
      @savinosalamba9174 7 месяцев назад

      MDA WOTE WAKRISTO MAKAFIRI WAKRISTO HAWANA HAKI YA KUISHI ,MWISLAM NDIO ANA HAKI YA KUISHI,MMEKUA MUNGU KILA MTU AHESHIMU DINI YAKE,

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi 7 месяцев назад

      @@savinosalamba9174 Sawa inawezekana wakawa na majini ni kweli hayo maneno ni ya Mtume wetu Mohammad S.A.W alisema majini yanawashambulia wanawake na watoto kwa kiasi kikubwa sana kuliko wanaume hata upande wenu kwa Mwamposa wanawake wenye mapepo ni wengi sana na watoto ukilingalisha na wanaume,mapepo wa chafu kwa lugha nyingine ni majini waasi yaani masheitani,sasa point yako imerenga nini?

    • @Daidizz01chinga
      @Daidizz01chinga 3 месяца назад

      Muslim respect ❤❤❤❤

  • @HusseinMwazani-ct9qk
    @HusseinMwazani-ct9qk 6 месяцев назад

    Wonderfully, mazinge.mungu akuzidishie maisha na akuĺipe mema dunia na akhera .

  • @mwljoshuajgahuha808
    @mwljoshuajgahuha808 9 месяцев назад +18

    Naaam!!!! wewe ni mtumishi wa Mungu mzurii lakini okoka leo ili ujiepushe na moto wa milele maana umejaa CHUKI, FITINA NA DHARAU lakini sisi tunakupenda Sanaa wakristo wote 💕

    • @MathiasKunnanga
      @MathiasKunnanga 8 месяцев назад +1

      Lakini mimi nawaambia waombeeni wanaowaudhi

    • @KudraRashid
      @KudraRashid 5 месяцев назад

      Ww tatizo ujui maana ya kuokoka nenda ukatafute kamusi utafute ni nini maana ya kuokoka maana ya kuoka ni mtu ambaye yupo kwenye moto unamunguza ndio anatoa neno hilo kwamba nitoeni nimeokoka na moto yaan nitoeni naumia lkn wakriato wanaona kuoka ndio kupona akili zenu bure sana

    • @alimasiallyalimasially5202
      @alimasiallyalimasially5202 4 месяца назад

      Acha usenge ww ukirsto ni dini?

    • @mussasebatiano4787
      @mussasebatiano4787 3 месяца назад

      Umerogwa au umetumwa sikuhizi mnapenda uongo mkiambiwa ukweri munaanza visa yani rugha ambao imekutoka sio nzuri

    • @Daidizz01chinga
      @Daidizz01chinga 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂 mazinge iyo baba

  • @olivyechambikwa425
    @olivyechambikwa425 6 месяцев назад +1

    Nyinyi mnamtukanashehe nyinyi washenzi acheni ujinga shehe mazinge hongerasana wambie makafiri wazidi kuumwa presha haowajinga

  • @alimasiallyalimasially5202
    @alimasiallyalimasially5202 4 месяца назад +1

    Nakkubali sana mazinge mungu akujalie mwisho mwema

  • @daudifesto5592
    @daudifesto5592 10 месяцев назад +6

    Hubiri habari za Mungu... Watu waache maovu watende mema....

  • @NASRAKHALFAN
    @NASRAKHALFAN 9 месяцев назад +3

    inashangaza sana kukashifu dini zawenzao ivinabi anajua atauona ufalume wamungu dinizote kwasasa zinatuacha njiapanda walimwengu tusimame wenyewe kukuomba mungu hizi niskuzamwisho tuwemakini sana

  • @leonarmkaka
    @leonarmkaka 7 месяцев назад

    Tuache kuingiria kazi ya Mungu wakuhukumu ni mungu pekeyake tufanye yakwetu mwenyezimungu atujalie mwisho mwema hakuna binadamu aliyekamilika

  • @mtahogarashid8488
    @mtahogarashid8488 Месяц назад

    Nafurafi sana maneno ya Mazinge

  • @BensonMpomo
    @BensonMpomo 7 месяцев назад

    mazinge we Wachane achana na wanao kukashifuu na tunakuombea Kwa allha akupe maisha marefu ili uendelee kutoka dawa

  • @YehudabanYerushailēm
    @YehudabanYerushailēm 7 месяцев назад +1

    Mungu hamjaribu hasiye wake

  • @husseinfaringo3068
    @husseinfaringo3068 4 месяца назад

    Allah akufanyie wepesi Kwa kila Jambo lako ostadh mazinge

  • @nasramohamed6973
    @nasramohamed6973 7 месяцев назад

    Sema professor 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @savinosalamba9174
    @savinosalamba9174 10 месяцев назад +8

    FANYA DHARAU,KEJELI,ONA WIVU MAENDELEO YA WATU,MUNGU AKUBARIKI SANA

  • @KelvnJohn-w5t
    @KelvnJohn-w5t 8 месяцев назад +1

    Mazinge mungu anakuona achahivo

  • @KhadijaMohammed-z8c
    @KhadijaMohammed-z8c 10 месяцев назад +4

    Ata mungu kasema tukumbushane mashekh zetu wanafanya vizur mungu awalipe ujila mwema

  • @WeddyBwayTz
    @WeddyBwayTz 7 месяцев назад +1

    Mungu akuongoze❤❤❤❤

  • @dorcusnsajigwa7499
    @dorcusnsajigwa7499 7 месяцев назад

    Nampenda San mwamposa n nitaendelea kumuamin kwa maombi yake amen 🙏

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni 7 месяцев назад +1

    Kiukweli watu wengi sana wanahubiri kwa masilah yao wenyewe ila shehe nataman sana umihubiri Yesu kristo ndio Mfalme wa wafalme hakuna na wala hata kuwepo wakimzidi yeye kwa mamlaka aliye pewa na Mungu karibu sana umpokee Yesu akae ndani yako

    • @abilahishabani2753
      @abilahishabani2753 7 месяцев назад

      We nd hujui ata dunia inaendaj hvi nabii issa anaweza akawa mfalume wa ulimwengu wte zaid Allah?

  • @ombenkallenge1924
    @ombenkallenge1924 10 месяцев назад +7

    Waislam MTACHELEWA SANAAAA TENA SIO KIDOGO kwanza kaa ukijua pepo yenu na yetu ni tofauti kabisa na mungu wenu na wetu ni tofauti pia .polen sana

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 10 месяцев назад +2

      Unaweza kuona mtu mzima kama huyu mzee mzima kama huyu mrefu mnene lkn anaongea mambo ya kipumbavu ya umbea kutukana imani za watu wengine za kikiristo kila siku kila siku asimamapo misikitini ndo ujue kuna wazee wa hovyo sana tanzania. Mazinge ni mzee wa hovyo sana na anawivu wa kimaendeleo kuona viongozi wa dini ya kikiristo tena wenye umli mdogo wamempita maendeleo ya kidunia na ahela. maana yeye na waislamu wote wanajua dini yao ya uislamu ni watu wa motoni na waKiristo ni watu kwenda kwenye uzima wa milele. Kwaiyo ana tapatapa mzee wawatu anajuta kwanini alizaliwa kwenye uislamu dini ya shetwani ndomana kila siku anawaonea wivu wakiristo anajua wakiristo ndio watakao kwenda kulithi uzima wa milele

    • @mahdisaid9764
      @mahdisaid9764 10 месяцев назад

      Astakafilullah hujielew ww mungu ni mmoja Allah na unadiliki kuiita dini yetu dini ya shetan hakika umepotoka pia nyinyi ndo hamjielew mnapelekwa pelekwa tuu

    • @HamzaMiraji-oe9cv
      @HamzaMiraji-oe9cv 10 месяцев назад

      😊

    • @NasraMudy-ik1vj
      @NasraMudy-ik1vj 10 месяцев назад

      Waislam hawajielew kabsaa

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 10 месяцев назад +1

      @@NasraMudy-ik1vj kweli dada hawa waislamu wana laana ya Mungu. kitendo cha kumkataa mwokozi wa ulimwengu Yesu kristo na kumfuata mhammad wamesha laaniwa na Mungu moja kwa moja na moto wa jehannam una wangoja

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 8 месяцев назад

    Amna kazi ninyi. Bora mngetafuta kazi ya kufanya..

  • @GerardMarco
    @GerardMarco 10 месяцев назад +7

    Mazinge mpokee yesu acha ukafili

    • @muhamedjaffar5653
      @muhamedjaffar5653 10 месяцев назад +1

      Uyo ndo profesa.hakika usilam ni dini ya haki.siyo makafiri

    • @AhmedMtumweni
      @AhmedMtumweni 8 месяцев назад

      Wee ujuw ila kunasiku utajuwa atakama ushakufa

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 10 месяцев назад +1

    Hakuna cha Mtume wala nabii kwa sasa hivi ni vyeo mwenyezi Mungu aliwapa waja wake kwa kazi maalumu.
    Acheni kujiita Nabi wala Mtume labda kama mtume wa kutumwa na shetani

    • @savinosalamba9174
      @savinosalamba9174 7 месяцев назад

      Endeleeni ugaidi duniani na kuua watu,kulipua maeneo ya mikusanyiko ya watu,na kudharau wakristo,MUNGU WENU HUYO ATAWAPELEKA MOTONI MOJA KWA MOJA

    • @savinosalamba9174
      @savinosalamba9174 7 месяцев назад

      Jihad jihad,motoni Moja kwa moja

  • @mottoTv1
    @mottoTv1 10 месяцев назад +7

    Mtume wenu Muhammad kawapoteza sana mungu awasaidie muijue kweli ya kristo

    • @omarmakame3027
      @omarmakame3027 10 месяцев назад

      Mathayo 19:23-24 BHN
      Hapo Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kweli nawaambieni itakuwa vigumu sana kwa tajiri kuingia katika ufalme wa mbingu
      Hii ni bibilia ndio imesema Ivo sisi tunanukuu tu

    • @omarmakame3027
      @omarmakame3027 10 месяцев назад +1

      Angalia mathayo iyo kwanza Kisha ndio useme mtume muhammad

    • @omarmakame3027
      @omarmakame3027 10 месяцев назад

      .

    • @omarmakame3027
      @omarmakame3027 10 месяцев назад

      Mathayo 19:23-24 BHN
      Hapo Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kweli nawaambieni itakuwa vigumu sana kwa tajiri kuingia katika ufalme wa mbingu

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 10 месяцев назад

      barikiwa sana mpendwa umenena vyema kbs Mungu azidi kukulinda,wenzetu awa wamepotezwa kitambo kazi wamebakiza ni kelele mtupu!

  • @fibolychifunda6639
    @fibolychifunda6639 10 месяцев назад +8

    Ninachosikitika mm wanauzungumzia ukristo wkt hawaujui na inamaana hawaijui historia ya mtume Paulo,kabla ya utume kazi yke ilikuw kuua watumish wa Mungu Mwamposa alikuw anavaa bukta ni ishu ndogo sana

  • @michaelmbeti5040
    @michaelmbeti5040 8 месяцев назад +1

    Shehe masikini sana wewe rohombaya unalana unachuki na wakristo Anza nawewe na huna roho mungu

    • @salehsuleiman1218
      @salehsuleiman1218 8 месяцев назад

      Hawachukii ila nyinyi ndio mnamchukia yeye kutokan na ukwel anaowaambia

    • @abilahishabani2753
      @abilahishabani2753 7 месяцев назад

      Si kanakwmba mazinge anachukia apan wakristo apan bali anaeapenda nd maan anawapigania ili ata nyie muingie kweny dini ya haki na dini ya kweli

  • @savinosalamba9174
    @savinosalamba9174 10 месяцев назад +17

    LAKINI brother,unachuki sana na wakristo, MUNGU anakuona,

    • @abuusufian6506
      @abuusufian6506 10 месяцев назад

      😂

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 10 месяцев назад

      ​@@abuusufian6506Mungu amulaani

    • @ibniabdalla4817
      @ibniabdalla4817 8 месяцев назад +1

      Sio chuki ila anasema kweli

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 8 месяцев назад

      @@ibniabdalla4817 kumbe sikuiz kukashifu dini za watu wengine ni kusema ukweli?

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 8 месяцев назад +1

      ​@RAMADHANMJA.Mazinge Hana ukweli wowote ila ana chuki na wivu kuona ukiristo unatamalaki daresalam

  • @PauloLwena-ec2vi
    @PauloLwena-ec2vi 7 месяцев назад

    Yani kweriii safiii sana wachungaji wamchongo

  • @davidmaisely7487
    @davidmaisely7487 9 месяцев назад +1

    Bwana akurehemu sheikh wetu

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 10 месяцев назад +9

    😂😂😂😂😂😂mazinge unajua unatupa furaha sana ungekua comedian nahis ungekua intanational

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi 10 месяцев назад

      Siku ukiingizwa kaburini ndiyo utajua Mazinge alikuwa anachekesha au namnagani!

    • @elbaricktv1632
      @elbaricktv1632 10 месяцев назад

      @@RamadhaniLukambuzi wewe ambae ushatoka kaburin ndiyo unipe experience

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi 10 месяцев назад

      @@elbaricktv1632 Sio kutoka kaburi maandiko ya Mungu yanaeleza na yako wazi ndiyo maana Watu wanaifuta njia ya Mwenyezi Mungu iliyonyooka.

    • @elbaricktv1632
      @elbaricktv1632 10 месяцев назад

      @@RamadhaniLukambuzi ndgu yangu we fata unachoamin wewe mi skiamin hata kdg mi njia yangu iliyonyoooka ni kumfuata Jesus Christ ndo njia iliyonyoooka kufika kwa mwenyezi mungu ila Mohammad yuko zake makah katulia kaburin me namfuata yesu aliye juu mbigun kwa baba

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi 10 месяцев назад

      @@elbaricktv1632 Wewe unamfuata Yesu bila kujitambu kwa sababu Yesu alitumwa Israel Karne ya 6 kwa Wana wa Israel ambao walikuwa ni kabira 12:SOMA MARKO3:16/MATHAYO 15:24/MATHAYO 15:26/ YESU aliwatukana nyie mbao sio Waisrael ambao mnajipendekeza kwa Yesu wakati huo nyie hamukuwepo Israel hata katika kabira hizo 12 nioneshe kabira lako hapo!MATHAYO 15:25 Naye akaja akamsujudia,akisema Bwana,unisaidie.MATHAYO 15:26 Akajibu,akasema,Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.hapa alikuwa anamaanisha Wewe na wengine wanaojipendekeza kwa Yesu hivi leo aliwahita hivyo sitaki kurudia jina lako soma mwenyewe!
      Unaweza kusema kwamba nikuache uamini unachokiamini kwa upungu wako wa ufahamu wa maandiko,Bibilia inasema Yesu alitumwa kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israel leo Wewe Mtanzania unajipendekeza nampenda Yesu,Mkenya nampenda Yesu,Mganda Yesu Msomali Yesu ,Mexico Yesu,hamuoni mnavyopotoka kwa kukosa maarifa katika kutafasiri maandiko?Yesu ni Mtume wa Mungu aliyetumwa katika Taifa la Israel,Ibrahimu vile vile,Mussa vile vile na Mitume wengi walitumwa Israel kwa ajili ya kuwaonya kwa sababu walikuwa wanatenda dhambi sana wanauwa mpaka mitume hata Yesu walitaka kumuua lakini Mwenyezi Mungu alimunusuru!Yesu sio Mungu kama mlivyopotoka wala sio Mtoto wa Mungu wala Mungu hana sifa za kibinadamu bali Yeye anasifa ya kuumba viumbe kama binadamu,Mamba.nyoka,simba,kenge,chui,mbuzi,Kondoo,paka,majini,mijuzi na kadhalika basi kama mnasema Mungu anaye Mtoto wakati kaumba viumbe vingine mbona hivyo viumbe hamvihiti ndugu zenu make navyo vimeumbwa kama Yesu,mbona hamsemi ndugu zake Yesu?

  • @nehemiamwasile8696
    @nehemiamwasile8696 8 месяцев назад +1

    Acha kuhukumu watu fanya kazi uliyo tumwa na mungu hiyo Kaz ya kuhukumu siyo Kazi Yako ni KAZI ya mungu ,kemea watu waache maovu kama huwa uwezo waachie wenye uwezo

  • @alexkatana5037
    @alexkatana5037 6 месяцев назад

    Ujumbe mzito sana.

  • @TimovenaMushi
    @TimovenaMushi 7 месяцев назад

    Mungu ni mmoja acha zarau,, kuzarau imani za wengine

    • @abilahishabani2753
      @abilahishabani2753 7 месяцев назад

      We huna iman yeyot we ungekuwa na iman usingekubali kudanganywa na mwamposa hv hjiulzi toka umezaliwa mpak unafika umri huo ulishawah kuskia au kumuona mtume katika taifa lako na tz? Mitume wte waliishi uarabuni huyu mtume huyu mtume anayeish tz tena mnyakyusa katokea wapi? Ukinijibu hilo swali kw ufasah nitaamin unaiman na huko ulipo walokpoteza

  • @AidaMosha-nl6ix
    @AidaMosha-nl6ix 8 месяцев назад +2

    Waambie watu habari za ufalmme Mungu watakuelewa habari za Mwamposa ziache

    • @abilahishabani2753
      @abilahishabani2753 7 месяцев назад

      Ahaaaaa au sio kumbe inawagusa nyie mnaojiita mitume hv ata we ndgu yangu unakuwa tunakuona unahtaj uje uwe na mtume kama huyu mnyakyusa mwenzako au unahtaj uje uwasameh wazazi wako dhambi zao

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni 7 месяцев назад +1

    Bado wengi hamjui maana ya nabii nabii ni mtu yeyote anaye peleka ujumbe wa Mungu kokote wa kuhubiri habari ya toba na juu yakurud kwa Mara ya pili Bwana Yesu kristo

  • @amiryhassan202
    @amiryhassan202 8 месяцев назад

    wallah kuna watu kweli ni inalilah wainaa ileyh rajiuna mtu unamwambia shekh Mazinge aende isio kuwa pepo kwanza unajua shekh kabla hajasem Mungu nisameh anasemehewa madhambi arobaini wewe na mimi jeee

  • @joshuayounam
    @joshuayounam 10 месяцев назад +10

    Kumsema mtuuu alafu ye akujibu kama unajibiza. Najiwe vile inamaana kakupuuza

  • @iwenikigodi5419
    @iwenikigodi5419 9 месяцев назад +3

    Tena we unaejifanya mtu mwema sana ndio mchawi mkubwa mbwa wewe fanya maisha yako wew wivu utakuua

    • @Nily-kz3db
      @Nily-kz3db 9 месяцев назад

      Mungu Akusameh makosa Yko,Mnyama Kumfananshia Mwanadam,Allah atamlnda Shekhe Wet2 Maznge,Allahu Akbar,Mnaambuwa Kwel Mnaumia

    • @DigallazKing
      @DigallazKing 2 месяца назад

      Mbwa ni mamako aliekuzaa usitutukanie sheikh wetu shenzzz tit

    • @DigallazKing
      @DigallazKing 2 месяца назад

      Mwenzenu anawafanya biashara tu hana unabii wowote munauziwa maji wewe kafiri unajua maana ya nabii wewe au unaongea tu kama nabii hayo maji na mafuta si angewapa bure mwenzenu munamtajirisha tu hana tofauti yoyote na babu wa loliondo ndio wale wale tu

  • @AmusedForestBridge-zo6ox
    @AmusedForestBridge-zo6ox 7 месяцев назад

    usimseme mtumishi mwezio na kuwashawishi watu tofauti

  • @MariamShagata
    @MariamShagata 6 месяцев назад

    Hakika 🙏🏾 allah atupe mwisho mwema 🤲

  • @fikirimachela4778
    @fikirimachela4778 8 месяцев назад +5

    Allah akulinde inshaallah

  • @gracepaul4071
    @gracepaul4071 7 месяцев назад

    Mungu ni mwema

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 9 месяцев назад +2

    Shekhe mazinge sikujui hunijui lakini kuhusu mtume mwamposa ule sio mkono wa mwanadamu ni mkono wa Mungu ♥ kibaya zaidi wanao Amini na kuponywa na kufunguliwa na wanawake wanopokea ujauzito wengi wao ni waslam zaidi ya 75% wanao swali kwa mwamposa ni waslam ,kwahiyo Shekhe mazinge acha Mungu aitwe Mungu.,wachawi waganga nk nk wanarudisha na kuacha uchawi .Acha kubeza Shekhe

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza1395 7 месяцев назад

    Mimi ni mkristo Ila huyu comedian nampenda sana

  • @joycenicodemus.2232
    @joycenicodemus.2232 10 месяцев назад +5

    Hizo kejeri zako subiri moto mungu atakavyokuchooma

    • @faridfrefre35
      @faridfrefre35 10 месяцев назад

      Sasa nawewe kweli kwaakili zako kuna mtume mnyakyusa

    • @joycenicodemus.2232
      @joycenicodemus.2232 10 месяцев назад

      @@faridfrefre35 simkafatilie vyadini yenu ya kislamu? Kila siku nikuwafatilia wakristo.mlishaona mkirsto anamfatilia muislamu? Alafu mashehe wengi ndio waganga wakienyeji Ila hakuna mkiristo anausemea uganga wa masheshe kwakua kila mtu anadini yake nakila mwanadamu atakufa nakuhukumiwa. Namungu kwamungu hatuendi nadini tunaenda. Na roho tu.

    • @AnthonyVitalis-iy5su
      @AnthonyVitalis-iy5su 8 месяцев назад

      Mimi ni mkirsto Hila kwa Sasa hivi akuna nabii ni wapigaji tu

    • @abilahishabani2753
      @abilahishabani2753 7 месяцев назад

      Duh unaongea kama vle karb na Allah mnaambiwa ukwel hamtaki kuelewa hakuna mtume mtamzani tena mnyakyusa

  • @benjaminsanare-ug6ge
    @benjaminsanare-ug6ge 10 месяцев назад +6

    Una mawaidha mazuri ila sio vizuri kuponda dini za watu

  • @mikerutto8164
    @mikerutto8164 10 месяцев назад +5

    You're just a comedian. Wewe ni muigizaji tu

  • @MlungwanaAllan
    @MlungwanaAllan 8 месяцев назад

    Mazinge na ndio maama Wakrto hawakupendi kwakuwaunasema kweli kwakuwana wewe ulitokea kwenye ukristo unayajuwa mengi Yao nanakuombea Duwa Waslaam wote Duniani uishii Maisha malefu sana

  • @akramumohamed7738
    @akramumohamed7738 2 месяца назад

    Mashaallah

  • @GodfreyKunambi
    @GodfreyKunambi 7 месяцев назад +1

    Tatz Lako umezaliwa kuwasem wakristo na huwezi kubadili chcht kw wakrsto

  • @emanuelmaya4667
    @emanuelmaya4667 10 месяцев назад +7

    HUYU SHEKHE HANA AKILI HAJUI ANACHOKIONGEA AMEKOSA MANENO HUYOO, MTU AKIKOSA CHA KUSEMA NI KAWAIDA KUSEMA WATU.

  • @AhmadySaidy-j1f
    @AhmadySaidy-j1f Месяц назад

    Nyie wote mnaesema yesu nimungu niweenda Wazim msojijua

  • @GILBERTMUSIBA
    @GILBERTMUSIBA 7 месяцев назад

    Hacha wivu Fanya mambo yako tangaza Imani yako

  • @glorymasonga
    @glorymasonga 7 месяцев назад

    Unauniri au unagobana. Ubiri a watu neno la mungu acha uduanzi

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 9 месяцев назад

    Kwani kuna watu kila siku wanasema dini za watu wengine wao hawana dini au sio nzuri

  • @silassaitoti7689
    @silassaitoti7689 6 месяцев назад

    Pesa zina nguvu sana

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 9 месяцев назад

    Kweri kabisa wakristo
    Wanamtania sana #nabii issa
    Hila watapata zambi sana

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 9 месяцев назад +6

    Nampenda mtumishi mwamposa na nitaenderea kumpenda kwa muumini wake

    • @hancekarma1623
      @hancekarma1623 7 месяцев назад

      badilika ndugu yangu tuliza akili Yako Ili umjue m/mungu

    • @sunwizy608
      @sunwizy608 6 месяцев назад

      tuliza akili utamjua mungu wa kweli.mungu ni mmoja tu jamaniiiiiiiiiiiiiii

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 9 месяцев назад +1

    Hayo ndiyo mawaidha toka msikitini au vijembe

  • @LeticiaJames-m2c
    @LeticiaJames-m2c 9 месяцев назад

    We mzee Mungu anakuona.fitina 2

  • @AlyMbusa-i1h
    @AlyMbusa-i1h 12 дней назад

    Oya ma sheh zetu piga kazi

  • @AbbacMau
    @AbbacMau 8 месяцев назад +1

    Allahumma amin

  • @bibielroybibielroy8710
    @bibielroybibielroy8710 10 месяцев назад +2

    Toa mawaidha ya kuacha mabaya na kufuata mema achana na maisha ya watu na kutaja majina ya watu na cashfa

  • @KamdonaKamdona
    @KamdonaKamdona 7 месяцев назад

    Dhahir shekhe

  • @mikerutto8164
    @mikerutto8164 10 месяцев назад +8

    Acha kupoteza watu ,waambie wamfuate yesu kwa sababu yeye ndiye njia ya ukweli na uzima. Sisi wakristo hatuabudu udongo. Tunamwabudu yesu. Wauza udogo hao sii wakristo bali ni mitume wa uongo

  • @imachembele7043
    @imachembele7043 5 месяцев назад

    Comedian huyu daa ana chekeshaa sanaaa ndaro 😂😂😂😂

  • @octavinaalphonce6898
    @octavinaalphonce6898 10 месяцев назад +7

    Hebu kila mtu azungumzie kile chake tuachane na mambo ya wengine

    • @IssaNasir-v2e
      @IssaNasir-v2e 9 месяцев назад

      Na mashoga tuwanyamazie tuwaache

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 7 месяцев назад +1

    We mzee achakujihesabia haki hata we Ni mkosefu

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f 10 месяцев назад +1

    Lkn ndugu Mazinge, wanasemaga hivi, ujanja ni kupata pesa. Sasa mazinge bana we mwache mwamposa wa watu ale na anywe tu!!! Wivu wa nini? Kama atahukumiwa bac we achananaye tu. Watu wanatafuta pesa bana.

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 10 месяцев назад +1

    Mtume wa mungu amechaguliwa na mungu kwa sasa hakuna mtume labda katumwa shetani

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 8 месяцев назад

      Hata mhammad hakuwa mtume wa Mungu alijitangaza tu kuwa mtume kama alivyo jitangaza mwamposa

  • @mwajemwafula5777
    @mwajemwafula5777 7 месяцев назад

    Yesu ni njia sahihi uwezi kumpangia MUNGU maamuzi yake fundisha hizo Hadith zako

  • @barakasimonmarandu
    @barakasimonmarandu 4 месяца назад

    she mungu akusamehe mana huwo ni usengenyejaji shee na chuki

  • @adammwandambo4143
    @adammwandambo4143 9 месяцев назад +1

    We mzee sikia mwache mwamposa afanye yake na wew hubiria watu wako kwa staili yako ili waende mbinguni

  • @KHALIDAKIDA-vh4ru
    @KHALIDAKIDA-vh4ru 9 месяцев назад +3

    Mwanadamu mwenzio anakwambia yesu mungu ,hivi akili huna maarifa pia ,unakubali ,mungu ulimuona wapi ,yesu kaonekana yesu ni mtume wa mungu c mungu

  • @yassinisuleimani
    @yassinisuleimani 9 месяцев назад +1

    Hapa umekoseaa ndugu

  • @HezromSwai-bt7ez
    @HezromSwai-bt7ez 10 месяцев назад +1

    Pole sana ,chukii tuu zinakuendesha

    • @MBAmir-bl9sd
      @MBAmir-bl9sd 8 месяцев назад

      Hii video haikuhusu wewe

  • @Odiliamrema
    @Odiliamrema 8 месяцев назад +2

    Ukiona unamwongelea mwezio sana jua kuna kitu kakuzid

    • @abilahishabani2753
      @abilahishabani2753 7 месяцев назад

      Ni kwel mwamposa kamzid mazinge uongo tyu hicho nd alichomzid kw7b anawadanya san lakn nyie hamtaki kuambiwa ukwel

  • @mohamedmpombemuhaji-by5rh
    @mohamedmpombemuhaji-by5rh 6 месяцев назад +1

    Muongo Gari gani aipimwi oil.

  • @gregoryngwanije92
    @gregoryngwanije92 10 месяцев назад +6

    kwa mwamposa watu wanapokea majibu yao toka kwa Mungu. Sasa na wewe fanya zaidi yake uone kama hao unao wataja wataenda huko.
    Halafu pale hakuna dini una amini Mungu anakusaidia,acha porojo kila kitu kipo wazi anaonyesha kwenye TV.
    Acha asaidie watu kwa neema aliyopewa kama Mungu wako ameshindwa kuwasaidia watu.

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 10 месяцев назад +4

    mnapenda kuwahukum binadam wenzenu mtadhani nyie ni wakamilifu sana

  • @davidmatuhi7094
    @davidmatuhi7094 10 месяцев назад +4

    Kwa upande wangu shehe njaa ndo tatizo kwako
    Pia huna uwezo wa kuongoza jamii ukipewa hatamu yoyote watu watakufa kama kuku ,,(hujui nn useme nn usiseme na wapi utumie neno gan binafs nakushaur unaharibu uso wa Allah. huna sifa labda asiyejielewa ndo atakusikiliza broo.

    • @abilahishabani2753
      @abilahishabani2753 7 месяцев назад

      Nyie si nd walewale molokunywa uji wa mgonjwa na mgonjwa akandee

  • @PascleShayo
    @PascleShayo 6 месяцев назад

    Waslam mmezid majungu

  • @AidanKostantine-o4p
    @AidanKostantine-o4p 9 месяцев назад +1

    Maandiko wanayema watakuja nabii wa uongo ndo ayooo wakina mwamposa

  • @denisngowi2955
    @denisngowi2955 10 месяцев назад +3

    Yani anvyo ongea utazani anamjua mwamposa kweli acha sisi tunao mjua tukae kmy

  • @feliciankimario2747
    @feliciankimario2747 8 месяцев назад

    Mazinge n tapeli

  • @LilianNyakato-hp6wx
    @LilianNyakato-hp6wx 10 месяцев назад +2

    Kwani Mungu dini gan,,acheni chuki hubirini habari njema tumjue Mungu acheni chuki😢😢😢😢

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi 10 месяцев назад +1

      Ukifa ndipo utajua hiyo ni chuki au sio chuki,hapo maana yake tunakumbushwa kuhusu kifo kwamba hakiangalii mtu ana cheo gani au unapesa kiasi gani au Mtu ni masikini kiwango gani?Maana yake Mwisho wa Mitume alikuwa Mtume Mohammad karne ya 7 leo hii ukisikia Mtu anajihita Mtume ujue tapeli huyo!

    • @AnethEdward-nf6sc
      @AnethEdward-nf6sc 9 месяцев назад

      Matendo mema hawana Wana kelele nyingi.

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi 9 месяцев назад

      @@AnethEdward-nf6sc Wakina nani hawana matendo mema?

    • @AnethEdward-nf6sc
      @AnethEdward-nf6sc 9 месяцев назад

      Yeyote yule hatuchagui dini, watu wanahubiri dini zao lkn ktk jamii hatukanyani ,hatukatazi matendo mabaya yameota mizizi dini zote zimeoza . Tunamsubiri alietuumba ndie atatuambia nani ni mwema .

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi 9 месяцев назад

      @@AnethEdward-nf6sc Dini hazijaoza,useme watu ndiyo tatizo hilo ni namba moja,namba mbili Viongozi wa dini takribani zote mara nyingi wanakemea machafu ila wanaohubiriwa wameweka pamba masikioni hawasikii,tatu Mungu kaumba mwanadamu na akili timamu inambidi akae chini ajitafakari kwa nini kaumbwa na kuletwa duniani?Je mwanaume kaletwa duniani aje kuwa shoga?Je Mwanamke ameletwa duniani ili akawe jike dume?Je watu tumeletwa duniani ili tutoane rohoo bila haki?kulewa mapombe ovyo?kufanyiana chuki chuki?Kufanya umalaya?kufanyiana dhuruma?kulogana,husda,fitna ndugu wanafanyina rohoo mbaya na kadharika ukija kuangalia utangundua sisi wanadamu hatuna mazingatio kabisa,mtu akiambiwa mambo ya dini anakwambia hayo ni ya zamani dharau dharau tu.
      *Dini sio mali ya Mchungaji,Padiri wala Sheikh sio kwamba unamfuata huyo kiongozi matakwa yake;hapana ,unatakiwa uangalie muongozo wa dini yako unasemaje kama Wewe ni Mkristo angalia Bibilia yako inakuelekeza nini?Kwa mfano Bibilia inasema Yesu ni Mtu,inasema Yesu alizaliwa kama mimi na wewe,inasema Yesu alitahiliwa,inasema Yesu alipotea Mama yake na baba yake mzee Yusuph wakamtafuta baada ya mda akaonekana,Bibilia Yesu alisinzia usingizi kwenye jahazi kidogo lizame,Yesu alikula mikate na wanafunzi wake,Yesu alichoka lakini Watu wengi kwa kukosa maarifa ya akili Mchungaji anakuja anakoleza maneno anawaambia Yesu ni Mungu mara mtoto wa Mungu nanyie mnakubari kweli kwa sifa hizo za Yesu kweli Mungu anaweza kuwa na sifa za kibinadamu?
      *Mungu anaweza kutahiliwa na wanadamu aliyowaumba Mwenyewe?
      *Mungu anaweza kula mikate?
      *Mungu anaweza kuwa na njaa kama mwanadamu?
      *Yesu anaweza kuzaa mtoto?Je! Kama Mungu ana mtoto,mke wa Mungu ni nani?
      *Kwa mjibu wa maneno yenu mnasema Yesu alikufa,Je!Mungu anaweza kufa kama wanadamu wanavyokufa?
      ###Kwahiyo mizahaa hii ndiyo imepelekea watu wengi kuona dini ni kitu cha kawaida kawaida hivi,mtu anaweza kulala usingizi kesho akijihita Mtume,sijui Nabii wakati enzi za mitume zilikomea kwa Mtume Mohammad,kwahiyo toka karne ya 7 utume ulipokomea kuanzia hapo Mitume waliofuata ni Mitume weka mbali na watoto!
      ###Nimetoa mifano hiyo kupitia imani ya Ukristo kwa sababu Watu au Viongozi wake wanafanya mambo kwa matakwa yao ni tauti sana na Uislamu,hawezi akasimama Muislamu awe Sheikh au Imamu akajihita Mtume au Nabii Waislamu tukamfuata hii ni point 1moja,Namba 2 Hakuna Muislamu Yeyote anaweza kujitungia Quran ya kwake na Waislamu tukakubari,hatuwezi kukubari ujinga huo,Namba 3 Katika Uislamu Sheikh akipindisha hata ayah Moja Waislamu lazima tumvae vikali au atakakosolewa haraka sana.
      *Kwahiyo kama kuna Muislamu anafanya matendo maovu yatabaki ni ya kwake na Uislamu pamoja na Quruani vitabaki vimesimamia haki na Ukweli wa Mwenyezi Mungu,kwahiyo mtu anaufuata Uislamu na Quran kwa sababu hivi vitu viwili ni mali ya Mwenyezi Mungu kwa ajili ya Waislamu wote duniani na Quran ni moja duniani kote na maneno yake yote ni idadi ile ile kote duniani!
      *Kama kuna Muislamu anafanya maovu hayo maovu ni mali yake kwa sababu Quruani nikitabu kimebeba sheria kali za Mwenyezi Mungu na miongozo ya maisha ya wanadamu wote kwa mfano Quruan ni kitabu peke cha Mwenyezi Mungu kilichoelekeza kwamba mtoto akizaliwa anyonye kwa miaka 2 maziwa ya mama yake,hii aya huwezi kuipata kwenye Bibilia yeyote na Wasiokuwa Waislamu wanaifuata Quruan bila kujua hata sayansi ya Wazungu imekubariana na Quran.

  • @SebastianJugle-lb7ob
    @SebastianJugle-lb7ob 10 месяцев назад +1

    Mazinge ni shoga

  • @noelimafwele602
    @noelimafwele602 10 месяцев назад +1

    wivu mbaya sanaaaa

  • @saumuyusufu
    @saumuyusufu 8 месяцев назад

    Jamani, jamani

  • @richimuniko3578
    @richimuniko3578 7 месяцев назад

    Mazige acha unsfiki Mtume Mwamposa hauzi udogo Wewe ni poropagada tu.

  • @AmusedForestBridge-zo6ox
    @AmusedForestBridge-zo6ox 7 месяцев назад

    we unatamaa sana

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 8 месяцев назад +1

    Unachuki sana na wakristo

  • @JustineKashililika-tc8sx
    @JustineKashililika-tc8sx 10 месяцев назад

    Yesu akuponye mazinge

  • @glorymasonga
    @glorymasonga 7 месяцев назад

    Wewe naye mmoja wapo

  • @imanmwashitete5243
    @imanmwashitete5243 8 месяцев назад

    Kuhusu mwamposa bado hamjasema mtasena sana alfu acheni uongo udogo hauuzwi hata siku moja

  • @JaphetEmmanuel-yx5kb
    @JaphetEmmanuel-yx5kb 5 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @JumaRajabu-t9e
    @JumaRajabu-t9e 7 месяцев назад

    Wewe unaesema ostadhi kaongea uwongo sema wewe hauna unaro lijua muombe mungu sana akupe ufahamu

    • @savinosalamba9174
      @savinosalamba9174 7 месяцев назад

      Ostadhi wenu,umaskini,roho mbaya,life ngumu,watoto 15,lazima awe na roho mbaya,

  • @UpendoMollel-g3f
    @UpendoMollel-g3f 7 месяцев назад

    Jamani kweli kaburini hakuna amani

  • @dnxvi
    @dnxvi 10 месяцев назад +1

    Hubiri dini yako ya shetani usichafue dini za watu Mzee... Wewe !wenyewe huna uhakika na unachokiabudu

  • @niahpike8593
    @niahpike8593 7 месяцев назад

    Sisi sote hatujui lolote Mungu atusamehe tu maana hakuna tujualo sisi ni wadhambi tu sisi sote hakuna mtakatifu ata Yesu alikataa kuitwa Mwema tulikumbuke Hilo Mimi ni Nabii wenu Nabii Coco