MAZINGE KICHANGANI, LEO KATI YA ALLAH NA YESU NANI ALIYEMUUMBA MWENZIE/ KWA NINI MTUME ALILOGWA?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 авг 2024

Комментарии • 517

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 2 года назад +25

    Maashaallah professor Mazinge Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi katika kazi ya dawa unayoifanya

  • @hasankasam5576
    @hasankasam5576 2 года назад +35

    Shekh mazinge ww ni zawadi kutoka kwa allah.. Niseme alhamdulillah maana unavowapasha ndugu zetu wakristo mpaka nasisimka.. Allah akupe umri mrefu wenye afya inshallah.. Ila siku ukiondoka sidhani km atatokea shekhe km ww lakini madhali allah yupo na quran yake sina waswas.. Mashallah

  • @issmuking3987
    @issmuking3987 2 года назад +13

    waalykum msalaam asiemuelewa sheikh mazinge sjui nani atakae muelewa mwengine kwenye hii dunia Allaha atujaalie khusnul lkhatima ameen👏

  • @rhiophiri6857
    @rhiophiri6857 2 года назад +14

    watching you from Lusaka zambia, professor Mazinge we agree with you 100% , we all should glorify Allah swt for the all favours bestowed upon us

    • @benjaminlijongwa3715
      @benjaminlijongwa3715 2 года назад

      Glorify what? Mazinge is a primary school graduate. Pure standard seven. Not proffesor

    • @karaoglan9444
      @karaoglan9444 2 года назад

      @@benjaminlijongwa3715 he deserves a Honoris causa...that's why he is known as a Professor...

  • @seiflugendo5043
    @seiflugendo5043 2 года назад +7

    Kama yahaya namkumbuka sana sheikh wangu nilikua namkubali sana kama Mazinge😭😭😭😭.

  • @alyumar4657
    @alyumar4657 2 года назад +14

    Ustadh mazinge tuna kutaman ktk kisiwa cha pemba mungu akufanyie wepes kabla uujaingia kaburin ufike inshallah.

    • @user-mq6lu2po3y
      @user-mq6lu2po3y 2 года назад

      Hawa masheik hawaji Zanzibar

    • @user-mq6lu2po3y
      @user-mq6lu2po3y 2 года назад +1

      Wakija wanakuja kimnya kimnya

    • @alyumar4657
      @alyumar4657 2 года назад

      @@user-mq6lu2po3y sjuw shida nn mbona wasanii wanatembea sana japo sku za kampen ila watakuja ila masheik ndo ivo dahhhhh

    • @fatmamsiliwa8485
      @fatmamsiliwa8485 2 года назад

      @@user-mq6lu2po3y washaja sana halaf zenji waislam wengi na watu wanajua din lkn mikoan hakuna din

  • @mariamhamisi598
    @mariamhamisi598 2 года назад +3

    Mashaallah sheikh wetu shukuran allah akuzidishie Umr mrefu na mwisho mwema tunakupenda kwa ajili ya allah sheikh wetu allah akulinde na husda za watu na shari mbalimbali za usk na mchan mungu akujaalie Umr kila la her

  • @SayyidAhmadBaalawy
    @SayyidAhmadBaalawy 2 года назад +3

    Mashaallah Shk Mazinge Mola Akupe Umri Ziada Kuwaokowa Umma Mpaka Kupatikane Mwanafunxi Wako lnshaallah....yarabil Aalamin

    • @anthonylikoko1295
      @anthonylikoko1295 2 года назад

      Jamani kwanini kuchambua imani za wenzenu kama yesu alikufa hakufa Mungu mwenyewe ndiye ajue dini ni njia yetu sot ya kumjua Mungu ili tumjue na kumpenda mwisho kila mtu na matendo yake ndio yatamfikisha peponi kashfa za nini hakuna mwislmu wala mkristo atajisifu dini yake ni kumpeleka peponi .Sasa kwanini kuwakufuru manabii wa Mungu ? Tunachotakiwa wanadamu tupendane tusibaguane maana kila mmoja anaomba kwa imani yake na Mungu anambariki wafundishe waamini imani yao usiingilie imani ya wengine usifikiri kusema sana kua ww uko sahihi sana heri mtu yule azuaye.ulimi wake usinene uwovu kwa jina la Yesu kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kua Yesu ni bw.

  • @donitoalberto3154
    @donitoalberto3154 2 года назад +8

    Grande senhor Mazinge que Allha abençoe sempre você. Meus grande abraço! 🇲🇿

  • @hamidaissa4769
    @hamidaissa4769 2 года назад +5

    Mungu akuweke shekhe ,hapo kwenye dakika 850 umpe majibu Allah umezitumiaje 😭😭pagumu ya Raby majibu sijui km turakuwa tunayo maana kuutwa wengi wako kwenye mambo ya kipuuzi

  • @machetetz928
    @machetetz928 2 года назад +5

    Mungu akulinde shekh mazinge na watu wabaya

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor8528 4 месяца назад

    Masha ALLAH!! MWENYEZI MUNGU AKUJAALIE UMRI MREFU WENYE SIHA NA AFYA NJEMA nilipata bahati ya kuhudhulia muhadhala wako 1984 ukiwa na Prof Ngaliba, Othman matata, kawemba, sheikh said Abri na wengineo

  • @user-qh2kr2lk4u
    @user-qh2kr2lk4u 10 месяцев назад

    Shekh mazinge Allah akihifadhi insha Allah

  • @MwinyialiMtali
    @MwinyialiMtali 2 месяца назад

    Professor mazinge Allah akupe umri mrefu

  • @designdesign4426
    @designdesign4426 2 года назад +4

    Nakukubali sana profesa lollmodowangu....

  • @faridbashuu
    @faridbashuu 2 года назад +2

    Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh, insha'Allah KARIBU KENYA. Sheikh Wetu Sote. Raha Sana Wallahi.

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 2 года назад +3

    Mashallah tabarak Rahman sheikh mazinge allah akulipe fii dunia wa akhera yarab ameen 🥰🥰🌹🇴🇲

  • @kellugumba8172
    @kellugumba8172 2 года назад +6

    Mash Allah mungu atujalie na mungu akuongoze na safari yako shekh wetu.

    • @amosomary7928
      @amosomary7928 2 года назад

      Ww ustetee dini soma mandiko matakatifu upate maarifa soma biblia na korohani properly na ufundishe watu kutokana na maagizo ya MUNGU amri 10 za MUNGU sio utee uisilamu muhamadi ni muovu tu

    • @nassorhaji2637
      @nassorhaji2637 2 года назад

      @@amosomary7928 Alookupa hilo jina nahic kama alikosea maana hilo jina la Omar ni jina tukufu kwa Allah SW yaani sayyidinaa Omar (As) sasa ww umepewa jina zuri la baba yako ..rudi kwa Allah SW vyenginevyo utakuja kufeli ndugu yangu

  • @assaneanliassane4680
    @assaneanliassane4680 Год назад

    Sheh Mazinge Mungu akulipe pepo ya juu na sisi sote 🇲🇿

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 2 года назад +1

    sheikh Mazinge asalamu alaikum warahamatullah wabarakati ubarikiwe naomba masiliano mimi nawewe kwa jina la Allah. nafwatilia mihadhara Yako kwa mtandao lakini mimi sio mtz najitahidi tu kujifunza kiswahili kidogo kidogo kwa sababu napenda TZ Sana napenda kiswahili Japo misio mzaliwa lakini naipenda mungu ndo anajua kwanini nomesalitika nahio nchi mimi nimusilamu namshukuru mungu kwa kua muisilamu nenge penda niwe kati yatu ambao wanachangia kwa mihadhara Yako naomba uniletee namba ya simu Yako ishallah ili nionge nawewe

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 2 года назад +1

    Peter yaunga subiri dakika ya mwisho hapo utasema njaa zimemshika sheikh mazinge lakini nakuombea mungu yakuongoze katika njia yaukweli

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 2 года назад

    Mashallah Mashallah Shekhe Mazinge Allah akuweke.

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko 2 года назад +1

    Mashaallaah mola akuhifadh na akupe elimu uweze kutangaza uislam na uwaelimishe makafir amiin

  • @frankmpembu2505
    @frankmpembu2505 2 года назад +5

    Waislamu mtakuja kulia na kusaga meno, musipo batizwa na kumkirj Yesu kuwa ni Bwana na mwokozi

    • @hilmialiomar1983
      @hilmialiomar1983 2 года назад +2

      Uislamu ndo dini, soma ndugu yangu utajua ukweli.

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 2 года назад +1

      @@hilmialiomar1983 Acha nikutoe usingizini;
      UKRISTO siyo dini,kwanza weka hilo kichwani.
      Halafu MUNGU huyu aliyeumba mbingu na nchi yeye hana Dini!
      MUNGU anaangalia imani ya mtu,na Ukristo ni IMANI timilifu kwa MUNGU,vile jinsi YESU alivyokuwa na IMANI hata akaweza kufufua wafu,hiyo ndio IMANI ya Kikristo.

    • @hilmialiomar1983
      @hilmialiomar1983 2 года назад +1

      @@editrudesmbonde9051 kufufua co imani kasome ndugu yangu,uwezo wa kukufua kwa Nabii Issa(A.S) nyinyi munamwita Yesu ni miujiza aliopea na Allah (SWT) na wakati wa nabii Issa (A.S) walikua wachawi na kila mtume alipewa miujiza yake kwa mfano Nabii Suleiman (A.S) alikua anaongea na wanyama,majini na vitu. Mungu anatutaka tuufate Uislamu na Mitume wote walikua waislamu.

    • @hilmialiomar1983
      @hilmialiomar1983 2 года назад

      Nimekusudia kusema wakati au zama za Nabii Issa (A.S) watu walikua wachawi ndo maana Allah (SWT) akampa Nabii issa (A.S) uwezo wa kufufua,na kufufua sio imani ni miujiza.

    • @hilmialiomar1983
      @hilmialiomar1983 2 года назад

      Nimekusudia kusema wakati au zama za Nabii Issa (A.S) watu walikua wachawi ndo maana Allah (SWT) akampa Nabii issa (A.S) uwezo wa kufufua,na kufufua sio imani ni miujiza.

  • @abdullahiguyo7547
    @abdullahiguyo7547 2 года назад +1

    Allah akuzidishie umri sheikh wetu ,uzidi kupata khery Yaa Habib

  • @jumajillo2348
    @jumajillo2348 2 года назад +9

    MTU AKISEMA UKWELI ANACHUKIWA NA WATU WENGI SANA...ALLAH AKUHIFADHI UZIDI KUISHI MAISHA MAREFU..AMIIN

  • @drtee7533
    @drtee7533 2 года назад

    MashaAllah Mungu akuzidishie...na ulipokosea hapo kwa kusoma ayatul Qursiy pia akuwezeshe kuitamka na kuisoma vzuri in shaa Allah🤲🏼

  • @hafsaali7976
    @hafsaali7976 2 года назад +2

    Mashaallah shekh wetu,Allah akuweke

  • @thulaniduku3218
    @thulaniduku3218 2 года назад +2

    Allah awarehemu ustahi Rico na wengine kafanya kazi kubwa katika uwislamu

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 Год назад

    Mashaallah 💓❤️ mazinge Allah akuzidishie umuri

  • @issrahayattv1356
    @issrahayattv1356 2 года назад +1

    mashaAllah MwenyeziMungu akulipe kheri n akuzidishie ummri n miaka mrefu 🤲

  • @saidmohd7240
    @saidmohd7240 2 года назад +1

    M/Mungu akurehemu/akulinde na Maadui wa Allah! Uendelee kuutetea uislam!!!

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko 2 года назад +2

    Mashaallaah ust wangu mola azidkusaidia ktk hilo amiin yaarabaliaalaamiin

  • @marcelinmdouze8025
    @marcelinmdouze8025 2 года назад

    Masha'Allah mungu akupe maisha ma refu Sheikh

  • @royalpriestsmusic5685
    @royalpriestsmusic5685 Год назад

    Nitaliitia jina la BWANA WETU YESU KRISTO MUNGU aliye hai My living God is Jesus Christ 🙏🙏

  • @jumasaid6170
    @jumasaid6170 2 года назад +2

    Mungu akuzidishie

  • @philismusyoka637
    @philismusyoka637 2 года назад +4

    Muhammad na kwan nn ako kwa wafu kama alikua na nguvu. Jesus is son of God and mlimwuua mkidhani mumemmaliza lkn instead akaenda akastahimili kwa maana ilikua n utabiri na lazima ungetimia amefufuka yuko hai we pray to God through Him, and through Him we will see the kingdom of God. To you Muhammad died and akufuka na hatawahi kufufuka yupo kwa wafu asubiri kuhukumiwa na huyu Yesu na ww pia

    • @shariffidriss1846
      @shariffidriss1846 2 года назад

      Inshallah we will see,jesus is my prophet

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 2 года назад +1

      💪💪🙏Thanks and God Bless you much🙏

    • @philismusyoka637
      @philismusyoka637 2 года назад

      @@editrudesmbonde9051 Amen

    • @hilmialiomar1983
      @hilmialiomar1983 2 года назад

      Mungu hazai, iweje yesu awe mtoto wa Mungu

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 2 года назад

      @@hilmialiomar1983 Hiyo ni miujiza na maajabu ya MUNGU,na ndio maana akaitwa MUNGU na si Allah wala Mohammad😂😎😀

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 2 года назад +4

    safi saaana Allah ni mjinga Mazinge anaakili kuliko Allah.. Allah anasema YESU hakuwa msarabani mazinge anasema YESU alikufa asante YESU... hukusoma je?? imeandikwa je? kunaneno gumu lolote lile..asiloliweza?? jamani 440 utakuta wako 2 tu

    • @azizymachadeson3577
      @azizymachadeson3577 2 года назад

      Hahahaha ani wewe ni ndezi cha kwanza hujui kiswahili hujui kuandika hujui kutafakari rudi shule ani we hata huelewi inaonekana ulimpa sn mwalimu wako shida kwenye uelewa 🤣🤣 umenifurahisha ani comment ako inaonesha hamna kitu umeelewa kilichoongelewa ! Rudi kasome mkuu unajiabisha ndo mana tunaambiwa kama hujui bora ukae kimya 🤣

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад

      KWANA WEWE MWEHU SANA YESU SIO MUNGU BADILISHA PROFILE YAKO MSHIRIKINA WEWE.

    • @seifserenge3340
      @seifserenge3340 2 года назад

      Mitego ya Mazinge hakuna mkristo YEYOTE anayeweza kuitegua. Nyinyi mfuateni ndacha awapoteze mukapate kisago katika moto wa jahannam

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 2 года назад

      @@seifserenge3340 mitego ya wapumbavu ni kuipuuza ndivyo Bible imetuelekeza ivyo

    • @jesusislord9190
      @jesusislord9190 2 года назад

      @@salimmalaka256 aliekwambia YESU sio MUNGU..Yy alimuona YESU..?? aliwaona majini...sio YESU..sawa?? waliomuona kwa macho na kumshika na YESU mwemyewe..alithibitisha kuwa ni MUNGU..wewe unaefuta mfu ambae hakumuona..unafuta dhana isiyo na ushahidi wa kuona wala kumsikia

  • @avalonking1655
    @avalonking1655 2 года назад

    Allah akueke shekh wetu

  • @abdulwahidmansour5450
    @abdulwahidmansour5450 2 года назад +4

    Sheikh mazinge ayatu kursiyyu kaiyangalie vizuri maalim wangu

  • @jimjam4148
    @jimjam4148 2 года назад +6

    MASHAA ALLAH

  • @saddybrezzy9777
    @saddybrezzy9777 Год назад

    Professor Mazinge

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 2 года назад +3

    Njaa inakusumbua,kila cku hujaga jipya,YesuYesu,ulidandia Dini kwa mbele,Walozaliwa kwenye Uislam wametulia manake wanajua Dini,Chakubimbi njaa

    • @jumajillo2348
      @jumajillo2348 2 года назад

      KUWA MUISLAMU KAKA UTAJUA KUSOMA NA UTAJUA UKWELI WOTE KUHUSU UISLAMU

    • @machetetz928
      @machetetz928 2 года назад

      Daaa mungu Wang ..... Omba msamaha kwa mungu ww.. anakufundsha unamwambia Ana NJAAA acha zalau ww

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 2 года назад

      @@machetetz928 Ndio njaa tu,Waislam wengi njaa,angalia ombaomba wengi ni waislam,sasa huyo Allah kalala?hawaoni mnavyohangaika?
      YESU ni jibu la kila kitu njooni kwa YESU sasa muda ni mchache🙏🙏

    • @karaoglan9444
      @karaoglan9444 2 года назад

      @@editrudesmbonde9051 kwani umaskini ni laana? Kichwa chako ndio kina njaa ya Fikra na UBONGO wako umefilisika!!

    • @karaoglan9444
      @karaoglan9444 2 года назад

      @@editrudesmbonde9051 boya Kweli wewe!!

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 2 года назад +1

    upo vzr sn Prof. Mazinge

  • @marengumohamed2715
    @marengumohamed2715 2 года назад +3

    Mungu mkubwa shekhe mazinge huu jaman nampenda sana

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 2 года назад +4

    kainukuu mathayo...kesho atasema imetiwa mikono

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 2 года назад

      Ujinga mwingi,,,hawajui lolote zaidi ya kuhangaika,,,YESU NI BWANA

    • @jumashabani8474
      @jumashabani8474 2 года назад

      @@josephwilliam5813
      Una mfahamu bwana? Mbn hata mm ni bwana

    • @frankmpembu2505
      @frankmpembu2505 2 года назад

      @@jumashabani8474 kuna Bwana na bwana, umeelewa?

    • @jumashabani8474
      @jumashabani8474 2 года назад

      @@frankmpembu2505
      Tofauti yake hapo ni herufi kubwa na ndogo lkn ni bwana moja tu

    • @frankmpembu2505
      @frankmpembu2505 2 года назад

      @@jumashabani8474 🤣🤣🤣🤣umeshasema kunautofauti,🤣🤣🤣. Nenda kasome Qur'an yako vizuri, ata Qur'an yako inakubali kuna Bwana na bwana, hao ni wawili tofauti

  • @alialimohamed1243
    @alialimohamed1243 2 года назад +2

    Uislam ni dini ya haki

  • @tomayodi3762
    @tomayodi3762 2 года назад +2

    Uongo uongo uongo uongoooo

  • @munirashughuli618
    @munirashughuli618 2 года назад +2

    Taqbeer Allahu Akbr

  • @tobiasantony3644
    @tobiasantony3644 2 года назад +3

    Kila goti litapigwa na kukili Kristo ndiye Bwana na mwokozi wa ulimwengu. Pigeni kelele tu

  • @jumaazuberi9317
    @jumaazuberi9317 2 года назад +2

    Maashaallaah Maashaallaah Maashaallaah. Naona kuna mabwege fulani wanacomment ujinga tulieni nyinyi

  • @binbaya923
    @binbaya923 2 года назад +2

    Maa shaa Allah

  • @yusufsadic2930
    @yusufsadic2930 2 года назад +1

    Shekh Mazing nashukur san uko vizur sana
    Lakin nakuomb kwaheshim
    nenda kadom Quruan
    Unavurug sana yan san
    it is not good ur Quruan shekh pls
    Angaliy ulivyozisom izo AYA mbil

  • @djhank2547
    @djhank2547 Год назад

    Dini ya kufuata ni kulingana na pale umezaliwa na Imani ya kwanza hutoka Kwa mama mlezi

  • @user-lh1ye4qe8j
    @user-lh1ye4qe8j Год назад

    Asalam Allaikum waramatullah wabarakatuh jmn naomba maoni yenu ktk nyinyi mliojaliwa na elimu, vp jmn Allah ni Nani km tunavyojua hafananishwi lkn Tukizungumza Allah tumtafakari km Nani naomba ndugu zng cz tumelizungumza lkn badhi wanasema ni spirit ya Iman je ni kweli?

  • @mikatejunior1362
    @mikatejunior1362 11 месяцев назад

    Mashaalah

  • @muhdarif4321
    @muhdarif4321 2 года назад +2

    I can't understand this language but Islam zindabad love from India

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 2 года назад

      You have been fooled by this Religion for a long time.
      Now,open your inner eyes and see the TRUTH of Islam if you want to be safe😎🙏

    • @shariffidriss1846
      @shariffidriss1846 2 года назад

      @@editrudesmbonde9051 Alhamdullillah,inshallah one day truth will prevail over falsehood

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 2 года назад

      @@shariffidriss1846Ooooooh!
      You are out of this world, cause the TRUTH is already prevailed,just go and read Quran 3;55 and Bukhari 3443 you'll see yourself😂😀

    • @shariffidriss1846
      @shariffidriss1846 2 года назад

      @@editrudesmbonde9051 bukhari what🤣🤣🤣may Allah guide you

    • @shariffidriss1846
      @shariffidriss1846 2 года назад

      @@editrudesmbonde9051 if you continue denying your creator and start worshiping His creation,surely you are lost and hellfire is your eternity,Allah forbid and guide you to straight path

  • @mashaurcharles7825
    @mashaurcharles7825 2 года назад +2

    Mazinge msenge mpiga pesa tu huyu

  • @fatumasalumu2869
    @fatumasalumu2869 2 года назад +1

    Mashall

  • @rbagha5280
    @rbagha5280 2 года назад

    Message kutoka Canada. Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 2 года назад

      You don't have anything new just leave CHRISTIAN'S alone,will you??😎🙏

  • @medwho959
    @medwho959 Год назад

    Allah akuhifadhi!!

  • @alexandermulilison5844
    @alexandermulilison5844 2 года назад +1

    Nilikuwa Kwa hiyo debate ....Mzee Mazinge acha uongo na ushabiki.

  • @salehrama9797
    @salehrama9797 2 года назад +4

    Profesor tunaomba uiweke hii kwny Tiktok tupate kudowload!

    • @kimonimbinda422
      @kimonimbinda422 2 года назад

      Okoka huu ni upuzi.mohhamed was a demon possessed man.huyo atakuwa nabii wa Nani?Islam is just a scam to denie the divine power of God.it is a antichrist religion which Jesus Christ foretold will come.and any spirit that does not acknowledge that Jesus is the only son of God is not the spirit from God.jesus is God's incarnate.

  • @hillaryarande745
    @hillaryarande745 2 года назад +2

    Leo wsislamu wamesikia kweli Yani mazinge awadhibitishia kwamba yesu alikufa musalabani akazikwa akafufuka , Glory to God

  • @saramss7262
    @saramss7262 2 года назад +3

    Hivi wewe baba HiO pumzi Yako unayo tumiay unajuaa inapotoka endeleeni kuzarau pole SANA kipofu na huyo Allah wenu Mungu awasaidiye SANA

  • @MohammedAnusa
    @MohammedAnusa 6 дней назад

    Me napenda,mswaidha yako😢😢😢😮😮😅

  • @user-tt3jh1mq5y
    @user-tt3jh1mq5y 4 месяца назад

    Ukristo na Uislam vyot tulivikuta muhim is all living in Unity

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko 2 года назад +1

    Mashaallaah jazakumullah kheir eid Mubarak Muslim

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 года назад +3

    maashaallah

  • @pascalmbusa8826
    @pascalmbusa8826 2 года назад

    Mungu akupe nguvu

  • @emanuelkitandu3076
    @emanuelkitandu3076 2 года назад +2

    Heshim kazi ya mwenge haki

    • @ramadhanilukambuzi9760
      @ramadhanilukambuzi9760 2 года назад

      Ndiyo nini?

    • @josephdogani3419
      @josephdogani3419 2 года назад

      Analazimisha kuskilizwa kwa kutisha watu huyu mwendawazimu

    • @ramadhanilukambuzi9760
      @ramadhanilukambuzi9760 2 года назад

      @@josephdogani3419 Kawatishia na nini?Mbona hana panga au Mizinga?Sheria za Mwenyezi Mungu zinatisha kuliko yote ya hapa duniani na ndiyo maana hajavuko ktk misingi ya Allah,Kifo kinatisha kuliko Mizinga na mabunduki,Kifo sio Mazinge,kama unadhani peponi watu tunaenda kwa kucheza ndomboro tu,jitafakari haraka sana.

    • @ramadhanilukambuzi9760
      @ramadhanilukambuzi9760 2 года назад

      @@josephdogani3419 Kawatishia na nini?Mbona hana panga au Mizinga?Sheria za Mwenyezi Mungu zinatisha kuliko yote ya hapa duniani na ndiyo maana hajavuko ktk misingi ya Allah,Kifo kinatisha kuliko Mizinga na mabunduki,Kifo sio Mazinge,kama unadhani peponi watu tunaenda kwa kucheza ndomboro tu,jitafakari haraka sana.

    • @ramadhanilukambuzi9760
      @ramadhanilukambuzi9760 2 года назад

      @@josephdogani3419 Kawatishia na nini?Mbona hana panga au Mizinga?Sheria za Mwenyezi Mungu zinatisha kuliko yote ya hapa duniani na ndiyo maana hajavuko ktk misingi ya Allah,Kifo kinatisha kuliko Mizinga na mabunduki,Kifo sio Mazinge,kama unadhani peponi watu tunaenda kwa kucheza ndomboro tu,jitafakari haraka sana.

  • @seiflugendo5043
    @seiflugendo5043 2 года назад +2

    Mazinge wewe ni mwalimu wa dunia kwasasa nenda kawafundishe wakristo wamjue mungu wao wanamjua yesu lakini mungu hawamjui.

    • @seiflugendo5043
      @seiflugendo5043 2 года назад

      @Esin Esin Mazinge ni mwalimu wa walimu ndacha hana elimu yoyote yakumsumbua Mazinge

    • @nassorhaji2637
      @nassorhaji2637 2 года назад

      @Esin Esin Huyo ndacha ni nani kwani na yuko na hadhi gani hapa duniani na kafundisha nn ili siku ya Qiama ikifika akatetewe na Allah SW

  • @babumsiha1573
    @babumsiha1573 2 года назад +3

    Mashallah

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 2 года назад +1

    Akupe umri mrefu wa afya nakuwezeshe
    Kumikia swala

  • @user-yc4ui2kn8c
    @user-yc4ui2kn8c 9 месяцев назад

    There's no Allah in creation, the Bible doesn't recognize that kind of God. Please Mzee Mazinge, your God hajulikani. Usijaribu tena kuzungumuza unaemuita Allah katina uumbaji. I agree he's in your books but not in the Bible.

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 2 года назад +1

    Hawa ma sheikh ndio wakuwasaidia jamani wapigania dini yetu alhamdulilah

  • @athumanzahir8316
    @athumanzahir8316 Год назад

    Ww maneno mengi tatizo

  • @timothyskama6793
    @timothyskama6793 2 года назад +1

    Hahaha yaani watu wamekata kusoma vitabu wajue sasa ona mazinge atawandagaya hadi mwisho, mbona kila mtu asijisome vitabu,

    • @karaoglan9444
      @karaoglan9444 2 года назад

      Timothy wewe ndio muongo! Mazinge yupo sawa sana nikupe andiko?

    • @timothyskama6793
      @timothyskama6793 2 года назад

      @@karaoglan9444 ukifanya utafiti wa vitabu beyond what is written inside, uniambie sasa, but soma vitu kama mazing nikupidisha madiko tu, kwanza kama unajua petra unajua ulisilamu

  • @fatumjumaa5563
    @fatumjumaa5563 2 года назад +1

    Allah akupe umri mrefu

  • @kisosekatere6282
    @kisosekatere6282 2 года назад +1

    Weka Mada sasa unafikiria usemapo watu hawana la kutafakari usemapo
    Wewe weka mada hazarani mada hizo tumezisikia Mara nyingi na matokeo yake uli feli ktk Ku defend unacho kidai ulishinda WAISAL ACHENI USHABIKI tumieni AKILI
    Sasa Ma Pastors zaidi ya 60 ukiwa peke yako si uongo huo , usemapo unafikiria watu hawafikirii sasa hiyo debate ilichukua miaka mingapì mpak ma Pastor wote wa seme elewa yamepita na Wakati Sheik umedanganya mda mrefu

    • @seiflugendo5043
      @seiflugendo5043 2 года назад

      Wewe unachekesha nani katika dini yenu wakusimama naMazinge?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @frankmpembu2505
      @frankmpembu2505 2 года назад

      @@seiflugendo5043 🤣🤣🤣😂😂Huyo Mazinge amegaragazwa sana na Mapasta. Kule kenya hakufanya mdahalo na Mapasta hao aliowataja, alifanya mdahalo na pasta mmoja tu, Pasta Ndasha na aligaragazwa huyo Mazinge na Ndasha kuanzia kenya hadi Tanzania

  • @mnyongehilali729
    @mnyongehilali729 2 года назад

    Allah atakulipa kwa kile unachokipigania

  • @frankmpembu2505
    @frankmpembu2505 2 года назад +2

    Waislamu mungu wenu hajulikani hana jina,,,Allah siyo jina bali ni cheo au sifa🤣🤣🤣

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 2 года назад +1

      Wasaidie hawajui walisemalo ni vipofu wamefichwa ukweli😂😂

    • @bakariamour6024
      @bakariamour6024 2 года назад

      Wenu anajulikana ?

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 2 года назад +1

      @@bakariamour6024 Ndiyo anajulikana,na ndio maana anatuonekania kila tunapomuita, hushuka kwa nguvu na ushindi.
      Sisi ni Washindi zaidi ya Washindi Duniani😂

    • @fatmasuleiman1104
      @fatmasuleiman1104 2 года назад

      @@editrudesmbonde9051 mungu wenu anaitwa nan

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 2 года назад

      @@fatmasuleiman1104 His name is Alfa and Omega.

  • @MohammedAnusa
    @MohammedAnusa 6 дней назад

    Me napenda mawaidha yako

  • @mapishiyetumazuri2312
    @mapishiyetumazuri2312 2 года назад

    Hhhh mazige kiboko

  • @user-oo7xd9ex7m
    @user-oo7xd9ex7m 2 года назад +1

    Masha Allah

  • @jalaryababilasi1562
    @jalaryababilasi1562 2 года назад

    Mim mkiristo lkn nafurai xana kusikia neno la mungu lkn Ktka imani yng najua wote Ni wa muumba

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 2 года назад +3

    Kumbe halijui kusoma qurn,linaambiwa linaaibisha waislam,halijui kusoma hilooo,limedandia Dini kwa mbeleee,tunavunjika mbavu.

    • @zaburionlinetv6245
      @zaburionlinetv6245 2 года назад

      Vipi wewe unaweza kuisoma Qur'an?

    • @alafasyprintingservices660
      @alafasyprintingservices660 2 года назад

      Duniani hakun wot wanowez kusom Qur-an ipasavy nikwa7b y lafdh y ulimi kun wat hawawez mfan mzur Wahindi wakitaj Allah sio wot wanoweza

    • @masala8099
      @masala8099 2 года назад

      Peter ww ni mtu wa motoni lazima uongee kikafiri sadaka za kanisa zinakufanya utukane Dini ya Allah na utakufa mpumbavu hivyo hivyo na chuki zako

  • @johnawinda2165
    @johnawinda2165 2 года назад +1

    Hauna lolote hoja za msingi hakuna

  • @davisrotich116
    @davisrotich116 2 года назад +3

    Mazinge chombo cha waislamu kumtumia kupiga hela ila elimu hana

    • @alyumar4657
      @alyumar4657 2 года назад

      Acha wivu huo wiv 2 huna hoja

    • @imamushafiiforgoodislamict5420
      @imamushafiiforgoodislamict5420 2 года назад +3

      Kazi anazozifanya mazinge wewe hauziwezi Wala baba yako nahakuna hatammoja ktk ukoo wenu anaeweza, mazinge anafanya kazi kubwa sana, eti mazinge hanaelimu mpiga pesa tu, wewe kweli mjinga kazi anayoifanya mazinge bila elimu angeliweza kuifanya kazi hiyo? Ndio lazima apige pesa sasa wewe ukitaka ale wapi ? Nasisi wenyewe anaotupiga pesa tunampenda na tunazitoa hizo pesa sasa wewe inakuuma Nini? Kwanza rafiki unaumia ukiwa wapi?

    • @halfanimwakalinga9894
      @halfanimwakalinga9894 2 года назад +2

      Wewe unapeleka hela kanisani za nini akili huna kabisa , usitutukanie mashekh wetu bwege wewe

    • @seifserenge3340
      @seifserenge3340 2 года назад

      Nyinyi wakristo hamna akili hata KIDOGO. Mungu gani anazaliwa na binadam!!

    • @kasalamrisho6702
      @kasalamrisho6702 2 года назад

      We akili huna,elim hana anayo bab ako

  • @alexalute6712
    @alexalute6712 Год назад

    shekh unawapoteza wenzio baba

  • @shadyfungo6818
    @shadyfungo6818 8 месяцев назад

    Huyu jamaa atafanya nislim

  • @tvfoa7115
    @tvfoa7115 2 года назад +1

    Jazzakllah

    • @SHEIKHMWAIPOPOTV
      @SHEIKHMWAIPOPOTV 2 года назад

      La jamani tumuogope mungu hata mwezi mtukufu tunasema uongo pesa hizi zitatufikisha pabaya sana

  • @mr.g7445
    @mr.g7445 2 года назад

    Alhamdullah

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 2 года назад

    Mzee mtundu huyu Allah akupe afya

  • @hillaryarande745
    @hillaryarande745 2 года назад +2

    Unachanganya wsislamu maana wao pia na ww ukataa yesu akufa musalabani,unanijichanganya kweli

  • @athumanzahir8316
    @athumanzahir8316 Год назад

    Wekeni mnavobishara

  • @kassimlesso1979
    @kassimlesso1979 2 года назад +2

    Sawa lakini hata nabii ayub alirogwa na iblisi eye mali zake na watoto zake ili amjaribu ili kumjaribu imani yake alishindwa kuingia katika MOYO wake

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 2 года назад +1

      Ayubu alijaribiwa na shetani Tena kwa idhini ya MUNGU,,,na MUNGU na MUNGU Akasema usiitoe tuu roho yake,,,Sasa Muhammad anarogwa na mchawi ata sio shetani mwenyewe hii ni haibu,,,mtume anarogwa😂😂🤣🤣🤣

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 2 года назад +1

      Nyinyi wenyewe wachawi😂😂

    • @pilimusa3217
      @pilimusa3217 2 года назад

      @@josephwilliam5813 mchawi akiroga anatumia nini. Huna akili kweli. Jifunze kwanza kuroga ni nini. Wewe ni mwehu kweli

    • @pilimusa3217
      @pilimusa3217 2 года назад

      @@editrudesmbonde9051 kiti cha shatani kiko kanisani

  • @Sharifarajabudebe
    @Sharifarajabudebe 2 года назад

    Sheikh Fundisha watu wengin hicho kipaji

  • @jovithajovinary4787
    @jovithajovinary4787 2 года назад

    YESU NI MUNGU YESU NI MUNGU,

    • @alsamali6964
      @alsamali6964 2 года назад

      Lete andiko

    • @zawadimandia2742
      @zawadimandia2742 2 года назад

      Pole ndugu jiokoe mapema maana kaburini ni kipigo tuu hakuna ujanja ujanja kule

    • @alsamali6964
      @alsamali6964 2 года назад

      @@zawadimandia2742 Nitaamini vp kama yesu ni mungu ?

    • @alsamali6964
      @alsamali6964 2 года назад

      @@zawadimandia2742 ili kusiwe na ujanja ujanja toa andiko linalosema yesu ni mungu

    • @NurdiinXabiib
      @NurdiinXabiib 2 года назад

      With out proof don't destroy your your your self

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Год назад

    Unatisha baba!