Sura al imran: 19 Hakika dini ya pekee mbele ya allah ni uislamu. Na wala hawakuikataa waliopewa kitabu (wakristo na mayahudi - biblia na taurati) ila baada ya kuujua ukweli (quran) kwa chuki baina yao. Na kwa atakepinga aya za allah (quran) basi allah hukumu yake ni kwao ni ya haraka sana (kwani wataingizwa motoni bila kuhesabiwa matendo yao kwa kukataa kwao) Sura al imran:144 Na hakuwa muhammad ila ni mtume, na walitangulia kabla yake mitume wengine
Prof. Habib Othman Mazinge .. Allah amuhifadhi
Kazi kubwa ameifanya alhamdulillaah 🎉❤
M/Mungu amlete mrithi wa Mazinge asije akafa na elimu yake
Kinyogoli yupo
Shekhe mazinge allah akupe pepo ya juu kabisaa hakika unakazi nzito
Allah amjalie umri sheikh mazinge jamani
Masha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Allah akuzidishie
Allahu akbaru yaaaah allah rabiii zidniiii yaaaaah kariiim wewe ndie muweza
Mazinge Allah akuhifadhi na akulinde kwa kazi kubwa unayoifanya na wenzio hao wahadhiri
Allah akubariki ustaz wetu
makafiri ni wapingaji wa mitume wote hawawaamini mitume na vitabu na Mungu mwenyewe wapo tuu
Ya Allah❤❤❤
ALLAH AKBAR
Leo nakubali kama huyo pastor ajui tafsiri ya neno mtume…arudi shule
Sura al imran: 19
Hakika dini ya pekee mbele ya allah ni uislamu. Na wala hawakuikataa waliopewa kitabu (wakristo na mayahudi - biblia na taurati) ila baada ya kuujua ukweli (quran) kwa chuki baina yao. Na kwa atakepinga aya za allah (quran) basi allah hukumu yake ni kwao ni ya haraka sana (kwani wataingizwa motoni bila kuhesabiwa matendo yao kwa kukataa kwao)
Sura al imran:144
Na hakuwa muhammad ila ni mtume, na walitangulia kabla yake mitume wengine
Allah akubariki sana Sheikh Mazinge, Jazzak Allah Khair Insha Allah ❤
Huko south aliongea lugha gani huyo mfuga majini wa msanga 🤣🤣🤣