Ustadh Mazinge Amchakaza Mchungaji South Africa-Utume wa Mtumie Muhammad (s.a.w)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 18

  • @swafiirbulbul819
    @swafiirbulbul819 5 месяцев назад +5

    Prof. Habib Othman Mazinge .. Allah amuhifadhi
    Kazi kubwa ameifanya alhamdulillaah 🎉❤

  • @ImanSaid-ox3po
    @ImanSaid-ox3po 5 месяцев назад +3

    M/Mungu amlete mrithi wa Mazinge asije akafa na elimu yake

  • @ZuhuraHamisi-v2k
    @ZuhuraHamisi-v2k 5 месяцев назад +2

    Shekhe mazinge allah akupe pepo ya juu kabisaa hakika unakazi nzito

  • @FatumaFatu-ok9kt
    @FatumaFatu-ok9kt 5 месяцев назад +1

    Allah amjalie umri sheikh mazinge jamani

  • @hassanadam3007
    @hassanadam3007 5 месяцев назад +2

    Masha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Allah akuzidishie

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 5 месяцев назад +1

    Allahu akbaru yaaaah allah rabiii zidniiii yaaaaah kariiim wewe ndie muweza

  • @salimobeid1470
    @salimobeid1470 Месяц назад

    Mazinge Allah akuhifadhi na akulinde kwa kazi kubwa unayoifanya na wenzio hao wahadhiri

  • @KabatoniBoraa
    @KabatoniBoraa 5 месяцев назад +2

    Allah akubariki ustaz wetu

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 5 месяцев назад +4

    makafiri ni wapingaji wa mitume wote hawawaamini mitume na vitabu na Mungu mwenyewe wapo tuu

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 2 месяца назад

    Ya Allah❤❤❤

  • @ShakurAKBAR
    @ShakurAKBAR 7 дней назад

    ALLAH AKBAR

  • @omarcpt1178
    @omarcpt1178 3 месяца назад

    Leo nakubali kama huyo pastor ajui tafsiri ya neno mtume…arudi shule

  • @BushDoctor-dw8el
    @BushDoctor-dw8el 5 месяцев назад +2

    Sura al imran: 19
    Hakika dini ya pekee mbele ya allah ni uislamu. Na wala hawakuikataa waliopewa kitabu (wakristo na mayahudi - biblia na taurati) ila baada ya kuujua ukweli (quran) kwa chuki baina yao. Na kwa atakepinga aya za allah (quran) basi allah hukumu yake ni kwao ni ya haraka sana (kwani wataingizwa motoni bila kuhesabiwa matendo yao kwa kukataa kwao)
    Sura al imran:144
    Na hakuwa muhammad ila ni mtume, na walitangulia kabla yake mitume wengine

    • @mariamhassan8152
      @mariamhassan8152 4 месяца назад

      Allah akubariki sana Sheikh Mazinge, Jazzak Allah Khair Insha Allah ❤

  • @richardsalala9147
    @richardsalala9147 Месяц назад

    Huko south aliongea lugha gani huyo mfuga majini wa msanga 🤣🤣🤣