Hawa Mayahudi si ndio wale waliotaka kumuua Nabii Issa as. Ust. Mazinge

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 186

  • @aminahkimwana109
    @aminahkimwana109 10 месяцев назад +1

    Mwenyezi_Mungu akuhifadhi ❤❤❤

  • @KhadijaMohammed-z8c
    @KhadijaMohammed-z8c 10 месяцев назад +3

    Takbiriii

  • @Azuu-rq6te
    @Azuu-rq6te Год назад +8

    MaashaAllah Sheikh Mazinge Nakupenda kwa ajili ya Allah, Nakuombea kwa Allah akuzidishie umri mrefu uzidi kutupa elimu.

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 11 месяцев назад +4

    Twakupenda kwa Ajili ya Allah 🤲

  • @jumahamad3723
    @jumahamad3723 11 месяцев назад +1

    Allah akufanyie wepes katika uislamu na harakati za daawa

  • @shabansumaiya4770
    @shabansumaiya4770 Год назад +5

    Allah atujaalie mwisho mwema

  • @hassanhamisi9096
    @hassanhamisi9096 Год назад +5

    Allah akupe umri mrefu ili utupe elimu

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 11 месяцев назад +1

    Allah nakuomba umlipe shekhe Mazinge Jannah🙏amefanya kazi kubwa mno na anaendelea kuifanya 🙏

  • @kessesqalead6241
    @kessesqalead6241 Год назад +7

    Uyu mzee akifaaa ntasikitika sana wallah

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 Год назад +1

      Sema akianza yeye,ukianza wewe he!!,Allah akulinde amiin amiin

    • @ZsbAlbarwani
      @ZsbAlbarwani 11 месяцев назад +2

      Allah ampe umri mrefu InshaAllah

    • @jamillamasoud5608
      @jamillamasoud5608 11 месяцев назад +1

      Allah ampe Umri Mrefu InshaAllah

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 11 месяцев назад +1

      lazma ukasirike maana umeamini binadamu kama ww ukakataa biblia,mazinge ni agent wa shetani kuwapeleka watu motoni!

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 11 месяцев назад

      @@jamillamasoud5608 allah ampe umri mrefu ili aendeleye kuwadanganya nakuwapotosha watu ndivyo munavyo taka shauri lenu!

  • @bibisalim8666
    @bibisalim8666 11 месяцев назад

    Allaha akubariki hapa duniyani nakesho ahera tuwe pamoja peponi Amiin

  • @jaduj4-px9jq
    @jaduj4-px9jq 11 месяцев назад +1

    Allah akulinde na safari

  • @seiflugendo7141
    @seiflugendo7141 Год назад +3

    Mwenyezimungu akutangulie ustadh.

  • @AliMohamed-pj1sb
    @AliMohamed-pj1sb 11 месяцев назад +9

    Dini ya kweli kwa Allah ni uislamu ...Yesu mwenyewe ni muiislamu aliingia sinagogi waislamu takbir

    • @ZsbAlbarwani
      @ZsbAlbarwani 11 месяцев назад +1

      Allahu Akbar ☝️

    • @saumusalimuhassan2499
      @saumusalimuhassan2499 11 месяцев назад +1

      AllahuAkbar

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 11 месяцев назад +2

      Kwa hiyo wayahud ni waislam, maana masinagog ni makanisa ya kiyahud na inasomwa biblia sio quran, sasa nyie sijui kina nani, tatizo akil hamna mnaropoka ka wehu, tulizeni akil

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 11 месяцев назад

      nipe andiko linasema dini ya kweli mbele za Mungu ni islam,sio kwa mdogo ila leta andiko,kwanza ujuwe mazinge ni agent wa shetani kuwapeleka watu kwa shetani!

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 11 месяцев назад

      ACHA ujuha kama sinagogi ni MSIKITI JE nyumba ya ibada ya wayahudi inaitwaje?

  • @salehemohamedi6560
    @salehemohamedi6560 Год назад +1

    Amina mwenzimungu akujaarie

  • @adamopitanvitanvita7958
    @adamopitanvitanvita7958 11 месяцев назад +1

    Allah akupe umri mrefuu ya habib

  • @MziuKhamis
    @MziuKhamis Год назад +1

    Masha Allah Allah akupe umri mrefu utupe elimu

  • @hajilukani4769
    @hajilukani4769 Год назад +2

    Mashallah🎉 congratulations

  • @Jumamabela
    @Jumamabela Год назад

    Allah akupe umri mrefu sheikh mazinge

  • @sakinahassani1455
    @sakinahassani1455 11 месяцев назад

    MashaAllah Allah akupe kheri

  • @hassansaidi8424
    @hassansaidi8424 11 месяцев назад

    Allah akupe hali murefu nakujaze heri

  • @hatibumohamedi3471
    @hatibumohamedi3471 Год назад +3

    سبحان الله

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Год назад +2

    Kiyama atakaerudi ni Yesu.Wayahudi ndiyo kabila ambae Mungu kupitia Yesu alishuka.Wana Uwezo wa maajabu katika mengi

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Год назад +2

      alishuka nani unasema, kiswahili gn unatumia

    • @neemamajana3078
      @neemamajana3078 Год назад +1

      Wayahudi ni Taifa la Mungu hakuna anayewaweza, acha mbwa wabweke kwani hakuna wanalolijua.

    • @anwaryabdallah7782
      @anwaryabdallah7782 Год назад +1

      ​@@neemamajana3078Eti taifa lamungu!?Walitaka kumuua Yesu ambae ndiokimbilio lenu Alafu unasema taifa lamungu⁉️

    • @szbaacademy
      @szbaacademy Год назад

      Jews they are anti-christ followers (dajjaaal)

    • @saphinalutaha9077
      @saphinalutaha9077 Год назад +2

      ​@@neemamajana3078Taifa la mungu klasku vta😂😂😂😂😂

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 Год назад +5

    Kumbe Yesu pia ni mkubwa sana hata katika uislamu na Bwana apewe sifa

    • @ntakirutimanavicent-lj2tn
      @ntakirutimanavicent-lj2tn Год назад +3

      Mbona mukisema yesu lazma muongeze neno bwana 😂😂 nyinyi ni mademu Nini?? Yeye ni bwana nyinyi ni mademu au? Wakristu acheni Ushoga kwani ninani asiejuwa kama yesu ni kidume Kama kama vidume wote namimi nikiwemo Utafauti wangu naye yy Ni mtume wa Allah Mimi mjinga moja

    • @mwashumkigoda
      @mwashumkigoda Год назад

      Macho yenu na roho zenu mbaya washenzi nyie uidlam ndio dini ukristo biashara

    • @KHAMISIMUNGI-w7e
      @KHAMISIMUNGI-w7e Год назад +2

      Ni kweli mkubwa, lakini c mungu Wala mwana wa mungu kama nyinyi mnavyoamini, ubarikiwe

    • @joezeno8
      @joezeno8 Год назад

      ⁠​⁠​⁠​⁠@@ntakirutimanavicent-lj2tnkweli wewe ni Mjinga! Jina “Said” maana yake Bwana, sasa na Waislamu kimuita Mwanaume mwenzie”SAID” ni Ushoga?

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Год назад

      ndo nini sasa kwani bwana si mwanaume yyte, kwani si tuna sema ma bibi na mabwana sasa kuitwa bhna ndo nini sasa, iv kwani yesu aliwahi kuingia kanisani kwani na ilikua jumaa ngp. na alivaa suti rangi gn

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 11 месяцев назад

    Masha Allah 🥰

  • @nicksonlyimo1562
    @nicksonlyimo1562 Год назад +1

    Tatizo ni mtu ukiamua kwa dhati kuishia maisha ya kumcha Mungu kwa ukweli ,mpira unakua ni dhambi kubwa sana

    • @babuloliondo74
      @babuloliondo74 11 месяцев назад

      Nikweri sisi mungu wetu wakirasiku sio yure wa jumapiritu

  • @AlMuallay
    @AlMuallay Год назад +5

    Kiboko wa wakristoo

    • @lululivingstone8298
      @lululivingstone8298 Год назад

      Wa kristo hatuna kiboko wala mashindano ila nyinyi mnajitekenya na kucheka na wazahifu wa imani ndio mnawateka maana maongezi haya hayana mashiko anaongea stori za kitoto

  • @mrafm7285
    @mrafm7285 Год назад +1

    Takbiir Allah Akbar

  • @munamuna4621
    @munamuna4621 11 месяцев назад +1

    Amiiin yarrabi

  • @IkwabeJames
    @IkwabeJames Год назад

    Maashallah

  • @shukurukitabana5280
    @shukurukitabana5280 11 месяцев назад

    En tout cas toutes les église ont sa théologie. Vs avais compris sa demande de l'offrande. Nime kubali kabisa akuna dini bila pesa .kwakweli wa afrika tuna kazi ngumu sana

  • @ngagishow2614
    @ngagishow2614 11 месяцев назад +1

    Mwalimu ongera sana

  • @mesaidikazungu4299
    @mesaidikazungu4299 Год назад

    Mashallah

  • @adamkanja6449
    @adamkanja6449 Год назад +2

    ❤❤

  • @DOCTORMitishamba-m1r
    @DOCTORMitishamba-m1r Год назад +1

    We nimpumbavu mungu anaweza kufanya chochote

  • @lululivingstone8298
    @lululivingstone8298 Год назад +2

    Zee zima halijui utabili wa manabii wa uongo ulitabiliwa afu nakushukulu sbb yesu unamjua

    • @mixhacute1375
      @mixhacute1375 Год назад

      Kakojoe ulale ukiamka kaendeleze kampeni zenu za Ushoga

    • @saidimdoe5246
      @saidimdoe5246 Год назад

      Ww unaejua sema sasa

    • @zubedarichard2311
      @zubedarichard2311 Год назад

      Zee baba Yako huyu shekhe Wetu Bado Kijana mmbichi

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 11 месяцев назад

      We kuma toka hapa nuksi wewe

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 11 месяцев назад +1

    Hapo kwa mitume wengi duniani umenikosha nikweli kbsa

  • @habibamura5255
    @habibamura5255 Год назад +1

    ❤❤❤

  • @sophiajuma6798
    @sophiajuma6798 Год назад

    Ameen thuma Amiin 🤲

  • @Gloriousacademy-e8l
    @Gloriousacademy-e8l 11 месяцев назад

    Assalaam ghalaykum jaman mwenye namba za huyu shekhe mazinge naomba pls

  • @TabukidebweKidebwe
    @TabukidebweKidebwe Год назад

    Aamina

  • @DOCTORMitishamba-m1r
    @DOCTORMitishamba-m1r Год назад +1

    Aisei we mzee nimuongo atari

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 11 месяцев назад

      Muongo babako aliempa mamako mimba inje ya nfoa

    • @DOCTORMitishamba-m1r
      @DOCTORMitishamba-m1r 11 месяцев назад

      @@saumbliz8983 kumayamamaako msenge wewe uliona minimetukana pele hayo mambo yawazaz yametoka wapi naukijibutu kumayamamaako tena

  • @babuloliondo74
    @babuloliondo74 11 месяцев назад

    kweri taifa ramungu namungu mwenyewe warimtundika msarabani

    • @ZsbAlbarwani
      @ZsbAlbarwani 11 месяцев назад

      Na alikufa akaaicha siku tatu dunia haina Mungu hatari

  • @MecksonPeresi
    @MecksonPeresi Год назад +1

    Wewe mazinge ni mpumbavu hujui ukweli wa wayahudi

  • @rama_kajenza.
    @rama_kajenza. 11 месяцев назад

    Mbona hii comedy sasa sheikh😂😂😂😂😂

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
    @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 11 месяцев назад

    Katika watu wenye loo mbya katika i dunia waslam awataki kuwaona waklistu wanaish katika i dunia ndomana ata mungu alijua ilo kuwapa waklsto kuwa na nguv angalia ata nnch zao vujo tup somali sudani

    • @AlbertMussa-lz2wf
      @AlbertMussa-lz2wf 11 месяцев назад

      Ila nchi zenye amani ndo zinaongoza kwa ushoga hasa inchi za magharibi

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 Год назад

    Sasa kama title inaandikwa mayahudi hiyo media inakuwaje?

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh
    @JeanMuzaliwa-bs6qh 11 месяцев назад

    ndio mwamposa sio mtume Mungu,Muhammad pia sio mtume Mungu,pia na ww mazinge unatumiwa na shetani kuwapoteza watu!

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh
    @JeanMuzaliwa-bs6qh 11 месяцев назад

    watu wanakuwa wenye kudanganywa pasipo kujua maana wamekataa ukweli,mathayo 22:29,2wathesalonike 2:9-12!

  • @pilatoonlinetv9660
    @pilatoonlinetv9660 11 месяцев назад

    Roho mbaya tu, Tafuta khela wacha makasiliko Nabii suleimani alipewa utajiri wa kutosha na bado tunaamini aliingia peponi.

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 Год назад +1

    Mbona hata Waarabu walimpopoà mtume mawe? Mnawasema Wayahudi tu.

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Год назад +1

    Mazinge Acha kudharirisha uana zuoni wako, suala la Israel na Palestina Acha kabisa kulizungumza kidini za kibinadamu

  • @nestorysanga3938
    @nestorysanga3938 Год назад +2

    Mtume wa Mungu anasifa Gani?
    Je mtume Mohamed alipewa utume na nani?
    Je mtume Mohamed alikutwa na nini kule pangoni ? Tunajifunza nini juu ya ndoa ya Mtume Mohamed na bi KHadija juu ya kupendwa na kupenda
    m

  • @Juniorjacob-le1rr
    @Juniorjacob-le1rr Год назад

    Nyie ndio mmejawa na huo ushoga

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 11 месяцев назад

    Mohammad walitaka kumuuwa sababu ya ubakaji

    • @impeccablerito7922
      @impeccablerito7922 11 месяцев назад

      Mda mwingine ukikaa kimya unaonekana una akili zaidi kuliko ukiongea

  • @lululivingstone8298
    @lululivingstone8298 Год назад +2

    Atutaki hoja tunataka kuona jina la yesu likifanya kazi ayo mengine ni yenu pepo zinatetemeka kwa jina moja tu ukiamini utaokoka

    • @babuloliondo74
      @babuloliondo74 11 месяцев назад

      vip mungu anaye kwenda chooni

  • @Yesunimwokozi1
    @Yesunimwokozi1 Год назад +1

    Wayahudi hao hao ndio walimpa sumu Muhammad akafa

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Год назад +1

      Duh kumbe alipewa sumu

    • @Yesunimwokozi1
      @Yesunimwokozi1 Год назад

      @@adkajisi4536 naam

    • @hamidahamdun3646
      @hamidahamdun3646 Год назад

      Ulikuwepo? Unauhakika na unachokiandika?

    • @mashakabundala9955
      @mashakabundala9955 Год назад +3

      Kama una mzushia mtume wetu laana ya mwenyezimungu iwe juu yako na kila ufanyolo halito kwenda labda usilim

    • @manalb325
      @manalb325 Год назад +2

      Sio ukweli hajapewa wala hajafa kwa sumu

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 Год назад +2

    Roho mbaya zinawasumbua sana ninyi maslamu. Hamtaki kusema Wayahudi wamechokozwa, sasa kelele za nini acha dawa iwaingie. Nguvu za kupigana hamunazo kazi ni uchokozi tu na mdomo.

    • @anwaryabdallah7782
      @anwaryabdallah7782 Год назад +1

      Wamechokozwa kwalip

    • @saphinalutaha9077
      @saphinalutaha9077 Год назад +1

      Vta ya isrel na Palestine haijaanza leo wala jana ni mda mrefu wachokoz huwa ni wasrel

  • @jofreykilangila4118
    @jofreykilangila4118 Год назад +1

    MUNGU yeye hashindani . Wala habishani

  • @joackimmutulu
    @joackimmutulu 11 месяцев назад

    Sio kutaka walimuua kwa kwa kumuwekea sumu

  • @shabanbachane7318
    @shabanbachane7318 Год назад

    Utapokea mshahara gani

  • @martinmkoba361
    @martinmkoba361 Год назад +3

    Waislamu wengi sana wanapotoshwa na huyu

    • @suleim505
      @suleim505 Год назад +1

      Wacha chuki

    • @mohamedrashid8615
      @mohamedrashid8615 Год назад +1

      Ukweli wauma

    • @binmakinda4109
      @binmakinda4109 Год назад +2

      Chuki zako tu ila ukwer ndo uo

    • @hamidahamdun3646
      @hamidahamdun3646 Год назад +4

      Hajawahi kutupotosha huyu ni kiboko yenu nyinyi wakiristo ndio maana mnamchukia.

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 Год назад +2

      Dawa inawaingia na bado mtazidi kumchukia mazinge😂😂

  • @pinielefraem4159
    @pinielefraem4159 Год назад +1

    Anamtuma muarabu sio

  • @RamadhanAlly-qg9hq
    @RamadhanAlly-qg9hq 2 месяца назад

    Ila uiaialu usipouwelewa bas

  • @nasrahamisi479
    @nasrahamisi479 Год назад

    KUNA MJINGA HAPO ETI ANASEMA ENDELEA KUPOTOSHA WATU WE MWEHU KWELI ANAKUPOTOSHA NANI WEWE MWENYEWE UMESHAPOTOKA

  • @eliudndadeba6193
    @eliudndadeba6193 Год назад

    ITAFIKIA HATUA IJNILI ITAHUBILIWA KWA HILA YESU ANATAJWA HADI MISIKITINI OKOKENI NYINYI KINGINE MAZINGE WE ULITAKA SADAKA ZAO WAMBIETU USIZUNGUKE UPEWE HIZO SADAKA UNAXOTAKA.

  • @bellasi349
    @bellasi349 Год назад

    Sasa kwanini mkuwe na mtume mwarabu kwanini asiwe mnyakyusa kwani muhamadi sialikuwa anauza ngamia

  • @mimishaidu5812
    @mimishaidu5812 11 месяцев назад +1

    😂😂😂😂funga milango

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 Год назад +2

    Kazi yenu ni maneno ya kupotosha watu, mfuga majini wakubwa.

    • @ShineniAhmadi
      @ShineniAhmadi Год назад

      Jitahidi uwe na jicho lakuona ili uone misukule iliopo makanisani inaita watu,

    • @AliAbdinoor-i4o
      @AliAbdinoor-i4o Год назад

      😂😂😂😂

  • @iddisalimu5028
    @iddisalimu5028 Год назад

    Ipo sku wakiristo watajuta kwa Julia machozi kikowapi yesu atawakana kwani mayahudi hawamjui yesu

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 Год назад +1

      Wayahudi hawamjui YESU au hawamjui Mohammad? Yaani Kuna mtu akaacha kumjua mtu wa kwao? Unaota wewe,

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 11 месяцев назад

      ​@@nicksonlyimo1562yesu nani😊

  • @RamadhanAlly-qg9hq
    @RamadhanAlly-qg9hq 2 месяца назад

    Mtume mnyakyusa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @JajiZakayo-fw9mk
    @JajiZakayo-fw9mk Год назад

    hiyo wamakalu wamakala mbona unaitafasiri vingine haya inasema walifanya udanganyifu na Allah akafanya udanganyifu na Allah ni mbora wa kufanya udanganyifu.

    • @ashuramohamedumeongeavyema9710
      @ashuramohamedumeongeavyema9710 Год назад

      Muongo

    • @saphinalutaha9077
      @saphinalutaha9077 Год назад

      😂😂😂😂 kasome tafasir vzr acha kumzulia mtume na mwenyezmngu na unaposoma aya za kwenye Qur'an uwe unaanza mwanzo had mwsho

    • @JafarHussein-qe6ly
      @JafarHussein-qe6ly 11 месяцев назад

      Ndio maana Allah Taala Akawaita makafir. Yaani hata Alie kuumba unamuita muongo? Allah Taala Anasubra sana la sivyo Angesha waangamiza enyi wanyama mlio kosa shukurani .

  • @BoniphaceTito
    @BoniphaceTito Год назад +1

    Wivu tu unakusumbua

  • @JamuhuriIsaya
    @JamuhuriIsaya Год назад +1

    Nabii wako marihemu hata ala wako naye Ni baba wauongo

    • @jumahamad3723
      @jumahamad3723 11 месяцев назад

      Kwani nani hatokufa
      Kama ww sio marehemu kaa ivo ivo

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 Год назад +2

    Mbona kimbunga kilichotokea kule maqa kidogo na lile box jeusi mnalozungukaga libomoke hajasema umekazana na marekani

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Год назад +4

      Hayo maneno utakuja yajutia pale Roho yako inatoka. Kama itafikia mpaka mda huo haukuingia katika uislam na kujjutia

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 Год назад +1

      @@Mumewangu mi siwezi kua mpagani na kumfuata Mungu WA kiarabu WA kabila la makuresh mi namfuata Mungu mwenye pumzi ya uhai na MWANAE Yesu Christo Bwana WA Mabwana mfalme WA wafalme

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Год назад +4

      iv unajua ile alkaba unayoiita jiwe, unajua aliijenga nani au unasema tu soma vitabu utaona, ibrahi ndo amejenga ile alkabA ambae ni baba wa imani ww kaa tu na mwamposa wako. kasome kitabu cha mwanzo itakutia hadi maji ya zam zam yametajwa. ww bakk tu wazungu wakuletee suti na yesu alivaa kanzu na kwenda msikitin

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 Год назад

      @@medimisi6930 nipe Aya Katika kitabu cha mwanzo inayosema Ibrahim kajenga Hilo box lenu jeusi huu ni uongo na haujawahi kutokea

    • @hamisihassani7356
      @hamisihassani7356 Год назад +5

      Hawapendi kusoma vitabu hao ataukiwambia ukweli hawapendi

  • @raiyaaaraiyaa6054
    @raiyaaaraiyaa6054 11 месяцев назад

    Hapo ndio wakristo huwajielewi. Ati mapadr wanawambia heri alie masikin wa roho maana ufalme wa mbingun ni wao. Alafu mapadr wao ni matajir kwa psa zao. Hivi hamujiuliz Kwan Hawa mapadr hawataki ufalme wa mbingun. Tumieni akili

  • @BoniphaceTito
    @BoniphaceTito Год назад +1

    Endelea kufundisha uongo na kupotosha watu

  • @JamuhuriIsaya
    @JamuhuriIsaya Год назад +2

    Mazinge nimuongo wadanganye wajinga

  • @abelmbata37
    @abelmbata37 Год назад

    Kwanza si kweli kwamba mechi 10 ni siku 37 ni masaa 15 (1.5×10) hata mechi zote 100 hazifiki siku 37 bali ni siku 6 tu.
    Mara nyingi watu tunaangalia wanayofanya wenzetu ambayo sisi hatupendi tunaona kama ni dhambi sasa jiulize mechi 1 ni dakika 90 je inamaana we Mazinge hakuna siku hata 1 ambayo umepoteza dk 90 katika wiki? Maana mpira ni mara moja kwa wiki.
    Inamaana wewe wakati wote unasali?
    Mpira ni mara moja au mbili kwa wiki je wote ambao hawajaenda mpirani wapo ibadani? Kosa ni kuangalia mpira au kuto kwenda ibadani? Maana inaonekana walioenda mpirani ndo wamekosea saana kuliko ambao hawajaenda hapo nao hawajaenda kuswali
    Hoja hapa nafikiri isiwe mpira bali watu wamwabudu Mungu maana yale ujumbe uwafikie watu wote hata ambao hawajaenda mpirani lakini hawapo kwenye ibada

  • @Juniorjacob-le1rr
    @Juniorjacob-le1rr Год назад

    Mjinga namba moja dunian ni mazinge