SHK MAZINGE :WAMEKUJA NA MBINU MPYA WAISLAM WENGI WAMERITTAD || WANADHOOFISHA IMANI ZA WATU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 68

  • @ffed1876
    @ffed1876 Год назад +4

    MaashaAllah shukran sheikh Mola akujaze kheri nyingi na barka pamoja na sheikh wetu Mazinge Mola amhifadhi ampe jannatul Firdaus Aamin Yarabbi.

  • @babuuabdalla4117
    @babuuabdalla4117 Год назад +1

    Ma Sha ALLAH.
    ALLAH SWT Akulipe Sheikh Kisede wewe na sote kwa nia zetu ili tezea kuwailimisha Waislamu na wasio kuwa Waislamu amin 🤲

  • @AbdallahAlly-m8s
    @AbdallahAlly-m8s Год назад +1

    Mashaallah Allah awaweke nguvu ya imani waislamu sote

  • @mirfatymohd5580
    @mirfatymohd5580 Год назад

    Mungu akupe maisha marefu shekh mazinge

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 Год назад +1

    MashaAllaah MashaAllaah Barrakkah Allaah huu fiekoum

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 Год назад

    Namuheshimu sana Shekh Mazinge kwa kaz yake mkubwa sana ya kumtangaza Allah
    Allah mwenyew ndie atamlipa

  • @frankmpembu
    @frankmpembu Год назад +1

    Nawaombeeni kwa Bwana Yesu, msife mkiwa Waislamu

    • @haridyhillaryndembo1946
      @haridyhillaryndembo1946 Год назад

      Bwana yesu mwenyewe ni sheikh mvaa kanzu mwenye ndevu nyingi anakuambia imeandikwa muabuduni Mungu na muende masjid kumsujudia Mungu
      Luka 6:12 yesu anakesha anakosa usingiz kuomba Mungu we kinyago unamuomba yesu😄

    • @AbdallahHussein-fr4zv
      @AbdallahHussein-fr4zv Год назад

      Yesu mwenyewe mwisilam wewe sijui uwo ukristo umeupata wapi

    • @frankmpembu
      @frankmpembu Год назад

      @@AbdallahHussein-fr4zv Yesu hakua Muislamu na wala Uislamu haujui. Kipindi cha Yesu Uislamu haukuwepo, Uislamu umeanza mwaka 610 na Bi Khadija ndiye Muislamu wa kwanza Duniani.Qur'an 16:125 (Baruani)
      FAFANUZI YAKE INASEMA;
      "Na jadiliana na watu wa Dini zilizotangulia, katika watu wa Biblia yaani Mayahudi na Wakristo.
      Kitabu:African Bible.
      Uk: 2216. kinasema;
      "Uislamu ni dini iliyoenea duniani iliyoanzishwa na mtume wa kiarabu Muhammadi"
      Kitabu:Maisha ya Nabii Muhammadi
      Mwandishi: Kadhi Sheikh Abdullah Saleh Farsy
      Uk :11 kinasema;
      Bi Khadija yeye ndiye Mwislamu wa kwanza baada ya mtume, naye ndiye mwanamke wa pili mtukufu katika umma huu wa Nabii Muhammad."
      Kitabu: Wakeze Mtume wakubwa na wanawe.
      Mwandishi: Kadhi Sheikh Abdullah Saleh Farsy
      Uk: 13 kinasema÷
      "Yeye Bi Khadija ndiye Muislamu wa kwanza ulimwenguni"

  • @mkwipunda2036
    @mkwipunda2036 Год назад

    Maasha Allah Allah azidi kuwapa nguvu majemedari wetu

  • @wardamwikali7891
    @wardamwikali7891 Год назад

    Mashallah tabarakallahu sheikh,jazakallahu kheir

  • @ramyramso
    @ramyramso Год назад +3

    Allah Qarim namuomba Allah anijaalie nife nikiwa muislam anijaalie kabla sijakufa niwe miongoni mwa wanatoa mawaidha 🤲🏾🤲🏾 insha Allah

    • @fredrickgitonga1972
      @fredrickgitonga1972 Год назад +1

      Ukifa mwislam umepotea

    • @hassancharo1496
      @hassancharo1496 Год назад

      Inshallah

    • @hassancharo1496
      @hassancharo1496 Год назад

      ​@@fredrickgitonga1972Muslim na Kaffir nan ame poteya

    • @yusufkhanna
      @yusufkhanna Год назад

      @@fredrickgitonga1972 na wote waliolala kwenye ukristo wamepotea,hayo ni maneno ya bibilia sasa ww lete aya waliolala kwenye uislamu wamepotea,hamuna kitu wala hoja wakristo kama kuna mtu anayejiamini ajitokeze

    • @ramyramso
      @ramyramso Год назад

      @@fredrickgitonga1972 nyie hamjielewi mwamposa kawapelekea malori ya udongo mmeuziwa kijiko buku mumemtajirisha mwenzenu kawapiga pesa kaenda kujenga hotel nyie mnaakili kweli

  • @AliMasoud-ux5os
    @AliMasoud-ux5os Год назад

    Mashalla llah

  • @thamani5842
    @thamani5842 Год назад

    ALLAH akulipe kila la kheir

  • @allahakujazekheriwowww5694
    @allahakujazekheriwowww5694 Год назад

    Inalillahi wainailayhi rajiun kesede mola akuifazi duniya na akhera kwakweli nimeskiya ucungu kwagisi umekamatwa

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 Год назад

    Prof Mazinge

  • @saidmruu5897
    @saidmruu5897 Год назад +1

    Masha ALLAH sheikh ALLAH akuzidishie...lakini sheikh mbona unamtaja mtume na humswalii.saw.

  • @ramyramso
    @ramyramso Год назад +1

    Masha Allah

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw Год назад

    Shukran shekh Kasede

  • @adamopitanvitanvita7958
    @adamopitanvitanvita7958 Год назад +1

    Allahuma amine

  • @tanzanian8847
    @tanzanian8847 Год назад

    Takbiiir takbiiiir, Allah Akbar

  • @dottomccraney5485
    @dottomccraney5485 Год назад

    Masha Allah 😍😍😍

  • @jumannemuhammad2073
    @jumannemuhammad2073 Год назад +1

    Allahu aqbar

  • @SalimMohamed-v4g
    @SalimMohamed-v4g Год назад

    Mashallah

  • @kassimhassan8426
    @kassimhassan8426 Год назад

    MashaAllah jakkah ALLAH

  • @amittambwe473
    @amittambwe473 Год назад +1

    Sheikh Kisede, nimimi Tambwe Ibrahim Goma. Nitumie number yako plz nilipata Habari ya kufungwa kwako, pole sana nasema tena karibu sana tena ukumbuni.

  • @allahakujazekheriwowww5694
    @allahakujazekheriwowww5694 Год назад

    Mashallah kiswaili swahihi

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Год назад

    AMEEN 🤲🏽🤲🏽

  • @umdtv2749
    @umdtv2749 Год назад

    😂 hahaha shehe unalisha watu matango poli.
    Mungu awasaidie sana waislamu

  • @tanzanian8847
    @tanzanian8847 Год назад

    Allah Akbar

  • @DOCTORMitishamba-m1r
    @DOCTORMitishamba-m1r Год назад

    Waislam wakiritadi kosa wakristo wakiritadi rahaaaaaaaaa mh mtajibeba

  • @mozartshukuru8604
    @mozartshukuru8604 Год назад

    Mbona wote waliimba hivi nanyi huaga mnaimba😂😂😂😂😂

  • @sulefromcongo7187
    @sulefromcongo7187 Год назад

    Huyo Ni Mwalimu

  • @ngugimundia6306
    @ngugimundia6306 Год назад

    Huyu mrongo sana hadithi za kutunga...eti wakasema mkiinamisha kichwa chini mnasujudia shetani? Acha upuzi...mkristo yupi akupe hoja ya kitoto hivyo?njoo kenya tukupe injili ya kweli uokoke...si hizi habari za mazinge kutunga sarakasi na wafuasi wenzake....

    • @hassaniharuna1010
      @hassaniharuna1010 Год назад

      Ndugu hii Nch Ina Mambo ya Ajabu Sana Usibishe Kama ww unajua ukiristo Basi Shukuru kwa kufahamu Kuna Watu hawajui kitu kabisa na Utashangaa ukisimuliwa watu hajui kitu pia Kuna waislamu pia hawajui lolote

  • @banyankirubusamarc1727
    @banyankirubusamarc1727 Год назад

    Siyo ivo waislamu muna muabudu shetani , si kwakusujudu, apana, kwa mulivyo bi amini tena uyo yiko anazngumuza akasema muhammadi ni zaidi ya mitume yote ilipo pita duniani ati n'a Yesu nimudogo kwa muhammadi, huyo mwalimu anakufuru, muhammadi aliowa mutoto wa myaka sita muhammadi kitabu alico telemka naco alikipewa nashetani mwenyewe, sourat albakala 2:97 muhammadi ni mwalimu wa mashetani , uwo ni mutume gani? Potenza hawo bipofu habaguwi kushoto na kuliya hawo ni Kuni za za jahanhamu. Endeleeni. Yesu alisema kuna waliyo na masikiyo hawasikii na wana maco hawaoni endelea kumukufulu mungu kiama Kiko mulangoni kitatueleza Nani muongo Nani mu kweli.

  • @KarimahemediHemedi
    @KarimahemediHemedi Год назад

    Aiseee namkubali mazinge jamani nimemsikia bado nikiwa mdogo napenda niwe kama yeye

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 Год назад

    Mama hapo kashakula hela za kanisa kisha hawaja mpata 😅😅

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 Год назад

    Muhhamad hajawahi kutukanwa yeye ndio huwa anatukana watu ...kwani? Muhhamad aliupata utume vipi?? Nani?? Alimpa Muhhamad utume?? Nani alie waambie muelekee makkah we umewahi kumsikia Allah au jibril akisema Muhhamad ni mtume??

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw Год назад

    Mie pia nimemsikia mazinge toka niko mtoto mdogo.

  • @anselmoonolius
    @anselmoonolius Год назад

    Kwan uongo? Kwan mnadhani mnamwabudu nan😅😅😅

    • @zuwenasleiman3587
      @zuwenasleiman3587 Год назад

      Waulize waislamu wenyewe watakujibu wanamuabudu nani usimuulize padri

    • @swalehemusa4546
      @swalehemusa4546 Год назад

      Kwan yesu alikuwa anamwabudu nani au ndio hujielewi

  • @felixgitonga6783
    @felixgitonga6783 Год назад

    Nikweli unababundu seteni waislamu wote wanabudu jiwe markaa

    • @andrewmhagama9816
      @andrewmhagama9816 Год назад

      Wewe waache tu waangamie maana Mithali 29:1 Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, Atavunjika ghafula, wala hapati dawa.

  • @bellasi349
    @bellasi349 Год назад

    Huyo mkimbizi😂tu nae anafata mafundisho y’a kijinga y’a muhamadi eti upénde muhamadi kuliko wazazi wako mafundisho y’a kijinga maandiko yanasema mwaheshimu wazazi wako ili uishi miaka mingi na kheli duniani alafu eti umpende muhamadi akiri amuna nyie kenge yani uache kumpenda mama yako eti umpende mwarabu wa makka tena aliezaliwa na kafili muabudu masanamu

    • @dinocastico8495
      @dinocastico8495 Год назад

      Hakuomba kuwa mkimbizi ila ni hali hutokea tu baada ya kutofautiana kwa viongozi, si vyema kubeza . Kubishana ni sehem ya wapumbavu ila majibizano ya hoja ni sehem ya wasomi sasa naww jibu kisomi kupitia maandiko😊

    • @athumanikadaika5817
      @athumanikadaika5817 Год назад

      Sio vizuri kabisa kumdhihaki Mtu au imani ya Mtu U dini usiyoiamini au kujua, tumia hoja au dalili ili uonekane una akili timamu kwa kuvunja hoja za hizo.
      Swali una dhani aliyekuletea na kukufundisha mafundisho ya kuwa uwaheshimu wazazi wako ni nani kama sio manabii.

    • @wardamwikali7891
      @wardamwikali7891 Год назад

      Mungu akusamehe,maana haujuhi unachokisema,nakuombea mungu akuongoze kwa njia ya haki,uwe muislamu,aamiin

    • @nyetaapaul9389
      @nyetaapaul9389 Год назад

      We acha ukafiri wako, wewe ndio utaenda motoni husipomkubali Mtume Muhammad (s.a.w)

  • @Sempreapostandonaverdade989
    @Sempreapostandonaverdade989 Год назад

    Kisede Hana lolote

    • @dinocastico8495
      @dinocastico8495 Год назад +1

      Wewe una chochote ukilete sasa katika unacho kifaham

    • @amittambwe473
      @amittambwe473 Год назад

      Wewe unani zaidi ya Kisede? Kwanza umetiya alama ya lana, tupu. Sababu ya ujingatu

    • @cabylake2320
      @cabylake2320 Год назад +1

      Kenge ww

  • @kassimhassan8426
    @kassimhassan8426 Год назад

    MashaAllah