MAAJABU YA MSIKITI WA MAJINI MAKKA, SHEIKH KIPOZEO ASIMULIA ALIVOSALIMIANA NA JINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 98

  • @Sidik-d7e
    @Sidik-d7e 8 месяцев назад +2

    ASSLAMALAKUM WARAMATUALLAH WABARAKATU SHEKH KIPOZED I AM PROUD OF YOU MY BROTHER FROM TZ. I LISTEN STORY MASID OF JINN IN MAKKAH SAUDI ARBIA 🇸🇦 .I AM LIVING IN UK 🇬🇧 LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA MOMBASA BUT STILL I LOVE AFRICAN COUNTRIES ALSO TZ. ZANZIBAR. AND KENYA 🇰🇪 .MY BROTHER SHEIKH KIPOZED I RESPECT U FROM BOTTOM OF MY HEART ❤️ 💙 💜 💖 💗 UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧 LONDON. ONE DAY INSHALLAH I WILL COME TO VISIT YOU INSHALLAH IN TZ. REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧 LONDON WS. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @LabaniKushaha
    @LabaniKushaha 14 дней назад

    Yesu anakuja

  • @Naitharomar
    @Naitharomar 8 месяцев назад +8

    Makafiri tulieni hii mada haiwahusu nyinyi nyinyi endeleeni kuabudu masanamu na endeleeni kumuita mungu binadamu mwenzenu aliezaliwa na binadamu mwanamke

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 8 месяцев назад

      Makafiri ni washenzi waongo wanaodanganya mchana kweupe eti wamekutana na jini na washenzi kama wewe wanaoamini uongo huo manina zenu

    • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
      @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 8 месяцев назад

      Mungu alisha kataza kushilikiana na majini mtatiwa moto nyinyi

    • @GodfreyDaudi-ed1ck
      @GodfreyDaudi-ed1ck 8 месяцев назад

      Kafiri ni mtu asiye mjua mungu ila pia usijiite muislamu kama hauishi maisha mtume wako unaemfuata kama kiongozi mbele za mungu

    • @ibrahimgwasma235
      @ibrahimgwasma235 6 месяцев назад

      Acha kujikoseha pepo

    • @nomamatata754
      @nomamatata754 6 месяцев назад

      Makafiri ni wote wasio mjua Mungu wa kweli, bali anataka kutuingiza kwenye imani za mawe meusi na mashetani.

  • @kidyric
    @kidyric 7 месяцев назад +1

    Kristo ainuliwe milele na milele yupo Jana na Leo.

  • @KudraWanguvu-em1xw
    @KudraWanguvu-em1xw 6 дней назад

    ktk watu wenye matumizi mabaya ya akili washirikina wengine wanasema ng'ombe na wengine bina adamu wenzao wamfanye Mungu wakati M/Mungu hana sifa za udhaifu

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 8 месяцев назад +2

    Masha'allah adi wacristo wanafatilia na ku comments matusi😂😂

  • @swafiirbulbul819
    @swafiirbulbul819 8 месяцев назад +2

    Ni viumbe wa Mungu kama Wanaadamu..
    Wapo katika Majini Waislamu na wapo Wasiokuwa Waislamu.. 🖊 ...

    • @elbaricktv1632
      @elbaricktv1632 8 месяцев назад +1

      Majini ,mapepo ni agent wa shetan sio wa mungu malaika ndo agent wa mungu Sasa mtasemaje Majin ndugu zenu????inamana shetan ni ndugu yenu pia

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 8 месяцев назад +6

      @@elbaricktv1632 Ukielekezwa pengine Utaelewa..
      Kuna tofauti kati ya Jini na shetani.. (bahati mbaya maneno yote mawili yana asili ya lugha ya kiarabu)
      Jini ni kiumbe kama mimi na wewe.. Shetani ni yeyote alieasi, haijalishi ni Jini au Mwanadamu..

    • @abuushakiraddausiy8666
      @abuushakiraddausiy8666 8 месяцев назад

      ​@@swafiirbulbul819Allah akubaarvumemjibu vizuur Sana

    • @nomamatata754
      @nomamatata754 6 месяцев назад

      Ni mashetani hao jidanganye mwenyewe

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 6 месяцев назад

      @@nomamatata754 Hii ndio tofauti ya Elimu na Mhemko .. 🖊 ...
      Shaytwan & Jinni ni Maneno ya Kiarabu , Sisi waswahili tumeyatohoa. Mungu hajaumba Shetani, bali ameumba Jini na Mwanadamu .. Shetani ni Sifa mbaya anayoipata Jini au Mwanadamu baada ya kuchupa mipaka ya Muumba wake..

  • @MichaelVicent-k7h
    @MichaelVicent-k7h 8 месяцев назад

    Aloooo eeeh Dani lnamakubwa sana

  • @jumaruhinda9987
    @jumaruhinda9987 10 дней назад

    Godwinmduya6080 hayo mashetani mnayoyafukuza makanisani TOKATOKA si rafiki zenu acha zako majini ni viumbe pia.

  • @KhamisOmar-kt4kz
    @KhamisOmar-kt4kz 8 месяцев назад +3

    Wengi mlicomment matusi ni wakisto nyny hamna mnachojua mmekaririshwa mistar ya bibilia hamjui chochote hata ktika kitabu chenu Sasa ww unafkiri majini wote ni makafir soma hata hyo bibilia yko inasemaje katka viumbe wa Mungu jini ambae anamuogopa Mungu ni bora kuliko ww ulokariri msiri mmoja wa biblia so someni Mungu awangoze katka haki

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 месяца назад

      Ebu weka hilo andiko namimi niliona, maana inaonyesha wewe unaijua sana biblia

    • @LastdayJesu4153
      @LastdayJesu4153 3 месяца назад

      Sheikh Hamis tuwekee hizo nukuu tujifunze

  • @FelixMurishi
    @FelixMurishi 2 дня назад

    Uisla m na Upagani ni pacha😮😮

  • @khalidmdimu4177
    @khalidmdimu4177 8 месяцев назад +1

    Ulijuaje kama ni jini, una ushahidi wowote juu ya Hilo,

  • @martinmkoba361
    @martinmkoba361 6 месяцев назад +1

    Jamana tunapomuongelea jini ndie shetani mwenyewe uyo😂😂😂😂

  • @وزيرهالوزير-ذ8س
    @وزيرهالوزير-ذ8س 3 месяца назад

    Hawawatu ndio wanautukanisha uislamu dunianikot kwamambo wanaoyaleta kwenye uislam unajim nakutumiamajini nauchawi namambomengine meengi hawawatu uislam kwao hauko uislam ukokwawatu wasunatul alijamaa hata ukimfatilia huukipozeo nimtumwenye kuleta mzaah nakuchekeshawatu nakweyendini haifai kwahio hawawatu wanachokifanya nikujitafutia kipato ndiomana tunasema usufi ni uzandaqa nanibalakwenyejam yakiislam

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri7757 8 месяцев назад +1

    Shekhe Kipoozeo i Milienda Maka kuwatembelea wakuu wenu wa Uislamu.Tukiwambia Uislamu dini ya majini manakataa vipi?!

    • @nevermind4789
      @nevermind4789 6 месяцев назад

      kwani jini kaumbwa nani?Mungu anasema hakuwaumba maiini na watu ila wapate kumuabudu ! Wajibu wa majini na binadamu ni moja !Tatizo elimu finyu na dini yenu ya mapokeo mkiambiwa munaweza kwenda ulaya bila passport 😂mara sijui mfunge mpaka mfe mnafuata😅

  • @abdulrahmanjumasaid8152
    @abdulrahmanjumasaid8152 7 месяцев назад

    Wewe umepokea tayari....

  • @jumaruhinda9987
    @jumaruhinda9987 10 дней назад

    Nasirohamed umenihuzunisha sana hivi wewe ni muislam au umetumia jina bandia

  • @godwinmsuya6080
    @godwinmsuya6080 7 месяцев назад

    Kulikuwa na vita mbinguni, Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake, nao hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena mbinguni. Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani/Jini, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye, Nyie waislamu kwa tamaa, ulafi, na kufuru zenu mukamkaribisha shetani na malaika zake waovu "QIBLA" mukamwita "NDUGU" yenu wa kijini wakati hata huko Mbinguni "ALISHINDIKANA" akaishia kufukuzwa, eti leo ndio munamuabudu na kumsujudia.. ole wenu zinakuja siku zilizo mbaya, mkirini Yesu Kristo mukombolewe..

  • @AhmadMalongo-op9gz
    @AhmadMalongo-op9gz 8 месяцев назад

    Ulijuaje kama ni jini?

  • @jumaruhinda9987
    @jumaruhinda9987 10 дней назад

    We mshamba usitukane dini za wenzako mapungufu ya dini yako huyaoni?

  • @omarybasho2341
    @omarybasho2341 6 месяцев назад +1

    Wakrsto mkinya amtawazi

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 месяца назад

      Unaenda nao chooni

    • @LastdayJesu4153
      @LastdayJesu4153 3 месяца назад

      Omi hiyo haikupeleki peponi😅😅😅

    • @abuumkota5505
      @abuumkota5505 2 месяца назад

      😂😂😂😂

    • @TpaShedone
      @TpaShedone 16 часов назад

      Mafundisho ya mwilini, eti ukijamba ukatawaze,mkiswali mkiinama shetani anawapuliza matakoni,eti ukiingia chooni tanguliza mguu wa kushoto,eti pepo ya waislamu kunazawadi ya wanawake bikra 70,pombe, asali, eti amri kumi za waislamu ni kufuga ndevu,kuoa wake wengi,eti waislamu wanaruhusiwa kutumia majini hii nikwasababu hawana Mungu wa kweli,waislamu ni ndugu na majini,walisilimu kwasababu hata uislamu ni dini ya majini. Hii dini mwanzilishi wake ni jini au Shetani ndiye aliye mtokea Muhammad kwenye pango ,hurumasn,tenasn huruma Wakristo wahurumieni hawa watu, waislamu mungu was Allah ni nyota mwezi na jua, soma Qurani 6;77

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 3 месяца назад

    Wachawi wakubwa nyinyi

  • @mirajihamza2892
    @mirajihamza2892 8 месяцев назад

    Majini ndugu zetu ndio,,,nyie haiwahusu,,na wala hatuwalazimishi muamini hivo,,nyie abudunitu Masanamu na mapadri,,,halafu msivo jua maandiko,,,eti mtu akisema majini ndugu zetu mnashangaaaaa,,,mambumbumbu,,hatuna muda wakuwafundisha

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
    @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 8 месяцев назад

    Nyie subirini tu mkatiwe moto pamoja na ndugu zenu majini mashetani waganga wachawi wanzinzi kama nyie motonii

  • @bululaomary8494
    @bululaomary8494 7 месяцев назад

    Wakiristo amkeni ngoja mfe mkaulizwe na mungu nabii yangu Gani nilimpa kitabu Cha biblia hakuna nabii hata 1 aliyepewa bibilia nyie ndio Kuni za motoni mnaenda kuabudu na vimini

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 месяца назад

      Wewe ni mjinga wa mwisho Adam, Noah, Ibrahim walikuwa na kitabu gani,unatakiwa kujua kwamba mwanadamu alianza kumwabudu Mungu hata kabla vitabu havijakuwepo

  • @nasirmohamed1589
    @nasirmohamed1589 8 месяцев назад +1

    We ungekutana na jini si ungekufa muongo mkubwa mashehena wa kiswahili wasanii tu hata hamuoni haya kudanganya

    • @samuelnyange9169
      @samuelnyange9169 8 месяцев назад

      Sio uongo waislam huona majini wakristo huona malaika

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 8 месяцев назад

      @@samuelnyange9169 tungekuwa tunaona malaika tungekuwa tunadanganywa na mapasta feki kila siku na miujiza feki na kutombewa wanawake wewe unafkiri kumuona jini au malaika ni kama umemuona shangazi yako.waislam na wakristo wote mafala mnadanganyana tu.hakuna anayemuona jini wala malaika ushenzi tu

  • @MichaelVicent-k7h
    @MichaelVicent-k7h 8 месяцев назад +3

    Dini ya kiislamu lnausishwa na majini Tupu hakuna Jini mwema wote wamelaaniwa wanatii amri ya Lucifer na Baba Yao,,lvo Waislamu mnakibalua kzito mnapokufa

    • @Kzm-c9u
      @Kzm-c9u 8 месяцев назад

      Mapepo yanatolewa kanisani na mafuta ya upako😂

    • @moahmed7588
      @moahmed7588 8 месяцев назад +3

      Tusomeni jamani. Mungu ameumba viumbe vingi sana wakiwemo binaadamu, malaika na majini. Binaadam na majini tofauti yao ni kwamba binaadam tunaonana wenyewe kwa wenyewe na majini pia wanatuona ila majini wao wanaonana ila sisi hatuwaoni mpaka kupatikane hali mahsusi/nadra sana kuwaona. Vitabu vyote vya dini vinakubaliana na hilo. Kama ilivyo kwa sisi binaadamu wapo wanaoabudu na wapo wanaokufuru basi na majini pia wapo wanaoabudu na wapo wanaokufuru. Majini wanaokufuru wanaitwa mashetani. Ushetani ni tabia na hata akiwa nayo binaadam ataitwa shetani na wanaitwa wengi tu. Binaadamu wanomuamini Allah na Mtume Muhammad SAW ni waislam na hata Majini wanofanya hivyo pia watakua ni waislam. Malaika wao wote ni waislam mana hawawezi kukufuru. Na neno uislam ni amani inayopatikana kwa kuisalimisha nafsi yako kwa Allah mmoja. Yoyote atakaefanya ivyo atakua MUISLAM. Tatizo ukiwachanganya Majini na Mashetani ukaona ndio sawasawa itakua sawa na kuwachanganya wenye dinina wachawi n.k

    • @MichaelVicent-k7h
      @MichaelVicent-k7h 8 месяцев назад

      @@moahmed7588 Kwanza nashkulu Kwa maelezo nakubaliana lla napinga Kwa majini NI viumbe Wazuli na NI Haki kuwausisha na Ibada ya Mungu,,mana ATA uchawi ukitumia Kwa Jambo jema je Utakuwa NI Halali? Kama vile waganga wanavotibu je Hawataukumiwa Kwa kaz njema ya kuponya,,? Kama wanaponya waganga basi Basi Tufanye Uganga NI Halali Kwa Waislamu,, Au Uchawi unaoleta faida kwenu NI Halali? TAMBUENI WAISLAMU KWAMBA HAKUNA JINI MWEMA. MAJINI WOTE NI MALAIKA WALIOMUASI MWENYEZIMUNGU,,WOTE WALIPWA WANASUBILI HUKUMU ,,,ILA Jini unaweza kumtumia unavotaka je unalengo GANI? Jini uyouyo MMOJA unaweza kumtumia Kwa Uhalibifu au Kwa wema,, apo NI mwanadamu Maamuzi yake sio Jini,,,

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 8 месяцев назад

      Tatizo wakristo hamna elimu yakutosha kuhusu majini ndo tatizo

    • @godwinmsuya6080
      @godwinmsuya6080 8 месяцев назад

      Na hii mito ya safari lager huko pepeoni? waislamu hamwezi kumshinda shetani kwa akili zenu wenyewe..

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 8 месяцев назад +1

    Majini ni Waislam, hatari sana.

    • @yohana1242
      @yohana1242 8 месяцев назад

      Maana ya uislam ni unyenyekevu kwaio wapo wanyenyekevu wanaomnyenyekea mungu

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 8 месяцев назад

      Mnachekesha ila wazungu wakiwaambia kuna allien na movie wanaact mbakubali ila wakiitwa majini na waislam mnashangaa

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 8 месяцев назад

      Hao wana elimu chache​@@fahadfaraj6474

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 8 месяцев назад

      Ndio ni waslamu jitie kitanzi

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 месяца назад

      ​@@fahadfaraj6474Ila wazungu wanaakili kuliko waarabu tuwe wakweli, uislam ni majanga matupu

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 8 месяцев назад

    Din ya kishenzi sana hii

    • @achantyyahya4290
      @achantyyahya4290 8 месяцев назад

      Mshenzi Mwenyewe 🤨Chefuuuu mxiuuuuuu

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 8 месяцев назад

      Kuliko dini Ile ya kuigiza mara mlemavu ameponyeshwa,mara mfu kufufuliwa,mara bikira maria mama wa Mungu,Kama si wazimu ni nini

    • @uhmairasirlum
      @uhmairasirlum 8 месяцев назад +1

      Yaan we fanya utubu maan ukifa na kauli yako ya kuwa uislamu din ya kishenz we siku ya hesabu jiongeze tu usisubr hesabu yak

    • @IssaSaid-si4in
      @IssaSaid-si4in 4 месяца назад

      Mshenzi n ww usie elewa

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 месяца назад

      ​@@hadijamandanje6189Hayo umeyaona wapi

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 8 месяцев назад +3

    Et mtu anajisifu kabisa Majin ndugu zao afu wanajiita din ya haki jinga kabisa kwan hamjui majini'mapepo na shetan ni kitu kimoja??? kwaiyo mtakuja kutuambia na shetan kaslim ni ndugu yenu wajinga nyie msiojielewa Sasa kama shetan ndugu yenu pepo mtaisikia tu😂😂😂

    • @Khalifa611
      @Khalifa611 8 месяцев назад

      Tuliza mtako

    • @elbaricktv1632
      @elbaricktv1632 8 месяцев назад

      @@Khalifa611 mwambie mamayako atulize matako mana bado namshika shika kinembe

    • @sulekhan7119
      @sulekhan7119 8 месяцев назад

      Jitu punguani dawa siku moja lipatwe na jini likufilie mbari

    • @allykondo8406
      @allykondo8406 8 месяцев назад

      ​@@elbaricktv1632 matusi uliyotumia SI sawa ungemludishia yeye na SI mama yake kubali umeteleza ulimi huleta maafa ukisikia maafa ndiyo hayo Kwa kifupi umepata zambi Kubwa kumtukuna au Kumuhusisha asiyekuwepo Fanya Toba kabla maafa hujapata Kwa maana utaoona kawaida lkn ni tatizo tayari ila kama utanielewa Kwa wema tuuh utajua nimekuueleza Nini?

    • @elbaricktv1632
      @elbaricktv1632 8 месяцев назад

      @@allykondo8406 mi sio bwege aisee Yan mtu antukane nimwache we niaje aisee kila mtu anaiman zake usinishauli kitu

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 8 месяцев назад +1

    Mapepo na majini ,waganga wachawi na shetan ni kitu kimoja kama ilivyo malaika na mungu ni kitu kimoja sasa kwakua majin ndugu zenu na shetan pia ni ndugu yenu yan nyie ni ummat shetwain

    • @MichaelVicent-k7h
      @MichaelVicent-k7h 8 месяцев назад

      Kaka Ndo mana Waganga wanatumia Quraan,,na wanapandisha majini na wanaongea kuquraan,, Na Mganga lazima amtaje Allah na Muhammad Wanapoomba Dua zao,,,Waganga,,Na Waislamu,Majini, Na Wanga Chama Moja,,,NA TUKIKEMEA KWA JINA LA YESU WANAKIMBIA KWELI NA NDO MANA HAWATAKI ATA KULISIA ILO JINA KWAO NI FIMBO,,,,

    • @sulekhan7119
      @sulekhan7119 8 месяцев назад

      Acheni unafki haiwahusu hii kaeni kando

  • @godwinmsuya6080
    @godwinmsuya6080 8 месяцев назад

    Hii Dini ya Kiislamu niya hatari sana yaani anamuongelea jini eti ni waislamu wenzetu, loh! sehemu yao ni lile ZIWA la moto wao na mtume wao....

    • @mrishopoyo26
      @mrishopoyo26 8 месяцев назад +2

      Mkristo Hana elimu ya kuwafahamu viumbe visivyo onekana kwa macho ya kawaida. Hamna kitabu cha kuwafundisha hayo Mambo

    • @mrishopoyo26
      @mrishopoyo26 8 месяцев назад +1

      Ispokuwa huyo yesu anawafahamu zaidi hao majini kuliko ninyi mliokosa elimu hiyo bahati mbaya wazungu wamewamiliki kifikra mpaka kwenye maandiko. Macho mnayo ila hamuoni.masikio mnayo ila hamsikii. Ndio tatizo sugu kwenu

    • @mussaissa6796
      @mussaissa6796 8 месяцев назад

      Wee ELIMU huna
      Hujui kuwa mungu wenu kwenye biblia alikuwa akitumia mashetani katika mambo yake
      Ngo'mbe WEWE

    • @mussamapesa8863
      @mussamapesa8863 8 месяцев назад +1

      Godwin majini ni viumbe kama tulivyo sisi binadamu na wao pia wanamuabudu mungu wapo wema na waovu pia sio kila jini ni baya shida yenu hiyo dini yenu sio dini mmechomokewa tu na wajanja wajanja uislamu ndio dini halisi ya mungu

    • @godwinmsuya6080
      @godwinmsuya6080 8 месяцев назад +1

      Mussa ni kweli kabisa, ndio, dini halisi ya mungu, ni uislamu na sina ubishi kabisa na hilo, lakini swali hapa ni MUNGU YUPI? bila shaka ni huyu wa (Ufunuo 12:9).