SHEIKH HILAL KIPOZEO | Masjid Baluchi,Mombasa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 мар 2017
  • 29/3/2016

Комментарии • 111

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 5 лет назад +11

    Sheikh huyu nampenda sana anatoa neno la mungu na pia ana utani sana. mtu huchoki kumsikiza.inshalla mungu ampe maisha marefu ili azidi kuelimisha watu.22.05.19.

  • @emmanuelahmedbyona2353
    @emmanuelahmedbyona2353 6 лет назад +34

    Allahu Akhbar sheik, after kucheka, Napata mafunzo mengi sana, hata mke wangu...even if ako mzungu, ameisha silimu. Laa ilaa ilaa laah

  • @focusmsimbe8946
    @focusmsimbe8946 5 лет назад +3

    Upo vizur sana kiongozi upendo ni kila kitu kumbe uislamu ni upendo sasa wapi baadhi wanaotuonyesha uislam ni dini ya kikatili kumbe mpo vizur Sana...... Mungu awape neema pia ya kumfahamu Yesu

    • @ashalaurent4722
      @ashalaurent4722 4 года назад

      Waislam wanamfaham yesu sana tu kam nabii issa bin marim

  • @johnwambura2533
    @johnwambura2533 5 лет назад +5

    Allah awahifafhi Mashekh wetu Aamyin

  • @mwambirekwamboka9525
    @mwambirekwamboka9525 5 лет назад +7

    Yarb Tuongoze katika njia ilionyooka in Sha Allah.

  • @mrimhail6416
    @mrimhail6416 6 лет назад +5

    MaShaaAllah TabakaAllah mawaidha mazuri sanaa ila sheikh wetu dua bado twaisubiri kwa hamu sanaa

  • @alishaffi7715
    @alishaffi7715 6 лет назад +9

    Asalam alaikum ndugu zangu ktk Imani. Wallahi muumba mbingu na ardhi awape masheikh wetu nguvu na sisi pia tuweze kuitetea dini ya haki ya uislamu.

  • @rojaboka7910
    @rojaboka7910 6 лет назад +4

    shukran kwa mawaidha mazuri, Allah atupe mwisho mwema

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar2619 5 лет назад +2

    Iwapi hiyo DUA umehaidi twasubiriya ln Sha Allah From Saudi Arabia

  • @zainaburamadhanniceyamoto848
    @zainaburamadhanniceyamoto848 7 лет назад +17

    as alaam alaam alaykum iyo dua ya abamolaka tuna isubiri

  • @kassimkhames6558
    @kassimkhames6558 7 лет назад +8

    وعليكم السلام ورحمة لله وبركاته inshallah kheri mawaidha nimazuri sanaa ajaliye iwee kwenye memaa yako naomba unitumie dua tazakallahu kheri

  • @abdillahinaaman6807
    @abdillahinaaman6807 6 лет назад +2

    Allahu akupe maisha marefu ya kheri ili uzidi kutupa faida...

  • @championshahidu2465
    @championshahidu2465 5 лет назад +6

    I love you shekh Kipozeo your very smart shekh

  • @fatmafmly
    @fatmafmly 4 года назад

    Mashallah sheikh nakupenda na mawaida yako mzuri pamoja na utani allah akupe mwisho mwema

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar2619 5 лет назад +1

    Shukran kwa mawaidha mazuri jazakAllah Kheri From Saudi Arabia

  • @gangstabiraza
    @gangstabiraza 7 лет назад +4

    Mawaidha mazuiri mashallah...Naomba hiyo dua ya Aba Mu'laq...jazakumullahu kheyran

    • @eliasnavytanga
      @eliasnavytanga 7 лет назад +5

      Nimefanya research, hii hadeeth sio katika hadeeth sahih, lakini dua na maneno is ok. In English, “O Most Loving, O Most Loving, O Owner of the majestic Throne, O Initiator, O Returner, O You Who do whatever You will, I ask You by the Light of Your Countenance which fills the pillars of Your Throne, and I ask You by Your Power by which You control all of Your creation, and I ask You by Your mercy which encompasses all things, there is no god but You, O Helper help me” - three times.
      يا ودود يا ذا العرش المجيد يا فعال لما يريد, أسألك بعزتك التى لا ترام وملكك الذى لا يضام وبنورك الذى ملأ أركان عرشك أن تكفينى شر هذا, يا مغيث أغثنى … يامغيث أغثنى … يامغيث أغثنى,
      Yaa Waduud, Yaa dzal ‘arsyil majiid, Yaa fa’aalul lima yuriid, As-aluka bi’izzatika laa turaam, wa mulkikal ladzii laa yudlaam, wa binuurikal ladzii mala-a arkaana ‘arsyika, Antakfiyanii syarra hadza (sebutkan yang mengancam anda), Yaa mughiits aghitsnii… Yaa mughiits aghitsnii… Yaa mughiits aghitsnii

    • @kassimkibiki6907
      @kassimkibiki6907 6 лет назад +3

      Assalaam alaykum. Ndugu zangu waislamu tujitahidi sana kufuata mafunzo ya dini kwa kusikiliza mawaidha mbali mbali.

    • @hassankitulotvsproduct8627
      @hassankitulotvsproduct8627 5 лет назад

      Mashaallah shkh Allah akuongoze katika kheiri inshaallah , wallahi sijaawahi kujuta kufatiria darsa zako shkh

    • @kishubuti
      @kishubuti 4 года назад

      @@eliasnavytanga shukran

  • @neemamohamedmaryakamaryaka4686
    @neemamohamedmaryakamaryaka4686 6 лет назад +2

    Maashaallah shekh kwamawaidha mazuri lkn dua tutaipata wapi ilituisikie

  • @albahryazza
    @albahryazza 5 лет назад +1

    Salam a w w Allah amlinde Sheikh Hilal kwa maawaitha mazuri. Lakini tunaomba itufikie iyo dua ya abamuulaq

  • @sheikhsalimzegge3363
    @sheikhsalimzegge3363 5 лет назад +4

    naitwa sheikhe salimu Zegge tafadhali ingiakwe nye Chanel yangu you tube uangalie maidha yangu

  • @aploscoder4358
    @aploscoder4358 4 года назад

    mimi ni mwalimu wa dini ya kikristo lkn leo nmejifunza funzokubwa sana KUNA GAPE DOGO SANA KATI YA WAISLAMU NA WAKRISTO Allah wakibar

  • @husseinsharriff6041
    @husseinsharriff6041 6 лет назад

    Aslaam alaikum warahmatullahi wabarkatu? Naomba hiyo dua ya abamolaka inshallah

  • @charlottemanga
    @charlottemanga 4 года назад +6

    Mimi namupenda uyu sheikh wakati mimi siyo mwesilamu

    • @yussarsaleh5760
      @yussarsaleh5760 4 года назад

      Ndio wewe ndugu yetu wa damu, umepotea

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 года назад

      @@yussarsaleh5760 "waiteni ktk njia ya Mungu kwa hekima na mawaidha yaliyo mazuri"- (Qur'an al Kareem)

    • @fikiriniabdallah3372
      @fikiriniabdallah3372 4 года назад

      Charlotte Manga mungu akubariki nikute embox nikufunz

    • @yussarsaleh5760
      @yussarsaleh5760 4 года назад

      @@fikiriniabdallah3372 naaam nifundishe kaka angu maaana hakututajia Allah atakulipa kheir

    • @fikiriniabdallah3372
      @fikiriniabdallah3372 4 года назад

      Yussar Saleh uwislam ninjiya naiyo njiya tukiifata vilivyo mungu ata tupa pepu yake bali tumfunze charlote uwisilam ili awe muislam yousrah wewe hujuwi kweli ao

  • @bashirukhalfani5436
    @bashirukhalfani5436 Год назад +1

    ❤Allah Akibar

  • @aminkushni8771
    @aminkushni8771 6 лет назад

    Asalamualeikum warahmatullahi wabarakatu...Tafadhali naomba namba ya sheikh hilal kipoozea...Nionge naye ma shaAllah sheikh uyu Allah ampe afya dunia na jannah amin

  • @samakimwenyekiundaniyamaji8885
    @samakimwenyekiundaniyamaji8885 7 лет назад +1

    Nangoja dua Sheikh

  • @ahmedduale7495
    @ahmedduale7495 5 лет назад +2

    Mashallah sheikh

  • @MohamedHussein-nr6fs
    @MohamedHussein-nr6fs 5 лет назад +1

    Asalaam aleykum ndugu yangu naitaji hiyo dua

  • @hassancharo1496
    @hassancharo1496 4 года назад +1

    MASHA ALLAH

  • @idaaman7489
    @idaaman7489 4 года назад +1

    Mbona dua hakuitaja

  • @vibestudio4707
    @vibestudio4707 4 года назад

    jazakallhu shekh kioozeo

  • @38wahida
    @38wahida 7 лет назад +3

    Dua mbona hakuitaja?

  • @mariamuseifu3065
    @mariamuseifu3065 4 года назад +1

    Masha Allaah

  • @shakilamasoud8979
    @shakilamasoud8979 5 лет назад +3

    Allahu Akbar

  • @safiyasafiya5930
    @safiyasafiya5930 6 лет назад +2

    Mashallha

  • @hamza89945
    @hamza89945 6 лет назад +5

    Kina dada Wa kiislsm msieke pics zenu kila mtu awaone. Mnafaa mujisitiri

    • @fauziakassim323
      @fauziakassim323 5 лет назад

      It's true brother but it's difficult coz hao wakristo watajisitiri kwl

  • @hamzaforogo
    @hamzaforogo Год назад

    Alhamdulillaah maashallah shekhe wetu

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 4 года назад

    Nadhani unawafurahisha wenzio tu, maana unampnga Yesu mwenyewe maana ni yeye anathibitisha kuwa yeye ni mwana wa Mungu.

  • @mwanakhamishussein4655
    @mwanakhamishussein4655 7 лет назад +3

    mashaallah mawadha mazur

  • @yussufmkoma8839
    @yussufmkoma8839 4 года назад

    Masha Allah

  • @saidhaule5353
    @saidhaule5353 4 года назад

    Amin

  • @yunusjulhum6066
    @yunusjulhum6066 5 лет назад +1

    Naomba kuijua hio duah

  • @bintichee5929
    @bintichee5929 3 года назад

    Tunaomba hiyo dua shegh kipozeo

  • @khatwabmpinga8602
    @khatwabmpinga8602 4 года назад

    Shekh mung akuzidishie umri mrefu

  • @mussamahmouud8944
    @mussamahmouud8944 4 года назад

    Allah tusamehe mazambiyet

  • @alhajimswaki9408
    @alhajimswaki9408 7 лет назад +1

    Mawaidha mazur mashallah

  • @khalidkota1115
    @khalidkota1115 4 года назад

    Great scholar

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 года назад

      Kabisa, vyuo vyetu vikuu vya kiislam vingekuwa na utaratibu wa kutunukia shahada za udaktari wa heshima watu kama hawa ili wapate hadhi ya udaktari maana wanastahili kabisa!!

  • @yunusjulhum6066
    @yunusjulhum6066 5 лет назад

    Dua gani hio Abu muulak

  • @geofreymkopi4905
    @geofreymkopi4905 7 лет назад +4

    Nawatakia Ijumaa Kareem

  • @adamtimotheo3157
    @adamtimotheo3157 5 лет назад +3

    ukweli ni imani siyo dini

    • @jumaakhalfan485
      @jumaakhalfan485 5 лет назад

      Hivi unawez kuwa na imani bila ya Dini yoyote

  • @ruterarose6025
    @ruterarose6025 5 лет назад +1

    Sio wote wana subira

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban8693 7 лет назад +1

    elias umnamaje'! kwani nawe muislam au! mbona jina tofauti na dini au vip. haya tufahamishe hiyo hadithi uliyoifsnyia uchunguzi udhaifu wake na ipo no ngapi na mpokezi wake nani?? plzz kwa hsan yako tunasubiri majibu

  • @masungajacob2628
    @masungajacob2628 5 лет назад

    Kipozeo achaungo
    Ukrsito na Uisilam
    Ipi ilitangulia.....

    • @abdallahmwasiho1521
      @abdallahmwasiho1521 5 лет назад +1

      Wa,asalamlyekum ni hv kati ya Mussa na yesu nani katangulia,jibu ni Mussa Mungu alipo muita Mussa njoo kabla haja elekea hp Mungu aka mwambia vua viatu vyako mahali hapa ni patakatifu Mussa akavua je ni kina nani wanao vua viatu wakitaka kumuomba Mungu jb ni Uislamu na yesu alivua viatu akiwa ana sali kafuata matendo ya Mussa ina maana uislamu ulikuwepo

  • @kuchimillionaire6683
    @kuchimillionaire6683 5 лет назад +1

    Mm naona wakristo wako sahihi.

  • @katanicarter0568
    @katanicarter0568 5 лет назад

    Sheik wng

  • @adamtimotheo3157
    @adamtimotheo3157 5 лет назад

    unafurahisha sana

  • @lawmarcusmwakagenda355
    @lawmarcusmwakagenda355 6 лет назад +4

    Mwapotea kwa kuwa hamjui maandiko wala uweza wa Mungu

    • @Elmanizzo
      @Elmanizzo 5 лет назад

      Njoo tukutakatishe uku, usiendelee potea

    • @kuchimillionaire6683
      @kuchimillionaire6683 5 лет назад

      Law Marcus Mwakagenda true

    • @jidadaudi2255
      @jidadaudi2255 4 года назад

      Law Marcus Mwakagenda we unahisi hatujui maandiko kwa kwa yes hajatajwa Pole sana

    • @lawmarcusmwakagenda355
      @lawmarcusmwakagenda355 4 года назад

      @@jidadaudi2255 Mfahamu sana Yesu kwamba alisema nini na kwamba aliahidi nini. Maana ndiye atakayehukumu wanadamu wote af nyie hamtaki hata kusikia habari zake. Poleni sana. Mungu awape nuru ya macho yenu kuona yaliyo mapenzi ya Mungu

    • @lawmarcusmwakagenda355
      @lawmarcusmwakagenda355 4 года назад

      @@jidadaudi2255 Tulipewa jina la Yesu kuwa ulinzi kwetu. Nyie mliachiwa majini yawe ulinzi kwani hamjui kuwa hayo ni mashetani? Au mnajifanya hamnazo

  • @fauziakassim323
    @fauziakassim323 5 лет назад

    Ustadh kitambi cha uzeeni hicho kwaiyo fanya zoezi

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 года назад

      Wewe una lako jambo lingine!!!

    • @fauziakassim323
      @fauziakassim323 4 года назад

      @@jumakapilima5674 jambo gani hilo tena

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 года назад

      @@fauziakassim323 ujumbe wake ulikuwa mzuri zaidi kuliko kitambi chake!!

    • @fauziakassim323
      @fauziakassim323 4 года назад

      @@jumakapilima5674 yy alisema watu wasiwe na vitambi

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 года назад +1

      @@fauziakassim323 haya umeshinda!!

  • @rojaboka7910
    @rojaboka7910 6 лет назад +3

    shukran kwa mawaidha mazuri, Allah atupe mwisho mwema

  • @rojaboka7910
    @rojaboka7910 6 лет назад +3

    shukran kwa mawaidha mazuri, Allah atupe mwisho mwema