Sheikh Kipozeo: "Sisi Ni Watu Wa Mwisho Wa Dunia, Kiama Bado" | SALAMA NA SHEIKH KIPOZEO PT 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 сен 2024
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    Sheikh Hilali Shaweji Makarani au Sheikh Kipozeo ni mtu wa watu, au niseme kama ambavyo tunasema kwetu Uswazi, Sheikh ni mwana wa wana, anaweza kuwapa wana darsa kwa lugha yao na wakawa huru na wao kusema maoni yao au uelewa wao kwa raha na bashasha nyingi na naamini hii imemfanya yeye awe ni mmoja ya Ma Sheikh wanao tambulika zaidi kwenye mitandao ya kijamii nje na ndani ya Tanzania. Lugha hiyo ya wana ambayo anaitumia inasaidia sana kufikisha ujumbe ambao ameukusudia kwa wakati huo na ikapata mpaka majadilioano, majadiliano hayo ndo huzaa majibu ya maswali mengi ambayo wengi hujiuliza.
    Kwetu au kwangu ilikua ni kaji task ambako nilikua najua inabidi nikakamilishe, na jina lake kurejea kutajwa mara kwa mara na watazamaji wa kipindi hiki pia ilichochea dhamira hiyo kwa kiasi kikubwa. Nilikua sijawahi kukutana nae kwahiyo hii nami ilikua ni mara yangu ya kwanza kukutana nae uso kwa macho, shabiki yake? Oh yes, mkubwa tu. Nimekua nikimskiliza na kumuangalia kila nipatapo nafasi ya kukutana na mafunzo yake, kwahiyo hamu ya kutaka kuongea nae ilikua inaongezeka kila siku zinavyozidi kwenda. Wakati ambao Mwenyezi Mungu ameupanga ndo wakati sahihi kabisa. Na naamini huu ndo ulikua muda ambao tulikua tumepangiwa haya mazungumzo kutokea na haikua huko nyuma ambako pengine tulidhani tungemtafuta na kuweza kuongea nae.
    Alikua mkarimu kwangu, humchukua muda pia kuongea kama yule wa kwenye video maana kama Mwalimu nadhani huwa anaangalia spidi ambayo uko nayo na kujua anaenda na wewe vipi ili iwe imekaa mahala pake. Na naam, tuliweza kwenda vizuri, alinifanya nami niwe huru na muwazi kwa yale ambayo tulikua tumepanga na wenzangu kumuuliza.
    Akiwa Baba na mume mpedwa kwa familia yake, Sheikh Kipozeo amekua akipata mialiko sehemu mbali mbali ili aweze kuwapa watu ‘dawa’. Humu zaidi sisi tulitaka kujua jina lilipo anzia na jitihada zake za kufikisha neno la Mwenyezi Mungu kwa wanaohusika. Alituambia pia kuhusu asili yake na ‘urithi’ wa dini ulipotokea. Lini hasa alijua kwamba ambacho anakifanya sasa ndo ambacho alikua anatakiwa kufanya kwenye maisha yake yote?
    Yangu matumaini dawa itaingia na uta enjoy kuangalia au kuskiliza episode hii yetu ya nne.
    Love,
    Salama.
    Support us through anchor.fm/yahs...
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪RUclips Link bit.ly/RUclipsS...
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

Комментарии • 157

  • @albertlokoya7937
    @albertlokoya7937 Год назад +17

    Interview ya Kibabe sana. Huyu Jamaa ana kipaji cha kuongea na dini imetaraadadi kwake. Big up Salama kwa Kumleta Sheikh Kipoozeo.

  • @frankkarugira4093
    @frankkarugira4093 Год назад +30

    natamani interview isifike mwisho. Thanks Salama. Invite him again please. the interview is so enlightening.

    • @hamiduhamdun1858
      @hamiduhamdun1858 Год назад

      Mi niliona status kwa mtu imebidi niingie u tube nicheki

  • @shaabanikabwe2651
    @shaabanikabwe2651 Год назад +23

    MashaAllah
    Sheikh Mmoja mfaswaha sana Allah amjaze kheir Sheikh Kipozeo. Allah akuongozee Hekima na busara
    Alhmdullilah.

  • @hellertv1477
    @hellertv1477 Год назад +29

    Mlete tena salama huyu sheikh bado tunataman kumsikiliza

  • @jacksonmposindawa2426
    @jacksonmposindawa2426 Год назад +13

    TUNAOMBA SHEIKH AJE TENA HAPA KATIKA KIPINDI

  • @nemestesha7784
    @nemestesha7784 Год назад +8

    kila mwanadamu anaweza kujifunza chochote kama atapenda na atataka-sheikh KIPOZEO

  • @hassanwaissa2391
    @hassanwaissa2391 Год назад +2

    MUNGU Akurehem Sheikh. 🙏🙏🙏

  • @naimanimo4925
    @naimanimo4925 Год назад +7

    Salama good questions big up salama your fun from ug 🇺🇬 since 2005 salama jabir

  • @samsonmwakikuti5318
    @samsonmwakikuti5318 Год назад +7

    Huwezi choka kumsikiliza amekaa NONDO sana. Ana uwezo mkubwa wa kufundisha

  • @sadiqmwafrica6759
    @sadiqmwafrica6759 Год назад +8

    Muongezee muda, mrudishe tena please, anahamasisha vizuri sana

  • @tassyulimwengu4049
    @tassyulimwengu4049 Год назад +3

    Sikuwahi kujua Sheikh Kipozeo Hamble kiasi hiki, mwelevu sana huyu mwamba...."he knows almost everything kwenye uislam"... hongera sana Salama...this was the best interview ever! Nashukuru nimemjua huyu Sheikh...

  • @daudhabona8897
    @daudhabona8897 Год назад +10

    HAKIKA hii interview ni Bora sanaaa. Na tunaomba aitwe tena. Kwa kweli ni kama umeturambisha tu.

  • @mmutajr
    @mmutajr Год назад +9

    Salama Bado Tunakuhitaji Sheikh Darasa lake ni Tamu sana Mashaallah

  • @salimdibundile4872
    @salimdibundile4872 Год назад +8

    Salama umeuliza maswali yooote konki.. You are the best interwier hii afrika mashariki na kati.. Maswali tata umeyauliza katika njia rahisi mno..

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Год назад +5

    DADA SALAMA,kujua zaidi kusoma, kujiendeleza,kuuliza,kusikiliza na yote hayo WEKA IMANI YAKO KUBWA KWA MOLA WAKO.yaani lmani na VITENDO,baadae utafanikiwa,Kwani utakuwa umejiwakilisha nafsi yako kwa MUUMBA KILA KITU. 🤝

  • @hassaniabdi3991
    @hassaniabdi3991 Год назад +3

    Safi sana salama.ikiwezekana awa viongozi wa dini muwe mnawaita sana kuja kutoa muongozo kwakua tunapo kwenda ivi sasa sipo kabisa.

  • @harounzuberi8179
    @harounzuberi8179 Год назад +12

    Mashaallah Sheikh Hilaly Shauweji Makalani a.k.a Sheikh Kipozeo

  • @seyyactor1418
    @seyyactor1418 Год назад +10

    Ila Salama hata shungi your so real ❤

  • @omaryngitu2443
    @omaryngitu2443 Год назад +12

    Nimezifurahia MB zangu,Ahsante sheikh kipozeo

    • @pilijuma7854
      @pilijuma7854 Год назад

      Mashallah allah azidi kukuongoza shekhe wetu inshallah

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy Год назад +8

    Hiyo ndio dini yahaki mashaallah

  • @issrahayattv1356
    @issrahayattv1356 Год назад +4

    Salama nimeipenda kipindii y leo sana mashaAllah umefanya ikawa n mabadiliko n vile vile tumepata elmu kw sheikh wetu kipozeo mashaAllah uwe unaleta pia c tu wasanii

  • @Karimuabduli2293
    @Karimuabduli2293 Год назад +4

    Unaweza kumleta tena salama kwa sababu elimu imekuwa sawa sana

  • @nassorntandu4513
    @nassorntandu4513 Год назад +4

    Kuna elimu kubwa Sana, kwa Sheikh Kipozeo! Kwanza ana ufasaha wa kuongezea na unyenyekevu katika ulimi wake!

  • @muhammadsalim7179
    @muhammadsalim7179 Год назад +5

    MashaAllah from Kenya.Big up sana Salama,binafsi nimefurahi kw kutuletea shekh kw In Shaa ALLAH mlete tena kama ulivyo muahidi

  • @hajiameir8688
    @hajiameir8688 Год назад +2

    Siku ya pili dada salama jishushe mbele ya shekh vaa shungi ingependeza kama anavyopendeza mama yetu samia suluhu

  • @advocateishengoma1088
    @advocateishengoma1088 Год назад +5

    Thanks salama you nailed it 💅 today umeleta mtu ambaye ni kweli watu wengi wanapenda kumsikia

  • @husseinmaingo5009
    @husseinmaingo5009 Год назад +4

    Muda umekuwa mdgo sana kwa Kipozeo Inshaallah natumai kuna cku nitakutana nae na tutaongea zaid. Allahuma Amiin 🤲🙏

  • @dsouzamaguno7006
    @dsouzamaguno7006 Год назад +8

    Bado tunahitaji mengi kutoka kwake,nimatumaini kuwa atarudi wakati Mchache ujao. Asante kwa Darasa 🙏🥰

    • @zainabsaid3488
      @zainabsaid3488 Год назад

      Amenitoa machozi sheikh hilali kipozeo kwa maneno mazito aliyokuwa akiyafasili hususani pale alipo muongelea baba yetu Adam . Allah azidi kumlinda sheikh wetu amiin 🤲😍

  • @miangijunior4358
    @miangijunior4358 Год назад +3

    Masha ALLAH Jazakallahu khair sheikh wewe nimfano mwema wa kuigwa kwenye jamii Umejipamba na Qur-an na Sunnah huu ndio UISLAMU hakika hivi ndivyo hata Mtume Wetu Muhammad S.A.W Alivyokua akiishi Kwa upole na maneno Mazuli, na tabia mzuri Kwa Ujumla.
    Tunamuomba Mwenyezi MUNGU Akutunze Duniani na kesho Akhera Amiin

  • @stuberjunior3855
    @stuberjunior3855 Год назад +1

    Assalam Alaykum naomba kushauri kidogo
    Kwa vile kunasomwa Qur an katika interview naomba kupendekeza mungekata music

  • @mussamsella8560
    @mussamsella8560 Год назад +2

    Sheikh ana hekima sana hasa namna ya kujibu maswali

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 Год назад +3

    Penda sana shekhe Kipozeo

  • @immmkiety9000
    @immmkiety9000 Год назад +4

    Shekhee kipozeo arudishwee lk Zangu pls

  • @abdallahsaid4503
    @abdallahsaid4503 7 месяцев назад

    Aloooo Moja kati ya interview Bora kabxa hii n number 1 nmeipenda mnoooooooooooooooooooo

  • @omaraliali1268
    @omaraliali1268 Год назад +3

    Kipozeo needs I more time and very Mapema Salama tena ongeza more matayarisho namanisha hata kupitia watu wengine tofauti ya hiyo team yako hapo umesema mwenyewe jamaa kila anachokujibu hukujibu for pasent

  • @gbwile1257
    @gbwile1257 Год назад +4

    Best interview ever🙏

  • @rashidchimwenda
    @rashidchimwenda Год назад +5

    Mashaa Allah sheikh Shaweji

  • @jumannematimbwa559
    @jumannematimbwa559 Год назад +1

    Namkubali sana ayu mzee sichoki kusikiliza

  • @husseinibnuhassan1272
    @husseinibnuhassan1272 Год назад +4

    Interview bora kwa mwaka huu

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Год назад +4

    Salama tuletee tena please 🙏 ❤

  • @AfiSoul103
    @AfiSoul103 Год назад +3

    Hili suala la mwisho nimelielewa..🔆 la kupenda na kutaka..

  • @abdallahomar5868
    @abdallahomar5868 Год назад +2

    huu muziki muuondoe hapa kuna aya za mwenyezi mungu zinasomwa kuweni makini sana

  • @ramadhanitwahili6837
    @ramadhanitwahili6837 Год назад

    Shekhe kipozeo daa anamajibu ya hekma na busala kweli Masha Allah shekhe mungu akulinde na hasadi na husuda,Allah akupe Pepo yake amini

  • @planbmauwezo4853
    @planbmauwezo4853 11 месяцев назад

    Dah mwenyz mungu akuwek san shekh uzid kutuelmisha

  • @ashajuma2478
    @ashajuma2478 Год назад +3

    Salaama tuletee Othman Maalim

  • @parma786
    @parma786 Год назад

    MashaaAllah kipindi kizuri kitaongeza imani zaidi upendo zaidi na amani katiyetu zaidi mubarikiwe sana salama na wote as Tim na sheikh wetu mpendwa H S ( Kipozeo) shukrani slm alkm.

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 Год назад

    Kupenda na kutaka jambo lolote ukitaka kufanya fanya ivi vitu zingatia 🤝, Asante Sheh.

  • @albertlokoya7937
    @albertlokoya7937 Год назад +22

    SHEIKH KIPOOZEO ANAWEZA AKAKUFANYA USLIMU NA KUFWATA DINI YA KISLAMU.

    • @HassanHassan-sr3fq
      @HassanHassan-sr3fq Год назад +2

      Albert nakuomba soma hii dini na Wala usiangalie propaganda za wachungaji zinazowaingizia pesa kwa kuukashifu uislam

    • @asimaeliya5134
      @asimaeliya5134 Год назад +1

      Karibu

    • @khadijanurdin3163
      @khadijanurdin3163 Год назад +1

      Allah akupe uongofu

    • @abdullahomar4236
      @abdullahomar4236 Год назад

      Karibu iokoe nafasi yako

    • @hk_ballers
      @hk_ballers Год назад

      Sheikh mzuri. Nilikuwa namkubali kabla hajawa maarufu

  • @abuaminmadi9839
    @abuaminmadi9839 Год назад +3

    kutokea kenya nimependa darasa lako

  • @iduelabu4007
    @iduelabu4007 Год назад +2

    Salam tunakuomba rafiki yetu mlete sheikh wetu tena na umpe mda wa kutosha plz plz plz

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 Год назад

    Salama tafadhali tuleteeni SHEIKH MUHIDDIN MAALIM SIASA NA SABRA MACHANO WATU ZANZIBAR

  • @hajimaster7624
    @hajimaster7624 Год назад +2

    Mbona Shekh haujampa kinywaji au kafunga🥲

  • @saluyaadamz
    @saluyaadamz Год назад +3

    ALLAH akuifadh sheikh Hillary shaweji

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy Год назад +7

    Sister Salama ulitakiwa hiyo Hijab uivae wewe na si uvalishe mic

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Год назад

    Shekhe kipozeo🙏ALLAH AKUHIFADHI💟💟💟💟jaman ungemuulza ana wake wangapi.huenda mmoja akaniongeza na mie.mfano wa maziwa kuinama nmecheka 🤣he is genius and humble

  • @jadewynedwards4603
    @jadewynedwards4603 Год назад

    mashallah this was the best interview may allah bress you salama and shekh kipozeo and all muslim we need more interview like this ameeen

  • @rodneylamai2847
    @rodneylamai2847 Год назад

    Mimi ni Mkristo ila Nampenda huyu Sheikh sana, anakufanya uione Dini ya kiislam ni nzuri c'se hana dharau kwa Wakristo na kuwaita Makafiri. Mungu amuongoze

  • @amirlehao8945
    @amirlehao8945 Год назад +1

    Best interview ever

  • @kiizaabdulmaliki5241
    @kiizaabdulmaliki5241 Год назад

    Ahsante Mama, kumwalika huyo Mzee Kipozeo!

  • @madrassatqadriyapalma
    @madrassatqadriyapalma Год назад +3

    Melhor entrevista de final do Ano

  • @azizsaleh9402
    @azizsaleh9402 4 месяца назад

    Mashallah

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa8180 Год назад +1

    Salama 4real u'r doing a wonderful job, God bless u. Keep going girl. Lv from 254.

  • @aishaomarry6996
    @aishaomarry6996 Год назад +1

    Tunamuomba tena Shekhe wetu

  • @kiizaabdulmaliki5241
    @kiizaabdulmaliki5241 Год назад

    Jamaani niraha saana atasisi Uganda, twapenda kumsikiliza!

  • @kanobayirelambert8400
    @kanobayirelambert8400 Год назад +1

    Masha-Allah

  • @saidathuman2998
    @saidathuman2998 Год назад +1

    Salama, kama ikikupendeza, please mrudishe tena Kipoozeo…

  • @DonDallas
    @DonDallas Год назад +1

    Umeongea vizur

  • @twizzycannello2482
    @twizzycannello2482 Год назад +1

    ❤️ mashaallah

  • @hadhaminfadhwil-rab287
    @hadhaminfadhwil-rab287 Год назад +3

    fantastic masha-Allah

  • @abeidabdullwarith8991
    @abeidabdullwarith8991 Год назад

    Sijamuona jescca kumpelekea kinywaji sheikh kipozeo

  • @papaadialoo
    @papaadialoo Год назад

    Namkubali sana kipozeo

  • @dullydullahsenior756
    @dullydullahsenior756 Год назад +1

    Nimefurahishwa na hiii interview, lakini ungependeza zaidi kama ungejitandia , but congratulations 👏🎉

  • @idrisakabiliga7131
    @idrisakabiliga7131 Год назад +1

    tatizo mda hatujamfaidi vizuri

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 Год назад

    Ahsante salama impressed with your latest please bring more of this kind of personality

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 Год назад +1

    Baraqallah aleyh 💞

  • @hellertv1477
    @hellertv1477 Год назад +1

    Mashallah uko vizur sana sheikh wangu

  • @aminahkimwana109
    @aminahkimwana109 Год назад +1

    Hao ndo tunataka hapo tumepata faida kubwa sana mlete tena sheikh ao watafute na ma sheikh wengine siyo kila siku wasani tu haki nimefurahi sana

  • @mwanaidimuhindi6671
    @mwanaidimuhindi6671 Год назад +1

    Mlete tena sheikh kipozeo

  • @mahmoodkarama47
    @mahmoodkarama47 Год назад

    Salama please mualike sheikh Walid Al Had imam wa msikiti wa kichangani he is Superior Trust me, Thank you.

  • @mhussein2511
    @mhussein2511 Год назад

    Sunan an-Nasa'i 5388
    It was narrated that Abu Bakrah said:
    "Allah protected me with something that I heard from the Messenger of Allah [SAW]. When Chosroes died, he said: 'Whom have they appointed as his successor?' They said: 'His daughter.' He said: 'No people will ever prosper who entrust their leadership to a woman.'"

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Год назад

    Shukran sana

  • @samxx411
    @samxx411 Год назад +2

    Wallah kisa kidogo cha mtume Suleiman lakini kama umekitoa chote yaani raha kabisa

  • @sinaloa5698
    @sinaloa5698 Год назад

    Intive agaaaaaaaaiiiin

  • @hayfatshaaban5712
    @hayfatshaaban5712 Год назад

    Salama please interview nurdin kishki or Othman maalim

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 Год назад

    salama napenda vipindi vyako

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa8180 Год назад

    Ivi mbna hujamuuliza lile swali kma yuapenda kwl mizingo hyu sheikh

  • @inviolatangonyani4839
    @inviolatangonyani4839 Год назад +2

    Tunashkuru ..Pia tunaomba next time salama na Mch.kimaro wa KKKT

  • @yunussera4146
    @yunussera4146 Год назад

    Mwambie shekh إعملوا فكل ميسر لماخقله

  • @Derevamkongwe6864
    @Derevamkongwe6864 Год назад

    Salama umetisha sana kumleta kipozeo, nakuomba utuletee na shekhe Maulana Abubakar huyo ni shekhe wa matablii

  • @sinaloa5698
    @sinaloa5698 Год назад +4

    Bonge la intaview tangu yahstonetown imeanzaa

  • @othmanhaji1832
    @othmanhaji1832 Год назад +1

    Pamoja na uzuri wa interview, ni vyema unapowaalika Mashekhe wetu ukajistiri Dada Salama, kama ulivyofanya kwa Sheikh Mardhiyya.
    Pia tuondoshee huo mziki

  • @didakalaule7840
    @didakalaule7840 Год назад +1

    Ukijaaliwa mlete tena

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад

    🙌🙏

  • @hassanthabit4021
    @hassanthabit4021 Год назад

    Salama bist du ruhig bleiben

  • @famorsn9834
    @famorsn9834 Год назад

    0:45

  • @khalidhashim6082
    @khalidhashim6082 Год назад

    Sheikh kipozeo arudi bhana arudi bhana arudi tena

  • @kivuswahilitv6833
    @kivuswahilitv6833 Год назад

    Hatuja ridhika tuonba part 3 na part 4

  • @husseinmjema85
    @husseinmjema85 Год назад

    Nimependa mjadala wenu namba umrudishe tena siku nyingine

  • @ZakiaKalonga-ey9pz
    @ZakiaKalonga-ey9pz Год назад

    Pezi la masikni

  • @oyay2821
    @oyay2821 Год назад +1

    Kipindi kizuri sana