KINANA AFICHUA PINI ZA MAGUFULI WANGEKOMA \ CHADEMA UHURU UMEPITILIZA AWATANGAZIA ADHABU YA UCHAGUZI
HTML-код
- Опубликовано: 18 май 2024
- #habari
🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI?------------------------------
TUTAFUTE Wananchi TV
Contact:
📞 Phone: +255 686 379370
📱 WhatsApp: +255 686 379370
📧 Email: wananchihabari@yahoo.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Social Media Links
📸 Instagram: / wananchiitv
🐦 Twitter/X: x.com/wananchitv?s=21
📘 Facebook: share/ff8FJq...
-----------------------------------------------------------------------------------
-- TIMESTAMPS --
0:00 - WANANCHI TV
01:04 - SUBSCRIBE,LIKE NA KUCOMENT.
Hakuna kiongozi kama magufuli hakuna tumebaki tunahangaika mamzi magumu ,,,kama inchi hayapo
Hakuna kiongozi kama magufuli
Chedema hanana jipya japo sinachama
Kwani hawasemi kuhusu ubadirishwaji wakatiba halafu ndo walete mabadiliko?
We mwenyewe ulikuwa unaharisha tu Mzee, hadi ulisusa! Unasema Nini? Endeleeni tu kufisadi Mungu ndiye Hakimu.
Labda wakati wa Magufuli walishindwa kuingia barabarani na kutukana licha ya kuwa walikandamizwa kwakuwa Magufuli hakua Mzanzibari, ni Mtanganyika , manake waliteswa kweli hadi kupigwa marisasi 😂
Haya mliyaruhusu wakati wa awamu ya tank sasa yanaendelea.
Hakuna haki nyie viongzi mnashiba nafamilia zenu sisi masikini tunateseka wala hamjali
Weww Mzee akili kubwa. Nimekuelewa sana. Upinzani wakikuwlewa watashinda
Hata kwa magufuli walitukana sana.walikuwa wanapinga maendeleo anayofanya hata wengine ndani ya ccm wewe na makamba mlimkejeli magufuli
Sasa mbn maandamano ya chadema hayana masheikh, kuna maaskofu tu, na kila wakitoa mifano ni ya kwenye biblia tu, mara yuda , mara yesu, hawa wana chuki tu na waislamu, wachina na wazungu wameekeza kila mahali hapa nchinj, lakini mwarabu akiwekeza basi wanakuja juu, hawa siyo wanasiasa bali ni wamishionari hawa😜
Pia hawa watu bila kupepesa macho , tuwe wakweli Wana chuki na Uislam , hiyo ndo shida kubwa
Kumbe wew ni bwege magufur alikuwa muislam mbona walimsema au una kunywa pombe
@@jobharry9009 Wewe shoga nenda ukaolewe Vatican na wasenge wenzenu, acha kunizoea zowea, mie siyo msenge mwenzenu
Shida ya Uislamu inatoka wapi hapa hakuna Uislamu shida ni Nchi kuongozwa na Sheria au katiba ya Nchi amabayo zimepitwa na wakati wapinzani Wana hoja na CCM wanahoja kuna mambo yamefanywa na CCM lakini kuna mambo mengi machafu yamefanywa na CCM Sisi tunauchungu na Nchi yetu watu ni masikini masikini Mimi Niko nje for 27 years nimetembea Tanzania bado ni Masikini na pia Mali asili zinaliwa na mataifa ya nje na baadhi ya viongozi wa CCM.