Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

KIJANA THOMAS MIAKA 20 NDIYE ALIYEMFYATULIA RISASI DONALD TRUMP AKITAKA KUMUUA MKUTANONI...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 авг 2024
  • KIJANA THOMAS MIAKA 20 NDIYE ALIYEMFYATULIA RISASI DONALD TRUMP AKITAKA KUMUUA MKUTANONI...
    Mshambuliaji aliyejaribu kumuua Rais wa zamani na Mgombea wa Urais kwa Chama cha Republican, Donald Trump Jumamosi, Julai 13 usiku kwenye mkutano wake wa kampeni amefahamika na anaitwa Thomas Matthew Crooks mwenye umri wa miaka 20.
    Crooks, wa Bethel Park, Pa. alifyatua risasi, na moja kumpitia kwenye sikio Trump wakati wa mkutano huko Butler, nje kidogo ya Pittsburgh katika uwanja wa Butler Farm Show.
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии •