Huyu ndiye aliyeomba ruhusa kumuua Tundu Lissu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 553

  • @emanuelymagiwa9749
    @emanuelymagiwa9749 7 лет назад +9

    mwenyez mungu msaidie kiongozi wetu apone halaka ili aendelee Na majukumu ya nchii

  • @abdulrahmansaliumalbry2615
    @abdulrahmansaliumalbry2615 5 лет назад +7

    Tanzania imekuwa Moja katika nchi mbaya duniani kwa mambo ya uhalifu.

  • @davidlinus6940
    @davidlinus6940 7 лет назад +9

    huyu aliyeoomba kumuua lissu inapasa aisaidie polisi inawezekana ni mzooefu wa kuua maana huwezi kuomba kuuwa kama ujawai fanya hivyo

  • @agustinomakaranga1196
    @agustinomakaranga1196 4 года назад +1

    Leo umebadilika sana mungu anakuona

  • @jisrainomwa4015
    @jisrainomwa4015 7 лет назад +10

    Heheheeeeeeeeeeeeèeeeeeeeeeeeeeeee mungu baliki Tanzania naipenda nchi yangu

  • @jacksonlicky3826
    @jacksonlicky3826 7 лет назад +13

    Sasa huyu alie sema apewe nafasi hiyo atafutwe haraka sana maana yaliyo mkuta lisu huyo jamaa anajua

  • @munuoisaack418
    @munuoisaack418 4 года назад +1

    Hahahahahahahahahaaaaaa unajua wanasiasa huwa wanacheza na akili zetu kimtindo kumbe huyu jamaa alikuwa mchadema Leo anamponda lisu bila uoga sasa sitaki tena kumshangilia mwanasiasa yyt

  • @frankkaiza3658
    @frankkaiza3658 3 года назад

    Mpaka leo wana kamatakamata ila nawao wapo wa kuwamata 🕑will tell katiba muhimu zaidi ata bora ujenge nyumb ikose mrango ila sio katiba🇹🇿✌️✌️✌️✌️✌️⛪👏👏👏👏

  • @daudimaguha9447
    @daudimaguha9447 7 лет назад

    jaclyn methew, shukuru hujazaliwa, Burundi, Rwanda, Uganda, nk. nje ya tz, sababu hujui hata aina ya bunduki, cc tunao tembea tunaijua tofauti, watu wanatamani kwetu, sasa tukiona watu Kama hawa tunaomba tu, tumuondoe kwa faida ya tz

  • @dainesszuberyguii6040
    @dainesszuberyguii6040 7 лет назад +7

    Sheriaa ichukue mkondo wake sii swara la kiungwana alilofanyiwa lissu

  • @KhadijaKhadija-mk6jf
    @KhadijaKhadija-mk6jf 7 лет назад +12

    Na sas mmeshaamuua kumbe ndo ilivyo khaa achen roho mbayaaa .

  • @margaretwambete1228
    @margaretwambete1228 5 лет назад +4

    Lissu is protected by the blood of Jesus hamtoboi ng'oo

  • @teliankalunju8539
    @teliankalunju8539 7 лет назад

    Hongera sana kijana mwenzangu umesomeka kwa weledi uliyonayo tunashukuru na kuombea fanya kazi kwa faida ya vijana nataifa kwa jumla nchini Tanzania

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 4 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣kweli teknolojia haidanganyiki,huyu kitambiiii😂😂😂😂

  • @lamecklugayila8096
    @lamecklugayila8096 7 лет назад +4

    Wote mnao sapoti upumbafu na ujinga kuuawa, mwenzio AUAWE ni mayahudi mnaosubilia moto wa jehanamu hamna hofu ya MUNGU,

  • @isackmhagale6752
    @isackmhagale6752 7 лет назад +3

    Unapojiita mpinzani teari unakuwa mpinga maendeleo,hivyo acheni kujiita wapinzani bora muwe wanasiasa wataka maendeleo kama mnyika na mbowe kuliko kuwa wehu kama lisu na msaganaji wenu mdee

    • @kizitoboy9427
      @kizitoboy9427 5 лет назад

      Nazani wakati mma yako anashika mimba angejua anazaa kituko kama wwe angeichomoa hiyo mimba mawazo duni kama kunguni

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 7 лет назад +3

    WAONGO MCC NDIO NI MAHAINI NA WANAENDESHA NCHI YA TANZANIA KIDIKTETA SASA BORA LISU KULIKO MCC NA INGELIKUWA LISU RAISI BASI NCHI YA TANGANYIKA NA ZANZIBARI TUNGEISHI VIZURI UNAYO SEMA NIKWELI WOTE HAWA WAO NDIO WAWEKWE MAAMUSU MAKUFULI KIKWETE MKAPA KINANA NA WENGINE WA MCC THE WORLD SHOULD WATCH THIS United Nations risponsible BANKI MUN

  • @rashidiissa5561
    @rashidiissa5561 7 лет назад +6

    Bila demokrasia ya kweli hakuna maendeleo Lisu endelea kupaza sauti kutetea wanyonge kamwe usihofu kifo M/mungu yupo nawe daima.Waliofia haki ni washindi daima.

    • @osmansalim4780
      @osmansalim4780 7 лет назад

      Tuingie msituni tu

    • @gandemhuli3704
      @gandemhuli3704 5 лет назад

      kwani ,Lissu nani ataka kupoteza amani ya nchi yetu !!MUNGU aibariki Tanzania amani idumu ,porojo zenu CHadema tushazichoka cha msingi Tumuombee lissu apone huenda ameielewa methali isemayo "asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu "

  • @beatricehenry7101
    @beatricehenry7101 7 лет назад +1

    Daines, asante kwa tusi ndio nyie mkiguswa kelele mitandaoni hofu ya Mungu hamnayo

  • @mozejcs9160
    @mozejcs9160 5 лет назад +2

    Hk kijamaa hakina hata sifa ya kuw kiongoz kwa kwel apa cdm walipotea! Hajui hata kusoma! Hana hata mvuto

  • @lukassebastian263
    @lukassebastian263 7 лет назад +5

    Patrobas ana maono makali sana. Think tank na uongozi bora wa taifa upo CHADEMA. #Get well soon Lissu
    😭😭😭😭😭

  • @msemakwelimdhalendo7782
    @msemakwelimdhalendo7782 4 года назад +3

    WATANZANIA wote ni CCM leo tupo naye DODOMA.

  • @agneshkomba1443
    @agneshkomba1443 4 года назад

    Mwanadamu Jana nafasi ya kihukumu Bali ni mungu pekee

  • @stelasasala5972
    @stelasasala5972 7 лет назад

    Edson Sign cdhan km unajitambua. Lakin nimefuatilia profile lako hujitambui.

  • @benedictpius849
    @benedictpius849 4 года назад +1

    Baada ya kugeukia CCM umejitokeza tena kumponda Lissu looh mm sihami bongo

  • @zeanamohamed4072
    @zeanamohamed4072 5 лет назад

    Mwenyezi mungu awajaaliye wote waliyotaka kumuuwa lisu wafe wao kwanza

  • @cylidionrugemalila9227
    @cylidionrugemalila9227 7 лет назад +11

    sheria ichukue mkondo wake ni kosa la ginai

    • @bebetoanselme3826
      @bebetoanselme3826 4 года назад

      Leo Katambi anacho kiongea leo ajitafakari kujiunga na CCM ilikuwa kweli alali ao? Nishida siasa zetu za TZ.

  • @ezekielrumas839
    @ezekielrumas839 7 лет назад

    If the change it is not come through the ballot, it is come the bullet.

  • @oneononetz1028
    @oneononetz1028 7 лет назад +8

    kila nafasi itaonja mauti ukizoea kutoa nafsi za watetezi wa haki jihandae jeanam yakuita,kila anakubaliana na tukio hilo heeee mwenyezi mungu geuza maumivu na machungu ya mh.lissu yawakute wachekao na kufarah juu ya tukio hilo

  • @geraldsamson7880
    @geraldsamson7880 7 лет назад +24

    Sheria ichukue mkondo wake ni kosa la jinai kumtishia mtu kifo

  • @japhetlaisangai8064
    @japhetlaisangai8064 4 года назад

    Gud

  • @mariamjuma5123
    @mariamjuma5123 7 лет назад +2

    mungu awalaan wote waliohusk n icho kitendo

  • @raphaelphaustine9408
    @raphaelphaustine9408 5 лет назад

    Unafiki wa siasa kwa vijana washamba kama hawa wa nchi yetu ulimbukeni wa siasa

  • @japhetlameck547
    @japhetlameck547 3 года назад

    Kwa wakati huu ulikua mtetezi Wa haki. Lakini kwa sasa unatumikia tumbo.

  • @mayungarichard7443
    @mayungarichard7443 5 лет назад +4

    Siku hizi huyu yuko wapi kweli😀😀😀😀

  • @kivuyomollel5337
    @kivuyomollel5337 4 года назад

    Ahsante sana kaka.

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 3 года назад

    Mungu anisamehe angemuua tuu ametuchosha

  • @bigdad1816
    @bigdad1816 7 лет назад

    Ukweli in kwamba chadema kuna wakati munaongea point na Leo hii huyu jamaa ameongea point nchi iendeshwe kwa Katiba na sheria na sheria zipo hapa umesema vizuri bila matusi bila kutukana hii ndio siasa tunayo taka

    • @theresialorry1037
      @theresialorry1037 7 лет назад

      lisemalo lipo kama.halipo laja chungeni midomo yenu

  • @beatricehenry7101
    @beatricehenry7101 7 лет назад

    David, Barikiwa sana kwa tusi

  • @jasminasha9551
    @jasminasha9551 7 лет назад

    Ni kweli kabisa Tundu Lisu hana kosa lolote huyo jamaa haojiwe na yeye

    • @anthonysilayo5462
      @anthonysilayo5462 7 лет назад

      Jasmin Asha hakika kwani hakuna sheria inayo sema mtu akikosea awawe angali kuna kanuni inasema kila mtu anahaki yakuishi na kuongea .

  • @philipomakanamabilikaathum6394
    @philipomakanamabilikaathum6394 7 лет назад +20

    Huyo Jamaa anayeomba kumuua Lisu ametumwa na nani inatakiwa ahojiwe haraka

    • @majaliwayusuph3801
      @majaliwayusuph3801 7 лет назад

      KAMA IMEPATIKANA MIILI YA WATU 15 KTK VIROBA BILA POLISI KUJUA, JIULIZE WATU KAMA HAO WANAOJITOLEA KUMUUA MH: LISSU WAKO HURU KWA COMMENT KAMA HIO HVI USALAMA UKO WAPI? WOTE TUTAKUFA SIKU. MOJA LKN KADHIA HII ITABEBA SERIKALI KWA KAULI YA KUSEMA MH: LISSU SAWA NA MHAINI. KAULI YA MH: LISSU KUIKOSOA SERIKALI NI HAKI YAKE N MAONO YAKE KIKATIBA VP AHUKUMIWE KAMA SIO TISHIO LA UHAI WAKE?

    • @zuhuramunguakujariesabra7000
      @zuhuramunguakujariesabra7000 7 лет назад

      sana ila atakuwa katumwa sio bule endapo angesema kwa MTU wa ccm hivi yupo mahabusu

    • @st99ngeni35
      @st99ngeni35 7 лет назад

      Majaliwa Yusuph - hebu tumia bongo, usiwe una kurupuka na taarifa zisizo rasmi. hakuna watu 15 waliokutwa miili yao kwenye viroba. hizo ni propaganda KUTISHA WATU waone hii nchi haikaliki. kauli kama hiyo uliyokurupuka nayo ndiyo staili ya kauli za tundulisu anazo mwaga hadharani kwa wajinga furani mnazipokea na kuzifanyia kazi pasipo kufanyia uchunguzi. lisu huchanfanta ukweli na uzushi/uongo ku wa win watu na siasa zake chafu

    • @st99ngeni35
      @st99ngeni35 7 лет назад +2

      Hakuna anayetaka kumuua hizo ni propaganda tu. Lisu akiacha mafisa ni mtu mzuri sana; ana vitu vizuri tu vya kuisaidia hii nchi. Tumuombee hilo pepo chafu linalomchanganya hata asiweze ku present hoja zake vizuri limtoke...aache matusi atoe pointi kama Zitto na wengine

    • @majaliwayusuph3801
      @majaliwayusuph3801 7 лет назад +1

      +stev ngeni
      NAAMINI KAULI ZA WATU KAMA HAO, NI HATARI HASA UKIZINGATIA INATOKANA NA MATAMSHI YA SERIKALI. TUOMBE AMANI ITAWALE.

  • @ambagreyson9836
    @ambagreyson9836 4 года назад

    Ccm wanaendesha nchi kama yakwao wenyewe kama mungu watu

  • @gracetitus9963
    @gracetitus9963 5 лет назад

    LIssu kajiletea uadui mwenyewe. Lissu anatamba Ulaya ili Tanzania itengwe, inyimwe masilai. Lissu ni adui mkubwa wa Watanzania. Tanzania haishi Rais Magufuli pekee kuna Watanzania millioni 50. Bombadia imekamatwa kwa musaada wa Lissu hiyo sio Siri. Lissu anatapatapa nje kuihujumu Tanzania, anajenga uadui na WATANZANIA WALIO WENGI.

  • @frankkaiza3658
    @frankkaiza3658 3 года назад

    Tushajua akili yko ok poa🕑will tell⚖️🇹🇿✌️✌️✌️✌️✌️💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪⛪!!!!

  • @daudimaguha9447
    @daudimaguha9447 7 лет назад

    pambala, kwetu ninguo iliyoisha kabla hatujaanza kuchimba vyoo, tulikua tunajifutia baada ya haja kubwa, na kuzolea mavi ya Watoto, pambala, upo 😂😁😀😂😁😀😂😁😀😂😁😀😂😁😀😂😁😀😂😁😀😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 4 года назад

    Nikweli niaduyi watu wako nausalama yeye anakuja kufanya nini.basi amekuja kufiya tazania

  • @maryanemabura385
    @maryanemabura385 7 лет назад

    Mnafanya ujinga halafu mnaleta ufiligisu mi naona waandishi wa habar kuna umuhimu wa kusitisha kiwasikiliza hawa watu wa chadema, wanapotosha wananchi

  • @onesmomaruti5256
    @onesmomaruti5256 3 года назад

    Tume wanaona lisu tu hawayaoni mabaya yao lisu ni mtu mzuri sana kulikoni

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 5 лет назад +1

    Leo hiii baba unaweza kana haya maneno!!

  • @neemaedward1791
    @neemaedward1791 3 года назад

    Katambisaiv yupo kinyume na yote aliyoema hapa hakuna watanzania njaaa zitatuua

  • @neemaedward1791
    @neemaedward1791 3 года назад

    Aliyosema katambi saiv ameyadahau na anaingia juhudiza kuua

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 7 лет назад +6

    Acheni visa #Hapa Kazi Tu

  • @EdwinOmegaodhis
    @EdwinOmegaodhis 7 лет назад

    Emancipate yourselves from mental slavery, non but ourselves can free our minds, have no fear for atomic energy coz non of them could stop at a time. ~ Bob Marley

  • @jumafumomaintaneceandservi1275
    @jumafumomaintaneceandservi1275 4 года назад

    Dah

  • @saifalbarwani4993
    @saifalbarwani4993 4 года назад

    atauwa wangapi

  • @richardsimon3434
    @richardsimon3434 7 лет назад

    mimi nahic edson akili yako ......watu wabaya ktk nchi hii ni ccm na rais analijua hilo,nini chanzo cha kukamatwa kwa ndege? lisu au kukosekana kwa uzalendo kwa viongozi waliopo madarakani? iweje tusilipe madeni yenye riba kwanza ndipo tufikirie mengne? mmbaya hapa si lisu bali vipaumbele vya serikali

  • @juliuskatemi6816
    @juliuskatemi6816 7 лет назад +3

    chadema bila kusingizia udikiteta huwa hamjisikii kuwa mme ongea. mimi Naona mnahitaji kuongoza nchi hamtaiweza Hatakama mungepewa nchi Leo.

    • @st99ngeni35
      @st99ngeni35 7 лет назад +1

      Udikteta wauondoe kwanza kwenye chama chao cha CHADEMA. Udikteta umetawala. Hivi kuna mtu ndani ya CHADEMA anaweza kumsema Mbowe akabaki salama???? Muulizeni Zitto. Unajua mambo mengine watanzania ni lazima tuwe tunatumia bongo na siyo kuendeshwa na akili za Lisu. lisu anajaribu kufanya kampeni ya kumuondoa Magufuri madarakani 2020 ili aje nani??? na kwa maslahi ya nani?????

  • @bwanasalehe6732
    @bwanasalehe6732 7 лет назад +1

    sina tatizo kamanda la lisu kuuliwa lakini hata hakimuuwa bac ajue na yy hatakufa ccm na serikali hao utafika wakati acha ccm wawe wanafiki

  • @husnathabiti7630
    @husnathabiti7630 7 лет назад +3

    tumuachien mungu

  • @adammjomba7112
    @adammjomba7112 4 года назад

    Huyo mtu aliomba ruhusa kumuua mh Tundulisu huyo ni muuaji wa siku nyingi na pengine ni yeye anaye ua na kujeruhi watu mbali mbali na baadae ana itwa watu wasio julikana. Na huyu jamaa ni mzoefu ktk maswala ya kuua .mtu ambaye hajaua hawezi kusema naomba ruhusa ni muue Tundulisu..inamaa mikono yake imejaa damu. Za watu amelani na yeye atakufa

  • @safinayetublogyetu7158
    @safinayetublogyetu7158 7 лет назад +13

    Hivi wakimuua lisu ndege yetu itakuja? Hivi wakimkamata au kumuua lissu nani atatuambia uovu wa jpm na ccm nadhani wanaotaka kumua Lissu na wanaopinga anayoyasema lissu wapimwe mkojo na Mavi.

  • @nyalusofficial9834
    @nyalusofficial9834 4 года назад

    Nenda kagombee uberigij

  • @juliuskapi6163
    @juliuskapi6163 7 лет назад +1

    We ma sepetu news

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 3 года назад

    Lisu haogopi mdomo wake mchafu mno ,unamsaidie apendwe nje saana

  • @abdulazizharthy5627
    @abdulazizharthy5627 4 года назад

    Hayo yote ni amri ya serikali ya CCM ninani kiongozi wake huyo ndio mwenye amri zote na hiyo demokrasia inayo takiwa haipatikani Tanzania vipi nchi inaongozwa na vi dikteta uchwara leo mbona haya hamna European countries

  • @hajjinguvuze7386
    @hajjinguvuze7386 4 года назад

    Sio kauli yaserekali tu hata lisu maneno yake hayako sw kama kweli anauchungu wanchi hi kwanini aeneze uovu huko duniani mutahis kama munachukiwa kumbe wengine wanauchungu wanchi yao yatanzania tunaishi kwa amani haya anayo yafafanya magu yanatutosha hatutaki kua kama kwagadafi ss wanalia kilia chambwa kwa ujinga wao

  • @policejamiimkumbwa9405
    @policejamiimkumbwa9405 4 года назад

    Lazima kukamata ilikukusanya ushahidi mambo yakipolice huyajui unaingiliya mambo yakiupelelezi umbea umezidi

  • @yusuphyc4142
    @yusuphyc4142 7 лет назад +3

    Brother, usiokoteze hoja mbona hata wewe ukivunja sheria utaswekwa ndani; kwani hiyo siyo hoja za kisomi unaonekana ni mwanasheria uliyechoka!

  • @davidwarioba6580
    @davidwarioba6580 4 года назад

    Kwani ninyi ni Wana Sheria wote alafu Sheria no msumeno na Kama mmechoka wangapi sema umechoma wewe sio mmechoka acha ufala

  • @isackmhagale6752
    @isackmhagale6752 7 лет назад +1

    Ungelikuwa mpumbavu bora ucngesaport mnyonyaji ahujumu nchi kupitia mafala kama we na bado tunazid kuwatafuta wapumbavu kama we kifupi mwaka mnasambaana na kukataana,hatuwez kuwa na mapandkz kama Libya.

  • @humaidalnaamani4183
    @humaidalnaamani4183 4 года назад

    Duu ulipokuwa mkuu wa mkowa wa dodoma ndugu katambi ulikuwa kauli yako inasikilizwa na kila mtu na ulienda vzr na kazi yako leo umerudi chadema umisha badirika uko kama kinyonga maana tumekuona ulipokuwa waendeshe kazi vzr na unasikilizwa na police wote kauli yako ikiwa ya sikilizwa leo unasema hafati sheria basi na ww ulikuwa hufati sheria

  • @mbwigawarren.1119
    @mbwigawarren.1119 7 лет назад

    kama nyumbani kwetu Tanzania. home sweet home.

  • @charleswestone7931
    @charleswestone7931 2 года назад

    Unajua ninyi wapinzani kitu ambacho hamjui,ni kitu kidogo tu kuna mahali mmeji kwaa hata maandiko yana sema angalieni mlipo jikwaa mka tubu.

  • @charlesbarongo6922
    @charlesbarongo6922 4 года назад +1

    Huyu ndo yule ninayemfahamu au!

  • @edwardkasubi1495
    @edwardkasubi1495 5 лет назад +2

    Aaaaaaaahhhh lskariot huyoooooo

  • @jamesrobare522
    @jamesrobare522 5 лет назад +4

    Munafiki mkuu sasa hivi uko Kwa mbwa Koko CCM.

  • @agneserasto9806
    @agneserasto9806 4 года назад

    Aujui ata kusoma usituchoshe

  • @jumasilas4864
    @jumasilas4864 7 лет назад

    hakuna jemedari chini ya jua hili hakuna maana wote tumejaa dhiki na maisha yetu yana pita kitambo, Na alaniwe amtegemea mwanadam .hakuna jemedari noooooo niupuuzi tu ni njaaa tuu ni uchuuu tuuu ni huruka tuuuu

  • @esauhaule12
    @esauhaule12 7 лет назад

    Ya kweli ndugu yangu

  • @hossainom7632
    @hossainom7632 4 года назад

    Chadema. Wanafki. Sana. Mnanamtukana. Baba. Wawawatu. Hawashulikii. Ninyi. Kaz. Yenu. Kumtukana

  • @solomonmwisala157
    @solomonmwisala157 7 лет назад +7

    huyo mbwa ninani mukimuuwa Lisu Tanzania hapatabaki salama jaribuni. kitakachotokea dunia itaduwaaa

  • @kitomarikitomari1002
    @kitomarikitomari1002 4 года назад

    Kauli za serikali hii Ni mzigo kwa viongozi wote na wananchi wa Tanzania.

  • @richpower5070
    @richpower5070 4 года назад +1

    Ndo alikuwa mkuu wa wilaya ya Dodoma😂😂😂😂😂😂

  • @abisairobert5894
    @abisairobert5894 7 лет назад

    Duh noma sana

  • @kurubanali2170
    @kurubanali2170 7 лет назад

    wote waliovunjiwa walijua kua hawapo katika viwanja halali kwa muda zaidi ya miaka minane, walipewa taarifa na kilichoendelea ni utamaduni tu wa mazoea kua ahaa serikali inatisha haitavunja kwa hivyo mimi nikiwa mmoja kati ya waliovunjiwa sina kinyongo hata kidogo

  • @charlzlyimo1982
    @charlzlyimo1982 7 лет назад

    mmmh tunakoelekea ni kubaya,

  • @saidomary4950
    @saidomary4950 7 лет назад

    Hakuna mtu atakae ishi milele kila nafsi itaonja umauti wewe unaye omba kumua lisu hata wewe mungu akipenda utakufa tu anaye panga maisha ya mtu ni Allah tu

  • @abelmathias6114
    @abelmathias6114 7 лет назад

    WW isichonganishe serkari na wananchi ww ongea hoja inayoeleweka serkari haiwez kuwa na mtazamo kama huko.

  • @Zuchu11
    @Zuchu11 7 лет назад

    kweli koro koro tu , Edson sign , rudi shule , Steve kua kua na wewe, maana hamjui chochote, sheria ifuate mkondo na aman itawale sio uonevu, ccm kila pande wapo ila kiboko yao lissu tu , kumweka mtu ndan sio mwisho wa yote, na iman mungu anawaona wote , wanayo yafanya,

    • @wilfredmfuru6908
      @wilfredmfuru6908 7 лет назад +1

      mwaambie hão wajinga wanaompin ga lisu wakumbuke esro

  • @zeanamohamed4072
    @zeanamohamed4072 5 лет назад

    Huyu maguufuli ni kama Nani anayewatesa watu wote Tanzania mungu tuondoshee aduwi huyo nchini Tanzaniya

  • @jumannentimizi9000
    @jumannentimizi9000 4 года назад

    JAMAN NJAA MBAYA SANA HIVI HUYU NDIYE KATAMBI ANAEGOMBEA JIMBO LA MH MASELE HAPO SHINYANGA? KWAHIYO WATU WA MKOA WA SHINYANGA TUJITAKAFARI SANA KUHUSU KATAMBI NA KUGOMBES UBUNGE SHY

  • @gidionelias4338
    @gidionelias4338 7 лет назад +1

    mnaitukana serikari halafu selekari mnayoitukana hiyohiyomnaiomba imlinde tundulisu mhuunyiewatu kwakweli mnasikitisha kamaanaogopa kufa aachekutukana raisi

  • @gracetitus9963
    @gracetitus9963 5 лет назад

    Tundu Lissu aache kutukana watu. Anawaudhi watu wengi kwa matusi yake. Serikali haijatangaza, katangaza mwenyewe, tususwe, tukatiwe misaada. , tuzomewe na tuchekelewe. Tundu Lissu asitegemee kutukana watu ategemee kupata. Ilinzi na serikali. Arudi na aache kutukana watu.

  • @mangammbagha2609
    @mangammbagha2609 4 года назад

    Huyu Katambi ni yupi? Ndiye huyu DC wa juzi anayegombea ubunge CCM leo? Nielimisheni.

  • @vincentmgeni662
    @vincentmgeni662 5 лет назад +1

    Mwenzunu Niko hapa ivi chadema nyinyi Kazi yenu nikuikosoa selikali? Pia mlilo Fanya nchi ikawaheshim in lipi? Jemkipewa nchi cmtaiuza? Tukabaki tuna lalama!

    • @kizitoboy9427
      @kizitoboy9427 5 лет назад

      Ulishasikia inchi inauzwa inawezekana wewe ulitangulia kuota meno ya juu nyau nini

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 4 года назад

    Baada ya kuwhiriki kutaka kumuuwa Tundu lissu sasa kawa ccm, mnafiki njaa, yuko juu sasa Magu muingalie huyu msaliti anaweza kusaliti hata chama chetu

  • @sakinaamri9529
    @sakinaamri9529 4 года назад

    Acheni kupaniki semeni mtafanya nini ndio tunacho hitaji muda umeenda nyie ata vichaa watawashulisha ivi muuwaji anatangaza iyo ndio siasa jipangeni nyie siku mtakuta tumbili ofisini pia mtaita waandishi acheni kulalamika sio muda wake tafuteni kura malalamiko uakizi mtazaulika

  • @husseinhkitambi1701
    @husseinhkitambi1701 7 лет назад +1

    Hahahaha kiki za kipumbavu

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 4 года назад +1

    NJAA mbayaaa 🙄🤔😜

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 4 года назад +1

    Leo anachokifanya Ni tofauti