RAIS SAMIA AMPIGIA SIMU RC MAKONDA, AMPA MAAGIZO MAZITO MBELE YA WANANCHI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 июн 2024
  • #uhondotv #uhondo

Комментарии • 80

  • @esthersissamo1120
    @esthersissamo1120 4 дня назад +2

    Mungu ibariki Tanzania na mpe afya njema Rais wetu na maisha marefu pamoja na mkuu wetu wa mkoa ndugu yangu Makonda

  • @user-gx4gt2pe4w
    @user-gx4gt2pe4w 6 дней назад +6

    Hongera mh rais tena kongole sana kwa kutuletea makonda mpenda wanyonge kama wewe mwenyewe ulivyo mama yetu mpendwa kazi iendelee na ccm juu sana

  • @jovinsylivester3601
    @jovinsylivester3601 6 дней назад +4

    Kwakwel hata kama wengine wataona usanii, ila mm nitaona upendo wa Mh Rais. Na mkuu wa mkoa. Hongereni sana kuwasaidia watu aanyonge

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 6 дней назад +3

    Ubarikiwe Raisi sana,Makonda Ubarikiwe,na wote waliounga mkono juhudi hizi inapendeza Atukuzwe YEHOVA ALIYEHAI Ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 6 дней назад +2

    Hongera saana Mr Makonda na Mungu akubariki saana

  • @user-fv4ih1oi1t
    @user-fv4ih1oi1t 2 дня назад

    Mungu mbari Dr Samia mungu mbariki makonda mungu i bariki Tanzania mungu I bariki arusha

  • @laurentikimbangala2970
    @laurentikimbangala2970 2 дня назад

    Hongera sana rais wetu pamoja na mkuu wa mkoa mheshimiwa makonda.

  • @frankthadeo1679
    @frankthadeo1679 5 дней назад +3

    Nikupiga spana tu komred Mungu akupe maisha marefu

  • @hassanmeidimimollel1874
    @hassanmeidimimollel1874 5 дней назад

    Hongera sana mh Makonda kwa kazi nzuri inayofanywa na rais wetu

  • @Alfredmusa24
    @Alfredmusa24 6 дней назад +2

    Ruto must go, Mama Samia njoo huku please 🙏🙏🙏

  • @Deppe-rv2vg
    @Deppe-rv2vg 6 дней назад +3

    Makonda is gem 💎

  • @jonasmpita2206
    @jonasmpita2206 6 дней назад +5

    Ila Makonda balaa, ana akiri ya kipekee kabisa

  • @AsiaNgoleka
    @AsiaNgoleka 2 дня назад

    Hongera sana Mhesh Makonda wewe ni Mfano Mzuri kwa Viongozi Wengine Unaupiga Mwingiiii.

  • @mathewtwimanye92
    @mathewtwimanye92 6 дней назад +4

    Akili nyingi anajua kucheza na upepo huwa najiuliza wakuu wa mikoa waliopita mongera na gambo wajionaje wanapoona mwamba huyu akifanya haya

  • @erastuskajuna812
    @erastuskajuna812 6 дней назад +1

    Ni kama Israeli! Kila anapokwenda mafanikio ni kama mafuriko! Ubarikiwe Makonda

  • @user-kg5yu4kg9p
    @user-kg5yu4kg9p 5 дней назад

    Mwenyezi MUNGU akulinde na akupe afya njema na wote wasiokutakia mema MUNGU awaangamize

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 2 дня назад

    Hongera Mh Makonda inaonekana

  • @jayzeem14
    @jayzeem14 6 дней назад

    Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan tunafarijika sana kuona unavyojali!!

  • @omaryally1532
    @omaryally1532 2 дня назад

    Tunabeza tu nchi yetu ila ukitaka kuamini kwetu pazuri tembea kidogo hata nchi jirani kama kenya,congo,burundi na n.k ukirudi utaiheshimu Tanzania mimi naipenda nchi yangu

  • @nyandagerald824
    @nyandagerald824 4 дня назад

    Makonda uko vizur sana katika utendaji wa kaz piga kaz kaka

  • @sylvanusherman3856
    @sylvanusherman3856 2 дня назад

    Makonda Mungu amtunze

  • @bashiruwise
    @bashiruwise 6 дней назад

    Makonda for life❤

  • @SaleheMkomwa
    @SaleheMkomwa 6 дней назад +2

    MAKONDA WAKULETEE MOROGORO kumeoza HUKU

    • @DanielTumaini
      @DanielTumaini 5 дней назад

      Ni kweli malima amepora ufuta ya wakulima wote na kupeleka kwakwe cjui wamekamua mafuta?au wameenda kuuza nje ya nchi

  • @williamsangita
    @williamsangita 5 дней назад

    Watanzania tujenge tabia ya kushukuru tunapobarikiwa na wenzetu ili kuwatia moyo katika huduma zao

  • @severinlouis
    @severinlouis 6 дней назад +1

    😂Hayaaa TUENDELEE Kuupiga Mwingi

  • @TaboraTalentCenterTTC
    @TaboraTalentCenterTTC 3 дня назад

    Kazi iendelee

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 6 дней назад

    MBONA KAMA NI KAMCHEZO KAKUIGIZA HIVI....HIZO TARATIBU ZA KUTOA MATIBABU BURE KWA WANANCHI MBONA ZINAFANYIKA KOTE NCHINI MIKOA MBALIMBALI.

  • @saidishebuge4796
    @saidishebuge4796 День назад

    mitano tena

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 6 дней назад

    Makonda wewe songa mbele. Serikalini kuna wanafiki sana. Hawajali shida za wananchi.

  • @Ndu-wa.uroony2
    @Ndu-wa.uroony2 6 дней назад +1

    Ndio mheshimiwa raisi... ndio mheshimiwa raisi......ndio mheshimiwa raisi.... ..... ndio mheshimiwa 😅😅😅

  • @SaleheKinanga
    @SaleheKinanga 3 дня назад

    Kazi iendeleeeeee

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 6 дней назад

    Piga kazi kiongozi safisanna

  • @RobertNgeme
    @RobertNgeme 3 дня назад

    Ma RC mikoa mingine ni ofisini tu na nyumbani hovyo san

  • @DismasNoameck
    @DismasNoameck 15 часов назад

    Huyu mkuu wa mkoa anapaswa kuwa mfano wa kuigwa.mapunda.noarmack dismas.masasi mtwara

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 6 дней назад

    Hii nchi Mungu atusimamie🤣🤣🤣🤣🤣

  • @TatuElias-tr8em
    @TatuElias-tr8em 5 дней назад +1

    Makonda anafanya kazi. Mbona wengine hatuwasikii?

    • @stevensteve7519
      @stevensteve7519 5 дней назад +1

      Wakuu wa mikoa mingine pia wanachapa kazi ipasavyo. Tofauti ni kwamba wanafuata taratibu mbalimbali na sheria za nafasi zao. Na kwamba hawafanyi kazi kwa kutafuta sifa bali kwa kutimiza wajibu wao. Ingekuwa hawafanyi kazi zao ipasavyo nchi isingekuwa hivi ilivyo. Wakuu wa mikoa chapeni kazi msisikilize minongono

  • @MkulimaHalisi-g5f
    @MkulimaHalisi-g5f 5 дней назад

    Kazi kubwa

  • @user-ky4vd6lf2z
    @user-ky4vd6lf2z 12 часов назад

    Ukiacha urais mwachie makonda urais

  • @AsiaKadege
    @AsiaKadege День назад

    🙏🙏❤

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 6 дней назад

    Mnaona? MAKONDA Ni mtoto wa watu.chezea MAKONDA wewe?? Huyu Ni kitinda mimba wa Bi,Mkubwa...abarikiweee

  • @litaemilykasambala4569
    @litaemilykasambala4569 5 дней назад

    ❤jembe kama jembe

  • @hawaa341
    @hawaa341 2 дня назад

    Jembe letu

  • @lovenessmohamedy6329
    @lovenessmohamedy6329 5 дней назад

    Makonda bhana

  • @rogatkisanga7496
    @rogatkisanga7496 6 дней назад +4

    Hivi wakuu wa Mikoa mingine wapo? Ni nini kinawafanya wasiweze kuendesha mikoa yao Makonda style?
    Huyu afadhali arudishwe Dar es Salaam na aanze kazi na ulaji rushwa kwenye kutoa huduma!

  • @user-fx6zr6ij5y
    @user-fx6zr6ij5y 6 дней назад +2

    NCHI inausanii hii kweli 😂😂mtu akikunyima elimu atakutawala atakanyo

    • @samsonhamery3809
      @samsonhamery3809 6 дней назад

      Wewe ndie una usanii ulipokuwa ukivuta bangi shule na kutukana waalimu ulifikiri Tanzania inakusubilia wewe endelea kulewa bangi na kukashifu juhudi za viongozi utashitukia kumekucha.utaambulia patupu

    • @innocentinyasi9198
      @innocentinyasi9198 6 дней назад

      Tumia akilii watu wanahudumiwaaa buree apoo it means viongoz hao unaowaona wasanii ndio walioplan icho kitu so haipendez kutokuunga mkono juhudi za viongoz wachapakazi all in all ACHA USANIII WEW UNAECOMENT VITU VYA AJABU, THAMINI MCHANGO WA MAKONDA NA MAMA SAMIA KWA WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA NASYOMKUKOMENT UPUUZI.....

    • @user-fx6zr6ij5y
      @user-fx6zr6ij5y 6 дней назад

      @@innocentinyasi9198 ww ndiyo ujitambui boreshal mahospitali

    • @karolikisaka8991
      @karolikisaka8991 6 дней назад

      @@innocentinyasi9198 kwa hiyo hapo Kuna matajiri wako hapo uwanjani wanatibiwa buree.
      Kwani wangetibiwa huko mahospitalini Kuna shida gani?
      Mmepofushwa akili na kupumbazwa unaona hakiyako ni msaada?
      Hili rundo la watu linaonyesha kuwa watu ni masikini,hawana kazi na wengine Wana magonjwa ya sunona yaani msongo wa mawazo kutokana na Hali ngumu ya maisha.
      Hapa wanatumika kisiasa na mbaya zaidi wanatangazwa mitandaoni.
      Hii ni aibu sana

    • @YahayaKishakwi
      @YahayaKishakwi 6 дней назад

      Yangu macho maana mhhh

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 6 дней назад

    Tanzania sasa imegeuka nchi ya wasanii. Tulidhani alipokufa Magufuli nchi ingekuwa ya Samia . Sasa ni nchi ya Sanii.

  • @aarona.midende1789
    @aarona.midende1789 6 дней назад

    Kumbe siasa ni burudani

  • @DanielTumaini
    @DanielTumaini 5 дней назад

    Makonda nawe usijikoshe kwa mama enzi za mwenda zake ulikuwa muwaji damu za watu zinakulilia bado,hivyo wewe unazogeza cku brother off u go mama pamoja na mapungufu yako live long!

    • @robertzamani5612
      @robertzamani5612 2 дня назад

      Acha kumchafua Makonda unachokiongea una ushahidi kama aliuwa ,

  • @othinielkamyola3697
    @othinielkamyola3697 6 дней назад

    ❤❤❤😂😂😂

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba 5 дней назад

    Makonda acheni siasa za kitoto,,,izo siasa niza matapeli kudanganya wasio jitambua,,

    • @Ali-zs5ed
      @Ali-zs5ed 5 дней назад

      Ulitaka Makonda afanye nini? Mh Makonda chapa
      kazi usiangalie mtu nasema nini

  • @user-gx4gt2pe4w
    @user-gx4gt2pe4w 6 дней назад +1

    Mh makonda piga kazi tunakuombea sana jembe letu wanyonge tuko nyuma yako

  • @AnaniaAnania-lk3ek
    @AnaniaAnania-lk3ek 7 часов назад

    Nimejikuta natabasamu pekee yang

  • @jumabonge8577
    @jumabonge8577 4 дня назад

    sw

  • @user-km6bg1jw2d
    @user-km6bg1jw2d 6 дней назад

    🎉🎉🎉 kwenu

  • @litaemilykasambala4569
    @litaemilykasambala4569 5 дней назад

    Jembe

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 6 дней назад

    Katiba mpya muhimu sana, kipindi Cha u chaguzi Kuna Kila aina ya usanii.
    Watu mjiongeze.
    Bima ya afya hakuna
    Matibabu hospital ni mbovu.
    Huu ni mwaka wa uchaguzi

    • @innocentinyasi9198
      @innocentinyasi9198 6 дней назад +1

      Kwani ukisema ni mwaka wa uchaguz ndo useme et wanafanya usanii....em jiulize kwanza Kiongoz kutenda majukumu yake ni usanii au nn so ulitakaa mambo mazur kama haya kwa wananchi yatendekee mda gan au ultaka watulie tu ofisini????

    • @karolikisaka8991
      @karolikisaka8991 6 дней назад

      @@innocentinyasi9198 ndugu ukitaka kuisaidia mtu ni mpaka umtangaze?
      Kama hospital zipo Kuna haja gani kuwakusanya watu sehemu moja Tena wagonjwa halafu unaanza kuwahutubia??
      Kwani jukumu la serikali siku zote ni lipi mpaka ukawatoe watu mahospitali na uwapeleke uwanjani halafu uwatangaze?
      Huoni hii ni aibu?
      Huoni kuwa watu wanavhezewa akili tuu?
      Huoni kuwa wanatumika kisiasa?
      Kwanini waitwe ni masikini?
      Je huoni mtani wa ccm ni kuwa na watu masikini ili WATUMIE umasikini wao kuwatawala?
      Ndugu katikati Dunia ya watu wenye akili na ufahamu huwezi kukuta jambo kama hili ambalo Mimi naliona ni la kisiasa tuu.
      Kama huduma za afya zingekuwa ni Bora haya yasingeonekana.
      Na mwisho hii ni kuionyesha Dunia kuwa Kuna nchi masikini ambayo raia wake hawana la kufanya zaidi ya kuomba misaada.
      Nikuhakikishie kwa Hali hii hii nchi ni masikini mno?

    • @edmundphilemon3054
      @edmundphilemon3054 5 дней назад

      Katiba mpya ni muhimu na raia walio wengi tunahitaji, ila Kwa hili linalofanywa na makonda ni jambo jema na la Kheri na sioni point yakuandika katiba hapo alafu ujue mkuu wa mkoa hapigiwi kula bali huteuliwa, ungepongeza kwanza Kwa hili afu ukatoa ushauri ungeeleweka sana bila kubeza

    • @user-kg5yu4kg9p
      @user-kg5yu4kg9p 5 дней назад

      Kenya wanakatiba mpya ila tujiulize maisha yao yamebadilika?au unafikili kubadili uongozi ndio maendeleo si KWELI maendeleo ni kuwa na viongozi bora tuwaombee viongozi wetu siyo kuwachukia CCM daima maana upinzani njaa tu hawana hoja wao wanashauli fujo zikitokea wanakimbilia ulaya

    • @uwawatatanzania3243
      @uwawatatanzania3243 4 дня назад

      Kazi Iendelee----->

  • @Isayaraimondiolotwati
    @Isayaraimondiolotwati 6 дней назад

    Sfa

  • @jumabonge8577
    @jumabonge8577 4 дня назад

    na zanzibar bc jmn bc

  • @StanyOfficiol
    @StanyOfficiol 2 дня назад

    Nyooo et helcopter toka lini serikari imiliki ndege ya kubeba wagonjwa usitudanganye wanachi muheshiwa ndege ni ya tajiri

    • @user-dz4qj5kc1t
      @user-dz4qj5kc1t День назад

      angalia vzr video hii na uisklze maana mama aliulza imetoka wap na hakuna aliyesema imetoka serikalin Mh.Makonda amesema wametoa wadau...

  • @ezekielmbise9766
    @ezekielmbise9766 5 дней назад

    Binafsi nampenda muheshimiwa rais wa Tanzania mama samia suluhu

  • @user-ky4vd6lf2z
    @user-ky4vd6lf2z 12 часов назад

    Ukiacha urais mwachie makonda urais