Tunabeza tu nchi yetu ila ukitaka kuamini kwetu pazuri tembea kidogo hata nchi jirani kama kenya,congo,burundi na n.k ukirudi utaiheshimu Tanzania mimi naipenda nchi yangu
Wakuu wa mikoa mingine pia wanachapa kazi ipasavyo. Tofauti ni kwamba wanafuata taratibu mbalimbali na sheria za nafasi zao. Na kwamba hawafanyi kazi kwa kutafuta sifa bali kwa kutimiza wajibu wao. Ingekuwa hawafanyi kazi zao ipasavyo nchi isingekuwa hivi ilivyo. Wakuu wa mikoa chapeni kazi msisikilize minongono
Hivi wakuu wa Mikoa mingine wapo? Ni nini kinawafanya wasiweze kuendesha mikoa yao Makonda style? Huyu afadhali arudishwe Dar es Salaam na aanze kazi na ulaji rushwa kwenye kutoa huduma!
Wewe ndie una usanii ulipokuwa ukivuta bangi shule na kutukana waalimu ulifikiri Tanzania inakusubilia wewe endelea kulewa bangi na kukashifu juhudi za viongozi utashitukia kumekucha.utaambulia patupu
Tumia akilii watu wanahudumiwaaa buree apoo it means viongoz hao unaowaona wasanii ndio walioplan icho kitu so haipendez kutokuunga mkono juhudi za viongoz wachapakazi all in all ACHA USANIII WEW UNAECOMENT VITU VYA AJABU, THAMINI MCHANGO WA MAKONDA NA MAMA SAMIA KWA WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA NASYOMKUKOMENT UPUUZI.....
@@innocentinyasi9198 kwa hiyo hapo Kuna matajiri wako hapo uwanjani wanatibiwa buree. Kwani wangetibiwa huko mahospitalini Kuna shida gani? Mmepofushwa akili na kupumbazwa unaona hakiyako ni msaada? Hili rundo la watu linaonyesha kuwa watu ni masikini,hawana kazi na wengine Wana magonjwa ya sunona yaani msongo wa mawazo kutokana na Hali ngumu ya maisha. Hapa wanatumika kisiasa na mbaya zaidi wanatangazwa mitandaoni. Hii ni aibu sana
Makonda nawe usijikoshe kwa mama enzi za mwenda zake ulikuwa muwaji damu za watu zinakulilia bado,hivyo wewe unazogeza cku brother off u go mama pamoja na mapungufu yako live long!
Katiba mpya muhimu sana, kipindi Cha u chaguzi Kuna Kila aina ya usanii. Watu mjiongeze. Bima ya afya hakuna Matibabu hospital ni mbovu. Huu ni mwaka wa uchaguzi
Kwani ukisema ni mwaka wa uchaguz ndo useme et wanafanya usanii....em jiulize kwanza Kiongoz kutenda majukumu yake ni usanii au nn so ulitakaa mambo mazur kama haya kwa wananchi yatendekee mda gan au ultaka watulie tu ofisini????
@@innocentinyasi9198 ndugu ukitaka kuisaidia mtu ni mpaka umtangaze? Kama hospital zipo Kuna haja gani kuwakusanya watu sehemu moja Tena wagonjwa halafu unaanza kuwahutubia?? Kwani jukumu la serikali siku zote ni lipi mpaka ukawatoe watu mahospitali na uwapeleke uwanjani halafu uwatangaze? Huoni hii ni aibu? Huoni kuwa watu wanavhezewa akili tuu? Huoni kuwa wanatumika kisiasa? Kwanini waitwe ni masikini? Je huoni mtani wa ccm ni kuwa na watu masikini ili WATUMIE umasikini wao kuwatawala? Ndugu katikati Dunia ya watu wenye akili na ufahamu huwezi kukuta jambo kama hili ambalo Mimi naliona ni la kisiasa tuu. Kama huduma za afya zingekuwa ni Bora haya yasingeonekana. Na mwisho hii ni kuionyesha Dunia kuwa Kuna nchi masikini ambayo raia wake hawana la kufanya zaidi ya kuomba misaada. Nikuhakikishie kwa Hali hii hii nchi ni masikini mno?
Katiba mpya ni muhimu na raia walio wengi tunahitaji, ila Kwa hili linalofanywa na makonda ni jambo jema na la Kheri na sioni point yakuandika katiba hapo alafu ujue mkuu wa mkoa hapigiwi kula bali huteuliwa, ungepongeza kwanza Kwa hili afu ukatoa ushauri ungeeleweka sana bila kubeza
Kenya wanakatiba mpya ila tujiulize maisha yao yamebadilika?au unafikili kubadili uongozi ndio maendeleo si KWELI maendeleo ni kuwa na viongozi bora tuwaombee viongozi wetu siyo kuwachukia CCM daima maana upinzani njaa tu hawana hoja wao wanashauli fujo zikitokea wanakimbilia ulaya
Mungu ibariki Tanzania na mpe afya njema Rais wetu na maisha marefu pamoja na mkuu wetu wa mkoa ndugu yangu Makonda
Hongera mh rais tena kongole sana kwa kutuletea makonda mpenda wanyonge kama wewe mwenyewe ulivyo mama yetu mpendwa kazi iendelee na ccm juu sana
Kwakwel hata kama wengine wataona usanii, ila mm nitaona upendo wa Mh Rais. Na mkuu wa mkoa. Hongereni sana kuwasaidia watu aanyonge
Ubarikiwe Raisi sana,Makonda Ubarikiwe,na wote waliounga mkono juhudi hizi inapendeza Atukuzwe YEHOVA ALIYEHAI Ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai
Hongera saana Mr Makonda na Mungu akubariki saana
Mungu mbari Dr Samia mungu mbariki makonda mungu i bariki Tanzania mungu I bariki arusha
Hongera sana rais wetu pamoja na mkuu wa mkoa mheshimiwa makonda.
Nikupiga spana tu komred Mungu akupe maisha marefu
Hongera sana mh Makonda kwa kazi nzuri inayofanywa na rais wetu
Ruto must go, Mama Samia njoo huku please 🙏🙏🙏
Makonda is gem 💎
Ila Makonda balaa, ana akiri ya kipekee kabisa
Hongera sana Mhesh Makonda wewe ni Mfano Mzuri kwa Viongozi Wengine Unaupiga Mwingiiii.
Akili nyingi anajua kucheza na upepo huwa najiuliza wakuu wa mikoa waliopita mongera na gambo wajionaje wanapoona mwamba huyu akifanya haya
Ni kama Israeli! Kila anapokwenda mafanikio ni kama mafuriko! Ubarikiwe Makonda
Mwenyezi MUNGU akulinde na akupe afya njema na wote wasiokutakia mema MUNGU awaangamize
Hongera Mh Makonda inaonekana
Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan tunafarijika sana kuona unavyojali!!
Tunabeza tu nchi yetu ila ukitaka kuamini kwetu pazuri tembea kidogo hata nchi jirani kama kenya,congo,burundi na n.k ukirudi utaiheshimu Tanzania mimi naipenda nchi yangu
Makonda uko vizur sana katika utendaji wa kaz piga kaz kaka
Makonda Mungu amtunze
Makonda for life❤
MAKONDA WAKULETEE MOROGORO kumeoza HUKU
Ni kweli malima amepora ufuta ya wakulima wote na kupeleka kwakwe cjui wamekamua mafuta?au wameenda kuuza nje ya nchi
Watanzania tujenge tabia ya kushukuru tunapobarikiwa na wenzetu ili kuwatia moyo katika huduma zao
😂Hayaaa TUENDELEE Kuupiga Mwingi
Kazi iendelee
MBONA KAMA NI KAMCHEZO KAKUIGIZA HIVI....HIZO TARATIBU ZA KUTOA MATIBABU BURE KWA WANANCHI MBONA ZINAFANYIKA KOTE NCHINI MIKOA MBALIMBALI.
mitano tena
Makonda wewe songa mbele. Serikalini kuna wanafiki sana. Hawajali shida za wananchi.
Ndio mheshimiwa raisi... ndio mheshimiwa raisi......ndio mheshimiwa raisi.... ..... ndio mheshimiwa 😅😅😅
👉😂😂😂
Kazi iendeleeeeee
Piga kazi kiongozi safisanna
Ma RC mikoa mingine ni ofisini tu na nyumbani hovyo san
Huyu mkuu wa mkoa anapaswa kuwa mfano wa kuigwa.mapunda.noarmack dismas.masasi mtwara
Hii nchi Mungu atusimamie🤣🤣🤣🤣🤣
Makonda anafanya kazi. Mbona wengine hatuwasikii?
Wakuu wa mikoa mingine pia wanachapa kazi ipasavyo. Tofauti ni kwamba wanafuata taratibu mbalimbali na sheria za nafasi zao. Na kwamba hawafanyi kazi kwa kutafuta sifa bali kwa kutimiza wajibu wao. Ingekuwa hawafanyi kazi zao ipasavyo nchi isingekuwa hivi ilivyo. Wakuu wa mikoa chapeni kazi msisikilize minongono
Kazi kubwa
Ukiacha urais mwachie makonda urais
🙏🙏❤
Mnaona? MAKONDA Ni mtoto wa watu.chezea MAKONDA wewe?? Huyu Ni kitinda mimba wa Bi,Mkubwa...abarikiweee
❤jembe kama jembe
Jembe letu
Makonda bhana
Hivi wakuu wa Mikoa mingine wapo? Ni nini kinawafanya wasiweze kuendesha mikoa yao Makonda style?
Huyu afadhali arudishwe Dar es Salaam na aanze kazi na ulaji rushwa kwenye kutoa huduma!
NCHI inausanii hii kweli 😂😂mtu akikunyima elimu atakutawala atakanyo
Wewe ndie una usanii ulipokuwa ukivuta bangi shule na kutukana waalimu ulifikiri Tanzania inakusubilia wewe endelea kulewa bangi na kukashifu juhudi za viongozi utashitukia kumekucha.utaambulia patupu
Tumia akilii watu wanahudumiwaaa buree apoo it means viongoz hao unaowaona wasanii ndio walioplan icho kitu so haipendez kutokuunga mkono juhudi za viongoz wachapakazi all in all ACHA USANIII WEW UNAECOMENT VITU VYA AJABU, THAMINI MCHANGO WA MAKONDA NA MAMA SAMIA KWA WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA NASYOMKUKOMENT UPUUZI.....
@@innocentinyasi9198 ww ndiyo ujitambui boreshal mahospitali
@@innocentinyasi9198 kwa hiyo hapo Kuna matajiri wako hapo uwanjani wanatibiwa buree.
Kwani wangetibiwa huko mahospitalini Kuna shida gani?
Mmepofushwa akili na kupumbazwa unaona hakiyako ni msaada?
Hili rundo la watu linaonyesha kuwa watu ni masikini,hawana kazi na wengine Wana magonjwa ya sunona yaani msongo wa mawazo kutokana na Hali ngumu ya maisha.
Hapa wanatumika kisiasa na mbaya zaidi wanatangazwa mitandaoni.
Hii ni aibu sana
Yangu macho maana mhhh
Tanzania sasa imegeuka nchi ya wasanii. Tulidhani alipokufa Magufuli nchi ingekuwa ya Samia . Sasa ni nchi ya Sanii.
Kumbe siasa ni burudani
Makonda nawe usijikoshe kwa mama enzi za mwenda zake ulikuwa muwaji damu za watu zinakulilia bado,hivyo wewe unazogeza cku brother off u go mama pamoja na mapungufu yako live long!
Acha kumchafua Makonda unachokiongea una ushahidi kama aliuwa ,
❤❤❤😂😂😂
Makonda acheni siasa za kitoto,,,izo siasa niza matapeli kudanganya wasio jitambua,,
Ulitaka Makonda afanye nini? Mh Makonda chapa
kazi usiangalie mtu nasema nini
Mh makonda piga kazi tunakuombea sana jembe letu wanyonge tuko nyuma yako
Nimejikuta natabasamu pekee yang
sw
🎉🎉🎉 kwenu
Jembe
Katiba mpya muhimu sana, kipindi Cha u chaguzi Kuna Kila aina ya usanii.
Watu mjiongeze.
Bima ya afya hakuna
Matibabu hospital ni mbovu.
Huu ni mwaka wa uchaguzi
Kwani ukisema ni mwaka wa uchaguz ndo useme et wanafanya usanii....em jiulize kwanza Kiongoz kutenda majukumu yake ni usanii au nn so ulitakaa mambo mazur kama haya kwa wananchi yatendekee mda gan au ultaka watulie tu ofisini????
@@innocentinyasi9198 ndugu ukitaka kuisaidia mtu ni mpaka umtangaze?
Kama hospital zipo Kuna haja gani kuwakusanya watu sehemu moja Tena wagonjwa halafu unaanza kuwahutubia??
Kwani jukumu la serikali siku zote ni lipi mpaka ukawatoe watu mahospitali na uwapeleke uwanjani halafu uwatangaze?
Huoni hii ni aibu?
Huoni kuwa watu wanavhezewa akili tuu?
Huoni kuwa wanatumika kisiasa?
Kwanini waitwe ni masikini?
Je huoni mtani wa ccm ni kuwa na watu masikini ili WATUMIE umasikini wao kuwatawala?
Ndugu katikati Dunia ya watu wenye akili na ufahamu huwezi kukuta jambo kama hili ambalo Mimi naliona ni la kisiasa tuu.
Kama huduma za afya zingekuwa ni Bora haya yasingeonekana.
Na mwisho hii ni kuionyesha Dunia kuwa Kuna nchi masikini ambayo raia wake hawana la kufanya zaidi ya kuomba misaada.
Nikuhakikishie kwa Hali hii hii nchi ni masikini mno?
Katiba mpya ni muhimu na raia walio wengi tunahitaji, ila Kwa hili linalofanywa na makonda ni jambo jema na la Kheri na sioni point yakuandika katiba hapo alafu ujue mkuu wa mkoa hapigiwi kula bali huteuliwa, ungepongeza kwanza Kwa hili afu ukatoa ushauri ungeeleweka sana bila kubeza
Kenya wanakatiba mpya ila tujiulize maisha yao yamebadilika?au unafikili kubadili uongozi ndio maendeleo si KWELI maendeleo ni kuwa na viongozi bora tuwaombee viongozi wetu siyo kuwachukia CCM daima maana upinzani njaa tu hawana hoja wao wanashauli fujo zikitokea wanakimbilia ulaya
Kazi Iendelee----->
Sfa
na zanzibar bc jmn bc
Nyooo et helcopter toka lini serikari imiliki ndege ya kubeba wagonjwa usitudanganye wanachi muheshiwa ndege ni ya tajiri
angalia vzr video hii na uisklze maana mama aliulza imetoka wap na hakuna aliyesema imetoka serikalin Mh.Makonda amesema wametoa wadau...
Binafsi nampenda muheshimiwa rais wa Tanzania mama samia suluhu
Ukiacha urais mwachie makonda urais