KASUMBA ''Sehemu ya Kwanza''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 авг 2024
  • #MADEBE_LIDAI #NABIImswahili #Chanuo_Nchakali
    Hii ni Filamu inayofundisha namna ya kuishi kwenye ndoa kwa ustamilivu bila ya tamaa,kisha inatoa funzo la matokeo ya Tamaa kama utaiendekeza huku ukipambana na jinsia yako

Комментарии • 472

  • @emmanuelmakindi4409
    @emmanuelmakindi4409 4 года назад +162

    Kama kawaida yangu siachi kuangalia sinema nzuri toka kwa madebe. Kama unamkubali madebe kama mimi, gonga like twende sawa.

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 4 года назад +120

    mashaAllah madebe unatufunza Mambo mengi kupitia filam zako ....kama unaamini madebe ndio mrithi wa marehemu kanumba tumpeni like zake apate kutulietea vitu vizuri zaidi

  • @godfreymutembei940
    @godfreymutembei940 Год назад +3

    Madebe siku moja ningependa kukutana na wewe kaka, nakupenda bure pamoja na filamu zako

  • @mahoroamidu2045
    @mahoroamidu2045 4 года назад +15

    Huyu ndo mkombozi wa bongo movie good job bro madebe 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @salimuhabibu5295
    @salimuhabibu5295 4 года назад +86

    Wakwanza hapa kucomment ukiangalia muv yyte za huyu Jamaa huwezi kujutia Mb zako wap like za #madebe weka hapa

  • @kamalissabig2429
    @kamalissabig2429 4 года назад +71

    Madebe lidai ndio King of Bongo movie anae kubali pita na like zake apa

    • @user-mm5tf7yn6p
      @user-mm5tf7yn6p 4 года назад

      Ukisema ivo unakosea gabo zibamba umutiye wapi vincent kigosi muze magari unaongea usiyo yajuwa🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @kamalissabig2429
      @kamalissabig2429 4 года назад +1

      @@user-mm5tf7yn6p kama inakuuma kufa ukwel ndo huo

    • @busta_malik5971
      @busta_malik5971 4 года назад

      @@user-mm5tf7yn6p ray kigosi muweke kwenye kundi la mashoga maana haiwezekani mwanaume unapaka poda

  • @mahoroamidu2045
    @mahoroamidu2045 4 года назад +5

    Nipe likes zangu kama unamkubali madebe 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @marymasha6777
    @marymasha6777 3 года назад +9

    Nakupenda bureeeeee madebe lidai , karibu Kenya ❤️❤️❤️

  • @godblessyexaudnkyale20
    @godblessyexaudnkyale20 Год назад +1

    Watanzania Tunajivinia uwepo wako madebe lidai mng ukulinde akipiganiee akufanyiee wepesi uandaaji was movie ufanyike kiwepesi watanzania Tunakipenda umeludisha Heshima ya bongo Movie ❤️❤️❤️❤️❤️❤️ special for you.....🙏🙏🙏🙏

  • @mauwarashid4823
    @mauwarashid4823 4 года назад +9

    mashaailaah movie tamu ongeresana mjomva madebe upo juu kwa mafunzo mengi

  • @davidunendi6276
    @davidunendi6276 4 года назад +67

    Kabla cjaanglia ngoja nkomment then nkienjoy ntakuja kulike comment yang🤣

  • @yonnanesphory1928
    @yonnanesphory1928 4 года назад +28

    Sasa kama matusi tumesubir mwez hii c tutasubir mwaka ya pili......gonga like kama unasubiri matusi kwa hamu

  • @kingkikaula6051
    @kingkikaula6051 4 года назад +109

    WALE TUNAOPENDA VITU VYENYE AKILI KAMA HIVI TUJUANE

  • @rosemvungi7854
    @rosemvungi7854 3 года назад +9

    Big up madebe.... Mm naangaliaga tuu nafurahia kazi yako leo Nmeamua nkupe sifa zako

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 4 года назад +24

    Kibongobongo naangalia muvi za MADEBE na MKOJANI tu... Great Talented Artists ever

  • @sallysimon5466
    @sallysimon5466 Год назад +2

    new fan here from Kenya,napenda sana kazi ya madebe lidai,you're educating our community through your movies

  • @edwingwesso6818
    @edwingwesso6818 4 года назад +6

    Like kama tulkua wote kwa wali wangu na mstusi

  • @nderindichu8754
    @nderindichu8754 3 года назад +2

    Hapo kweli huwa najiuliza bora angerudi kanumba ...movie zake zinaelimisha.
    Hongera sana Madebe endelea kuelimisha jamii.
    Mob love from🇰🇪254🇰🇪🇰🇪

  • @janvieryenga1419
    @janvieryenga1419 Год назад

    Ongera sana Madebe Lidai, mimi nimependa apa kwa amri 10 na Sheria 17 za mpira, kama na wewe umepapenda like yako apa🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @latifahshaban3385
    @latifahshaban3385 4 года назад +9

    Nakukubali bro hongeraaa sana kwa kazi yako 💗🖤

  • @johnyty498
    @johnyty498 4 года назад +5

    tunakukubali sana lakn acha ujinga wa kufananisha maisha ya Mungu wetu (Yesu) na huu upumbavu wako umeishiwa misemo tulia bana, ila Mungu akusamehe wenda uwezo wako wa kufikiria uliishia hapo🙏

  • @celistinekandijah8820
    @celistinekandijah8820 4 года назад +11

    Madebe lidai,, much love from kenya

  • @salimusaid9200
    @salimusaid9200 4 года назад +8

    Namkubali @madebe Anaweza sana ktk bongo movie weka #like_hapo_twend__Sawa"

  • @fatmaahamad633
    @fatmaahamad633 4 года назад +25

    Malizia matusi hivi unatuchanganya japo ni 🔥🔥

  • @mrbweichum
    @mrbweichum 4 года назад +226

    *KAMA UNAMKUBALI MADEBE LIDAI ACHIA LIKE YAKO*

  • @clarissidi1437
    @clarissidi1437 Год назад +2

    Kama bado waangalia hii gonga like hapa

  • @user-kf4yz6sm1j
    @user-kf4yz6sm1j 4 года назад +6

    Safi sana madebe mungu abariki kazi yako 💥💥💥💥💥💥💕

  • @evancecomedian..2816
    @evancecomedian..2816 4 года назад +7

    Nimeipenda hiii natamanii kua muhusikaa....❤❤❤❤❤❤

  • @user-lx3wf6bw5d
    @user-lx3wf6bw5d 10 месяцев назад

    Ni moja Kati ya mashabiki zako broo madebe nakupend kwa ajili ya Allah 🤲🙏

  • @kalamuyangu1
    @kalamuyangu1 4 года назад +7

    Mtu makini mwenye umakini wake. 🤝🤝

  • @bandobonda2717
    @bandobonda2717 3 года назад +1

    Kama umesikia
    Mke mwema hutoka kwa Bwana sasa unashangaa mkeo kutoka kwa bwana'ake!?
    Gonga like!

  • @amraniminani6019
    @amraniminani6019 4 года назад +3

    Pongezi sana madebe kunalenye umesahaw YESU makengo yakurudi duniani nikuowa na azae sawa namaandishi ya vitabo vya imani

  • @Sebastianrichard253
    @Sebastianrichard253 3 года назад +1

    Big up Madebe Lidai unafanya kazi nzuri sana

  • @awadhilupindo5740
    @awadhilupindo5740 4 года назад +26

    Kama unamkubal madebe gonga like

  • @mwanashaomarbakar3070
    @mwanashaomarbakar3070 3 года назад

    Mashaallh madebe huwe n mri mrefu ishaallh movie zote safy sana

  • @asmaabass5973
    @asmaabass5973 Год назад

    Madebe Uko vizuri katika filamu zako unatfunza sana hongera

  • @lydiamuli3328
    @lydiamuli3328 4 года назад +4

    Kama.kuns mwalimu ni wewe Madebe🙏🙏may God give you more wisdom.

  • @Nyaruking1
    @Nyaruking1 4 года назад +5

    Edeleya ivoivo unailimisha brother wew same like kanumba bro

  • @mrgenerous6878
    @mrgenerous6878 4 года назад +13

    Bongo mkisifiwa sana mnaanza kujidai cjui tatiz nn Mnaeka Vitu nusu nusu ndo nn mnaboa MATUSI WATU TUNAEKA BUNDLE daily tunasubiri km mmeanza iyo tabia bora muache mnapoteza mashabiki

    • @aishaassad8771
      @aishaassad8771 4 года назад

      Mimi nimejarib na nataka nilipie naona jina lako tu lkn namba ya kulipia sioni.

    • @naiyammoud6409
      @naiyammoud6409 4 года назад

      @@madebelidai10 km uko nje ya nchii na huna visa card ntalipia vo

    • @aishafeysal9630
      @aishafeysal9630 4 года назад

      Wengine atupo nchni ndomana na uwezekano wa kupakua iyo appl atuna kwaiyo jua kwamba mashabiki zako wengine atujafaidi move ya matusi nibola usinge weka basi

  • @scienceproject-187
    @scienceproject-187 10 месяцев назад

    Filamu zenye mafunzo,ningependa kujiunga na team madebe japo niko kenya.....huku kenya pia jamii kwanza imeoza kabisa

  • @josephmwita2320
    @josephmwita2320 4 года назад +6

    Naaamini kazi yako braza. Mungu awe nawe kwa kazi nzuri unayoifanya.

  • @inagakalunde2735
    @inagakalunde2735 2 года назад

    Napenda filam zako madebe maana zinatufunza pakubwa sana

  • @legallearningonlinetv1121
    @legallearningonlinetv1121 4 года назад +39

    Brother madebe tumalizie Matusi, tumeimiss muendelezo

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 4 года назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣matusi iko mwendelezo lkn hamna video

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 4 года назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣matusi iko mwendelezo lkn hamna video

    • @rachelmtekele1873
      @rachelmtekele1873 4 года назад

      Kweli jamani amalizie filam Ile matusi nzuri.sana.halaf ndo yuendelee.na nyingine

    • @legallearningonlinetv1121
      @legallearningonlinetv1121 3 года назад

      @@nurafedrick378,hahahaha umenishinda

  • @richardbeatus5962
    @richardbeatus5962 3 года назад +2

    Madebe ni shidaaah! Saaaaana

  • @majaliwadaud6232
    @majaliwadaud6232 2 года назад

    Yaani kaka madebe kila filam yako inafudisha na kukubali sana

  • @johndemunga2903
    @johndemunga2903 4 года назад +30

    Nani alie sikia kama stress za mapenzi njo zina haribu sana inchi??

  • @listonymkongwa3346
    @listonymkongwa3346 4 года назад +37

    Madebe please, tumalizien kwanza "MATUSI " AISEE

  • @alexsimanga4121
    @alexsimanga4121 4 года назад +1

    Nakukubali sana kaka madebe uko vzr sana mungu akuwekee wepesi uzidi apo

  • @rehemapeter5894
    @rehemapeter5894 2 года назад

    Mungu akupe maisha marefu made be lidai

  • @baharisafi8652
    @baharisafi8652 4 года назад +93

    Tumaluzieni MATUSI SEHEMU ZOTE

    • @ibrahimgebo7382
      @ibrahimgebo7382 4 года назад +7

      hapo kweli umesema bora tamthilia ya matusi

    • @yeasrmsafi7152
      @yeasrmsafi7152 4 года назад +1

      Mbona tulisha imaliza

    • @JJ-fb6mm
      @JJ-fb6mm 4 года назад

      Kbs tuna subiri matusi wame sema hinaendelea

    • @lydiamuli3328
      @lydiamuli3328 4 года назад

      Yes ailete umu youtube

    • @khadidjakhadidja5713
      @khadidjakhadidja5713 4 года назад +1

      @@madebelidai10 yoooo dah yani mie bimekata kabisa

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 4 года назад

    Madebe nipo znz nakukubali sana na kundi lako mnafunza na mpo kwenye maadili yetu ya kitanzania hamvai uchi mashallah

  • @damamuhamza3318
    @damamuhamza3318 2 года назад

    Nakubali filamu zako funzo Sana kwa jamii

  • @ilkacasebishoo4268
    @ilkacasebishoo4268 3 года назад

    Hongera nabii umetufuza mingi

  • @simonsweka7305
    @simonsweka7305 4 года назад +10

    Lidaii fans....mpo tujuanee wazee kwa ku likee

  • @josephmartini1431
    @josephmartini1431 3 года назад

    Hapa tz sijawahi kumpenda mwigizaj yoyote kama madebe

  • @twalhamohamed365
    @twalhamohamed365 Год назад

    Nakukukubali sana mwamba madebe othmani mbingaa

  • @allyhyyy919
    @allyhyyy919 4 года назад +3

    Kawaida yangu kabla yangu yakuangalia move za huyu jamaa napitia komments kwanza,,,Kongole sana Madebe lidai unatupa elimu xana Mungu akulinde #Like_Kama_Zote_kwake_jaman

  • @ismailaahmada566
    @ismailaahmada566 2 года назад

    madebe umetisha filam zako zito.....

  • @helbertharrison8725
    @helbertharrison8725 3 года назад +1

    Hii filamu ni nzuri sana ila picha yake inagiza sana bwana lidai

  • @Leonarnk3
    @Leonarnk3 4 года назад +3

    Kazi yako yatupa kazi bwana weh! ✍✍✍

  • @abubakarsalim1505
    @abubakarsalim1505 4 года назад +4

    Nimekuwa wa sita leo madebe kuangalia picha yako Kenya tuna kukubali Sana bro

  • @songslyrics7912
    @songslyrics7912 4 года назад +3

    Iko poa sana💥💥💥
    Ila matusi umetuacha hewani! Fanya utamaliziee
    zote

    • @douglasbosire4943
      @douglasbosire4943 4 года назад +1

      Ndugu Lidai huku kwa kipaji app visa yangu ilikataa kuingia, tafadhali tupe njia zingine za kulipa especially kama mtu yuko nje ya Afrika

    • @bintsulaymansuleiman668
      @bintsulaymansuleiman668 4 года назад

      @@douglasbosire4943 kwl atupe njia nyngn mm nmejaribu mpka

  • @sakinaabdallah7677
    @sakinaabdallah7677 4 года назад +8

    Move nzur ila tuna taka matusi kwanza

  • @allyshee1179
    @allyshee1179 4 года назад +12

    Muna fanya siku yangu yende poa, Kenyan in qatar na enyoy na madebe

  • @venanceandembwisye9428
    @venanceandembwisye9428 4 года назад +5

    Madebe malizia movies kaka mnafel wap

  • @filothiasirizabongo5767
    @filothiasirizabongo5767 4 года назад

    Hongera sana madebe lidai nakukubali sana sichoki kuangalia filamu zako

  • @mohdhussein9749
    @mohdhussein9749 4 года назад +1

    Safi sana like zote kwa madebe lidai one love mr

  • @dismashaule1631
    @dismashaule1631 4 года назад

    Muvi nzuri sana aisee ina ujumbe mzur
    Tunaomba bas muimalizie filamu ya MATUSI tafazali Madebe Lidai

  • @leylabasmati7645
    @leylabasmati7645 2 года назад

    Napenda sana kazi zako nzuri sana

  • @sharonchihunga8008
    @sharonchihunga8008 4 года назад +2

    Nacheki comment mwnzo ndio n watch bt madebe always fire

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel7752 4 года назад +3

    *MADEBE FUNDI AISEEEE*
    🙌🙌🙌🙌🙌

  • @tausihasheem5051
    @tausihasheem5051 3 года назад

    Madebe movie zako nzur bas tunaomba muendelezo wa Matusi...wengine tupo nje ya nchi....

    • @emmaphabian8362
      @emmaphabian8362 3 года назад

      Muendelezo wa matusi ipo kipaji app huku haiwekwi tena

  • @edwardmkilindi9210
    @edwardmkilindi9210 4 года назад +1

    Unajua madebe

  • @QBOYS911Facebook
    @QBOYS911Facebook 3 года назад +1

    I love this movies is very because I love this movies too is a great idea thinking

  • @vedah3946
    @vedah3946 4 года назад +15

    Madebe lidai application ya kipaji app inazingua Sana tuwekee utaratibu wa kupata nakala zako na movies zako kirahisi

    • @xaverylibaba5371
      @xaverylibaba5371 4 года назад

      Kweli kabsa hata mm nmejaribu kulipia bila mafanikio

  • @hassanchuma5013
    @hassanchuma5013 3 года назад

    Madebe ni🔥🔥🔥hila tumalizie Matusi Kwanza😭

  • @hodrammgonde4219
    @hodrammgonde4219 4 года назад +6

    Mbona muv zako huwa haziishi una kasumba matusi umeiacha

  • @hassanokelo5979
    @hassanokelo5979 4 года назад +8

    Wa kwanza nipen likes

  • @nancylee2429
    @nancylee2429 4 года назад +7

    On fire👌💥

  • @iigigijfjffjfif550
    @iigigijfjffjfif550 4 года назад

    Madebe na Linda munajitahidi Sana ahsateni Sana

  • @mishaelmisana7674
    @mishaelmisana7674 4 года назад

    Made be kwa sasa kwangu ndo muigizaji bora hapa tz

  • @dahsilvertz6115
    @dahsilvertz6115 4 года назад +1

    Ushubwadaaaaa

  • @fatimaabdulla1320
    @fatimaabdulla1320 4 года назад +5

    Matusi jaman matusi mm nataka matusi ya madebe liday

  • @ekinirashidfrancisco57
    @ekinirashidfrancisco57 4 года назад +1

    Mzee wakazi madebe nakukubali kimtindo bro unaweza Sana ..Tumalizane Matusi KwanZa

  • @dannymoses1882
    @dannymoses1882 4 года назад +1

    ambao tunaangalia saiz gonga like

  • @joymsupagladysijeya8384
    @joymsupagladysijeya8384 4 года назад +3

    Niko apa sichelewi ❤️❤️❤️❤️

  • @mrfix6596
    @mrfix6596 4 года назад +5

    Boss madebe ukimaliza hii filamu hiyo simu nipatie niwawekee kumbukumbuku wajukuu zangu😂😂😂

  • @dr.bonye1
    @dr.bonye1 3 года назад

    Madebe Lidai noma sanaa

  • @josejohn8954
    @josejohn8954 4 года назад +4

    Hili LA kuomba like na lenyew linaanza kuwa tatzo kubwa

  • @mohamedmwita6172
    @mohamedmwita6172 3 года назад

    Madebe nakukubali Sana kka

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 года назад +23

    Kaka tumalizie kwanza ile ya MATUSI ndyo utuletee hzo zngne bhn

  • @magrethmateso6852
    @magrethmateso6852 3 года назад

    kazi nzur madebe

  • @mussachibwana2832
    @mussachibwana2832 4 года назад

    Hongra Sana madebe ni kwel inawezekana tu kuwa mjinga

  • @r.kassimtoutautre3432
    @r.kassimtoutautre3432 4 года назад

    Nakufwata 🇧🇮Who lives 🇹🇷

  • @paskomangee8409
    @paskomangee8409 3 года назад

    Madebe ni fire san

  • @alfredmwana9427
    @alfredmwana9427 3 года назад

    nakukubali sana nabii

  • @ayubuallyayubually3950
    @ayubuallyayubually3950 4 года назад +1

    Uyu dada muuza genge move za kijini anafaaa kuekti kama jini

  • @valiantmdao57
    @valiantmdao57 Год назад

    Madebe on Top

  • @allygodfrey2586
    @allygodfrey2586 4 года назад

    Namkubali san lidai

  • @hawwahawwa9590
    @hawwahawwa9590 3 года назад

    Mashallah upo vizuri madebe lidai