Lost LOVE 💔//BabaOlivia Episode 15

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024
  • #BabaOlivia #Baba
    Join us as we explore the latest twists in our ongoing story! Arthur embarks on a journey with Olivia to attend a solemn family event, while Siwema makes a mysterious discovery that could change everything. Meanwhile, trouble brews at school when Tina is caught with something she shouldn't have. Don’t miss the drama, emotion, and surprises that unfold in this captivating episode!
    ---------------
    Jiunge nasi tunapochunguza mabadiliko mapya katika hadithi yetu inayoendelea! Arthur anaanza safari na Olivia kuhudhuria tukio la kifamilia lenye huzuni, huku Siwema akifanya ugunduzi wa ajabu ambao unaweza kubadilisha kila kitu. Wakati huohuo, matatizo yanazuka shuleni wakati Tina anakamatwa na kitu ambacho hakupaswa kuwa nacho. Usikose msisimko, hisia, na mshangao unaojitokeza katika kipindi hiki cha kuvutia!

Комментарии • 974

  • @preciousmarrytz
    @preciousmarrytz 20 дней назад +112

    Nishakanwaaaaa mama mtoto Gani😂😂😂😂😂 eeeee Gabs 😂😂😂

    • @preciousmarrytz
      @preciousmarrytz 20 дней назад +14

      Cjapenda 😂

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  20 дней назад +5

      😂😂😂😂 Polee!

    • @shahrayn93
      @shahrayn93 20 дней назад +5

      @@preciousmarrytz hajui km ushambebea kidume hpe🤗atarudi kwako2 dia ucjli 😍

    • @rafiaahmad168
      @rafiaahmad168 20 дней назад +2

      I feel sorry 4 u 😂😂😂

    • @user-no9qy7pb7j
      @user-no9qy7pb7j 20 дней назад +1

      😂😂😂😂

  • @binamubinamu1151
    @binamubinamu1151 20 дней назад +59

    Ebu jaman walee woote wanao Amin kma gabo anaishi na hisia za watanzania tujuwane✅

  • @SelemaniIddy-nc1nf
    @SelemaniIddy-nc1nf 20 дней назад +267

    Hivi nyie ambaò mnaomba like kwann msinge kuwa mnaomba kwa wiki vitoke vipade viwili au mnasemaje mashabiki wenzangu ambao hatuombi like❤❤❤❤ kazi nzuri gambo

    • @Movie_bongomedia
      @Movie_bongomedia 20 дней назад +2

      Apo umesema kiongozi

    • @Amina-u8o
      @Amina-u8o 20 дней назад +6

      Hata kila siku watowe tu mana kusubili siku 7 wanatuuwa jamani nakuwa nime miss saana mwalimu janet na baba olivia na mama mwenye kutongozwa na mzungu hhhhhhh mimi na mwitaga mama mishemishe

    • @shamsa-v3s
      @shamsa-v3s 20 дней назад

      Kweli umeongea point

    • @shukransadala
      @shukransadala 20 дней назад

      😂😂😂😂😂

    • @BrownMichaelsikila
      @BrownMichaelsikila 20 дней назад

      umenena ndugu

  • @HamzaNgozi-ur1lu
    @HamzaNgozi-ur1lu 20 дней назад +28

    Tunaempenda mama Tina na mishemishe zake tujuane

  • @jumaamtambuki791
    @jumaamtambuki791 20 дней назад +8

    Mimi na huatilia nikiwa Kenya kipindi kizuri sana na hongerani mlohusika kwenye tamthilia hii Ndugu Gabo na wenzako kazi nzuri

  • @Kalifraofficiel
    @Kalifraofficiel 20 дней назад +45

    Hapa nyinyi watanzania muna jua sana ku toa filamu nzuri sana, tatizo like zenu muna jipa wenyewe 😢 🇨🇩🇨🇩 ila sisi wa congo na inchi zengeni nikama tunajipendekeza tuu

    • @Meddy217
      @Meddy217 20 дней назад

      N mtazamo wako hatukupingi ila usiwe na fikara hadi kwenye mtazamo wako we born to love ourselve

    • @user-nw5of4xh4q
      @user-nw5of4xh4q 20 дней назад

      duh pole😢😢

    • @mohamedrajabu8375
      @mohamedrajabu8375 9 дней назад

      Tusamehe kwani hatukujua kama litakua ni tatizo na hatuna maana ya kwamba tuna dharau congo kuna mziki mzuri na tunasikiliza pia so hatuko hivyo tuta jitaidi ku like

    • @alimwegio7869
      @alimwegio7869 7 дней назад

      We love you sana

  • @eliadamwandumbya734
    @eliadamwandumbya734 20 дней назад +16

    Huyo mama olivia 😂😂😂 atuachie single dady wetu, team Janeth tutaandamana 😅

  • @anithamaganga
    @anithamaganga 20 дней назад +28

    Watu mnapenda likes😂,baba Olivia fanya haraka urudi kwa mwalimu bhana ❤❤kuna kiumbe kipya sisi hatuna kifua tutakuambia huku huku msibani😅

    • @mariammohamed8499
      @mariammohamed8499 20 дней назад

      😂😂😂

    • @salama2625
      @salama2625 20 дней назад

      😂😂😂😂😂😂 ila we Anitha wewe

    • @MariamMmbaga-bu2fl
      @MariamMmbaga-bu2fl 20 дней назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @MariamMmbaga-bu2fl
      @MariamMmbaga-bu2fl 20 дней назад +1

      We ather weweeee,ucmpe nafas hyooo,heb msiba uishe urud kwa teacher, loh wengne tuna wivu akhaa

    • @mrsabdul-mz8hh
      @mrsabdul-mz8hh 20 дней назад

      Nimecheka wallah 😂😂😂😂😂tn

  • @nadhirikilangi-fh6gx
    @nadhirikilangi-fh6gx 20 дней назад +9

    You put put put halafu kalasi! Mama Tina just waooo.
    Jamii zetu linapokuja jambo la MTU na mzazi mweza ni habari nyingine! Miaka itaenda kumbukumbu zinaishi nimemuona yule baba Olivia alivo poa

  • @FridaManga-i8q
    @FridaManga-i8q 20 дней назад +18

    Kazi nzuri sana jamani,Mama Tina ananifurahisha na hekaheka zake mjini akha

  • @Gdggfhtz
    @Gdggfhtz 20 дней назад +19

    Asante sana Napenda jinsi Baba Oliver anavyo igiza kila igizo zake Napenda kuzifuatilia zinamafunzo ndani yake❤❤🎉❤❤🎉❤🎉❤ nipo Africa kusini South Africa 🇿🇦🇹🇿 Thank you 🙏👍Mwali Jannetti namsalimia aendelee kuigiza anajuwa sana pamoja na Olivia🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳

  • @khadijayusuph9316
    @khadijayusuph9316 20 дней назад +122

    Watu wazma hatuombi like tunaomba kwa wik viruke vipande 2

    • @BrownMichaelsikila
      @BrownMichaelsikila 20 дней назад +1

      kweli kabisaa wawe wanatoa ata episode 2 kwa wiki tunaombaaa

    • @khadijayusuph9316
      @khadijayusuph9316 20 дней назад

      @@BrownMichaelsikila zmebak episode 2 et ili ziishe

    • @Credo_bwax
      @Credo_bwax 20 дней назад

      Zimebaki Episode mbili, watutumie zote next week

    • @Credo_bwax
      @Credo_bwax 20 дней назад

      @@khadijayusuph9316 Yeah sure

    • @MassoudBoateng4
      @MassoudBoateng4 20 дней назад +1

      😅😅😅

  • @everlinekenga437
    @everlinekenga437 20 дней назад +8

    Hicho kipande cha mama Olivia akipokea mwanawe ila kutazama mwili wa bibi yke kimenitoa machozi nisiwe muongoo😢😢❤❤

  • @SirKinyogoli
    @SirKinyogoli 20 дней назад +35

    Yes wakwanza kabisa jumaa mubaraq kwa wote mnao fatilia tamdhilia hii

  • @shahrayn93
    @shahrayn93 20 дней назад +12

    Mama tina utaniwa kwa kucheka,,eti super star😂😂😂aaah bac tna nakupenda bure mm maua yko🎉

  • @user-eh2jz8rw3o
    @user-eh2jz8rw3o 20 дней назад +14

    Ingekua ivo kuwiki tunaipata marambiri njo vzr zaudi movie nzr yny mafunzo nawapenda sna❤❤❤

  • @charlesfundimwaniki9664
    @charlesfundimwaniki9664 20 дней назад +16

    Kenya tuko locked Ni pewe likes 😊

  • @ASSUMANIJOHN
    @ASSUMANIJOHN 20 дней назад +12

    ❤kwekweli iyi ni fundisho sana nahamini Gabon kafikiya atuwa kubwa sana na ashukuriwe allah kwa kila kitu napenda sana izi episode inaubora wake kwakweli kwaio ndo ivo

  • @fadhatbakar3646
    @fadhatbakar3646 20 дней назад +41

    Ndugu zangu like hazina faida yoyote hapa chakuomba watoe mara 2kwa week hapo mnaonaje

  • @adela-adella
    @adela-adella 20 дней назад +37

    hii tamthilia ni nzuri sanaa, lakini ijumaa mpaka ijumaa nyingine tena ni MBALI SANA mpaka tunasahau ilipoishia...Kwako ndugu Mwakajumba..naomba kuwasilisha😊

    • @MiriamShani
      @MiriamShani 20 дней назад

      Ila ww hapo kwenye mwakajumba naomba kuwasilisha me hpi

    • @TAJIRICALVIN
      @TAJIRICALVIN 20 дней назад

      😂😂😂😂

    • @dr.mgungo1429
      @dr.mgungo1429 20 дней назад

      Unasahau vipi kwa kukaa wiki? Hebu tuwe wavumilivu kuweka interval ya wiki inatoa nafasi kwa watu kuendelea kutazama sehem iliyopita hiii ni biashara na channel inatakiwa ikue. Kama unahitaji kutazama thamthilia nzima nenda Kweny website kuna maelekezo pale

  • @edisontobias6811
    @edisontobias6811 20 дней назад +28

    Yan nasema ukweriii to uyuu jamaa Gabo anastairi kuvyaa viatu vya marehemu kanumba aseeh 🙌

  • @ZainabRamadhan-w8s
    @ZainabRamadhan-w8s 20 дней назад +18

    huyu mzungu jmn 😂😂😂😂 hata chips kavu anataka kununuliwa😅😅

  • @AltosonMbilinyi
    @AltosonMbilinyi 20 дней назад +11

    Mmmm nimeipenda Kwa kweli nimejifunza vingi kupitia hii film

  • @mwinyimatopa2283
    @mwinyimatopa2283 20 дней назад +12

    Olivia i just love you "ati usiogope hakuna kitakacho tokea as long as am with you nothing will happen 😂😂😂😂

  • @franksteven7218
    @franksteven7218 20 дней назад +2

    kwakweli binafsi sikuwahi kuwa na tabia ya kuangalia series za youtube lakini hii timu imenibadili mtazamo wangu they're amazing alafu hawakupi nafasi ya kukosoa everything is in place and mavilous Mungu awalinde tu kwakweli

  • @nassoroathuman-ei3pv
    @nassoroathuman-ei3pv 20 дней назад +17

    Hii bonge 1 la series🎉🎉🎉

  • @faizhassan5029
    @faizhassan5029 20 дней назад +61

    Wakwanza kutoka 254 Nipeni hata Like 500 nionyeshe Gen Z

    • @JulesMwerera-qm2ki
      @JulesMwerera-qm2ki 20 дней назад +1

      Hata mimi nipeni like zangu, 🇨🇩

    • @AsamSalum
      @AsamSalum 20 дней назад

      😅😅😅😅

    • @globallife7806
      @globallife7806 20 дней назад

      Ko unatk like mia tano ulingane na mweny mov au cy😁

    • @mohamedsheealom8745
      @mohamedsheealom8745 20 дней назад

      Hatuna tabia za kimama kama hizi wataka likes ili utuoneshe ili iweje tunga movie huko ...

    • @ramadhanathuman990
      @ramadhanathuman990 20 дней назад

      Na ww umeomba nyingi yaan 500🤣

  • @trueone6943
    @trueone6943 20 дней назад +13

    Mama yake olivia tayar ameshakuwa hawezi kuwa mama wa kushuhulikia family na akimtaka mwaname anamtumia na anamuacha kwa tabia hii ni bora abakie na mwalim Janet hasa pale ambapo wamepata mimba ❤❤ ya mahaba makali

  • @user-gu2yu2wp1z
    @user-gu2yu2wp1z 20 дней назад +3

    Wow movie fantastic wallah but kuna mahali utamu ukianza kutiririka muda ndo huo kwao halafu kibya zaid n mara moja kwa wiki kwel baba Olivia hebu jitahid utuletee angalau part 2 per week nawapenda nyte waigizaji mko makini sna🥰🥰🥰🥰

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bz 20 дней назад +5

    Beautiful movie, beautiful scenery, this story, we are proud of Tanzanians, we appreciate the good work, father Olivia 🔥🔥🔥

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj 20 дней назад +9

    Penzi la dhat halifi🎉🎉Janet ulie

  • @ivonrungwe1396
    @ivonrungwe1396 19 дней назад +3

    Hiyo ndo sababu baba olivia alikuw hatak aende na madam kwasababu asingepata mda wa kumfariji mzaz mwenzie🙌

  • @ObbyWilly
    @ObbyWilly 20 дней назад +4

    Ndan ya lesotho 🇱🇸 🇱🇸 from Tanzania 🇹🇿

  • @majalaworldwide
    @majalaworldwide 20 дней назад +9

    Gabon miaka kazaa nililia kwenye bado na tafuta Leo kwenye BABA olivia tena😢😢

    • @niragirajerome4716
      @niragirajerome4716 20 дней назад +1

      Kumbe wey mwenzangu😂 naivi nikiyiangalia bado natafuta lazma nilie😢

  • @ramadhanially8649
    @ramadhanially8649 19 дней назад +2

    Daaaah ni kweli kabisa na hii kitu hua najiulizaga sana hawa mama wanaocha watoto wao hua inakuaj😢😢

  • @RamadhaniJaha
    @RamadhaniJaha 20 дней назад +7

    Ni kwelii jamani tuombe viachiwe vipande viwili kwa wiki

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 20 дней назад +8

    Hivi ni hakiri yangu2 au wario ria kire kipande cha baba oIivia na mama oIivia na oIivia mwenye mpo humu ndani maan nimeria😢😢😢😢 daah. Cjw nimewaza nini😭

    • @shanimbaruku2071
      @shanimbaruku2071 20 дней назад

      Alafu baba olivia anampenda sana Mama olivia

  • @annaki318
    @annaki318 20 дней назад +26

    Jamaniii mbona kama baba Olivia anataka kurudiana na mama Olivia
    Na madam janeth tayari mama kijacho❤
    Alooooooii weeeeeeh❤❤❤

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 20 дней назад +2

      Mm niliwaza hivyo alivyomwambia wasiende wote msibani

    • @annaki318
      @annaki318 20 дней назад

      @@m.mmarckus6298 yaani ni huzuni kwakweli😭

    • @Realme-xm3sh
      @Realme-xm3sh 20 дней назад +2

      Nakwambia yajayo yanafuraisha🤔

    • @omarhussein-iq7yg
      @omarhussein-iq7yg 20 дней назад +1

      Hii inaitwa piga uwa changanya nyama😂😂

    • @franksteven7218
      @franksteven7218 20 дней назад +2

      amna bhana dont panic jamaa ni mtu wa huruma na anajali sana na yuko fair anastahili kuwa treated vile kwasababu ya msiba na ni mzazi mwenzie ukiachana na yote hata mama olivia hategei chochote kwa mzee ndo mana amemfungukia tu kila kitu juu ya maisha yake

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 20 дней назад +16

    Wa kwanza like zenu.😂😂

  • @user-mq3zm4rf6i
    @user-mq3zm4rf6i 20 дней назад +5

    Jamani mama Tina utanimaliza n hicho kingereza chako jmn😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 20 дней назад +29

    Nasisitiza wakwanza like cpend from Oman 🇴🇲

  • @TeacherMeki
    @TeacherMeki 20 дней назад +4

    Jamani hii movi nzuri nawaombeni muteleteeni vipande vyengine muzidishe jamanii 🎉🎉❤❤ tuna ipenda sana hii hatari mana inafunza

  • @JulianaAdamu-z3d
    @JulianaAdamu-z3d 20 дней назад +4

    Ukisikiliza kingereza cha mama Tina duuuhh,,, nimecheka sana leo

  • @maseleenaesleen8149
    @maseleenaesleen8149 20 дней назад +15

    Hatimaye siku ya Olivia imefika kweli cku hazigandi❤❤🎉

  • @KinanaSantosy
    @KinanaSantosy 20 дней назад +12

    Watu mpo chap hata hamjanawa uso Yani mshaangalia na mshamalza duu😂😂😂

  • @securityatkizikula9713
    @securityatkizikula9713 20 дней назад +10

    NAMI NIMOOOOOOOOOO😂😂😂 AND 😂😂😢😢❤❤❤❤

  • @geraldinho240
    @geraldinho240 20 дней назад +7

    Jamaa Ana fanya kazi nzuri nazipenda Sanaa kazi zake nimependa ❤👍

  • @NatureMw155
    @NatureMw155 20 дней назад +72

    Tupo wangapi wakutoka mbeya lets gather here❤🎉

  • @MakululuDanifad-hz4kb
    @MakululuDanifad-hz4kb 20 дней назад +3

    Hahahhhah mmmmh me full tank top ten huyo ndo mam tinaah mwenyewee 😂😂🤗🤗🤗

  • @Barackswai
    @Barackswai 20 дней назад +7

    Mbn mnawahi sana kuangalia jmn hamna kaz za kufanya nn

  • @ZeituniMalingumu
    @ZeituniMalingumu 20 дней назад +3

    Sijachelewa sana! Lakin tunaomba mtupe vipande viwili kwa wiki jaman🙏🙏🙏

  • @instructormass
    @instructormass 20 дней назад +6

    Mama Olivia nae hajambo jamboooo😁

    • @SharifaRashid-tg9kx
      @SharifaRashid-tg9kx 20 дней назад +1

      Yani kipande Cha leo hakijanifurahisha kabisa huyu mama olivia anataka kututolea furaha yetu kutoka kwa mwalimu

  • @CHUYUTV
    @CHUYUTV 20 дней назад +8

    Wakwanza leo😂😂

  • @geradochuwa7856
    @geradochuwa7856 20 дней назад +11

    Wa kwanza

  • @muksinarchard6496
    @muksinarchard6496 20 дней назад +15

    Leo ndo leo

  • @suleimanAlly-e8c
    @suleimanAlly-e8c 20 дней назад +10

    Wa kwanza hapa

  • @Ellybeny
    @Ellybeny 19 дней назад +3

    Jaman episode ya leeo nalia tu,,, mimi ni olivia mtupu ❤😢

  • @trueone6943
    @trueone6943 20 дней назад +7

    ALL in all yaan baba olivia unacheza vizur character yako

  • @somoonlinetv.6461
    @somoonlinetv.6461 20 дней назад +3

    Gabo baki na mama Olivia Niachieee huyo madam mimi😂😂

  • @mauriciocristianomardes6295
    @mauriciocristianomardes6295 20 дней назад +2

    Baba oliva ludi kwa mwalimu bwana 🎉❤

  • @cansadoaiproductions6766
    @cansadoaiproductions6766 20 дней назад +5

    Safi sana!❤❤❤❤ from Mozambique, I love Tanzanian movies!!! Nimejifunza Kiswahili through your movies!

  • @mchendewarahim5277
    @mchendewarahim5277 16 дней назад +1

    Baba olivia anataka kupadha kiporo 😅 bado anahisia na kumpenda mama olivia 😢😢 so sad kwa mwalim janet kapo ana mimba 😢😢 jamni hii ni situation mbaya sana kwa baba olivia 😢 .. wacha tukamalize majuma mawili 😢😢😢😢 ❤❤❤❤ BEST MOVIE IN 2024 EST AFRICA

  • @SharifaRashid-tg9kx
    @SharifaRashid-tg9kx 20 дней назад +5

    Ila watu mpo makini jaman haya nawakilisha kutoka oman haya wifi za bure tujuane

  • @MARIANUS-s2k
    @MARIANUS-s2k 20 дней назад +8

    napenda kazi yako bro,keep it up

  • @areyoureal2723
    @areyoureal2723 20 дней назад +9

  • @Mr.Edward-dl7nk
    @Mr.Edward-dl7nk 20 дней назад +2

    Oaaa nyie kumbe gabo anajua kuigiza bong movie

  • @josephfalaghamoja7800
    @josephfalaghamoja7800 20 дней назад +6

    Furaha yetu ya ijumaa hiyoooo 😂😂

  • @stellahwilliam8578
    @stellahwilliam8578 19 дней назад +3

    Eti jamani kuna mtu anajisikia vizuri kuangalia hii movie kama mimi nilikuwa sina amani lakin najikuta nafurahi😊

  • @mtonisdachoir217
    @mtonisdachoir217 20 дней назад +10

    🎉mm hapa jmni

  • @HARMONITZ
    @HARMONITZ 20 дней назад +7

    Watuuuuuu mpoooooh machoooo,

  • @neemamkambwahamisi4718
    @neemamkambwahamisi4718 20 дней назад +3

    Love you from Australia nimechelewa

  • @vijachallenge9881
    @vijachallenge9881 20 дней назад +3

    Ila mom Olivia anajuwa jamani 🙌🙌🙌🙌

  • @ShackEzekiel
    @ShackEzekiel 20 дней назад +3

    Mnaifanya Kaz nzuri Sana,hakika mnaupiga mwingi sanaa❤❤❤,

  • @jenifaamosi8649
    @jenifaamosi8649 20 дней назад +2

    Movie kali sanaa
    Baba Olivia umetisha
    Ikiisha tuletee nyingine

  • @trueone6943
    @trueone6943 20 дней назад +10

    Baba olivia akimuacha mwalim Janet basi mchezo wetu utakua mbaya kwa kweli

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 20 дней назад +1

      Atamkosea sana maskini

    • @phitolyfancy6561
      @phitolyfancy6561 20 дней назад

      Wanaume 😢😢

    • @rizikladyherson8451
      @rizikladyherson8451 18 дней назад

      Sidhan kma atamuacha coz mama olivia alizaa nae kitambo n saai washaachana mpka ameanzisha mahusiano mengine

  • @NoelVitalis-xe6hb
    @NoelVitalis-xe6hb 20 дней назад +2

    Wa singida tuko wangap humu asee tuendelee kuenjoy hii tamthilia n 💯💯💯

    • @alvinmalle9624
      @alvinmalle9624 19 дней назад

      Aaah kwa sababu umemuona mama olivia ndo mana wasingida mna tafutana😅

    • @1599k6g
      @1599k6g 19 дней назад

      Wa kondoa tujuane❤🎉😂😂

  • @TamashaWakilongo-nm3pd
    @TamashaWakilongo-nm3pd 20 дней назад +3

    Ndoivio wanatukatia sana utamu wa mouvie ❤❤❤kwaiyo tunawaomba kwawiki ata vipande viwili vinatosha kwawiki

  • @MajimbiTz
    @MajimbiTz 20 дней назад +22

    Wa Kwanza nipeni like 5 Tu ❤❤❤❤❤

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 20 дней назад +3

    Jamani hii pilau ni super star 🌟 and chefuaring my tumbo

  • @user-vk8jh6iq4v
    @user-vk8jh6iq4v 20 дней назад +1

    Baba Olivier samahani usimuumize mwalimu Janet a❤❤❤

  • @AbdiKhamis-wp4dc
    @AbdiKhamis-wp4dc 20 дней назад +28

    Tulochelewa kidog weka like hap

  • @MateiHermann
    @MateiHermann 20 дней назад +1

    🤣🤣🤣 hii movie mama tinah mkimtoa na mimi mme nitowa na kingereza chake.😂😂😅

  • @beatricerauteli3578
    @beatricerauteli3578 20 дней назад +6

    Wa kwanzaaa ❤

  • @AnnieProsper
    @AnnieProsper 20 дней назад +2

    As long as I'm with you ☺️ OLIVIA ❣️❣️

  • @user-ji7sy2wi7b
    @user-ji7sy2wi7b 20 дней назад +8

    ❤❤❤❤ tunao subiri siku ya ijumaa

  • @dorothMwakibinga
    @dorothMwakibinga 20 дней назад +1

    Daaah jaman mbonaa ivoo mbona fupi ivii... then baba olivia ukurudiana na uyo mama olivia walah sitaangaliaa hii move me namtaka mama kijashoo mama jichoooo karembo kangu da janeth

  • @elibarikinnko2172
    @elibarikinnko2172 20 дней назад +6

    Hatar jaman ili move la kwenda

  • @soldd-xz5ue
    @soldd-xz5ue 16 дней назад +1

    Baba mzungu nakupa hongera, kweli kabisa mwana mke uajivunia watoto wake

  • @sultanfauz9318
    @sultanfauz9318 20 дней назад +13

    Nimewahi leo

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 20 дней назад

    Eeeh kweli mtu na mtue😅gabo kalewaa kweli kweli kwa mawatoto wake❤kaonyesha love la kutosha kuliko kwa mwalimu

  • @georgecuthbert5230
    @georgecuthbert5230 20 дней назад +61

    Wanao penda vitu vizuri kama mimi ninavyo muelewa maalimu like zote hapa

  • @lobayawilliam1979
    @lobayawilliam1979 20 дней назад

    Licha ya hadithi nzuri iliyopo ndani ya hii tamthiliya huyu madam janeti nyie ❤❤ halooo ni hatari amenibamba vibaya mno hii tamthiliya sitamani ifike mwisho na walao ingetoka mara mbl Kwa wiki ingekuwa Bomba sana

  • @user-tw5fz1uu2k
    @user-tw5fz1uu2k 20 дней назад +7

    Hatimaee❤

  • @user-ez6cy4pj8z
    @user-ez6cy4pj8z 20 дней назад +1

    Aki baba Olivia usimuacha mwalimu Janeti ..hili litaniumiza sana..thanks

  • @TombolaBlack
    @TombolaBlack 20 дней назад +3

    Waouh c'est bon 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @sadikizuberinganzi6387
    @sadikizuberinganzi6387 20 дней назад +14

    Mwambieni baba Olivia arudi kijijini kule mambo yameiva asije akaaribu uku mana kwa mama Olivia nae yupo moto asije akapasha makande moto mazee

    • @BenardIsmail
      @BenardIsmail 20 дней назад +1

      Kinachoniuma n mwl Janet anamimba ya baba Olivia afu huko kijjn penz la baba Olivia na mama Olivia linarud upyaaaaaaa.

    • @sadikizuberinganzi6387
      @sadikizuberinganzi6387 20 дней назад +2

      @@BenardIsmail mama Olivia atuache na baba Olivia kwa mwalimu janet mana tumeshaweka mayai kule kuna vimelea vyetu

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 20 дней назад +2

      Naakipasha kiporo Olivia mwingine atakuja😂😂

    • @sadikizuberinganzi6387
      @sadikizuberinganzi6387 20 дней назад +1

      @@m.mmarckus6298 qtari

    • @sadikizuberinganzi6387
      @sadikizuberinganzi6387 20 дней назад

      @@m.mmarckus6298 aaah atari

  • @Manshynee
    @Manshynee 20 дней назад +3

    me is full tenk, top ten... Is it super star?... ila katarinaaaa... Unajua kutapika? yani tu aaaaaaah 😂😂😂

  • @nasibuomary7981
    @nasibuomary7981 20 дней назад +2

    Mwamba kaingia mtegoni! Sasa cjui Nani atakuwa mke wake APO.

  • @ElizabethEliza-d4e
    @ElizabethEliza-d4e 20 дней назад +8

    Jamn na mm leo cjachelewa ❤❤

  • @malakisilas6523
    @malakisilas6523 20 дней назад

    Big up sana,Waigizaji Kwa umakin mlio nao.Japo kwenye mzishi ilitakiwa kuwe na watu wengi zaidi ya hao .si unajua tena ,kuigiza uhalisia.