#MADEBE_LIDAI #NABIIMSWAHILI HII NI FILAMU INAYOUSIANA NA MASUALA YA KUKEMEA WIZI PAMOJA NA TAMAA YA MALI KUPITIA KITEGA UCHUMI CHA KUMUOZA MTOTO WA KIKE
Mfalume wa movie Tanzania na afrika mashariki na kati kaka kazi nzuri kazi zako natamani zisiwe na mwsho ila aiwezekani kila jambo alikosi mwsho na akuna malefu yacyo na ncha bless 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Yani madebe hutokoma kunitekenya bwana...Haya maigizo yamevuka katika kiwango kingine.Napendezwa na ubunifu huu.Siku moja nabashiri nitashirikishwa kwenye mchezo japo Mimi mkenya.
Madevu kutoka Mombasani
Bado...Madebe Wewe ndo role model wangu brother....wangapi uyo jamaa ni role model wake wa like apo
Jamani kanyimbo ni katamu ama mnakisikiaje weka like tumsaport madebe
Vzriii
Kanaitwaje jaman haka kanyimbo
@@shabanisaidi6294 hata sijui
Usishangae mama akakupa kazi maalum ur the best of the best shule tosha hii unaherimisha sana jamii
Safi sana kazi nzuri endelea kuwaelimisha vijana madebe
Twende sawa tim madebe !!!!
Madebe you're on top always you think far may Allah open for you more blessings
Asante Sana kaka madebe kwa Kazi nzuriiii
Classic movie nzuri madebe good job💪💪💪
Kama umemuona Ngariba na muonekano Mpya gonga like✌✌
Big up Niko naenjoy vilaza sehemu ya pili made be nakukubali sanaaaa
Jamanii..! Madebe He's Killing It At Every Given Moment..
Big Up LP Media..🤗🤗🤗
We madebe tutolee hilo li movie la vilaza part two tumelisubili Sana .
Lakn big up Sana 🙏🙏🙏🙏🙏 akili yako inabuni kwelikweli
Shkrn lp mm nimepnd hii nyimbo
Madebe ana ubunifu wa hali ya juu sana. Kongole bingwa. Natazama kutoka Kenya
Daaaaah madebe your coming gud broo keep it up!!!
Nakubali madebe lete kazi tukusaport ndugu dah move unaanglia mpka inakusisimua hatar san
Jmn kaka madebe usiwe unaweka huu mlio unanikumbusha matusi yang miye🤣🤣🤣🤣🤣🤣✌🏻p1 sn nawakupali Shukran kwakutujali kz nzur hongeren sn💕💕👌
sada
@@ibrahimlipena50 😀✌🏻
Kaaaaaaa eti unanikumbusha matusi yangu
Naenjoy na kujifunza madebe 🙌🙌🙌
Evans from Kenya nakuaminia madebe lidai
From kenya we appreciate you wor keep it up
Madebe you are so good my brother nimekubali sana kazi kaka ila vipi kuhusu matusi
DUH JAMOON NYIE BINADAMU MMEIPENDA SANA MATUSI ,HAMJUH KM ISHAISHAGA HYO??
Matusi haijaisha
Matusi ishaisha muda tu!
kafuatilie vzr
Jmn kaka madebe akuna sehemu ya 3 daah .nzuri Sana💓🙏 Bgp
Hii sehemu ya pili ni noma sana hongera timu ya madebe lidai kongolee kaka😘😘😘
Daah Valaza imeishia patamu viongoz tupeni muendelezo
Kazi nzuri, ubunifu mkubwa wa kucheza na character,
Mnafundisha sema vizuri ongereni by Dash combo
Kimeumana,,kaz nzuri bro!
Dah, umeniliza Madebe
Big up madebe lidai you are doing good with your movies..Big up once more
Very nice & interesting story Thsnks alot
Kazi nzur madebe unajua
Safi sana kwa kazi zako zenye mafundisho
Mwendelezo vp
Saf nabii ✌️✌️✌️ umewai kuleta muendelezo
Kanumba
Kila kitu si ya kuiba I say that such creativity is great
Mwendelezo plc bro
Kazi nzur
Mfalume wa movie Tanzania na afrika mashariki na kati kaka kazi nzuri kazi zako natamani zisiwe na mwsho ila aiwezekani kila jambo alikosi mwsho na akuna malefu yacyo na ncha bless 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jameni wimbo huu unanifariji kilasiku eeh madebe ningependa niwe nawe katika michozo hii
Daah Ahsante
is good god bless you
Dah unajua bro
Salute my brother
madebe umetisha wewe ni Tanzania 🇹🇿 one bro.
Hatari Madebe, hongera jameni, leta mambo
Kaka madebe unaweza kabx
Kwa Sasa hakuna ubishi wewe ndie mwenye bongo muvi yake big up Sana mwamba bt uwe unamaliza muvi zako
Muvi zinaishaa Mbona.
Nataka villaza sehemu yatatu ansant
Punguzenii makelel ya mizikii atuelewii hata movie inakuwa ainogii sanaa jmn
Kwa hii kasi utamzidi ata kanumba mzee Big up San haujawahi kuniangusha
Yan unajifunza uku unaenjoy saf Sana hii "VILAZA"💪🏿💪🏿💪🏿
Madebe you are very creative ..
Movie nzuri sana mwendelezo please.
Movie ni nzr imesima yaan haichoshie kuangali mbn part two aichezi jmn
Plz eka iyo wimbo you tube tuchukue plz naipenda
Nzur madebe aubaatishi
Makini sanaaa
Uwo mzigo ni shida kbx
Madebe on fire nakubalii mkuu
Tamaa mbaya sana
Hongereeniii
Tulio chelewa tunalike wap
😁😁wizi nomaa
Nimeisubiria sana sehemu hii ya pili❤❤
Nakubali sana madebe lidai
Tafadhali usitunyime part 3 aki🥰
Nice
Swali madebe ,sehemu inayofata hadi lini ,Toka Kenya
Madebe we n moto sana😘😘😘
Move nzur
Jaman nimecheka vilaza Banda bovu lao limewaangukia kwa tamaa zao
Iko vizuri
Unajua sana tu yani 🇧🇮Who lives 🇹🇷
Thank much madebe @ochukiota
Madebe wacha kuludio movie zile Mzee,hii movie niya kitambo💔💔
Sisi bado hatjaionaga
@@rashidkalabi8212 hii movie ilitoa zamo bro
Mmmmmmh noma san
Madebe madebe!! Madebe!!!!! Namba1 Tz
Nzr sana
Kzi nzuri Sana bt hyo ni nyimbo ya Nani jamani
Nice muvi
Madebe lidai noma nimunoma********
Jmn imeisha ama bado mbona nzuri naombeni hako kawimbo
Unajua Sana kaka
Huwa sichoki kuitazama vilaza🤣🤣
Wangap tunaisubir Kwa hamu part two???
Madebe never dissapoints
Team TZ ☘️gonga🍁 like 🌾hapa 🦓
Kwel n vilaza
Mbona uja panga filamu ya vilaza ya tatu ya Takiwa ukweli Yani ww madebe utiwe ndani na baba mtoto maliza filamu Wacha kutu enjoy
Good one
Kwa kweli madebe aliokolewa na hawa wevis ni movie yenye mafunzo kabisa 🇨🇩🇨🇩
Yani madebe hutokoma kunitekenya bwana...Haya maigizo yamevuka katika kiwango kingine.Napendezwa na ubunifu huu.Siku moja nabashiri nitashirikishwa kwenye mchezo japo Mimi mkenya.
Hiiiiiii ni kwa vilaza wooote jomon 2juane
Hio nyimbo inayo imba kwenye hii movie kwann asifnue ofishoo
Kweli hawajamaa nivilaza sana
Madebe brother mwendelezo please
Ok, nimesoma maelezo haina shida ngoja nisubili huo mda.
Move kali sana dah
LiDayi ✅
on start
🙏🙏👏👏