MOVE MPYA _BIRTHDAY VITA SEHEMU YA KWANZA STARLING MKOJANI,CHADO,MAMBWENDE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 186

  • @aliabdallah8908
    @aliabdallah8908 2 года назад +4

    Safi kbisa bonge yakazi

  • @Jimmy-nw6tp
    @Jimmy-nw6tp 2 года назад +1

    Aloo kitu safii Ali jimmy mombasa

  • @becktheboss5450
    @becktheboss5450 2 года назад +5

    Dah hii nzuri sana ila ugai gai ni kubwa kuliko ☺☺☺ mkojani gang twen zetu na ugai gai

  • @Yatosher_Der_Golden_voice
    @Yatosher_Der_Golden_voice 2 года назад +6

    Daaah mwanangu CHADO UMENIFANYA HADI NIDONDOSHE CHOZI..HII. SERIES INAKUJA KUFUNIKA VIMOVIE VYOTE HAPA BONGO

  • @leahmakule3475
    @leahmakule3475 2 года назад +1

    Yan nikipata mshkaj kama huy siangaiki tena na wanaume😔....
    Movie Iko Bomba Mungu awazdishie maarifa mzidi kutuburudisha na kutuelimisha ...

  • @AhmedSalah-wm6tq
    @AhmedSalah-wm6tq 2 года назад +4

    Hahaha mkojani gang sema chado humu umeniangushaa

  • @taharamohd2515
    @taharamohd2515 2 года назад +5

    Daaa Tamu sana

  • @issahamissiissahamissi7775
    @issahamissiissahamissi7775 2 года назад +2

    mkojan mm nataka ty hiyo nyimbo ya @baruti💥💥💥

  • @chudohans2447
    @chudohans2447 2 года назад +9

    mkojani achia nyimbo ya uyo Kijana kali sana

  • @samuelydaud7593
    @samuelydaud7593 2 года назад +4

    kali kinomaa yaan ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @abuuathuman6356
    @abuuathuman6356 2 года назад +4

    Mkojani mashabiki zako tunapenda movie kama hizi nyimbo nyingi tunapenda sana

  • @alvinmassive1556
    @alvinmassive1556 2 года назад +12

    Mambwende mtoto wa mzee khan nakukubali sana 💥💥💥💥

  • @greydimpoz5425
    @greydimpoz5425 2 года назад +7

    Gang kubwa sana

  • @patricktegea1430
    @patricktegea1430 2 года назад +3

    Hahahaha Kaa chin Mzee upigwe bakola 🤣🤣🤣🤣🤣bonge Moja la combination 👊👊

  • @bongelabwana3526
    @bongelabwana3526 2 года назад +2

    Govinda movie melody mzee baba mkojani ww mkaliii

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 2 года назад +5

    mzee chado umu umekaangwa
    Kinomaaaa du! hatali mzee
    nilikuw kumpata dem wanamna iH

  • @abediwarda3500
    @abediwarda3500 2 года назад +11

    Mambwende namkubali sana 🔥🔥🔥

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 2 года назад +5

    🔥❤️🔥

  • @alexmushi
    @alexmushi 2 года назад +3

    Daaah chado umechezaa 😅😅

  • @brownvardy1213
    @brownvardy1213 2 года назад +6

    Wa kwanza Mkojani Member

  • @nelsonandanyi
    @nelsonandanyi 2 года назад +2

    Afu mkiona kilangaso mpeni salamu zangu... Good great job

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 2 года назад +4

    Iko poa sana

  • @ahmedysaidy9874
    @ahmedysaidy9874 2 года назад +5

    Dakika 1 wakwanza

  • @mweroruwa6339
    @mweroruwa6339 2 года назад +7

    Madem watatuuwa jmani

    • @zena6203
      @zena6203 2 года назад

      Mtakufa mkitaka wenyewe😄😄😄😄

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 2 года назад +4

    MKOJAN moto umewaka
    mzee hatali mkojan gang

  • @Jumashadhil380
    @Jumashadhil380 2 года назад +2

    Nimecheka nife happy birthday

  • @jumakandy2075
    @jumakandy2075 2 года назад +3

    Mkojani gang Kaz nzuri sana

  • @jacklinejacklinejonh6530
    @jacklinejacklinejonh6530 2 года назад +5

    Chado nakupenda ♥️ wish uwe mme wang

  • @maasaimkisii9089
    @maasaimkisii9089 2 года назад +4

    *WA KWANZA KENYA* 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @fatmahhassan6827
    @fatmahhassan6827 2 года назад +5

    Mabwende khan ❤❤

  • @dausgenious2509
    @dausgenious2509 2 года назад +7

    JAMAN NAOMBEN LIKE NYINGI

  • @leeobite5657
    @leeobite5657 2 года назад +2

    Hila chado movie hii umetuangusha tumekuzowea ukiwa katil na mgaigai

  • @patricktegea1430
    @patricktegea1430 2 года назад +4

    Duuuh chado umedata mwanangu🤣🤣🤣🤣

  • @sharifuamuri4638
    @sharifuamuri4638 2 года назад +3

    Safi mkojani unaweza

  • @namaduangaarmando2687
    @namaduangaarmando2687 2 года назад +2

    I am your fan 100%. Hugh from Moz

  • @hamisimkahekela5835
    @hamisimkahekela5835 2 года назад +5

    Chadooo🤣🤣🤣

  • @xelempole2291
    @xelempole2291 Год назад +1

    chado kak nakubl

  • @sifamugwaneza8774
    @sifamugwaneza8774 2 года назад +4

    Kazi juu ya kazi👌🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita476 2 года назад +3

    Kazi nzuri

  • @abdulsijali7177
    @abdulsijali7177 2 года назад +2

    Mkojani gang chama lawan

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma5936 2 года назад +7

    From Mozambique🇲🇿. Happy birthday😂❤🙏🥰😂

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 2 года назад +7

    Castle anakuaga na madem wakali kishenzi🤣🤣🤣🤣

    • @Cambarada
      @Cambarada 2 года назад +2

      Aaah wapi sijamuona mkali hata mmoja hata huyu hamna kitu ni kipini tu hicho kinakuchanganya

    • @donlinechanell4760
      @donlinechanell4760 2 года назад +2

      @@Cambarada mzee uzuri unatafutwaa usikarir habar za ooh natural. Uzuri unatafutwa mzee

    • @Cambarada
      @Cambarada 2 года назад +2

      @@donlinechanell4760 sawa tufanye uzuri unatafutwa ndio, huyo mdada kipi amekitafuta hapo na kumfanya awe mzur. kwa mtazamo wangu naona kizur kinajitangaza chenyew sio lazima uvae mawigi na vipini.

  • @Samhha
    @Samhha 2 года назад +4

    Oya wee mkojani motoo 🔥🔥🔥

  • @meschackmuswahili9681
    @meschackmuswahili9681 2 года назад

    Vip mko jani filamu zuri saaana

  • @mcdanta6239
    @mcdanta6239 2 года назад +3

    Sema Wana wake viumbe wabaya sana unatumia mzigo halafu ana kizingua kiasi hiki inauma

    • @zena6203
      @zena6203 2 года назад

      Aponi akilizenu mbovu😄😄

  • @mihadimihanju2255
    @mihadimihanju2255 2 года назад +4

    Nice movie%%

  • @mariammariamsalim7189
    @mariammariamsalim7189 2 года назад +9

    Sina mood ya kulala 😆😆🙌 Ila iih ipo kuna wanawake kuolewa watasikia kwa jilani inafundisha iih ukifatilia kwa makini

  • @emmanuelmashauri1430
    @emmanuelmashauri1430 2 года назад

    Daaah hy zipo mitaani lkn mm cwez kukubali ujinga hu kwa mwanmke yoyote yule hp duniani

  • @fatmamody9146
    @fatmamody9146 2 года назад +2

    Tupo sambamba mkojani 🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦👣👣

  • @barakamatungwa86
    @barakamatungwa86 2 года назад +3

    Nakubali sana mabwe nde

  • @tigergilyofficial
    @tigergilyofficial 2 года назад +2

    Back to back

  • @astonmayengo8993
    @astonmayengo8993 2 года назад +2

    Tamu sana hii

  • @barakamatungwa86
    @barakamatungwa86 2 года назад +3

    Nakubali sana kaka mabwende

  • @richerragna2182
    @richerragna2182 2 года назад +7

    Team mabwende tunaomba like s zenu

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 2 года назад +4

    Birthday vita,😂😂😂😂

  • @josephatrobert9588
    @josephatrobert9588 2 года назад +1

    mnaaribu xx c mmalizie ugai gai na ngumi 21 xax mnashika hii mnaacha hii mnakata stim but buy the way muvie nzuri congratulations

  • @bestfriendokitokapalata6137
    @bestfriendokitokapalata6137 2 года назад +3

    🤣🤣🤣🤣 mkojani hukuwepo babu

  • @maherzain615
    @maherzain615 2 года назад +4

    Happy birthday kwa maji ya choo. Hapana🤣🤣🤣

    • @zena6203
      @zena6203 2 года назад +1

      😄😄😄😄😄😄

  • @mejahmc9278
    @mejahmc9278 2 года назад +1

    Chadoooo jeshi langu dah atariii

  • @issahamissiissahamissi7775
    @issahamissiissahamissi7775 2 года назад +3

    Mambweñde muhuni asiye tumia bangi😂😂😂

  • @zeyadazeyada8050
    @zeyadazeyada8050 2 года назад +2

    Mkojani upo very very

  • @nyalyotosultan964
    @nyalyotosultan964 2 года назад +4

    Naombeni jina hiyo nyimbo aseeh😭😭😭

  • @sophiakimaro183
    @sophiakimaro183 Год назад

    Kazi nzuri chado

  • @najmalatiffah936
    @najmalatiffah936 2 года назад +2

    ulipo tupo... mkojani 💪💛💛

  • @rich_wasparner9233
    @rich_wasparner9233 2 года назад +1

    Maliza Kwanza ugaigai mzeee wa kazi Mana hapa hukawii kutuacha njian bwana mkojaaani

    • @syprianamghoimacharo7155
      @syprianamghoimacharo7155 2 года назад

      Ugaigai iliisha mwenzngu

    • @rich_wasparner9233
      @rich_wasparner9233 2 года назад

      @@syprianamghoimacharo7155 nadhukuru kunifahamisha aseh,Mana nlikua naskilizia tukio lingine ngoja niamishie macho huku Sasa,

  • @mwalimumlaula6167
    @mwalimumlaula6167 2 года назад +7

    Safi team mkojani all the way from Jeddah

  • @hamadihamisiambale8943
    @hamadihamisiambale8943 2 года назад +15

    Mkojani gang wapi like

  • @jacobkyamajabu316
    @jacobkyamajabu316 2 года назад +1

    Mkojani hajawahi kutoa kitu Cha mchongo Kila movie balaaa

  • @bakaribuyu5712
    @bakaribuyu5712 2 года назад +4

    tunataka maendereo wa ugai gai

  • @azizaaziza7996
    @azizaaziza7996 2 года назад +6

    Sija chelewa wanne like zote

  • @zena6203
    @zena6203 2 года назад

    Wanawake wengine jameni iyo milioni moja nanusu unafunguwa bishara nzuri kulikokudanga nakuchat kupoteza muda mungu ninusuru ayo maisha mana kwasasa najitegemea

  • @mweroruwa6339
    @mweroruwa6339 2 года назад +4

    Mkojani wolan..

  • @asaadalbusaidi1870
    @asaadalbusaidi1870 2 года назад

    Uko powa 👍

  • @enockmwilongo5771
    @enockmwilongo5771 2 года назад

    Mshikaji anajua sana kuimba uyu kwann hatoi ngoma aseeee

  • @kigoto
    @kigoto 2 года назад +1

    Ulichorithi ni😂 ndevu tuu

  • @aminah9557
    @aminah9557 2 года назад +2

    Nyimbo nzuri sana jamani

  • @jimmymeshack8725
    @jimmymeshack8725 2 года назад +5

    Mademu kama hawa wanatufanya tuishi maisha ya shida sana 😂😂😂

    • @zena6203
      @zena6203 2 года назад

      No apo niwewetu mamuziyako myaka yasasaivi nikupambana pekeyako

  • @iankulecho7120
    @iankulecho7120 2 года назад +3

    Safi sana

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave3532 2 года назад +3

    Bonge la tamthilia aisee tunaomba mwendelezo

  • @dausgenious2509
    @dausgenious2509 2 года назад +2

    MKOJANI NGOMA YAKWENYE HII MOVIE NAIPATAJE MAANA NIKALI SANA YANI

    • @donlinechanell4760
      @donlinechanell4760 2 года назад +1

      Hyo nyimbo ni ya yule dogo ambae anaigiza kama mpaka rangi kwenye ugai gai alie kua anaendwa na mke wa mtu

    • @donlinechanell4760
      @donlinechanell4760 2 года назад +1

      Mwenye huo wimbo kweny hii movie ni hyo kweny scene ya 3 inaanza anatumia simu af dem anaingia .

    • @iddriskiponda3688
      @iddriskiponda3688 2 года назад

      Anaitwaje uyo dogo jina yake ya kisanii

    • @mwinjumaramadhani7667
      @mwinjumaramadhani7667 2 года назад

      @@iddriskiponda3688 Anaitwa baruti

  • @hassanycoyo2101
    @hassanycoyo2101 2 года назад

    Nakubali mkojani gang

  • @Jamila_1996
    @Jamila_1996 2 месяца назад

    Nimekuja kumuangalia chado na candy wa house girl🎉

  • @pedemavoice
    @pedemavoice 2 года назад +3

    Tupeni move yote jaman

  • @jacquelinekaria7443
    @jacquelinekaria7443 2 года назад +5

    Tunataka hiii nyimbo tafadhaliii

    • @nyalyotosultan964
      @nyalyotosultan964 2 года назад +2

      Aseeh😭😭

    • @zena6203
      @zena6203 2 года назад

      Inaitwa nafasi baruti ila ni audio video naona bado

  • @dremmytz888
    @dremmytz888 2 года назад +4

    tko pamoja Gang gang

  • @kefasonseth6842
    @kefasonseth6842 2 года назад +3

    Sehemu ya piri

  • @mariammariamsalim7189
    @mariammariamsalim7189 2 года назад +3

    Mh 😭chado

  • @bleezytalentmusic5912
    @bleezytalentmusic5912 2 года назад +2

    Mkojani fanyeni mumalize ugai gai

  • @moonlee7303
    @moonlee7303 2 года назад

    Love you sister candy

  • @iddriskiponda3688
    @iddriskiponda3688 2 года назад +8

    Big up wanangu wa mkojan gang 🇰🇪 ndo napataikana

  • @chotaramswahili2835
    @chotaramswahili2835 2 года назад +2

    Nime I downloaded ntaicheki baadae nikiwa na fursa,ila najua ni kali tayari 🤣😂

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 2 года назад +6

    Castle kanichekesja hio reaction baada ya kuambiwa 1.5M na wik lak 2🤣🤣🤣

  • @yosiawelcas8713
    @yosiawelcas8713 2 года назад +1

    Mko jani kumbe hauni juwii

  • @samwelyrahaerysimbaulanga5179
    @samwelyrahaerysimbaulanga5179 2 года назад +5

    Duh! Mzee Chado umetoa watu machozi😥

  • @fahamujames8003
    @fahamujames8003 2 года назад

    Yaaan mkojan unatuchanganya kabisa ile NGUMI21 NA UGAIGAI hazijaisha sasa tayar umetuchanganyia nyingine kiukweli unatuvuruga bwana

  • @mariammariamsalim7189
    @mariammariamsalim7189 2 года назад +2

    Nimewai 🤣🤣🤣

  • @hemedwalid6570
    @hemedwalid6570 2 года назад +1

    wa kwanza leo

  • @kamaukahn6308
    @kamaukahn6308 2 года назад +1

    Bonge lamove

  • @ameirdarueshi2593
    @ameirdarueshi2593 2 года назад +6

    Yani Mimi Kama sitipata mwanamke kwenye maisha yangu sawa tu ila kwa kutowa milioni moja laki tano kwa ajili ya Sheree ya kuzaliwa daaaa Bora basi tu nitaendelea kujichua tuu chooni kitandani ata kma nitauwa umee ila yote sawa mana na mpenzi nayo yanaua moyoo yani mazara juu ya mazara vijano tutafteni elaaa na itafika siku mwanamke asiye na kazi hapati mwana Wala mume atapambana na Hali yake

    • @ramadhanhemed9931
      @ramadhanhemed9931 2 года назад +3

      Kaka muombe Mungu. Hata wenye hela wanalia pia kaka. Mapenz mapenzi 😩

    • @zena6203
      @zena6203 2 года назад

      Apo inategemea nawewe mwenyewe msimamowako kama mwanaume uoneshe ukiwazezeta tunaenda kizezetazezeta tu 😄😄😄😄😄😄

  • @nas2800
    @nas2800 2 года назад

    Leo sura ya babu kachangamka