Wanawake wengine jameni iyo milioni moja nanusu unafunguwa bishara nzuri kulikokudanga nakuchat kupoteza muda mungu ninusuru ayo maisha mana kwasasa najitegemea
Yani Mimi Kama sitipata mwanamke kwenye maisha yangu sawa tu ila kwa kutowa milioni moja laki tano kwa ajili ya Sheree ya kuzaliwa daaaa Bora basi tu nitaendelea kujichua tuu chooni kitandani ata kma nitauwa umee ila yote sawa mana na mpenzi nayo yanaua moyoo yani mazara juu ya mazara vijano tutafteni elaaa na itafika siku mwanamke asiye na kazi hapati mwana Wala mume atapambana na Hali yake
Safi kbisa bonge yakazi
Aloo kitu safii Ali jimmy mombasa
Dah hii nzuri sana ila ugai gai ni kubwa kuliko ☺☺☺ mkojani gang twen zetu na ugai gai
Daaah mwanangu CHADO UMENIFANYA HADI NIDONDOSHE CHOZI..HII. SERIES INAKUJA KUFUNIKA VIMOVIE VYOTE HAPA BONGO
Yan nikipata mshkaj kama huy siangaiki tena na wanaume😔....
Movie Iko Bomba Mungu awazdishie maarifa mzidi kutuburudisha na kutuelimisha ...
Hahaha mkojani gang sema chado humu umeniangushaa
Daaa Tamu sana
mkojan mm nataka ty hiyo nyimbo ya @baruti💥💥💥
mkojani achia nyimbo ya uyo Kijana kali sana
Hivi kwani inaitwaje
Anaitwa baruti huyo dgo
Nafasi ishatoka
kali kinomaa yaan ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mkojani mashabiki zako tunapenda movie kama hizi nyimbo nyingi tunapenda sana
Mambwende mtoto wa mzee khan nakukubali sana 💥💥💥💥
Gang kubwa sana
Hahahaha Kaa chin Mzee upigwe bakola 🤣🤣🤣🤣🤣bonge Moja la combination 👊👊
Govinda movie melody mzee baba mkojani ww mkaliii
mzee chado umu umekaangwa
Kinomaaaa du! hatali mzee
nilikuw kumpata dem wanamna iH
Mambwende namkubali sana 🔥🔥🔥
🔥❤️🔥
Daaah chado umechezaa 😅😅
Wa kwanza Mkojani Member
Afu mkiona kilangaso mpeni salamu zangu... Good great job
Iko poa sana
Dakika 1 wakwanza
Madem watatuuwa jmani
Mtakufa mkitaka wenyewe😄😄😄😄
MKOJAN moto umewaka
mzee hatali mkojan gang
Nimecheka nife happy birthday
Mkojani gang Kaz nzuri sana
Chado nakupenda ♥️ wish uwe mme wang
*WA KWANZA KENYA* 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mabwende khan ❤❤
JAMAN NAOMBEN LIKE NYINGI
Hila chado movie hii umetuangusha tumekuzowea ukiwa katil na mgaigai
Duuuh chado umedata mwanangu🤣🤣🤣🤣
Safi mkojani unaweza
I am your fan 100%. Hugh from Moz
Chadooo🤣🤣🤣
chado kak nakubl
Kazi juu ya kazi👌🔥🔥🔥🔥🔥
Kazi nzuri
Mkojani gang chama lawan
From Mozambique🇲🇿. Happy birthday😂❤🙏🥰😂
Castle anakuaga na madem wakali kishenzi🤣🤣🤣🤣
Aaah wapi sijamuona mkali hata mmoja hata huyu hamna kitu ni kipini tu hicho kinakuchanganya
@@Cambarada mzee uzuri unatafutwaa usikarir habar za ooh natural. Uzuri unatafutwa mzee
@@donlinechanell4760 sawa tufanye uzuri unatafutwa ndio, huyo mdada kipi amekitafuta hapo na kumfanya awe mzur. kwa mtazamo wangu naona kizur kinajitangaza chenyew sio lazima uvae mawigi na vipini.
Oya wee mkojani motoo 🔥🔥🔥
Vip mko jani filamu zuri saaana
Sema Wana wake viumbe wabaya sana unatumia mzigo halafu ana kizingua kiasi hiki inauma
Aponi akilizenu mbovu😄😄
Nice movie%%
Sina mood ya kulala 😆😆🙌 Ila iih ipo kuna wanawake kuolewa watasikia kwa jilani inafundisha iih ukifatilia kwa makini
Daaah hy zipo mitaani lkn mm cwez kukubali ujinga hu kwa mwanmke yoyote yule hp duniani
Tupo sambamba mkojani 🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦👣👣
Nakubali sana mabwe nde
Back to back
Tamu sana hii
Nakubali sana kaka mabwende
Team mabwende tunaomba like s zenu
Birthday vita,😂😂😂😂
mnaaribu xx c mmalizie ugai gai na ngumi 21 xax mnashika hii mnaacha hii mnakata stim but buy the way muvie nzuri congratulations
🤣🤣🤣🤣 mkojani hukuwepo babu
Happy birthday kwa maji ya choo. Hapana🤣🤣🤣
😄😄😄😄😄😄
Chadoooo jeshi langu dah atariii
Mambweñde muhuni asiye tumia bangi😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Mkojani upo very very
Naombeni jina hiyo nyimbo aseeh😭😭😭
Inaitwa Nafasi
Kazi nzuri chado
ulipo tupo... mkojani 💪💛💛
Maliza Kwanza ugaigai mzeee wa kazi Mana hapa hukawii kutuacha njian bwana mkojaaani
Ugaigai iliisha mwenzngu
@@syprianamghoimacharo7155 nadhukuru kunifahamisha aseh,Mana nlikua naskilizia tukio lingine ngoja niamishie macho huku Sasa,
Safi team mkojani all the way from Jeddah
Mkojani gang wapi like
Mkojani hajawahi kutoa kitu Cha mchongo Kila movie balaaa
tunataka maendereo wa ugai gai
Sija chelewa wanne like zote
Wanawake wengine jameni iyo milioni moja nanusu unafunguwa bishara nzuri kulikokudanga nakuchat kupoteza muda mungu ninusuru ayo maisha mana kwasasa najitegemea
Mkojani wolan..
Uko powa 👍
Mshikaji anajua sana kuimba uyu kwann hatoi ngoma aseeee
Ulichorithi ni😂 ndevu tuu
Nyimbo nzuri sana jamani
Mademu kama hawa wanatufanya tuishi maisha ya shida sana 😂😂😂
No apo niwewetu mamuziyako myaka yasasaivi nikupambana pekeyako
Safi sana
Bonge la tamthilia aisee tunaomba mwendelezo
MKOJANI NGOMA YAKWENYE HII MOVIE NAIPATAJE MAANA NIKALI SANA YANI
Hyo nyimbo ni ya yule dogo ambae anaigiza kama mpaka rangi kwenye ugai gai alie kua anaendwa na mke wa mtu
Mwenye huo wimbo kweny hii movie ni hyo kweny scene ya 3 inaanza anatumia simu af dem anaingia .
Anaitwaje uyo dogo jina yake ya kisanii
@@iddriskiponda3688 Anaitwa baruti
Nakubali mkojani gang
Nimekuja kumuangalia chado na candy wa house girl🎉
Tupeni move yote jaman
Tunataka hiii nyimbo tafadhaliii
Aseeh😭😭
Inaitwa nafasi baruti ila ni audio video naona bado
tko pamoja Gang gang
Sehemu ya piri
Mh 😭chado
Mkojani fanyeni mumalize ugai gai
Love you sister candy
Big up wanangu wa mkojan gang 🇰🇪 ndo napataikana
Nime I downloaded ntaicheki baadae nikiwa na fursa,ila najua ni kali tayari 🤣😂
Castle kanichekesja hio reaction baada ya kuambiwa 1.5M na wik lak 2🤣🤣🤣
Mko jani kumbe hauni juwii
Duh! Mzee Chado umetoa watu machozi😥
Sana kaka
Yaaan mkojan unatuchanganya kabisa ile NGUMI21 NA UGAIGAI hazijaisha sasa tayar umetuchanganyia nyingine kiukweli unatuvuruga bwana
Nimewai 🤣🤣🤣
wa kwanza leo
Bonge lamove
Yani Mimi Kama sitipata mwanamke kwenye maisha yangu sawa tu ila kwa kutowa milioni moja laki tano kwa ajili ya Sheree ya kuzaliwa daaaa Bora basi tu nitaendelea kujichua tuu chooni kitandani ata kma nitauwa umee ila yote sawa mana na mpenzi nayo yanaua moyoo yani mazara juu ya mazara vijano tutafteni elaaa na itafika siku mwanamke asiye na kazi hapati mwana Wala mume atapambana na Hali yake
Kaka muombe Mungu. Hata wenye hela wanalia pia kaka. Mapenz mapenzi 😩
Apo inategemea nawewe mwenyewe msimamowako kama mwanaume uoneshe ukiwazezeta tunaenda kizezetazezeta tu 😄😄😄😄😄😄
Leo sura ya babu kachangamka