VILLAZA ''Sehemu ya Kwanza''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 241

  • @zou7470
    @zou7470 4 года назад +23

    Tujuwane tulokuwa tume miss madebe🤗🤗🤗

  • @nooragana9668
    @nooragana9668 4 года назад +6

    Safi sana madebe Hongera yko tunasubir mwendelzo tafadhali uko sawa Nakkubali

  • @omanbarka2053
    @omanbarka2053 4 года назад +10

    Leo wakwanza naiangalia live nikiwa omani ahsante madebe nikiangaliya move zako najifunza

  • @akimanasalim9063
    @akimanasalim9063 4 года назад +7

    Ongera saana Kaka kazi nzuri saana Ila sio uchelewe kutupatia sehem inayo fwata🙏

  • @aminasuleiman6867
    @aminasuleiman6867 4 года назад +5

    Hongereni nyote no one like u madebe big up mwenye hajaangalia yuapitwa

  • @aminaissa8581
    @aminaissa8581 4 года назад +4

    Nakukubali sana madebe aukoseagi kazi nzuli

  • @jumakandy2075
    @jumakandy2075 2 года назад

    Classic movie madebe nakukubali bro big up kazi nzuri

  • @mcheshcomedy5809
    @mcheshcomedy5809 4 года назад +49

    NIPENI likes ZA MTAALAMU WA SANAA TZ NA AFRICA MASHARIK

  • @mashauriwapwani
    @mashauriwapwani 4 года назад +21

    Villaza..... Wakenya pitieni huku

  • @mariamahmad1716
    @mariamahmad1716 3 года назад +3

    Madebe allahubarik wajua kutufurahisha

  • @mukaplatnumz2313
    @mukaplatnumz2313 4 года назад +11

    Daah! Hii muvie inamaana sana haswa kwa watu wenye kusaidiana, pole madebe kwakukabiliana namzigo usiyo kuhusu. Tusubiri part 2😢

  • @rockxiadacaptain6559
    @rockxiadacaptain6559 4 года назад +2

    Madebe movie zako ni kali sana Ila cku ukitoa movie na Gabo itapendeza mnoooo

  • @xyz0156
    @xyz0156 4 года назад +1

    Madebe hubaatishi hongera sana... Usitucheleweshee muendelezo

  • @egoistdelikertz6607
    @egoistdelikertz6607 3 года назад +2

    Hongera kwa kaz nzuri unayo ifanya kaka

  • @abdulhemedabdulhemed7110
    @abdulhemedabdulhemed7110 3 года назад +14

    Ukisikia kustakiwa ndio huku madebe haki usipo tupa hii part 2 na matusi tunakushitaki bila uoga wangapi wanasopot hilo wanipe like hapo

  • @cetus7885
    @cetus7885 4 года назад +3

    Madebe dah uko vizuri sana aisee big up sana kaka

  • @musaathumani1545
    @musaathumani1545 4 года назад +5

    Hiii move ya mdaaa sana tupee mwendelezoo wake

  • @travellerjohn1169
    @travellerjohn1169 3 года назад

    Big up sana kwa movie nzuri kaka madebe like zake please wazee💯💯💯💯

  • @mikyfosikama8752
    @mikyfosikama8752 3 года назад

    Move nzuri sana nangalia nikiwa saudi.arabia

  • @salehalmujaini7633
    @salehalmujaini7633 4 года назад +53

    Wakusoma comment tujuane

  • @abdulhemedabdulhemed7110
    @abdulhemedabdulhemed7110 3 года назад +7

    Mm kazi yangu kuu kuangalia move za madebe nauhakika hua anatupa vile tunavyo vitaka ila hua yuatuumiza hatupi mpaka mwisho wangai wanamdai madebe wanipe like ....+254

  • @halifahemedi7776
    @halifahemedi7776 3 года назад +4

    Kama umemuona mwizi amevaa kanzu..gonga like

  • @kanaanimpya2340
    @kanaanimpya2340 4 года назад +11

    Unakuja juu sana kaka lakini wakati mwingine ni muhimu pia kuwasikiliza mashabiki wako wanataka nini.
    Filamu zako nzuri sana na zinafaa kutazamwa na kila rika lakini pia zinafundisha wakubwa kwa wadogo tatizo kubwa ninaloliona na wanalolipigia kelele watu wengi ni mwendelezo wa movie.
    Hakuna sababu ya kutunga story nyingin kama ya kwanza haijaisha ni bora upige mwanzo mwisho then uanzishe nyingine, hivi vipandevipande vinaboa sometime manake mpk utoe mwendelezo wake tayari mtu ashasahau story yenyew ilianzia wapi na aliishia wapi kwahiyo inakuwa inatoa utamu wa movie.

    • @janethkomba4485
      @janethkomba4485 2 года назад

      🙏

    • @emmanuelpaul7646
      @emmanuelpaul7646 2 года назад

      fact

    • @HidayaHidaya-e8o
      @HidayaHidaya-e8o 24 дня назад

      Kweli kabisa kama mkwajuu ndio iliisha ivyo yani shida yake kumbwa amalizi move zake mali ya ndimu nayo pia iko nusu twakuomba bana maliza vipande ulivyo vibakisha plzzz coz sote ni tamu

  • @fatumasalumu9086
    @fatumasalumu9086 3 года назад +1

    Kazi nzuri sana

  • @omarikingo617
    @omarikingo617 4 года назад +20

    Tatizo lako lipo kwenye mwendelezo unachelewa sana kutuma mpaka movie tunasahau tuliiishia wap Tuma kitu weka kitu hapo hapo

    • @danielmkama24
      @danielmkama24 3 года назад +1

      Ndiomaana zinauzwa kaka!
      Kwaiyo ni vizur ukamchangia

  • @sirnyongesa7455
    @sirnyongesa7455 4 года назад +7

    Daah, hii nayo kali mkuu, imenisisimua hisia sana.
    Huyu jamaa wa kipekee kwenye sanaa. Mola azidi kukurehemu Bw. Madebe.

    • @chamastorch
      @chamastorch 3 года назад +1

      Anazingua huyu jamaaakwa mwendelezo

    • @sirnyongesa7455
      @sirnyongesa7455 3 года назад

      @@chamastorch tena sana, wa kipekee tena sana

  • @pendomacha3355
    @pendomacha3355 4 года назад

    Mwenelezo madebe ufanye mapema bro ni nzuri inafunza mie misaad kumpea mtu no

  • @mashawarioba5388
    @mashawarioba5388 3 года назад +1

    Upo vizuri kaka napenda kazi yako......🙏🙏🙏

  • @mcheshcomedy5809
    @mcheshcomedy5809 4 года назад +5

    Movie Kali Sana MY KING BROTHER .@JOHN MARCELLO 🎬📧

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 4 года назад +1

    Ebana hiii ni noma kweli bint afie chumbani kwako allah atuepushe na hiii kitu hapo ni jela tu

  • @ladyyes4394
    @ladyyes4394 4 года назад +5

    Japo nimechelewa naomba like za kichelewa njamani....huku tukisubiri matusi sehemu 6.sijuwi hitakuja lini😷

  • @hamisirajabu8872
    @hamisirajabu8872 4 года назад

    Hii song iliyoimbwa humu ndani nzuri sanaa

  • @aziboyleonard434
    @aziboyleonard434 4 года назад +3

    Big up Sana hii ni more than pain
    Isikie tyuu usiombe ikakukuta mzeee

  • @mariammussa4593
    @mariammussa4593 4 года назад +2

    Nzuriii xana ❤️❤️❤️😘😘

  • @Thebking
    @Thebking 3 года назад +2

    series nzuri saaana.

  • @asmatabdallah1368
    @asmatabdallah1368 4 года назад +1

    Na kukubali sana jembe langu

  • @supaboytz2729
    @supaboytz2729 4 года назад

    Daaahh Yaan Huwaga Nawaza Sana Unapoandaa Filamu Zako Unatumia Muda Gani Kukamilisha..!! Maana Unatumia Akili Nyingi Sana..

  • @Atb300
    @Atb300 3 года назад +1

    Niliwahi kuangalia bongo movie story IPO ivi ivi😀😀wabongo bahn cjui tunafeli wapi Ila nakukubali bro 👍

    • @salhatphidelis8884
      @salhatphidelis8884 3 года назад

      Kweli tena alikuwepo na riyama ally ndio Alikuwa dada mtu wa marehemu

  • @allymazige985
    @allymazige985 4 года назад +5

    Amazing dialogue, Madebe una deserve Crown

  • @safarisilas4999
    @safarisilas4999 4 года назад +2

    Madevu kutoka Mombasani hii film iko majuu

  • @vicentpaul5814
    @vicentpaul5814 4 года назад +1

    Nakubali hii Kali kinoma

  • @mtitagirloriginal6890
    @mtitagirloriginal6890 4 года назад +2

    Hii nyumba aliyopanga lidai pambe🤗🤗 ipo changalamu

  • @r.kassimtoutautre3432
    @r.kassimtoutautre3432 4 года назад +2

    Kitu bomba 🇧🇮Who lives 🇹🇷

  • @kilungule
    @kilungule 4 года назад

    Bwana harakisha nyingine mkuu mambo ni fire

  • @stephenstephen5586
    @stephenstephen5586 4 года назад +3

    Madebe una feli sana malizaga movie

  • @jamilaingu7922
    @jamilaingu7922 4 года назад

    Villaza yaelekea kuwa moto ,lkn tamthilia za madebe zaishia namba 5 mlijue ilo wadau ,anayenikubal naomba like yake 👍

  • @zahariasongolo9362
    @zahariasongolo9362 2 года назад

    Bonge moja la idea mzee baba

  • @PH10735
    @PH10735 2 года назад

    Of course madebe unajua brother 🙏🙏

  • @aminasaid7657
    @aminasaid7657 4 года назад +1

    Hyo nyimbo ni moto

  • @georgethomy1212
    @georgethomy1212 4 года назад +3

    Keep it up broe,

  • @Mwl_Swalo
    @Mwl_Swalo 4 года назад +22

    Mkuu tunaomba utukumbukemo na sisi wafuasi wa series ya Matusi

  • @yasminali6195
    @yasminali6195 4 года назад

    Nakubali movies za bwana madebe kwa kweli elimu tosha

  • @gracesikalion9486
    @gracesikalion9486 3 года назад

    duh pole sana madebe

  • @resas_nation210
    @resas_nation210 4 года назад +4

    10:45 naombeni munisaidie jina la huyo msanii n nyimbo

  • @othmanraphael7517
    @othmanraphael7517 4 года назад +2

    Love you madebe

  • @rahmaomar9646
    @rahmaomar9646 3 года назад

    nimeipenda sana tena sana ila sjui mwisho itakuaje

  • @khaliddesire0084
    @khaliddesire0084 4 года назад +2

    Sure Madebe👍

  • @anitanahimana2115
    @anitanahimana2115 4 года назад

    Madebe punguzeni muzic nimukubwa sana jamani 👂🙏

  • @samsonbaruani865
    @samsonbaruani865 2 года назад

    is good god bless you

  • @Collinscj
    @Collinscj 3 года назад

    Madebe Lidai mtaalamu wa sanaa Afrika.

  • @abubakarsalim1505
    @abubakarsalim1505 4 года назад

    Binge la jicho mzee madebe

  • @asmatabdallah1368
    @asmatabdallah1368 4 года назад +7

    Kama ume muona mwizi ame vaa kanzu gonga like 🤣🤣🤣

  • @ramadhanimrina3968
    @ramadhanimrina3968 4 года назад +3

    Upo vizur ww mkali madebe

  • @kasigwaiddy9045
    @kasigwaiddy9045 4 года назад +1

    Nice bro

  • @ozagreatestvideoever943
    @ozagreatestvideoever943 4 года назад +5

    Filamu Nzuri Ila kosa la kwanza nililoliona ni huyo dada wakati ameingia ndani anakuelezea hali ya nje kosa alilofanya ni kumuangalia camera Man

  • @boscoyagga5199
    @boscoyagga5199 4 года назад

    Madebe ww number 1 Tanzania

  • @magrethmaganga1983
    @magrethmaganga1983 4 года назад +1

    Bro madebe upo vzr xn bc tunaomba muendelezo wa matusi jmn

  • @shabanisaidi6294
    @shabanisaidi6294 3 года назад +1

    Wimbo unaitwaje jaman

  • @kaliuaonlinetv5166
    @kaliuaonlinetv5166 4 года назад +1

    Nice movie

  • @suleimanjembe3493
    @suleimanjembe3493 2 года назад +1

    Wonderful 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @issamchocho98
    @issamchocho98 4 года назад +1

    Good work

  • @anitanahimana2115
    @anitanahimana2115 4 года назад

    Nzuri sana kabisa

  • @hajielmi7518
    @hajielmi7518 4 года назад +7

    Matusi imefikia wapi

  • @radi902
    @radi902 3 года назад +1

    Hyo wimbo inaimba background ni ya Nani jamani

  • @salimsaleh6423
    @salimsaleh6423 4 года назад +1

    P tunasubir muendelez

  • @babakey5395
    @babakey5395 3 года назад

    Madebe is unstoppable

  • @charlssimon228
    @charlssimon228 4 года назад +1

    Iko pow

  • @mariamshaban7555
    @mariamshaban7555 2 года назад

    Mwendelezo napataje

  • @congofizi25K
    @congofizi25K 4 года назад +2

    Nice

  • @abubakarsuleman1983
    @abubakarsuleman1983 3 года назад +1

    mukifukuzana musikimbilie mjumbani mwetu kimbilieni police tusitafutiane misala kama hii,

  • @mussahsaidy37
    @mussahsaidy37 4 года назад

    Madebe wewe ni fundi sana, kazi nzur

  • @fordraymondjohnson2380
    @fordraymondjohnson2380 3 года назад +1

    Nyie mnao deslike mafunzo mazuri kama haya mna akili zipi na mnawaza nn?
    Mnapungukiwa nn?

  • @geewara6385
    @geewara6385 4 года назад +3

    Oyaaaa hili ni bonge moja LA msala 😂😂😂😂

  • @suleim505
    @suleim505 4 месяца назад

    KWA TZ TEAM MADEBE IKI VIZURI ZAIDI ILA 👉 INATUUDHI KUKOSA MWENDELEZO...

  • @amlanniamimuafricatz5745
    @amlanniamimuafricatz5745 4 года назад

    kwastairi hiii bongo movie yakwako2 bira kupingwa kaka

  • @asumaniialii
    @asumaniialii 10 месяцев назад

    fidodido ni bonge la komediani anajua sana

  • @TheOne-ms8sc
    @TheOne-ms8sc 4 года назад

    Madebe unazinguwa sanaa,, tupe #matusi

    • @brain_ujazo
      @brain_ujazo 4 года назад

      Matusi imeishia namba 5 imeisha vizurii tuu

  • @shidasamson1435
    @shidasamson1435 2 года назад

    Noma

  • @azwedymursal9397
    @azwedymursal9397 3 года назад

    Kali

  • @ambrocmosses9380
    @ambrocmosses9380 4 года назад

    Iko vizur mtaalam

  • @3kings63
    @3kings63 4 года назад +3

    Nime penda hii cheni
    Dada wa marehemu ni danga tena jirani+dereva baba wa mtoto
    Kaka wa mwalifu ni anaye dai

  • @nderindichu8754
    @nderindichu8754 4 года назад +1

    Wa kwanza kutoka kenya +254

  • @munirachangawa2776
    @munirachangawa2776 4 года назад

    Wah hii movie Kali.ndio inaanza lkn motooo

  • @othmanshaib9089
    @othmanshaib9089 4 года назад +1

    Mzee baba madebe lidai wanao haututendei haki matusi wapi sasa imeishia

  • @octavianngobadike4804
    @octavianngobadike4804 3 года назад

    muvie hii mecheza kwel yan

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 3 года назад

    Madebe kiboko unalala ndani na MTU anakufia hiyo kesi utaipeleka wapi ndugu yangu sijui wacha🏃🏃 nikufuatilie Zaidi

  • @ernestbigirindavyi3016
    @ernestbigirindavyi3016 3 года назад

    Snema ni nzur na ina mafunzo sem tu imeisha vibaya

  • @abokeasukulu7608
    @abokeasukulu7608 4 года назад

    😯😝😝😀😀😀😀sasa hapo itakuwa aje jamani naona bwana madebe macho kodo nyuma kwa nyuma😀😀😀 jamani niatari sana mazee ilakwautaratibu bado tunasubiria seem ya pili 2 sawasawa

  • @ruqiasaid1078
    @ruqiasaid1078 4 года назад

    Imetulia sana ✌

  • @faithshamala3334
    @faithshamala3334 4 года назад

    Iyo wimbo naeza pataje