Nabii Mswahili Part 1 - Madebe Lidai, Hamisi Korongo, Zaudia Shabani (Official Bongo Movie)
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Nabii Mswahili Full Movie Part 1 Madebe Lidai
Subscribe to Africha Entertainment: bit.ly/AfichaSubs
The Best Of African Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music
Madebe madebe lidai lazima nikuone live
I love this guy huwa ananipashauri nzuuri
Napenda sana made be na mafumbo yake
Kutoka kenya 🇰🇪 Nakufwatilia sana
Hii filamu inakatakata sauti lakini kwa vile ni madebe lida lazima niangalie.madebe hongera sana 👊🏼👊🏼👊🏼
Like this man he always talk thth
Hongera sana lidai
Mungu wangu,hivi madebe huwa unatumia siku ngapi kukamilisha movie zako,maana naona kama ziko very unique kabisa can't believe,mwenyezi mungu akusaidie ufike mbali!!!
Namukubali madebe naxikilixa toka kenya....kaka umetisha....ww mkali...
Haya ni mafundisho yaliyo katik maisha yetu ambayo tunapaswa kujifunza na kutoa elimu kama wasanii wanavyotoa katika hadhara hongera sana nabii mswahili ww pamoja na wenzako kwa mafundisho yenye ukwel na ualisia wa maisha ya kiafrika
Mi ni Kenya ila nimependa sana move zauyu kijana
Haya ni mafundisho yanatakiws tujifunze asnte madebe nabii
Uko vzr saana ,, lakn kwann video inakata saut ,,
MAUZA UZA. sehemu ya kwanza new swahili series
Madebe nakukubali sana kaka piga kazi
If everyone could be here watching this guy's teachings . The world could be a better place to live. Keep it up bro. Give me a thumb up if you agree with me 👍
MAUZA UZA. sehemu ya kwanza new swahili series
@@swahililandtv1ó½ 10 to😢 it to see 2qqqw2² 3:01 ❤ my O$kdkklllllssssksiá⅔2😂2ll lol ew 4:35
Nabii hongera sanaaaaaaaaaa
Napenda.hii cenema inafundisha
Nakupenda sana nabii mswahili
hongera sana madebe....tafadhali tuletee MASHARTI
Ukiwa unajua utabaki kua unajua tu wewe ni the nambary 1 Tanzania
Hongara kwa kazi nzuri,,ya kuilinda luga ya kiswahili
What a fantastic🎉🎉🎉
Madebe lidai anauwezo mkubwa sana naona sasa bongo movies wairudisha pahala pake kama wamkubali ebu Fanya kama wagonga like akuna kama Madebe lidai(Nabii mswahili)
Mungumba classic ✅✅✅✅✔
By v
nmkubal mpka xo poa ......mung akuongz kaka ang
Good ww ni nomaaaaaaaaA
kwa kwl huyu jamaa anajua bongo move ilishapotea kabisa
my role model madebe. hususani in my speech
Tatizo matangazo mengi sana
2024 still watching,, hizi sauti mbona zakatakata
Madebe Nimekukubali hongera sana kwakuvi jua
napenda sana kuona vitimbi vya madembe lidai mtu mcheshi sana
Pamoja sana
Madebe anaweza!
Nabi ndio huyo mwongo Muswahili huyo safi sana
kaka madebe uko vizuri sana katika maneno yako
Made be umetisha kama jua ra kiangazi Nakupenda bure
Ndio kabisa
madebeh nomaa sana
kaka nomaa sana
IAM kenyan.madebe brought me here.l love his teaching movies.♥️♥️♥️
Filamu nzuri yenye onyo nzuri
Hatari hii
Vpo
Hongera nabii mswahili madebe lidai
Madebe yupo vizuri kweny kiswahili fasaha gonga like kama unakubaliana na mm
Vizuri madebe
@@rehemakasimh6273 niuge
Yuko vzur kweny kiswahili.
Yuki vizur San kweny kiswahil
Daniel petro kwel madebe watisha kaka!!! Unasitahili kuigwa unaziba nafasi yakanumba"""""by kiyumban
Kazi kuntu madebe Lidai
Mafunzo mazuri sana thanks madebe
nakuelewa sana MADEBE
Unaee jiita nabiii ujumbe wako
Duniya tambara Bovu mdau
Siku hizi Hatari meanangu
hata uwongo Unafanana na ukweli
kaz nzuri broo , mungu akutangulie kwa kila atua unay piga ili uendelee kutuelimisha
👏
Nakubari madebe enderea kuerimisha jamii
Movie nzuri madebe kaiga kanumba
Nakubaliana na ww madebe
kazi nzur sana Madebe hongera
Nakupenda sana nabii
Brother madebe ww ndie mrithi kweli wa kanumba endelea kuinua bongo movies brother
Hongera kwa kazi nzuri mdebe
Nzur sanaaaaa
Heshima kwenu nimewaelwa
Kumbe Kuna movi nzuri hivii sijajua kwakweli🤔
Kwa mafumbu baba wewe namba moja baba❤
Nabii mswahiki
Haaa
Huyu ndie msanii pekee aliebaki anakula bando lango kiroho saaaaafi, yaani hua nikiangalia kazi zako najisikia kamoyo keupeee Kama nipo na demu wa kihindi vile
😂😂😂
nazielewa kazi zako kaka Madebe
lusongondola.the boy.made be UK xawa
Nakukubali sana madebe
Hongera flm inamafundisho ya maana
Uko vizuri nabiii mswahili
Huyo nd nabiii
Kunamda tunanyimwa sauti Kama umeliona gonga like
Kweli nabado twatizama 💃💃💃💃
Daah kiswahli safi xana🫡🫡
Mafunzo yapo Asante
napenda sana more more again zipo sawa
Madebe my favorite actor oll a Way From Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
One of my favorite bongo actors madebe uko sawa.
Kweli kbs haya mambo nime yaona katika maisha
Sijajua kuna tofaut gani iliyopo kati ya kuangalia na kuona!
Nabi muswahili ana tamka naneno ya kweli
Madebe nakukubari brother
Lidai ni noma
Madebe lidai is King of movies tz:; siikila mzee nimwenyebusara nasii kilakijana unaemuona hanaushauri kamaunamuelewa madebe the lidar mpe✍️🙏
Namkubali madebe sana ....
Big up sana madeb kwa hii movie
Nilianza kuona filamu zako nikiwa likizo pale Mwanza.Hadi waleo sijapinduka nafurahia kazi na mawaidha yako sana.Fan wako kutoka Kenya.Inshallah
u kona ubunifu ya hali yaju sana kama kweli wewe ni professor
Nadi
tisha sana madebe
Wewe kweli ni mwalimu
Hii ngoma naikubali xna
Nampenda nabii jamani Ilove you so much
Ashura Omary
Kaka ingapu San
Na mm je unpendi tena
Songambere Nabi
Hatari💥💥💥
Madebe noma sana
Honger xana uko vizur tukukubal
Bado cjaona mpinzan wako madebe
Yaani ile fresh
Napenda huyu jamaa kabisa tokea muvi ya joka la kijijini
Kwa kweli Mimi, nmejengwa sana katika ndoa yangu. Thank you so much bro Keep it up.
Ninaweza kusema sasa bongo movie inarudi upya safiii madebe
Thumbs up for madebe lidai... 👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
Iko p sana
Nabii upon njema mzee, akili global, act local. Ur exception. Advance location pia wahusika waendane atleast na ndoto zako. See you broo
Asante nzuri
Sauti mbovu sana....
Nakukubali sana kaka uko vizuri MUNGU akutangulie katika kazi yako
Tz naikubali Mimi vipaji vipo kweli ,,afu mi mkenya napata shida Sana kutafsiri mafumbo haya ...ila napenda chenu kiswahili ...madebe mkali kweli
Ukweli madebe ndio msanii na sio muigizaji kwa upande wangu nasema sifa anazo na zina jitosheleza
Unapendeza Sana
Movie zenu zinapoteza sauti
Nice one brother
Raha sana hii
hatakama sijui uripo but hunaeza zana made be
good actor
❤wewe kiboko yao
Daah hii simulizi nizaidi ya maisha