Nabii Mswahili Part 1 - Madebe Lidai, Hamisi Korongo, Zaudia Shabani (Official Bongo Movie)
HTML-код
- Опубликовано: 14 май 2018
- Nabii Mswahili Full Movie Part 1 Madebe Lidai
Subscribe to Africha Entertainment: bit.ly/AfichaSubs
The Best Of African Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music - Развлечения
If everyone could be here watching this guy's teachings . The world could be a better place to live. Keep it up bro. Give me a thumb up if you agree with me 👍
MAUZA UZA. sehemu ya kwanza new swahili series
@@swahililandtv1ó½ 10 to😢 it to see 2qqqw2² 3:01 ❤ my O$kdkklllllssssksiá⅔2😂2ll lol ew 4:35
Nakubali sana.kazi zako umenifanya nimeangalia zaidi ya Mara tatu filamu yako ya matusi wewe sio msanii chipukizi wewe ni zaidi ya wasanii hapa Africa tatizo lako ni moja tu bloo jalibu kuweka maneno ya kingeleza chini ili na nchi zingine zielewe unacho wakilisha Mimi nimebadilika kwaajili yako mungu akuongoze bloo
Madebe lidai anauwezo mkubwa sana naona sasa bongo movies wairudisha pahala pake kama wamkubali ebu Fanya kama wagonga like akuna kama Madebe lidai(Nabii mswahili)
Mungumba classic ✅✅✅✅✔
By v
nmkubal mpka xo poa ......mung akuongz kaka ang
Good ww ni nomaaaaaaaaA
kwa kwl huyu jamaa anajua bongo move ilishapotea kabisa
Kaka madebe you are killing it... ww na yule kaka white yule simtaji mnajua mnachokifanya asee... all the best
Mungu wangu,hivi madebe huwa unatumia siku ngapi kukamilisha movie zako,maana naona kama ziko very unique kabisa can't believe,mwenyezi mungu akusaidie ufike mbali!!!
Haya ni mafundisho yaliyo katik maisha yetu ambayo tunapaswa kujifunza na kutoa elimu kama wasanii wanavyotoa katika hadhara hongera sana nabii mswahili ww pamoja na wenzako kwa mafundisho yenye ukwel na ualisia wa maisha ya kiafrika
Mi ni Kenya ila nimependa sana move zauyu kijana
Haya ni mafundisho yanatakiws tujifunze asnte madebe nabii
Uko vzr saana ,, lakn kwann video inakata saut ,,
MAUZA UZA. sehemu ya kwanza new swahili series
IAM kenyan.madebe brought me here.l love his teaching movies.♥️♥️♥️
Madebe yupo vizuri kweny kiswahili fasaha gonga like kama unakubaliana na mm
Vizuri madebe
@@rehemakasimh6273 niuge
Yuko vzur kweny kiswahili.
Yuki vizur San kweny kiswahil
Daniel petro kwel madebe watisha kaka!!! Unasitahili kuigwa unaziba nafasi yakanumba"""""by kiyumban
hongera sana madebe....tafadhali tuletee MASHARTI
Hongara kwa kazi nzuri,,ya kuilinda luga ya kiswahili
Madebe nakukubali sana kaka piga kazi
Namkubadili sana madebe anaelimisha sana anaitaji apewe tuzo from 254🇦🇪🇦🇪
Madebe wewe hongra sana
Ukiwa unajua utabaki kua unajua tu wewe ni the nambary 1 Tanzania
napenda sana kuona vitimbi vya madembe lidai mtu mcheshi sana
Pamoja sana
Tatizo matangazo mengi sana
Hii filamu inakatakata sauti lakini kwa vile ni madebe lida lazima niangalie.madebe hongera sana 👊🏼👊🏼👊🏼
Like this man he always talk thth
Hongera sana lidai
kaka madebe uko vizuri sana katika maneno yako
Namukubali madebe naxikilixa toka kenya....kaka umetisha....ww mkali...
Duuu kama kuna mtu namsikiliza kupita kiasi bc ni madebe kama na wewe ni kama mimi gonga like
,madebe ni fundi haswa
Madebe watasubili Sana kweli shimo limo shimoni
nakuelewa sana MADEBE
Nakupenda sana nabii mswahili
Huyu kaka amemakinika.....Kutoka Nairobi napenda mafunzo anayotoa hapa.
nani kama Mdebe gonga like kama unamkubal madebe
Pqpi Boy nice
Jamaa yuko vizuri zaidi sana matumizi ya lugha,kuvaa uhusika,madhari anazochukulia video ebwanaeeeeeeee jamaa mtamu kwenye sanaa ni fanani haswaaaa
Big up mr madebe
Yuko viziri
akuna
Kunamda tunanyimwa sauti Kama umeliona gonga like
Kweli nabado twatizama 💃💃💃💃
Madebe anaweza!
Madebe Nimekukubali hongera sana kwakuvi jua
u kona ubunifu ya hali yaju sana kama kweli wewe ni professor
kazi nzur sana Madebe hongera
2024 still watching,, hizi sauti mbona zakatakata
Namkubali sana madebe lidai
Madebe madebe lidai lazima nikuone live
Nilianza kuona filamu zako nikiwa likizo pale Mwanza.Hadi waleo sijapinduka nafurahia kazi na mawaidha yako sana.Fan wako kutoka Kenya.Inshallah
napenda sana more more again zipo sawa
Wanao tazama iyi 2020 mnipeni like zenu
Memory
Nabii ako namafundisho
Tupo mpaka Leo💃💃💃💃💃
One of my favorite bongo actors madebe uko sawa.
Brother madebe ww ndie mrithi kweli wa kanumba endelea kuinua bongo movies brother
Nzur sanaaaaa
madebeh nomaa sana
kaka nomaa sana
hizi ndizo kazi tulizozisubiria muda mrefu kwenye tasni, hali ya kuwa kweli zilivuma Pasi na kweli
Made be umetisha kama jua ra kiangazi Nakupenda bure
Ndio kabisa
Movie nzuri madebe kaiga kanumba
Kazi nzuri Sana madembe nafanya...
Nampenda nabii jamani Ilove you so much
Ashura Omary
Kaka ingapu San
Na mm je unpendi tena
Mafunzo mazuri sana thanks madebe
Nabi ndio huyo mwongo Muswahili huyo safi sana
I like this guy madebe
Iko p sana
kaz nzuri broo , mungu akutangulie kwa kila atua unay piga ili uendelee kutuelimisha
👏
Namkubali madebe sana ....
Kwa kweli Mimi, nmejengwa sana katika ndoa yangu. Thank you so much bro Keep it up.
Hongera nabii mswahili madebe lidai
Big up sana madeb kwa hii movie
good actor
Madebe lidai is King of movies tz:; siikila mzee nimwenyebusara nasii kilakijana unaemuona hanaushauri kamaunamuelewa madebe the lidar mpe✍️🙏
Nakukubali sanaa
Na mbona hawajakupea tuzoo juu tangu marehemu kanumba mpaka sasa hakuna MTU ambaye amefanya kazi nzuri kama madebe
Tuzo ni Kujuana, hukuona wakipea watoto wenye Ata filamu zao hazijulikani? Madebe yupo vizuri sana
Kwakweli uko sawa kabisa kwa misamiati unatisha
nazielewa kazi zako kaka Madebe
lusongondola.the boy.made be UK xawa
nilicho gundua kwa madebe mpaka havumi ni ukweli anao uzungumzia ktk ulimwengu tunao ishi ila usikate tamaa wapenda ukwer tunakuelewa na kuyafanyia kazi
Akika unacho ongea ni sahihi
Kabisaa
Sana
Nikweli msema ukweli siku zote hapenezi na haikunza kwako made be tokea enzi mtume tunajua alipingwa na familia yake tatizo no kusema ukweli
daah huyu jamaa anaelimisha jamii
Nabii mswahili atakuja kumrith marehem kanumba maan movie zak zinaushawish mwing kwajamii pia al along from burundi to dubai kam kweli unafikiria kam mimi wap like zang jamen
Yaani ile fresh
Kumbe Kuna movi nzuri hivii sijajua kwakweli🤔
Hatari hii
Vpo
Napenda.hii cenema inafundisha
safi sana madebe lidai
Mung akuzidishie miak ming sanaah katk maish yako salute kwak madebe
Huyu ndie msanii pekee aliebaki anakula bando lango kiroho saaaaafi, yaani hua nikiangalia kazi zako najisikia kamoyo keupeee Kama nipo na demu wa kihindi vile
😂😂😂
Honger xana uko vizur tukukubal
Bado cjaona mpinzan wako madebe
Hii ngoma naikubali xna
Nabiii kuna baadhi ya wanawake awajui dhamani ya miili yao
Kaka uko vizuri lidai
Nimafunzo kubwa sana katika maisha ya binadamu...pakini swali ni je mbona hii video haiwezi ikajidownload 🤔??!!
Nabii upon njema mzee, akili global, act local. Ur exception. Advance location pia wahusika waendane atleast na ndoto zako. See you broo
Nice one brother
Kwa mafumbu baba wewe namba moja baba❤
Madebe my favorite actor oll a Way From Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Asante nzuri
Made be ni roll model wangu .... Pita na like
From Kenya with lot's of Love
nimekubali kaka bigapu
Nakubali sana kazi yako
nakukubari sana madebe
Ukweli madebe ndio msanii na sio muigizaji kwa upande wangu nasema sifa anazo na zina jitosheleza
I love this guy huwa ananipashauri nzuuri
Nakuelewa sana nabii
Okopa kupokea zawadi ya nguo kwa mtuu aliye uchi
Kutoka kenya 🇰🇪 Nakufwatilia sana
Madebe noma sana
ivi mnapo angalia muvie zamadebe mnajifunza nini barikiw san madebe
Unajua brother madebe
Nakukubali madebe lidai
Nakukubali sana kaka uko vizuri MUNGU akutangulie katika kazi yako
Uko vizuri nabiii mswahili
Huyo nd nabiii
tisha sana madebe
Ni shwari kabisa Nabii kazi shamba unaleta funzo mingi kwa vijana, I support it
Madebe lidai u are the best
MashaAllah Mr. Madebe u got the best lessons n life n all of your movies, May Allah continue 2guide ad bless you Ad Add you Mo yrs 2liv
Muvi ni nzuri mashallh Lkn Tu sauti jomon mbona
hatakama sijui uripo but hunaeza zana made be
Unapendeza Sana
Nice your movie
Hatari💥💥💥