HULKA SEHEMU YA KWANZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024
  • FILAMU YENYE MAFUNZO MADHUBUTI DHIDI YA NDOA HUKU IKIZINGATIA SULUHISHO LA WASICHANA WENYE HULKA

Комментарии • 808

  • @ameirsaleh5289
    @ameirsaleh5289 Год назад +4

    Hongera sna filam zenu nzr sna tena sna

  • @mrishomzelela4627
    @mrishomzelela4627 5 лет назад +35

    Hizi ndio filamu ambazo unaweza kukaa nyumbani na familia ukazitazama vzr bila ukakasi wowote,sio zile za kina nanii kutwa kuonyesha makalio tu kwa kuvaa nguo za utupu.big up madebe na clue yako nzima pigeni kazii jamiii imeshatambua muigizaji bora Tanzania ni nani,usiwaze kutambuliwa kwenye tuzo watanzania tushakutambua muigizaji bora

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana 6 лет назад +12

    Mr Madebe Lidai, filamu zako ninazipenda sana kwani zina ujumbe weye mashiko lakini pia ni za kitanzania haswa. Tatizo lako la kudumu ni kutotaja miji unapochezea hizo filamu. Kutaja miji ni moja kati ya njia za kuvutia utamu wa filamu, kuitangaza miji hiyo lakini pia kuvutia utalii. Sioni sababu ya kutotajwa majina ya miji, na hasa pale mwanzo wa filamu unapoanza. Hadi mwisho wa fila mu mtazamani anaendelea kuwa na dukuduku la kutaka kujua mji husika au kijiji husika. Asante kwa kazi nzuri za kudumisha utamaduni wetu.

  • @dogokibadogokiba4925
    @dogokibadogokiba4925 3 года назад +3

    Mungu Awalinde Wote mlioo shiriki katika Sinema Hiii Akiwemo Madebe nyiee ND wa kwanza kwa kuelimisha Zaidi .Afu Palee kwa Mjomba Mkojani Ni 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 kwa kwenda mbele Mkojani Nampa number 2

  • @fakihnyange8821
    @fakihnyange8821 3 года назад +3

    Best movies ever nakubali xana kazi endelea kutupaa daraxaaaa

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 5 лет назад +3

    Madebe nipo znz nakuangalia sana nakukubali sana sio kama wale wanaigiza kupakatana kunyonyana midomo mungu akufanyie wepesi

  • @shukrangejeje2737
    @shukrangejeje2737 6 лет назад +5

    Hakika, ninyi ni wabunifu, kuanzia mazingira ya movie, wahusika, muundo, mtindo na mengine mengi... movie zenu zinafurahisha na pia zinaelimisha,,, I like watching them!!!

  • @ftomaftoma8135
    @ftomaftoma8135 11 месяцев назад +1

    Filamu zako madebe ni nzuri tena zafundisha kazi nzuri sana❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂

  • @eritreamumz7343
    @eritreamumz7343 2 года назад +3

    We love you madebe lidai🥳🥳🥳🥳from kenya

  • @shadiyarashid5802
    @shadiyarashid5802 6 лет назад +7

    yaani ni fireee!!!!!me napenda move zako mpaka nikikosa kuziangalia2 cjiskii raha!.

  • @vincentmtana2521
    @vincentmtana2521 4 года назад +8

    Kazi njema madebe..Mungu akuzidishie..lakini wakati mwengine tizama mavazi pia..hio nayo ni njia moja ya kuboresha movie..haiwezekani movie imeandika"baada ya miezi 6" halafu mavazi bado ni hayohayo mwanzo mwisho..mtu hawezi ishi na shati moja kwa 6mnths..hata kama hali ngumu.God bless you big brother.

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah5626 6 лет назад +4

    Yaan vyuma vimebana lakn ww unatuonesha uhalisia tunasahau safi broo mb zangu na zimalize

  • @hamidudongo1879
    @hamidudongo1879 6 лет назад +11

    Hawa jamaa kwa kweli wanatuletea burudani ya kweli kabisa. Kwanza hizi misemo yao, maadili na utamaduni ndio sehemu muhimu sana. Kwa kweli niko addicted na hizi movies. Zimanikumbusha nyumbani sana.

  • @lukasictv2481
    @lukasictv2481 4 года назад +3

    Vp kaka mbn movie zako haziishi unakuta sitol inaishia patam sana fany utoe muendelez wa movie zako

  • @thamiyuucute7098
    @thamiyuucute7098 6 лет назад +13

    Africa beauty huyu dada..mweusi ucjichubuee dadaa..wew mzurisana Mashallah..Machoyako tenaa..lips wee..mwaaa😘

  • @kevinrange1077
    @kevinrange1077 4 года назад +4

    Namkubali msanii huyu wa bongo mungu amlide daima amen Kevin Mwita toka Kenya

  • @boniphacejames6437
    @boniphacejames6437 6 лет назад +20

    hongera sana madebe Lidai.kichwani mwako kuna hazina kubwa sana.UKIONA SHAIRI HULIELEWI BASI HAUJAANDIKIWA WEWE" Ha ha ha ha!!!

    • @marryalex8423
      @marryalex8423 6 лет назад

      tunakuomba kaka Uwe unajib koment zetu

  • @mahmoudnoor6396
    @mahmoudnoor6396 4 года назад +1

    Asante Sana madebe lidai kwani napata mafunzo ribo ribo kupitia filamu zako 🤗🤗

  • @davidomtanashati5893
    @davidomtanashati5893 5 лет назад +8

    is well
    hua nakuelewaga na muvi zako coz zinaelimisha Mimi kama msanii mwenzio ambae bado sijafanikiwa kujulikana,nazielewa muvi zako mana unapita mule mule kwenye uhalisia sehemu ya Uzuni Basi unakuta adi mtazamaji anaingia na huzuni kweli sehemu ya kucheka MTU anacheka pongezi zenu sana kwa hilo.

  • @mariyaal5366
    @mariyaal5366 4 года назад +10

    Muvi iko makini sana kweli madebe mpende sana mkeo lakini usimwamini😭😭😭😭

  • @smsalama6540
    @smsalama6540 4 года назад

    Daaah yan mpak loho imeniumaa kwelu kikulacho kinguonii mwako

  • @munomaadventure9949
    @munomaadventure9949 3 года назад +1

    lidai madebe mm npend san maigizo yako hongera kwa kz nzuri unayoifany kak

  • @mathildemwangaza109
    @mathildemwangaza109 4 года назад +7

    Madebe anapenda sana ku act na huyu mwana Dada eee wanaelewanaga sana

  • @omegambogela4218
    @omegambogela4218 6 лет назад +4

    Nice mazingira yanankoxha uTanzania halisi hongera zenu

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 6 лет назад +13

    Shukran Kwa movie nzuri, Naomba part 2.Kweli rafiki yako ndo adui yako wamepatikana sasa.

  • @MurijiKilopa-yc7nc
    @MurijiKilopa-yc7nc Год назад +1

    Good idea so congratulations Brother madebe

  • @edemahall1243
    @edemahall1243 6 лет назад +1

    Nakubali sana sema mnazingua kitukimoja mnatakiwa mkivushamiez navitu vibadilikie kidigo madebe unanguo moja mwaka mzima hilo tu

  • @ntembotz4453
    @ntembotz4453 6 лет назад +66

    madebe Napendaga sana kazi yako hasa ni misemo yenye mafumbo ikiwa na mafunzo ndani yake. kazi njema kakaangu mungu akubariki 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mligombuma2287
    @mligombuma2287 5 лет назад +6

    Aaaaah madebe huu ni wakati wa mungu kwako kabisaaa....unajuaaa mpakaaa basiii

  • @jumaally4781
    @jumaally4781 2 года назад

    Asante kwa kuwaelimisha watanzania kwa filam zako

  • @jumamkongowe2272
    @jumamkongowe2272 4 года назад +12

    Kabla cjaangalia filam nasoma comment kwanza like zenu jmn kama na ww unafanyaivyo

    • @jafarihamad3057
      @jafarihamad3057 3 года назад

      Uuunuu uuuhnu u. Uuuu uu uu uu nnnuununuu uuh u un n. Uu. Nu nn. Nn. Un.

  • @kibahasrall7387
    @kibahasrall7387 6 лет назад +10

    Madebe ,,,,,kanumba is back haujawahi kuniangusha,,,,kaza mzee baba unakipaji cha hali ya juu

  • @barekesteve8679
    @barekesteve8679 4 года назад

    Love and respect from Burundi madebe uko juu Kaka zidisha bidi Jenga jamii nawapongeza piya waigizaj wenziyo umoja ninguvu kutengan niujinga keep it up

  • @saadsalum3253
    @saadsalum3253 6 лет назад +6

    Mbona move zako zote unaekitia zaid shamba some time ufeganya zaid kimjin ili nao wenye uwezo wajuwe km maisha yao yakuwa nakitu sio kila kitu

  • @princessafrash8757
    @princessafrash8757 4 года назад

    Madebe unafanya vizuri sana tena sana lakini piah wengine halikadhalika mnafanya vizuri mnoo maana bila ya nyinyi madebe hawezi peke yake penda sana wote🥰🥰

  • @lusticendokole9385
    @lusticendokole9385 4 года назад +2

    Usaliti mbaya sana!!!, wanawake huwasaliti waume zao sahihi na kwenda kwa wengn ambao hata hawana uhakika nao baadaye

  • @hamiswilliamburushi5176
    @hamiswilliamburushi5176 4 года назад +2

    hata ujutii muda wak kutizam mov zako kak Hexhim kwao wote

  • @bluemoon-xl1uw
    @bluemoon-xl1uw 5 лет назад +6

    Watching from Kenya, napeda movies xa bongo qweli

  • @khamisidollar2352
    @khamisidollar2352 3 года назад +3

    Am from Kenya and waiting for part 6,7,8 and 9

  • @chinyobijoga3006
    @chinyobijoga3006 6 лет назад +4

    👍👍👍👍👍 unaweza Kaká msdebe

  • @mwajumakweli6753
    @mwajumakweli6753 6 лет назад +1

    Na kukubari sana Madebe Mungu akusimamie kaz zako wewe Ndio humenipunguzia machungu ya malehem kanumba

  • @zanurakhatibu9629
    @zanurakhatibu9629 5 лет назад +1

    Kazi nzuri sana mungu awabariki daima

  • @swidatyomary1380
    @swidatyomary1380 6 лет назад +2

    Umekuj kw kas. Kal bab... Unaigiz vita vya ukwel... M/mungu akujalie.... InshaaAllah kuw na bidii

  • @saidsinde5764
    @saidsinde5764 6 лет назад +6

    huyu jamaa anajua sana inatakiwa kupewa sapoti kubwa sana anakipaji cha kipekeee sana

  • @issamnimbo9990
    @issamnimbo9990 5 лет назад +1

    Napenda Siku moja niwe muigizaji ila nashindwa hata jinc ya kuiñgia ningepata wa kuniongoza

  • @wizgarmah6521
    @wizgarmah6521 6 лет назад +8

    jamaan nakapendaga kale kadada keusi soft kenye macho meupeee hadi baasi

  • @amurikakombe7213
    @amurikakombe7213 6 лет назад +7

    dhuh!! ndo mara ya kwanza kufuatiliya movies zako, ni nzuri

  • @kisynyakaho3863
    @kisynyakaho3863 6 лет назад +21

    Madebe utabaki kuwa muigizaji boraa xana kwangu salute kwako

  • @chumaofficial6251
    @chumaofficial6251 5 лет назад +8

    Congrats madebe.wewe Ni Simba,Mwamba,Jogoo la bongo movie saa hii

  • @mtindishee1715
    @mtindishee1715 6 лет назад +4

    Tokea mkoa wa pwani Kenya jirani yenu,kaka nimependa sana movie zako,zina ujumbe mzuri kwa jamii,alaf napenda sana sana mazingira ya vijijini unayo chezea movie zako hongera bro,sichoki kwa movie zako.

  • @emanila1259
    @emanila1259 3 года назад

    Hakika wewe ni mkombozi was fasihi ya mtanzania mwenyezi mungu akutangulie

  • @marywambui519
    @marywambui519 5 лет назад +1

    Madebe na kundi lako hongeleni sana kazi nzuri kabisa

  • @simonmachupa6767
    @simonmachupa6767 2 года назад

    Movie nzuri sio zile zakujionyesha magari na majumba

  • @kenusmasingo4725
    @kenusmasingo4725 6 лет назад +4

    Kaka Madebe na team yako mko juu xana. Mola awazidishie kipaji zaidi ya hapo.

  • @zulfasaeed7445
    @zulfasaeed7445 4 года назад +1

    Asiojua misemo yako atajua tena kitu mpaka mwisho wake yan kaka mm nakuelewa sana vipo vingi najifunza sana kuhusu misemo yako

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 6 лет назад +8

    Movie zako mzuri san madebe 😘😘😘😘

  • @oman7126
    @oman7126 5 лет назад +1

    Hahahaaa. Yani wanaongeaga kwamafumbo hawa sjapata picha kuona. Hii move nzur sanaa. Ahsanteni sana. Nahongereni sana. Ila pole sana madebe kwa muozo wamwanamke😂

  • @costantinacleopatric1205
    @costantinacleopatric1205 6 лет назад +5

    daaaah movie mzur inafundsha,, maskin madebe Pole kwa alvyokutenda huyo mkeo

  • @abdouluwimana9098
    @abdouluwimana9098 5 лет назад +1

    salama kwanza kwahawa wasani mmejitahidi sana mm ushahuriwangu kwenu kuwa mnacunguza sans saund zama firam zinasumbua kidogo asenteni sana

  • @mathildemwangaza109
    @mathildemwangaza109 4 года назад

    Amina amepatikana sasa uwii njia ya muongo ni fupi

  • @fadhilnasson8589
    @fadhilnasson8589 2 года назад

    Kaka nakubali kazi zako hujawahi kufeli kaka chapakaz

  • @suzankizuzu4011
    @suzankizuzu4011 6 лет назад +78

    Wakwanz kuangalia aseeee kaka madebe nipe zawad yang tuu😁😁

    • @suzankizuzu4011
      @suzankizuzu4011 6 лет назад +2

      Rehema Salim
      Zawad yakuw wakwanz wajani 😁🔒 wajin ww hutak zawad

    • @suzankizuzu4011
      @suzankizuzu4011 6 лет назад +2

      Rehema Salim
      Hahaaaaa naisubir jmn leo skubal

    • @saadaabdallah1926
      @saadaabdallah1926 6 лет назад +1

      Madebe Lidai yaaani mm ndo huwa nachelewagaa😂😂😂😂

    • @maryamdounga2290
      @maryamdounga2290 6 лет назад

      Madebe Lidai hata mm huwa naagalia kila kaz zako

    • @jumahusein5175
      @jumahusein5175 6 лет назад +1

      Upo vzr kk

  • @Crala619
    @Crala619 Год назад

    Movie zakooo zuriiii na zinafundisha

  • @emedmayombo9510
    @emedmayombo9510 4 года назад

    Dah h wallah made be bora ishi na adui kuliko rafiki mnafiki wanawake sio vinadamu poa ,nyoka kawaachisumu mno pale bustani mwa Eden, na mpenda mke wangu lkn sitomwamini kamwe

  • @dogokibadogokiba4925
    @dogokibadogokiba4925 3 года назад

    Alikiba Hakukosea kuimba Mapenzi yanalani dunia dah. Inauma Sana Amina Noma Kaenda kundanga afu Anasema yup kwa shangnz yake mmmh pole Madebe

  • @angelmkomwa8587
    @angelmkomwa8587 2 года назад

    Kila ninapotazama movie zako najifunza kitu asanteeee 👏

  • @gemamarusu3433
    @gemamarusu3433 6 лет назад +5

    Ukiona shairi hulielew bac ujue hujaandikiwa wewe. Asante captain

  • @marryjohn4367
    @marryjohn4367 6 лет назад +2

    ipo vizuri xana kwa kweli huaga sichoki kuangalia

  • @janetnjobvu3707
    @janetnjobvu3707 3 года назад

    Mnajitaidi Sana movie nzuri Sana ongereni jamani

  • @omanphone1141
    @omanphone1141 6 лет назад

    We nakukubali sana hakuna wa kukufikia

  • @rebecatimothy8067
    @rebecatimothy8067 6 лет назад +4

    Dada ana sauti nzuri Huyu jmn

  • @nasibumganda7693
    @nasibumganda7693 6 лет назад +3

    Daaa We Jamaa Unajua Hatar Yaan Uko Real Big Up Fundiii

    • @amosdindili1017
      @amosdindili1017 6 лет назад

      dah we MTU kchwa muv Kali ila kwann unapend kuigiza vjjn Mara nyngi?

    • @rashidmohd861
      @rashidmohd861 6 лет назад

      hongeren sana tuko pamoja zanzibar

  • @hassaniomary5262
    @hassaniomary5262 5 лет назад +1

    Una kipaji kizuri sana vp nafasi bado zip

  • @mimihapa1892
    @mimihapa1892 5 лет назад +1

    LP MEDIA mungu awabariki kwa mafunzo yenu

  • @heshbornkisava9200
    @heshbornkisava9200 6 лет назад

    Madebe uko vizuri kaza buti na epuka kabisa kujihusisha na siasa utafika mbali sana.

  • @sarahaswan9221
    @sarahaswan9221 3 года назад +1

    Woow the movie is good ,congratulations

  • @mashaclassic2345
    @mashaclassic2345 6 лет назад +22

    Duuuh kwel rafik mkia wa fis pole sana madebe daaaah aiseee muv tamu usituangushe tena madebe yan napenda muv zenu nyie hamtak majumba yakifahar wala magar yakifahar hamtak makuu had raha manzar yenu nzur kabisaaa hongeren sana

  • @sowanaandsonakshi9385
    @sowanaandsonakshi9385 6 лет назад

    Madebe Nic movie nzur sana yenye mafunzo saluti kaka wa miy 😗😘😘❤💋👄🎋

  • @azizaooo6309
    @azizaooo6309 6 лет назад +1

    Madebe nipo tayariii kuolewa na we❤❤❤❤

  • @hadijahaji9712
    @hadijahaji9712 3 года назад

    Napenda move zako.zakijijini

  • @jenipherlusenga5579
    @jenipherlusenga5579 6 лет назад +7

    Madebe nakuelewa sana.nataman cku moj nifany kaz na wew.

  • @user-wc6ym3lu9j
    @user-wc6ym3lu9j 6 месяцев назад

    Hulka movie nayoipenda sana ❤❤

  • @mgenimsaji9206
    @mgenimsaji9206 5 лет назад

    naenda movie zako madebe Kali sana zinamafunzo mengi sana ,kwa mtu muelewa ataelewa na kuzingatia

  • @wilkisterjuma2973
    @wilkisterjuma2973 11 месяцев назад

    Madebe kazi zako nakubali❤❤

  • @mrishorashidy1603
    @mrishorashidy1603 5 лет назад +1

    Wewe kweli unafanya vitu halisi.kama maisha kijijini kweli kijijini.mavazi yanaendana hali ulipo.ww no moja apa bongo.gonga apo chini kama kweli..

  • @gosbertsikamanga6586
    @gosbertsikamanga6586 4 года назад +1

    Hongera kaka madebe

  • @mathildemwangaza109
    @mathildemwangaza109 4 года назад

    Nawapenda sana nyinyi nyote wana bongo movie, movie nzuri sana

  • @bunananehemia1368
    @bunananehemia1368 6 лет назад +51

    Baada ya kuona movie yako ya kwanza nikaamin utafanikiwa sana, na ninapozid kutazama kazi zako, imani yangu haijabadilika, big up Madebe

  • @annaidamadilu2611
    @annaidamadilu2611 3 года назад

    Wakooo guuud sanaaaaa wanaoigiza na madebe akiongoza mzeee waoooo madebe lidai

  • @davidmaige7937
    @davidmaige7937 6 лет назад +3

    movie zako ni nzur sana kaka madebe hongera sana

  • @bonymawenya679
    @bonymawenya679 6 лет назад +1

    Nakukubali saaana mswahili....

  • @stanislastv3786
    @stanislastv3786 6 лет назад +4

    Movie nzuri kabisa

  • @andrewngoda9422
    @andrewngoda9422 6 лет назад +5

    iko good sanaa well done nyoote
    ila huyo sster ana jcho zur balaa!.

  • @hemedimkufya9240
    @hemedimkufya9240 5 лет назад +2

    Huyu jamaa wanafanya kazi nzuri

  • @pendoanjelo9623
    @pendoanjelo9623 3 года назад +1

    Dah, madebe ushaliwa

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 6 лет назад

    Ongera Kwa filamu nimeipenda sana niwape pongezi nyote wausika.

  • @gibsontz2783
    @gibsontz2783 6 лет назад

    madebe wenoma sana nitokapo kazn jion uxku nashnda naangalia move zako nzur xana znanifanya nicheke hongera

  • @theresiajustine2671
    @theresiajustine2671 5 лет назад +2

    mpo vizuri wote

  • @zamdabashilu2957
    @zamdabashilu2957 4 года назад +2

    Bwana misemo huyo

  • @jerseym.robloxian7248
    @jerseym.robloxian7248 6 лет назад +2

    for the first time naona tena many comment again good job.