UTAMU 01

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 204

  • @ramadhaninasibu9443
    @ramadhaninasibu9443 2 года назад +23

    Naiyangalia hii filamu kwasababu ya madebe tu Swahiba wangu wa buza tunakunywa nae kahawa

    • @mustamimmushajara8992
      @mustamimmushajara8992 2 года назад +2

      Huyu mwamba namkubali sana ila mara nyingi film zke hua hatoi sehem ya mwisho

    • @samirally4583
      @samirally4583 2 года назад

      Ujaulizwa

    • @DoubleDlyrics-v7k
      @DoubleDlyrics-v7k 11 месяцев назад

      Kwamba pasipo madebe usingeangalia au ndo namna ya kutujuza kuwa unakujwa nae kahawa

    • @VIPBOYS123.4
      @VIPBOYS123.4 9 месяцев назад

      Au sio 😂 maneno hutoshi 😂

  • @kaluludecorations1166
    @kaluludecorations1166 2 года назад +4

    Ila unaigiza vizuri. Watanzania wengi tunakuelewa. Mungu akuzidishie zaid

  • @Christianburton29268
    @Christianburton29268 Год назад +4

    Hongera sana Bwana Madebe, nafuatilia sana filamu zako nikiwa vihiga Kenya

  • @christianfelex5078
    @christianfelex5078 2 года назад +35

    Wanawake Wana penda kifo chamende kwasababu ni adui yao 😄😂✌️🔥🔥 tulioipenda hio tujuane hapa jaman

    • @officialdinaize
      @officialdinaize 2 года назад +4

      😂😂😂

    • @fadhilishaha8000
      @fadhilishaha8000 2 года назад

      Hahahahaaaaa

    • @abelfrancis8437
      @abelfrancis8437 2 года назад

      Good

    • @ndatutv
      @ndatutv 2 года назад

      MAPENZI NA KAZI no 1. new romantic bongo movie

    • @freenaturemovietz
      @freenaturemovietz 2 года назад +1

      MAPENZI YA KISASA
      No views Oct 3, 2022 Mapenzi yanaweza kukufanya huione dunia ni sehem nzuri na salama kuishi kuliko sehemu yoyote ata ambayo ujawai kuiona lakini mpenzi hayo hayo yanasababisha watu kujiuwa na kuuwana na yanaweza kumfanya mtu haione dunia ni sehem mbaya.
      fatilia kisa h

  • @VIPBOYS123.4
    @VIPBOYS123.4 9 месяцев назад +1

    Madebe shupavu kweli 😂 by V.I.P BOY

  • @subirabizabishaka4359
    @subirabizabishaka4359 2 года назад +3

    Madebe maishaallah kwafilam zako tunakubenda saan

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq Год назад +2

    Madebe umeua yaan ww kwa maneno unatisha ubarikiwe kwa kifo cha mende😂😂

  • @zuhrakassim9741
    @zuhrakassim9741 2 года назад +2

    Mbn jamn tunandik utamu inakuj mchez mwengin pia umeandgikwa utam

  • @djumaasuman
    @djumaasuman Год назад +2

    Big up brother yn ww nimkal sn

  • @dearmama7865
    @dearmama7865 Год назад +1

    mtam sjamuona kwenye timbwili,mtoto kokwa kama kawaida haishiwi maneno mtoto 😂😂

  • @evodiadominicpaul5006
    @evodiadominicpaul5006 Год назад +2

    Kazi nzuri sana, Big up to you madebe

  • @munamamaj9622
    @munamamaj9622 2 года назад +3

    Yaani hii tamthilia ni kali majina ya kuchekesha mpaka mavazi yao ya kufrahisha😀😀😀😀

  • @LucasMwakipesile
    @LucasMwakipesile Год назад +1

    Kaliii❤

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 2 года назад +3

    Kabla hajaanza aliashamaliza 😜😜😜 mzee wake noma 😂

  • @protasilusianisevelini908
    @protasilusianisevelini908 2 года назад +2

    Kazi nzuri madebe mungu akusimamiee

  • @dominicknondo7681
    @dominicknondo7681 2 года назад +3

    Kazi zuli timu zima ila kwa ushauri wangu bro mkojani ukipitia comment tunaomba ubadili sauti tunapenda sauti Yako yazamani yani utafute binu nyengine tunakufatilia sana atuwez kukuangusha🫂

  • @sangojuma9995
    @sangojuma9995 2 года назад

    Madebe unajua kuigiza Sana tu Ila shida yako ni moja tu move zako kwa sasa huwez kuangalia na familia coz uhuni mwingi sana

  • @judithmwabungulu5402
    @judithmwabungulu5402 Год назад +1

    Dah madebe uwa nanikosha sana kwenye movie

  • @ndatutv
    @ndatutv 2 года назад +2

    MAPENZI NA KAZI no 1. new romantic bongo movie

  • @aminamasamba9879
    @aminamasamba9879 2 года назад +2

    uyu dada noma anapiga vichwa

  • @benardmutayi5738
    @benardmutayi5738 2 года назад +2

    Madebe uko vizuri Sana na team yako👌👍🇰🇪

  • @Mudhi-hirMachwiko
    @Mudhi-hirMachwiko Год назад +2

    madebe unafaham bro...

  • @mrtonytz6260
    @mrtonytz6260 2 года назад +2

    Kazi nzuri 💪✌️✌️🔥

  • @abdallahnamahala9216
    @abdallahnamahala9216 2 года назад

    Madebe ametoa Series nyingi sana na hajamalizaa!,Mbilini ,Mkwaju ,Matusi vilaza zote ametoa hajamaliza ana.leta mengine bora ungekuwa unafanya wanavyofanya wenzio wanamaliza hiki wanaanza hili sio wewe una mambo mengi sana Mzee .

  • @cloudmchopa5665
    @cloudmchopa5665 Год назад

    kweli kabisa jama anajua

  • @zuhrakassim9741
    @zuhrakassim9741 2 года назад +1

    Na huu mchez wa utam mwisho ngao

  • @ahmedsalim3226
    @ahmedsalim3226 Год назад

    Madebe anajua

  • @NoahArapoho
    @NoahArapoho Год назад +1

    ❤❤👊👊👊

  • @timothysirengo1
    @timothysirengo1 2 года назад +1

    Madebe ndie mwamba hapa ndo kinanifanya naitazama

  • @einsteinfromeastern2704
    @einsteinfromeastern2704 2 года назад +13

    Madebe kwanini usiingie studio ku rap maana umu ndani bars ni nyingi Sana 😃

    • @ndatutv
      @ndatutv 2 года назад

      MAPENZI NA KAZI no 1. new romantic bongo movie

  • @jacobalbert3296
    @jacobalbert3296 2 года назад +2

    unakifanya hutaki kuonja huku ni bingwa wa kudokoa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 2 года назад +1

    Huyu demu anaitwa mtamu ni pe like zake

  • @husseingabo5497
    @husseingabo5497 2 года назад +2

    Madebe nakubali sana kazi zako

  • @meschackmuswahili9681
    @meschackmuswahili9681 2 года назад

    Kazi zuri sana mimi Niko kongo tena musani wa kongo movis

  • @awamiabudu9169
    @awamiabudu9169 2 года назад +1

    Safi sana madebe

  • @Afna-pl2us
    @Afna-pl2us Год назад

    Madebe akuna mtu kama wewe maisha malefu yenye mafankio

  • @edusingle8597
    @edusingle8597 2 года назад +1

    Mchezo mzur sana jaman

  • @chudohans2447
    @chudohans2447 2 года назад +1

    Kazi nzuri muendelezo usichelewe basi

  • @esternely7166
    @esternely7166 Год назад

    Yan nikiona t jina la madebe lidai kwenye mov bas najua mov nzur uko vizur San kaka

  • @halima7255
    @halima7255 2 года назад +3

    Umtamu kweli kama jinalake 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jeniphanaikara
    @jeniphanaikara Год назад +1

    I love madebe so much🎉🎉🎉❤

  • @jumwablandina5773
    @jumwablandina5773 Год назад

    Weeeeh yaan unaombwa namba unaomba pesa paaaap!!!!!

  • @zainabushabani9802
    @zainabushabani9802 2 года назад +2

    Jaman kokwa iliyozungukwa na utamu,

  • @sabrinasabrina3974
    @sabrinasabrina3974 2 года назад +3

    madebe nimekubal😀😀😀

  • @ahmedsdk6736
    @ahmedsdk6736 Год назад +2

    Nan hatoi hela ya boda kiasi kilicho tajwa Buku 7 😂😂

  • @emmanueljackson-e5s
    @emmanueljackson-e5s 4 месяца назад

    Vip part too iko jmn

  • @bkmshiko1816
    @bkmshiko1816 2 года назад +3

    Madebe akamwatwe anapotosha umma et 😁😁

    • @ndatutv
      @ndatutv 2 года назад

      MAPENZI NA KAZI no 1. new romantic bongo movie

  • @faridahahmad9513
    @faridahahmad9513 2 года назад +7

    Madebe lidai my favorite actor forever ❤ ✌✌✌

    • @ndatutv
      @ndatutv 2 года назад

      MAPENZI NA KAZI no 1. new romantic bongo movie

    • @freenaturemovietz
      @freenaturemovietz 2 года назад

      MAPENZI YA KISASA

  • @matanoramtu8282
    @matanoramtu8282 2 года назад +2

    kazi nzuri madebe ila umetuacha na matamanio nini kitaendelea tupe episod 2

  • @franciskamau-cr7ou
    @franciskamau-cr7ou Год назад

    Naipenda kiswahili kilichotumika

  • @AsmaAsma-gd3mv
    @AsmaAsma-gd3mv 2 года назад +4

    Anatoka dar anakwenda dar 😂😂

  • @MariamSalimu-u3j
    @MariamSalimu-u3j Год назад +1

    ❤❤❤

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 2 года назад +1

    Uzr WA made be habahatishi

  • @jeniphanaikara
    @jeniphanaikara Год назад +1

    Goood❤

  • @swalhalianyliany4162
    @swalhalianyliany4162 2 года назад +2

    Good job

  • @alexmwakoba523
    @alexmwakoba523 2 года назад +1

    wadada wengi sikuizi wana amini katika kujiuza kuluko kazi..........✂️👅

  • @sabrinasabrina3974
    @sabrinasabrina3974 2 года назад +1

    kwel wanaume wanatfuta pesa kwa ajil ya kutumia katoa elf5 n nax juu😃😃😃

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 2 года назад +2

    Hawa boda wana siri nyingi

  • @sittajames2207
    @sittajames2207 2 года назад

    Mko vzr sana nimependa movie kali sana

  • @ablemuxic7334
    @ablemuxic7334 2 года назад +1

    Kazi nzuri

  • @pilishazycounterog8200
    @pilishazycounterog8200 Год назад

    Filam mzr mno

    • @mpayufilm
      @mpayufilm  Год назад

      ok Asante tumia na wengine

  • @djrichsingelifreva8245
    @djrichsingelifreva8245 2 года назад +3

    Daah Madebe bhana 😂😂😂

  • @jsephnkindar771
    @jsephnkindar771 2 года назад +1

    Nzuri sana

  • @Faby_tv
    @Faby_tv 2 года назад +2

    Big up

  • @temimwenda8485
    @temimwenda8485 2 года назад

    Mmmmh mtu mbadi mwaiisaaaa

  • @FlorenceIradukunda-vl8ne
    @FlorenceIradukunda-vl8ne Год назад

    Ukwachu

  • @tembotani6277
    @tembotani6277 2 года назад

    Mm katika kipengele cha namba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 2 года назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @hamidyakoub6865
    @hamidyakoub6865 2 года назад +3

    🔥🔥🔥

  • @fredyomary9440
    @fredyomary9440 2 года назад

    Watanzania acheni siasa movie matangazo meeeng mpak yanaboa bhan

  • @nasrikhan9464
    @nasrikhan9464 2 года назад +5

    Nimependa shooting zipo sawa colours hata sound pia history inaeleweka inafanya tuwe attention kujua nn kinaendelea --

  • @mandiahozza186
    @mandiahozza186 2 года назад +3

    Kazi nzuri sana IPO 🔥🔥

  • @stenciahmndeme2217
    @stenciahmndeme2217 2 года назад +2

    Uyu kaka muhudumu anajua sanaa

    • @faithzamani1965
      @faithzamani1965 2 года назад

      Mwalimu huyo wa mafunzo ya Sanaa hata mm alinifindisha

    • @zalhat
      @zalhat 2 года назад

      Kabisa 💪🏿 yuko vizur

  • @ZUMBAVEVO
    @ZUMBAVEVO 2 года назад

    Hili Jambo lipo Moto sana

  • @hamissemohammed9442
    @hamissemohammed9442 2 года назад

    Kaz mzuri zidi kutuburudisha

  • @faithzamani1965
    @faithzamani1965 2 года назад +1

    😂😂😂😂😂 hii movie ina ujinga mwingi sana

    • @ndatutv
      @ndatutv 2 года назад

      MAPENZI NA KAZI no 1. new romantic bongo movie

  • @kinegakibiwi8116
    @kinegakibiwi8116 2 года назад

    Nakubali wakali wa hizi kazi

  • @tambwe
    @tambwe 2 года назад

    Ndugu zangu nimependa kazi yenu

  • @rehemaathuman6669
    @rehemaathuman6669 2 года назад

    Uyo mbemberezaji kazibaa ana sauti ata mtoto abemberezwi ivyo

  • @margaretmay5840
    @margaretmay5840 2 года назад +2

    💯💯💯💯💥💥💥

  • @abdallahnamahala9216
    @abdallahnamahala9216 2 года назад

    Utaleta series unahishia sehem ya Tatu unaanza nyingine au kuna sehem zipo Tukanunue maana haumaliza vipande vyako.

  • @Zahrazahra-ue7bp
    @Zahrazahra-ue7bp 2 года назад

    Firam mzuri tatizo rangi tu

  • @jumakandy2075
    @jumakandy2075 2 года назад +4

    Smart sana big up 🔥🔥🔥

  • @mtanabakari8983
    @mtanabakari8983 2 года назад

    Madebe hajawah kukosea kweny movie zake

  • @issakamangila4143
    @issakamangila4143 2 года назад

    Mhh mko vzr sn

  • @maphitamaphita3091
    @maphitamaphita3091 2 года назад +1

    Ivi jaman mbilini sehem ya 5 wezangu mliiyona

  • @edusingle8597
    @edusingle8597 2 года назад +1

    Ila hii filamu nzur sana lkn mumeitowa km giza flani

  • @hatibukazembe4055
    @hatibukazembe4055 2 года назад

    Etimapokez hawaulizi umri
    .

  • @khadijaabdallah6808
    @khadijaabdallah6808 2 года назад

    Nimeipenda nzur sana madebe nihatali akuna movie iliwai kua mbaya akiwemo yeye jaman episode ya pili lini

  • @dongram9917
    @dongram9917 2 года назад

    Madebe mtu kazi

  • @saidematelefonesaidematele5738
    @saidematelefonesaidematele5738 2 года назад

    Madebe chama LA wana

  • @halimaabdalla4856
    @halimaabdalla4856 2 года назад

    Naangalia tu kwa sababu ya madebe lidai lkn aka movie inamiziki kibao mpka ya boa mwanzo ile movie nyengine ata uski kitu ni mziki tu

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 2 года назад

    Madebe umefanya bongo movie iwe na ingine image tulikuwa tunazoweya magari nanyumba nzuli tu

  • @jimjam4148
    @jimjam4148 2 года назад +2

    MASHA ALLAH

  • @irenewilla8975
    @irenewilla8975 2 года назад

    Mtuwahishie sasa

  • @MasaluPetro-d4r
    @MasaluPetro-d4r 3 месяца назад

    🎉

  • @mwiga2513
    @mwiga2513 2 года назад

    Mimi naomba nafasi ya kucheza one sini tu

  • @faithzamani1965
    @faithzamani1965 2 года назад

    Nimemuona mwalimu wangu wa Sanaa ibara (Omar mbwela)

  • @machipkizifilms
    @machipkizifilms 2 года назад +1

    Aki ningependa Sana kuact n nyinyi

  • @richardmweri7918
    @richardmweri7918 2 года назад

    MI NKISKIA KUNA SHOW YA MADEBE SIWEZ KOSA