MAPENZI YA KISASA No views Oct 3, 2022 Mapenzi yanaweza kukufanya huione dunia ni sehem nzuri na salama kuishi kuliko sehemu yoyote ata ambayo ujawai kuiona lakini mpenzi hayo hayo yanasababisha watu kujiuwa na kuuwana na yanaweza kumfanya mtu haione dunia ni sehem mbaya. fatilia kisa h
Kazi zuli timu zima ila kwa ushauri wangu bro mkojani ukipitia comment tunaomba ubadili sauti tunapenda sauti Yako yazamani yani utafute binu nyengine tunakufatilia sana atuwez kukuangusha🫂
Madebe ametoa Series nyingi sana na hajamalizaa!,Mbilini ,Mkwaju ,Matusi vilaza zote ametoa hajamaliza ana.leta mengine bora ungekuwa unafanya wanavyofanya wenzio wanamaliza hiki wanaanza hili sio wewe una mambo mengi sana Mzee .
Naiyangalia hii filamu kwasababu ya madebe tu Swahiba wangu wa buza tunakunywa nae kahawa
Huyu mwamba namkubali sana ila mara nyingi film zke hua hatoi sehem ya mwisho
Ujaulizwa
Kwamba pasipo madebe usingeangalia au ndo namna ya kutujuza kuwa unakujwa nae kahawa
Au sio 😂 maneno hutoshi 😂
Ila unaigiza vizuri. Watanzania wengi tunakuelewa. Mungu akuzidishie zaid
Hongera sana Bwana Madebe, nafuatilia sana filamu zako nikiwa vihiga Kenya
Wanawake Wana penda kifo chamende kwasababu ni adui yao 😄😂✌️🔥🔥 tulioipenda hio tujuane hapa jaman
😂😂😂
Hahahahaaaaa
Good
MAPENZI NA KAZI no 1. new romantic bongo movie
MAPENZI YA KISASA
No views Oct 3, 2022 Mapenzi yanaweza kukufanya huione dunia ni sehem nzuri na salama kuishi kuliko sehemu yoyote ata ambayo ujawai kuiona lakini mpenzi hayo hayo yanasababisha watu kujiuwa na kuuwana na yanaweza kumfanya mtu haione dunia ni sehem mbaya.
fatilia kisa h
Madebe shupavu kweli 😂 by V.I.P BOY
Madebe maishaallah kwafilam zako tunakubenda saan
Madebe umeua yaan ww kwa maneno unatisha ubarikiwe kwa kifo cha mende😂😂
Mbn jamn tunandik utamu inakuj mchez mwengin pia umeandgikwa utam
Big up brother yn ww nimkal sn
mtam sjamuona kwenye timbwili,mtoto kokwa kama kawaida haishiwi maneno mtoto 😂😂
Kazi nzuri sana, Big up to you madebe
Yaani hii tamthilia ni kali majina ya kuchekesha mpaka mavazi yao ya kufrahisha😀😀😀😀
Kaliii❤
Kabla hajaanza aliashamaliza 😜😜😜 mzee wake noma 😂
Kazi nzuri madebe mungu akusimamiee
Kazi zuli timu zima ila kwa ushauri wangu bro mkojani ukipitia comment tunaomba ubadili sauti tunapenda sauti Yako yazamani yani utafute binu nyengine tunakufatilia sana atuwez kukuangusha🫂
Madebe unajua kuigiza Sana tu Ila shida yako ni moja tu move zako kwa sasa huwez kuangalia na familia coz uhuni mwingi sana
Dah madebe uwa nanikosha sana kwenye movie
MAPENZI NA KAZI no 1. new romantic bongo movie
uyu dada noma anapiga vichwa
Madebe uko vizuri Sana na team yako👌👍🇰🇪
MAPENZI YA KISASA
@@freenaturemovietz 🤗🤗👍🇰🇪🇰🇪
madebe unafaham bro...
Kazi nzuri 💪✌️✌️🔥
Madebe ametoa Series nyingi sana na hajamalizaa!,Mbilini ,Mkwaju ,Matusi vilaza zote ametoa hajamaliza ana.leta mengine bora ungekuwa unafanya wanavyofanya wenzio wanamaliza hiki wanaanza hili sio wewe una mambo mengi sana Mzee .
kweli kabisa jama anajua
Na huu mchez wa utam mwisho ngao
Madebe anajua
❤❤👊👊👊
Madebe ndie mwamba hapa ndo kinanifanya naitazama
Madebe kwanini usiingie studio ku rap maana umu ndani bars ni nyingi Sana 😃
MAPENZI NA KAZI no 1. new romantic bongo movie
unakifanya hutaki kuonja huku ni bingwa wa kudokoa🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu demu anaitwa mtamu ni pe like zake
Madebe nakubali sana kazi zako
Kazi zuri sana mimi Niko kongo tena musani wa kongo movis
Karibu tanzania
Safi sana madebe
Madebe akuna mtu kama wewe maisha malefu yenye mafankio
Mchezo mzur sana jaman
Kazi nzuri muendelezo usichelewe basi
Yan nikiona t jina la madebe lidai kwenye mov bas najua mov nzur uko vizur San kaka
Umtamu kweli kama jinalake 🤣🤣🤣🤣🤣
I love madebe so much🎉🎉🎉❤
Weeeeh yaan unaombwa namba unaomba pesa paaaap!!!!!
Jaman kokwa iliyozungukwa na utamu,
madebe nimekubal😀😀😀
MAPENZI YA KISASA
Nan hatoi hela ya boda kiasi kilicho tajwa Buku 7 😂😂
Vip part too iko jmn
Madebe akamwatwe anapotosha umma et 😁😁
MAPENZI NA KAZI no 1. new romantic bongo movie
Madebe lidai my favorite actor forever ❤ ✌✌✌
MAPENZI NA KAZI no 1. new romantic bongo movie
MAPENZI YA KISASA
kazi nzuri madebe ila umetuacha na matamanio nini kitaendelea tupe episod 2
Naipenda kiswahili kilichotumika
Anatoka dar anakwenda dar 😂😂
Ndo gest house za kibongo
❤❤❤
Uzr WA made be habahatishi
Goood❤
Good job
wadada wengi sikuizi wana amini katika kujiuza kuluko kazi..........✂️👅
kwel wanaume wanatfuta pesa kwa ajil ya kutumia katoa elf5 n nax juu😃😃😃
Hawa boda wana siri nyingi
Mko vzr sana nimependa movie kali sana
Kazi nzuri
Filam mzr mno
ok Asante tumia na wengine
Daah Madebe bhana 😂😂😂
umetish
Nzuri sana
Big up
Mmmmh mtu mbadi mwaiisaaaa
Ukwachu
Mm katika kipengele cha namba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
Watanzania acheni siasa movie matangazo meeeng mpak yanaboa bhan
Nimependa shooting zipo sawa colours hata sound pia history inaeleweka inafanya tuwe attention kujua nn kinaendelea --
Kazi nzuri sana IPO 🔥🔥
Uyu kaka muhudumu anajua sanaa
Mwalimu huyo wa mafunzo ya Sanaa hata mm alinifindisha
Kabisa 💪🏿 yuko vizur
Hili Jambo lipo Moto sana
Kaz mzuri zidi kutuburudisha
😂😂😂😂😂 hii movie ina ujinga mwingi sana
MAPENZI NA KAZI no 1. new romantic bongo movie
Nakubali wakali wa hizi kazi
Ndugu zangu nimependa kazi yenu
Uyo mbemberezaji kazibaa ana sauti ata mtoto abemberezwi ivyo
💯💯💯💯💥💥💥
Utaleta series unahishia sehem ya Tatu unaanza nyingine au kuna sehem zipo Tukanunue maana haumaliza vipande vyako.
Iyo imeisha
Firam mzuri tatizo rangi tu
Smart sana big up 🔥🔥🔥
MAPENZI YA KISASA
Madebe hajawah kukosea kweny movie zake
Mhh mko vzr sn
Ivi jaman mbilini sehem ya 5 wezangu mliiyona
Ila hii filamu nzur sana lkn mumeitowa km giza flani
Cm yako mbovu au
Etimapokez hawaulizi umri
.
Nimeipenda nzur sana madebe nihatali akuna movie iliwai kua mbaya akiwemo yeye jaman episode ya pili lini
Madebe mtu kazi
Madebe chama LA wana
Naangalia tu kwa sababu ya madebe lidai lkn aka movie inamiziki kibao mpka ya boa mwanzo ile movie nyengine ata uski kitu ni mziki tu
Madebe umefanya bongo movie iwe na ingine image tulikuwa tunazoweya magari nanyumba nzuli tu
MASHA ALLAH
Mtuwahishie sasa
🎉
Mimi naomba nafasi ya kucheza one sini tu
Nimemuona mwalimu wangu wa Sanaa ibara (Omar mbwela)
Aki ningependa Sana kuact n nyinyi
MI NKISKIA KUNA SHOW YA MADEBE SIWEZ KOSA