FILAMU - NUISAIBA Part 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • GLEK ONLINE TV

Комментарии • 143

  • @abdimalikabdimalik7437
    @abdimalikabdimalik7437 5 лет назад +8

    Walio sema movie haina sauti wote simu zao mbovu tuleteeni party two tendeelee movie inamafundisho hatar wote mlio shiriki nawapenda kwaajili ya Allah 👏

  • @veronicaboniphas7852
    @veronicaboniphas7852 25 дней назад

    Nussaiba. Move. Nzuri sana lakn haina saut walekebishe jaman inamaadili sana lakn ndo hatusikii sasa

  • @biommy6700
    @biommy6700 5 лет назад +6

    Kwangu mbona sauti ipo sawa tu..Ma shaa llah nice movie

    • @halimashaha8442
      @halimashaha8442 5 лет назад +1

      Umeona eeh ata mie kwangu sauti kubwa2uu

  • @nasrajuma3293
    @nasrajuma3293 5 лет назад +6

    Masha Allah mbon ninzur tu na,sauti IPO simuzenu vimeo

  • @villanmasam6335
    @villanmasam6335 5 лет назад +3

    Nyie wapuuzi mkitoa move msikilize kwanza sauti ndipo muirushe mnaboa sana

    • @dwiny7841
      @dwiny7841 5 лет назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @munasaidi614
    @munasaidi614 5 лет назад +6

    Ni nzuri iko na sauti ila mwanzo iko na shida ya sauti ni nzuri Sanaa mrekebishe kidogo kazi nzuri

  • @christachilala7870
    @christachilala7870 5 лет назад +8

    Wapendwa watazamaji wetu, poleni sana kwa kukosa sauti kwenye filam ya NUSAIBA ni matatizo ya kiufundi maana master iko ok na hata sasa naangalia IPO vizuri. Tunajitahidi kuona wapi shida ipo ili turekebishe. Tupo kwa ajili yenu. Asante sana

    • @hidayayussufu8683
      @hidayayussufu8683 5 лет назад

      Umeeleweka usijali ktk hilo

    • @zee2teacher941
      @zee2teacher941 3 года назад

      👏👏👏👏👏👏 Hongera. Kwa mara ya kwanza naona mhusika kujali ubora wa kazi na watazamaji. Movie ni nzuri sana. Tutafika tuu 🙏

    • @veronicaboniphas7852
      @veronicaboniphas7852 25 дней назад

      Ee fsnyen bas chap. Mana tunataka kuangalia. Ili tujifunz Mana inafundisha vizur sana

    • @veronicaboniphas7852
      @veronicaboniphas7852 25 дней назад

      Asant itakua tayali. Lin Ili niandae e m bii zakutosha

  • @halimasssomar8793
    @halimasssomar8793 5 лет назад +2

    Masha Allah..ina mafunzo..sauti iko poa Tu.....

  • @imansaid8020
    @imansaid8020 5 лет назад +2

    jamani move nzur sana inafurahisha na kuhuzunisha, asiyesikia vizur sauti atumie edfoni. inasikika vizur Tu

  • @many2761
    @many2761 5 лет назад +5

    Beautiful movie for Tanzania Islamic

  • @sophiakasana2937
    @sophiakasana2937 5 лет назад +2

    Jamani prt 2 daah mko vzr sana

  • @babyblackhakizimana6134
    @babyblackhakizimana6134 5 лет назад +7

    Jamani mim sauti apa apakwangu nibomba ila naomba part 2

  • @sunachummy4973
    @sunachummy4973 2 года назад

    Movie nzuri mashaallah

  • @rayajackson4085
    @rayajackson4085 5 лет назад +2

    Tamuiyooo nyie noma

  • @zabibukivyele7407
    @zabibukivyele7407 5 лет назад +2

    Mm siangalii sauti hakuna

    • @shabaniguma8696
      @shabaniguma8696 4 года назад

      Bora movie nzuri hakuna sauti hata ukitaka kununua kazi yao utanunua vipi

  • @mayasatt1151
    @mayasatt1151 3 года назад

    Saut hamna kabisaa

  • @youngdidaahummy3103
    @youngdidaahummy3103 5 лет назад +2

    Mashallah inapendeza jaman

  • @halima7255
    @halima7255 3 года назад

    Biaha Dija wacha unoko uwo mbona ww uwolewi ukaza😀😀😀

  • @latifahmakwegah4355
    @latifahmakwegah4355 5 лет назад +1

    Muv mzuri tureteeni pat twoo

  • @user-rd4pt4kw6v
    @user-rd4pt4kw6v 5 лет назад +9

    Wakutoa sauti vfaa ndio vibovu ama hakulipwa atakavyo mana movie nzuuuuuri ila tu

  • @saleheathumani1291
    @saleheathumani1291 5 лет назад +2

    Wanaosema hii move haina sauti wote ni Mafara😂👌mbona move inasauti mwanzo mwisho au visimu vyenu ni vibovu pumbavu zenu 👌😂mabaharia huwa hawakai na simu mbovu😂😂

    • @dazuuhmd819
      @dazuuhmd819 5 лет назад

      Hata mie naskia yote au kwakuwa nimeweka foni

  • @juliusneymar6609
    @juliusneymar6609 5 лет назад +6

    Kwani hyo sautii vipi au mnatumaga hizi movie bila kuzikagua

  • @mesabendo7581
    @mesabendo7581 5 лет назад +1

    Movie mbona nzur sauti ipo vizur mashaAllah inamafunzo

  • @zenakambi6207
    @zenakambi6207 2 года назад

    Wenzenu waarab wakivaa kanzu wanavaa na msuli to ili vyombo vipate hewa ila mswahili akivaa kanzu anavaa na njinz ili achubuke vzr 😂😂😂

  • @anitanahimana2115
    @anitanahimana2115 5 лет назад +1

    Mashaa Allah Asha buher na kupend bur

  • @beatricerenalda8071
    @beatricerenalda8071 5 лет назад +4

    mnanichanganya bana mliondika comments maana wengine wanasifia wengine wanakasirika sasa hapa ntaelewa nini wacha niangalie tu 😋😂😂🤗🤗alafu ntajua ni nani ako sahihi

  • @munasaidi614
    @munasaidi614 5 лет назад +2

    Mmm muvi nzuri jamani part 2 nawaomba patamu hapoo

  • @mapenzikatana9990
    @mapenzikatana9990 5 лет назад +2

    Acha nipotee isinimalizie bandle zangu ssuti hakuna

  • @yusramwinjuma4721
    @yusramwinjuma4721 5 лет назад +1

    Mmezingua saut

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад

    Mtihani wifi wengine ni majanga matupu kwani wao wenyewe hwataki hao watoto

  • @hidayayussufu8683
    @hidayayussufu8683 5 лет назад +2

    Mwanaume msimamo big up Adam👏
    Part 2 tafadhali. Mnaosema hakuna sauti chunguzeni cm zenu ni mbovu.

  • @halimasssomar8793
    @halimasssomar8793 5 лет назад +1

    Part 2.. movie tamu kweli

  • @abdalatifsafina3034
    @abdalatifsafina3034 Год назад

    ya Mungu mengi 🙏🙏

  • @madiyamsonde562
    @madiyamsonde562 5 лет назад +1

    😂😂😂😂uwiii jeguwa wewe mungu anakona mama ake macho kama asibili kufa😂😂😂😂😂

  • @sportsmart8481
    @sportsmart8481 3 года назад

    Mashaallah move nzuri san

  • @emmypc8362
    @emmypc8362 5 лет назад +3

    Naanza tu saut mizinguo kwaelini mtakaoimalizia mtanijuza🚶‍♀️🚶‍♀️

  • @loolaa1783
    @loolaa1783 5 лет назад +1

    Mashaaallah esha...ila sasa

  • @dottnatt7110
    @dottnatt7110 5 лет назад +2

    Movie ni nzur ila vipande vingi hakuna sauti

  • @imansaid8020
    @imansaid8020 5 лет назад +1

    MashaalaaaAllah kizur kizur

  • @mamakay9701
    @mamakay9701 5 лет назад +2

    Nice movie

  • @reginakalengesi8172
    @reginakalengesi8172 5 лет назад

    Munaboa sana bora msingeitoa tuu khaaa

  • @feruzihakizimana5052
    @feruzihakizimana5052 5 лет назад +4

    Movie nzuri tatizo sauti tu ila mjipange vizuri mnapo towa movie muwe munasikiliza kwanza

  • @twahaanyoni9368
    @twahaanyoni9368 5 лет назад

    Baina ya jengua na dada yake kinacho ongelewa hakiereweki chura too ninao
    Wasikia mpka uko mbere mnakwama
    Wapi bongo move

  • @user-rd4pt4kw6v
    @user-rd4pt4kw6v 5 лет назад +2

    Kitanda hakizai haramu swadakta....part 2 twaomba

  • @biommy6700
    @biommy6700 5 лет назад +2

    Waiting part ll

  • @halimasssomar8793
    @halimasssomar8793 5 лет назад +2

    Good..iko vzr Tu

  • @MariamMohamed-ur4su
    @MariamMohamed-ur4su 3 года назад

    Movie nzuri ila sauti

  • @hassanmasoud3364
    @hassanmasoud3364 5 лет назад +1

    Duuh saut ipo ila wanaongea pole pole sana aisee

  • @emmypc8362
    @emmypc8362 5 лет назад +1

    Fundi saiti itakuwa maiko

  • @omarymtotela2487
    @omarymtotela2487 5 лет назад +1

    Mbona sauti kama yote

  • @jameslaurentbalele2960
    @jameslaurentbalele2960 5 лет назад +1

    jaman move nzr

  • @bizyega4207
    @bizyega4207 5 лет назад +1

    mnanikeraga kwenye sauti tu kwann msinge kuwa mnaicheki kwanza

  • @jamilaibuma8887
    @jamilaibuma8887 5 лет назад +1

    Nyie wote mnaosema mover haina sauti simu zenu ni mbovu kwakweli mover nzur na inamafunzo

  • @brigitamash2007
    @brigitamash2007 5 лет назад

    rekebisheni sauti ya move zenu zina boa

  • @suleimansikuyakwenda51
    @suleimansikuyakwenda51 5 лет назад +2

    Jamani part 2

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal9966 5 лет назад

    Mashaallah tabaraka llahu viumbe wazito

    • @asimgkcc2189
      @asimgkcc2189 3 года назад

      Cm zenu mbovu mbn me saut ipo

  • @shummylove4611
    @shummylove4611 5 лет назад

    Movie tam Maasha Allah

  • @salmasoso9839
    @salmasoso9839 5 лет назад

    Kaz nzur ma sha allah mola awazidishie maarifa mzid kuelimisha jamii

  • @renatamanirakiza2068
    @renatamanirakiza2068 5 лет назад

    Movie nzuri rakini hakuna sauti

  • @radhiaomary5591
    @radhiaomary5591 5 лет назад

    Move nzuri sauti iko vizuri mno mnaosema sauti hakuna angalieni cm zenu kwanza

  • @minnahlove9714
    @minnahlove9714 5 лет назад +1

    Cjui mnakwama wp wa bongo dah movie nzima sauti hmn

  • @ashuraashura882
    @ashuraashura882 5 лет назад +1

    Beautiful

  • @chilledpalangale3701
    @chilledpalangale3701 5 лет назад +1

    Bonge.la.move.aisee.

  • @tundaclassic2704
    @tundaclassic2704 5 лет назад +1

    Nzuri tatzo sauti yalostlost

  • @athmanihha1783
    @athmanihha1783 5 лет назад +2

    Nice movie mrushe part two plz

  • @mohamedkayumba6576
    @mohamedkayumba6576 5 лет назад +1

    Maneno

  • @mariamaaa4949
    @mariamaaa4949 5 лет назад +1

    Jamani sauti 🚶🚶

  • @merhkpbook3362
    @merhkpbook3362 5 лет назад +4

    Muendelezo ukowap

  • @hillaryfrank2246
    @hillaryfrank2246 5 лет назад +2

    Alaf saut da

  • @soniashetui3592
    @soniashetui3592 4 года назад +1

    Waoooooo

  • @ameirfront5596
    @ameirfront5596 5 лет назад

    Hii move ya viziwi si yawale wanaosikia.

  • @latifahmakwegah4355
    @latifahmakwegah4355 5 лет назад +1

    Sikilizieni na phone ndomtasikia saut
    Maana sauti yao IPO chini

  • @nusaebahkeis6774
    @nusaebahkeis6774 5 лет назад

    Hongera

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 5 лет назад +1

    Mashallah

  • @saiedsuleiman1837
    @saiedsuleiman1837 5 лет назад +1

    Tunaomba part 2

  • @umnaser1792
    @umnaser1792 5 лет назад

    Sauti ya mziki tu hatuwasikii

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 5 лет назад +1

    Hahahahahaha jamani

  • @khamissaid4805
    @khamissaid4805 5 лет назад

    sautiiii hakuna jamani

  • @saidachimmy8074
    @saidachimmy8074 5 лет назад

    Xauti mnaboa yan ndomna tunakimbilia movie zakihind walh

  • @zaymanjonjo1960
    @zaymanjonjo1960 5 лет назад

    Hakuna kazi

  • @aishamwalembe8451
    @aishamwalembe8451 5 лет назад

    Ngja nisepe zangu maana haina uhakika

  • @maisaramaulid4668
    @maisaramaulid4668 5 лет назад +1

    Siskii kitu mm

  • @erodeshayo8672
    @erodeshayo8672 5 лет назад

    Sasa ndio nn machoko kweli

  • @stargal906
    @stargal906 5 лет назад

    Ndio naanza kuangalia

  • @athuu1464
    @athuu1464 5 лет назад +2

    😘😘👏👏👌💕

  • @maxlove2668
    @maxlove2668 5 лет назад

    Kitu gani hii,hata sauti hamna....

  • @saumuali8132
    @saumuali8132 5 лет назад +1

    Part 2 jaman

  • @sheelangida3275
    @sheelangida3275 5 лет назад

    Masha allah movei iko sawa

  • @aminafesali5817
    @aminafesali5817 5 лет назад

    Namnakera kueka video part one tu bila part to mnatukera sarah sahihi movie nzur lakin sout hamna part to hamna ujinga tu 😕😕

  • @mishiathmani6055
    @mishiathmani6055 5 лет назад

    Mama ana pozi balaa

  • @nsreenmoafee1064
    @nsreenmoafee1064 5 лет назад +1

    Mbona hamna saut jamani

  • @papaamusofe4880
    @papaamusofe4880 5 лет назад +1

    Movie za kibongo nivichekesho sautizimewakauka😂😂

  • @zee2teacher941
    @zee2teacher941 3 года назад

    👌👌👌👏👏👏👏

  • @salmalita6483
    @salmalita6483 5 лет назад

    Movie nzur but some parts hamna sauti mnakera

  • @rehemabakali494
    @rehemabakali494 5 лет назад

    Plz muendelezo jmn

  • @ummabora2118
    @ummabora2118 2 года назад

    Isiwapitie hii movie tafadhali ruclips.net/video/nVw6fyjYK6Q/видео.html

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool4235 5 лет назад

    Hii movie mbona haina sauti

  • @abdullmalik7847
    @abdullmalik7847 5 лет назад +1

    🙉🇰🇪

  • @khadijacarine8852
    @khadijacarine8852 4 года назад

    ❣❣

  • @sarafinahmasha548
    @sarafinahmasha548 5 лет назад +1

    Sautiiiiiiii