Walio sema movie haina sauti wote simu zao mbovu tuleteeni party two tendeelee movie inamafundisho hatar wote mlio shiriki nawapenda kwaajili ya Allah 👏
Wapendwa watazamaji wetu, poleni sana kwa kukosa sauti kwenye filam ya NUSAIBA ni matatizo ya kiufundi maana master iko ok na hata sasa naangalia IPO vizuri. Tunajitahidi kuona wapi shida ipo ili turekebishe. Tupo kwa ajili yenu. Asante sana
Wanaosema hii move haina sauti wote ni Mafara😂👌mbona move inasauti mwanzo mwisho au visimu vyenu ni vibovu pumbavu zenu 👌😂mabaharia huwa hawakai na simu mbovu😂😂
mnanichanganya bana mliondika comments maana wengine wanasifia wengine wanakasirika sasa hapa ntaelewa nini wacha niangalie tu 😋😂😂🤗🤗alafu ntajua ni nani ako sahihi
Walio sema movie haina sauti wote simu zao mbovu tuleteeni party two tendeelee movie inamafundisho hatar wote mlio shiriki nawapenda kwaajili ya Allah 👏
👌👌
Nussaiba. Move. Nzuri sana lakn haina saut walekebishe jaman inamaadili sana lakn ndo hatusikii sasa
Kwangu mbona sauti ipo sawa tu..Ma shaa llah nice movie
Umeona eeh ata mie kwangu sauti kubwa2uu
Masha Allah mbon ninzur tu na,sauti IPO simuzenu vimeo
Nyie wapuuzi mkitoa move msikilize kwanza sauti ndipo muirushe mnaboa sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ni nzuri iko na sauti ila mwanzo iko na shida ya sauti ni nzuri Sanaa mrekebishe kidogo kazi nzuri
Nzuri sans
A
Wapendwa watazamaji wetu, poleni sana kwa kukosa sauti kwenye filam ya NUSAIBA ni matatizo ya kiufundi maana master iko ok na hata sasa naangalia IPO vizuri. Tunajitahidi kuona wapi shida ipo ili turekebishe. Tupo kwa ajili yenu. Asante sana
Umeeleweka usijali ktk hilo
👏👏👏👏👏👏 Hongera. Kwa mara ya kwanza naona mhusika kujali ubora wa kazi na watazamaji. Movie ni nzuri sana. Tutafika tuu 🙏
Ee fsnyen bas chap. Mana tunataka kuangalia. Ili tujifunz Mana inafundisha vizur sana
Asant itakua tayali. Lin Ili niandae e m bii zakutosha
Masha Allah..ina mafunzo..sauti iko poa Tu.....
jamani move nzur sana inafurahisha na kuhuzunisha, asiyesikia vizur sauti atumie edfoni. inasikika vizur Tu
Nimefanya ivo
Nikwel mm natumia edphone naiskia mwanzo mwisho
Beautiful movie for Tanzania Islamic
Jamani prt 2 daah mko vzr sana
Jamani mim sauti apa apakwangu nibomba ila naomba part 2
Movie nzuri mashaallah
Tamuiyooo nyie noma
Mm siangalii sauti hakuna
Bora movie nzuri hakuna sauti hata ukitaka kununua kazi yao utanunua vipi
Saut hamna kabisaa
Mashallah inapendeza jaman
Biaha Dija wacha unoko uwo mbona ww uwolewi ukaza😀😀😀
Muv mzuri tureteeni pat twoo
Wakutoa sauti vfaa ndio vibovu ama hakulipwa atakavyo mana movie nzuuuuuri ila tu
Wanaosema hii move haina sauti wote ni Mafara😂👌mbona move inasauti mwanzo mwisho au visimu vyenu ni vibovu pumbavu zenu 👌😂mabaharia huwa hawakai na simu mbovu😂😂
Hata mie naskia yote au kwakuwa nimeweka foni
Kwani hyo sautii vipi au mnatumaga hizi movie bila kuzikagua
Movie mbona nzur sauti ipo vizur mashaAllah inamafunzo
Wenzenu waarab wakivaa kanzu wanavaa na msuli to ili vyombo vipate hewa ila mswahili akivaa kanzu anavaa na njinz ili achubuke vzr 😂😂😂
Mashaa Allah Asha buher na kupend bur
mnanichanganya bana mliondika comments maana wengine wanasifia wengine wanakasirika sasa hapa ntaelewa nini wacha niangalie tu 😋😂😂🤗🤗alafu ntajua ni nani ako sahihi
Haya ushamaliza kuiwatch nipashe 😂 m ndo naanza i watch
Na edfoni mambo ni 🔥
Na edfoni mambo ni 🔥
Mmm muvi nzuri jamani part 2 nawaomba patamu hapoo
Acha nipotee isinimalizie bandle zangu ssuti hakuna
Mmezingua saut
Mtihani wifi wengine ni majanga matupu kwani wao wenyewe hwataki hao watoto
Mwanaume msimamo big up Adam👏
Part 2 tafadhali. Mnaosema hakuna sauti chunguzeni cm zenu ni mbovu.
Part 2.. movie tamu kweli
ya Mungu mengi 🙏🙏
😂😂😂😂uwiii jeguwa wewe mungu anakona mama ake macho kama asibili kufa😂😂😂😂😂
Haaaa yan ata mm nimeipenda
Mashaallah move nzuri san
Naanza tu saut mizinguo kwaelini mtakaoimalizia mtanijuza🚶♀️🚶♀️
Ni kidogo sauti yasumbuwa lakini ni nzuri sanaa
Iko poa
Mbona kwangu nasikia😁😁😁😁😁
Mashaaallah esha...ila sasa
Movie ni nzur ila vipande vingi hakuna sauti
MashaalaaaAllah kizur kizur
Nice movie
Munaboa sana bora msingeitoa tuu khaaa
Movie nzuri tatizo sauti tu ila mjipange vizuri mnapo towa movie muwe munasikiliza kwanza
Baina ya jengua na dada yake kinacho ongelewa hakiereweki chura too ninao
Wasikia mpka uko mbere mnakwama
Wapi bongo move
Kitanda hakizai haramu swadakta....part 2 twaomba
Waiting part ll
Good..iko vzr Tu
Movie nzuri ila sauti
Duuh saut ipo ila wanaongea pole pole sana aisee
Fundi saiti itakuwa maiko
Mbona sauti kama yote
jaman move nzr
mnanikeraga kwenye sauti tu kwann msinge kuwa mnaicheki kwanza
Nyie wote mnaosema mover haina sauti simu zenu ni mbovu kwakweli mover nzur na inamafunzo
Naam kweli kabisa
rekebisheni sauti ya move zenu zina boa
Jamani part 2
Mashaallah tabaraka llahu viumbe wazito
Cm zenu mbovu mbn me saut ipo
Movie tam Maasha Allah
Kaz nzur ma sha allah mola awazidishie maarifa mzid kuelimisha jamii
Movie nzuri rakini hakuna sauti
Move nzuri sauti iko vizuri mno mnaosema sauti hakuna angalieni cm zenu kwanza
Cjui mnakwama wp wa bongo dah movie nzima sauti hmn
Yani xauti yakata kata tu
Beautiful
Bonge.la.move.aisee.
Nzuri tatzo sauti yalostlost
Tunda mbona jb lng unipi
Nice movie mrushe part two plz
Maneno
Jamani sauti 🚶🚶
Muendelezo ukowap
Alaf saut da
Waoooooo
Hii move ya viziwi si yawale wanaosikia.
Sikilizieni na phone ndomtasikia saut
Maana sauti yao IPO chini
Haswaaa bila phone walaa usikiii
Hapoume nena
Hongera
Mashallah
Tunaomba part 2
Sauti ya mziki tu hatuwasikii
Hahahahahaha jamani
sautiiii hakuna jamani
Xauti mnaboa yan ndomna tunakimbilia movie zakihind walh
Hakuna kazi
Ngja nisepe zangu maana haina uhakika
Siskii kitu mm
Sasa ndio nn machoko kweli
Ndio naanza kuangalia
Sauti bhnaaa
😘😘👏👏👌💕
Kitu gani hii,hata sauti hamna....
Part 2 jaman
Masha allah movei iko sawa
Namnakera kueka video part one tu bila part to mnatukera sarah sahihi movie nzur lakin sout hamna part to hamna ujinga tu 😕😕
Mama ana pozi balaa
Mbona hamna saut jamani
Movie za kibongo nivichekesho sautizimewakauka😂😂
👌👌👌👏👏👏👏
Movie nzur but some parts hamna sauti mnakera
Plz muendelezo jmn
Isiwapitie hii movie tafadhali ruclips.net/video/nVw6fyjYK6Q/видео.html
Hii movie mbona haina sauti
🙉🇰🇪
❣❣
Sautiiiiiiii
Mbonasehemunyengine haizoisait
Nzr
Jaman mwendelezo du
Movie za Tanzania 80% hazina sauti
Movie za Tanzania %80 hazina sauti