MAHARI Sehemu ya Kwanza ( 1 )

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 297

  • @edwinjohn6334
    @edwinjohn6334 Год назад +133

    Kama tulikuwa kwenye matusi na mwali wangu na leo tupo kwenye mahali tujuane hapa kwa like 🔥

  • @nyapolasuleiman3485
    @nyapolasuleiman3485 Год назад +38

    Tuko hapa Bwana Madebe your fan from Kenya...hata kabla ya kuwatch nakuamini najua umetupa kitu safi

  • @DatBoyKujo8656
    @DatBoyKujo8656 Год назад +15

    Madebe I love your Movies so much I wish you uploading movies Everyday my mom loves you and your team so much BIG UP SANAA🙏🏽🙌🏾🙌🏾

  • @masterlyrics5
    @masterlyrics5 Год назад +16

    Tumeanza kama ifuatavyoooo💪💪💪
    Madebe Lete vituuuuu
    Bila kusahau nimekuwa wa kwanza 😘😘

  • @gracerehema5070
    @gracerehema5070 Год назад +2

    Movie z madebe huwa zina nyimbo tamuu🎉🎉🎉🎉❤

  • @BiisheBugao
    @BiisheBugao Год назад +1

    Kidali ukipenda maiko 😂😂😂😂 we mkaka mi Nakupenda sana❤❤❤

  • @stellankoswe7174
    @stellankoswe7174 Год назад +1

    Jamniiii cyo cri napendaga back ground songs🥰🥰🥰😋😋

  • @nsengumuremyisylvester4950
    @nsengumuremyisylvester4950 Год назад +6

    sunaona sasa???hongela sana mzee wangu madebe kwa kazi ulio ifanya.basi data zangu nakuahidi utazimariza zote.

  • @leonardadd
    @leonardadd Год назад +11

    Madebe shukrani kwa kutuletea hii MAHARI RUclips, nilikuwa na hamu sana 💪

    • @zena6203
      @zena6203 Год назад +1

      Achakusema😂😂😂😂

    • @leonardadd
      @leonardadd Год назад

      @@zena6203 Wacha tusifie ndo tuendelee kupata kazi safi💎

  • @ramadhanihassani1617
    @ramadhanihassani1617 Год назад +4

    Siku zote unajua nini cha kufanya. Hongera sana hakuna anaejua kuigiza kama wewe ndio mana kila mwaka waigizaji bora tofauti. ##MAHARI part 2 please

  • @joycemichael4038
    @joycemichael4038 Год назад +20

    Nikali sanaaaaa lakin please tuwekee mkwaju jaman team mkwaju heb gongen like hapa 😍

  • @hariyafaridi3488
    @hariyafaridi3488 Год назад +1

    Madebe unafundisha vizuri kiswahili chako nakielewa sanaa hongera broo

  • @mejumaa1535
    @mejumaa1535 Год назад

    Mashallah kazi nzuri madebe mungu akutangulie Ktka Kila Jambo Amiiiin

  • @kimaifrancis4205
    @kimaifrancis4205 Год назад +2

    Following from Kenya, I believe it gonna be a good one.

  • @gaddibullahtzg5635
    @gaddibullahtzg5635 Год назад

    Oooh! Nice I like this brideprice is best one madebe you did very nice

  • @S3WAKUKAYA
    @S3WAKUKAYA Год назад +1

    Madebe nakukubali sana,Am fan From Mozambique (Msumbiji)

  • @channyntiharirizwa7564
    @channyntiharirizwa7564 Год назад

    Kali sana madebe ndo mana na kukubali sana kitu Kiko bomba

  • @abdullatifkhamis3787
    @abdullatifkhamis3787 Год назад +1

    Madebe una ubunifu wa hz movies hadi roho inapenda hongera brother kongole kwako

  • @mariammfaume2876
    @mariammfaume2876 Год назад +1

    Tatizo lako kubwa Madebe huwa seson zako hazifiki mwisho, unazikomeshea njian unatukatili sana mashabiki zako

  • @monamaskari2175
    @monamaskari2175 Год назад +1

    Ongela kwa kazi mzuli nakupenda sana kaka madebe mungu akulinde

  • @richvetty3243
    @richvetty3243 Год назад +3

    From Italy we love you madebe

  • @حليمهالبلوشي-ز5ث

    Masha Allah ongereni sana wapenz kwazi yen zuri sana mubarikiwe wote ❤️❤️❤️❤️

  • @hassancharles1771
    @hassancharles1771 Год назад

    Madebe tatizo lako umalizagi movie zako kama mkonjani episode zako haziishi kiukweli unaachiaga katikati mnao ungana na ukweli huu like hapa Hata chumvinyingi ameeza juzi lakini anahakikusha anafanya kweli

  • @Ummukul-thumGulam
    @Ummukul-thumGulam 10 месяцев назад

    Hngr madebe kw kz nzr n zenye kutuelimisha n kutufhmisha mng mzr❤

  • @mauwam3627
    @mauwam3627 Год назад

    Madebe naomba hiy nyimbo full please tuekee na msanii wako masha allah anajua kuimba

  • @emmanuelsosoma625
    @emmanuelsosoma625 Год назад

    Nakubali mkuu hata mm natamani sana kazi yako niwe kama ww...niko Arusha

  • @lamk-lt6dp
    @lamk-lt6dp Год назад +9

    Wakwanzaaaa movei nilikuwa naivizia humu atomaye leo imetufikia nawapenda sana madebe na watu wako❤❤❤❤

    • @zena6203
      @zena6203 Год назад

      Minakupenda wewe apo😂😂😂

  • @ignasjuma2710
    @ignasjuma2710 Год назад

    Ni movie nzuri still madebe amejaribu kuonekana kimjini amejitahd sio mbaya

  • @dirickmwasomola8526
    @dirickmwasomola8526 Год назад

    Mbonaa mkwaju mmeiacha na ilikuwa nzurii madebe

  • @swabrinaidassy865
    @swabrinaidassy865 Год назад +1

    MADEBE LIDAI❤❤

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Год назад

    Kazi nzuri sana kaka na kwamini

  • @shamilakatumba1701
    @shamilakatumba1701 Год назад +1

    Sijawah kujut kuftilia movie zako 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mwinyihajjsalim4405
    @mwinyihajjsalim4405 Год назад

    Dah move imeanza ikiwa iko fire siomchezo😂😂big up sana madebe sinashida nafilamu zako mana zinaelewela

  • @riziankassam4410
    @riziankassam4410 Год назад

    Mi natak ako ka mziki ndo kananogesha movie Kaz nzr madebe from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @publicevents6084
    @publicevents6084 Год назад +4

    My best actor of Bongo movie industry

  • @mpendajrtz7460
    @mpendajrtz7460 Год назад +1

    Madebe nivile tu hujawahi kuniangusha nakubali sana tunahitaji mwendelezo chap🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 Год назад

    Niceeee tuweke ya2 basiiiiì😆

  • @zaqiamhando6522
    @zaqiamhando6522 Год назад +7

    New taste in town🙌💛

  • @atwibukagungubare1737
    @atwibukagungubare1737 Год назад +1

    Madebe hujawah kufeli👍🙌🙌

  • @سعدياقوت-ت2خ
    @سعدياقوت-ت2خ Год назад

    Nakukubali bro madebe hakuna filamu bora kama zako bro keep it up bro

  • @fatmamody9146
    @fatmamody9146 Год назад

    Kazi nzuri sana 🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦👣👣👣🥰🥰🥰🥰

  • @wilfredrogonga
    @wilfredrogonga Год назад +3

    Madebe nakubali since day 1💯💯💯💯🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Gloire_Maestro
    @Gloire_Maestro Год назад

    napenda sana movies zako. natokeya Congo DRC 🇨🇩 Bukavu

  • @mokiwasaid6871
    @mokiwasaid6871 Год назад +4

    Zote Kali🔥🔥 ila ya mkwaju tunataka muendelezo🙏🙏

    • @rosepiere1857
      @rosepiere1857 Год назад

      Hicho ndo kilio changu movie hamalizi

    • @mokiwasaid6871
      @mokiwasaid6871 Год назад

      @@rosepiere1857 itakuwa anafuatilia maoni yetu huenda atayafanyia kazi hasa ile ya mkwaju hatujui Nini kinafuata kwenye kile kibuyu kutupwa!!!

  • @jamesmoherai3345
    @jamesmoherai3345 Год назад

    Your my best actor bro lidai.... from kenya

  • @mathiasrobison4401
    @mathiasrobison4401 Год назад +1

    Kazi zako hazina mashaka ni moto ndani ya moto,ombi langu vipande viongezwe muda viwe hata na dk 30 au 45

  • @maylucson001
    @maylucson001 Год назад +5

    Madebe never dissapoint

  • @reginamsami7110
    @reginamsami7110 Год назад

    Huyu mwamba anajua Sana huwa sichok kujifunza big up madebe mwana walidai

  • @fadhilyussuf322
    @fadhilyussuf322 Год назад +1

    Nakukubali sana madebe

  • @charlesmuthee1635
    @charlesmuthee1635 Год назад +1

    Madebe never disappoint ✌️

  • @paulphiri3808
    @paulphiri3808 Год назад

    Big up brother

  • @petersanga1310
    @petersanga1310 Год назад

    i like this move..... keep it up madebeee lidai

  • @bahatijoseph8932
    @bahatijoseph8932 Год назад +1

    Madebe kama njoivo ulivyo na kwako muke wako amebarikiwa Sana naomba like zamadebe

    • @zena6203
      @zena6203 Год назад

      Subutu watu waivo kwakuachwa sasa wanachwagahadi wanachwa tena😂😂😂

  • @kevinorero9628
    @kevinorero9628 Год назад +2

    Much love from Kenya

  • @akeyllisponyo9311
    @akeyllisponyo9311 Год назад +1

    Big up sana shabiki yako toka Congo 🇨🇩 DRC Yav

  • @beatricekinyongo566
    @beatricekinyongo566 Год назад

    King wa movie all the time uyu jamaa anajua mpk anajua tena achana nae kbs🔥🔥

  • @rehemachedi1869
    @rehemachedi1869 Год назад

    Masha Allah umenifurahisha sana

  • @adammodesto6626
    @adammodesto6626 Год назад

    Mwendelez hii kali San hujui kufel madebe

  • @mwanah3643
    @mwanah3643 Год назад

    Congratulations nzuri sana 🎉

  • @binkassim6869
    @binkassim6869 Год назад

    Salute kwenu

  • @totooz5853
    @totooz5853 Год назад

    Mmi kuna kitu uwagga nashindwa kuelewa..ssa wakiwa chumbani kma hivi na hawana nguo uwaga wachokorana ukweli😂😂😂😂WAMBEA WENZANGU TUJUANEEE🔥🔥🔥🔥😀😀😀

  • @barakamkare1493
    @barakamkare1493 10 месяцев назад

    Tafadhali sana nomba jina la wimbo plz❤

  • @anithahaule9650
    @anithahaule9650 Год назад

    Uko vizr sana Madebe nakupenda sana💛💛💚💚

  • @Mulumbamasumbuko
    @Mulumbamasumbuko Год назад

    Ma li you're the most intelligent, focus.....

  • @hamisiomari6181
    @hamisiomari6181 Год назад

    Duh, aisee hio series imeanza na moto mbaya

  • @AMZASAIDEofficialm6332
    @AMZASAIDEofficialm6332 Год назад

    Uko safi sana

  • @twalihamohamedi898
    @twalihamohamedi898 Год назад

    Madebe u are de best

  • @midohn.t.b1761
    @midohn.t.b1761 Год назад

    Mkwaju hamjamaliza mmetuacha njia panda mko uku tena kazi nzuri ila mnatuchanganya ss tutashindwa kufuatilia film tukihofia mnatuachia njiani 😓

    • @samahalghafri6628
      @samahalghafri6628 Год назад

      Mkwaju iliisha,mke wa madebe alienda kwa mganga ili akamuue mmewe,kumbe mganga mwenyewe mkwaju ambae ni madebe

  • @josephinemwanajuma1366
    @josephinemwanajuma1366 Год назад

    Song tamu sana

  • @KajeiM-iz3rz
    @KajeiM-iz3rz Год назад

    KAZI Safi Sana

  • @eliaslubinza-vs4tz
    @eliaslubinza-vs4tz 11 месяцев назад

    Yec nice natural look

  • @خسنموس
    @خسنموس Год назад +8

    Madebe never disappoints

  • @bernadettemungadiane
    @bernadettemungadiane Год назад

    Yaan kaka, wewe uwaga nakuamini Sana tu kwavitu ivi we nibingwa, endelea kutupa vitu vizuri

  • @shivodon7388
    @shivodon7388 Год назад

    Kama unamkubali madebe gonga like

  • @leonardadd
    @leonardadd Год назад

    Madebe niliingoja kwa hamu hii mahari umefanya kazi safi kuleta

  • @bigdaddy_faustinjumong4427
    @bigdaddy_faustinjumong4427 Год назад

    Nakuamini saaana madebe.
    Ila limjengo hili hamuendani
    Ungetafuta kanyumba kakuendana nawwe.
    Ila ideer nzuli saaaaaana

  • @nyapolasuleiman3485
    @nyapolasuleiman3485 Год назад

    Ongezaaa ya piliii Bwana Madebe Kazi safiii

  • @muhammedabdulah5056
    @muhammedabdulah5056 Год назад

    Nakukubali sana shabik yako toka🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Год назад +1

    Noma sana, watu tulieni kwa ndoa zenu 😁😁

  • @kevochitivi366
    @kevochitivi366 Год назад

    Jamii potovu, maisha hayahaya ya kisasa

  • @objstv6976
    @objstv6976 Год назад +1

    Leo nimemuona mtumishi mvuta sigara

  • @holylostborn
    @holylostborn Год назад

    U are the best ❤❤

  • @ronaldkenga7416
    @ronaldkenga7416 Год назад +1

    Hii movie nilikuwa naisubiri sana bac madebe fanya hima tupate mwendelezo tafadhali usitubwage mashabiki wako

  • @alimohdkhatib2443
    @alimohdkhatib2443 Год назад

    Nice work bravo

  • @bajosdamour2347
    @bajosdamour2347 Год назад +1

    Oyaaaa muendelezo plz🙏🙏

  • @zena6203
    @zena6203 Год назад

    Yani madebe anavyuwaiz nyingi kushinda hata series zinginee😂😂

  • @chrstopher4598
    @chrstopher4598 Год назад

    Nyingi lini☝️☝️☝️👍🤗

  • @vannydundo5211
    @vannydundo5211 Год назад +1

    Wa kwanza

  • @stevemariga1
    @stevemariga1 Год назад

    Nimeipenda

  • @bonifaceontiri1186
    @bonifaceontiri1186 Год назад

    Iko moto Sana,

  • @sigistomlowe8249
    @sigistomlowe8249 Год назад

    Mwamba anajua sana

  • @hasnatrean5013
    @hasnatrean5013 Год назад

    Tuletee sehemu ya pili mzee baba tunasubili

  • @jumamwenda2607
    @jumamwenda2607 Год назад

    Safi badebe

  • @rajmanhampers8887
    @rajmanhampers8887 Год назад

    Uyu jamaaa mnae tumiaga sound yake ya nyimbo kwenye movie yuko poa Sana

  • @omankadara6418
    @omankadara6418 Год назад

    Hatr nasubr sehem ya pili

  • @hasnatrean5013
    @hasnatrean5013 2 года назад +1

    Tunasubili lin itakuwa hewan .nakukubali san

  • @mayaashassan3918
    @mayaashassan3918 Год назад +3

    MAHARI🔥🔥🔥🔥

  • @samsonkaboko5137
    @samsonkaboko5137 Год назад

    Duuuu daktari wa Kijiji akiolewa na muuuza majeneza, madebe wakuache bana

  • @NoahArapoho
    @NoahArapoho Год назад

    Lovely

  • @mwanawetumwatumwa3000
    @mwanawetumwatumwa3000 Год назад

    Ma Shaa allaha 👌