Kijiweni Part 1 - Hashimu Omary, Erica Sanga, Madebe Lidai, Hidaya Boli (Official Bongo Movie)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 авг 2024
  • Kijiweni (Bongo Movie Part 1) Madebe Lidai
    Subscribe to Africha Entertainment: bit.ly/AfichaSubs
    The Best Of African Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music

Комментарии • 233

  • @jaredmondo1477
    @jaredmondo1477 2 года назад +7

    Kazi ni nzuri sana lakn Hiyo saut inavyokuwa inapotea Ndo inabore sana

  • @martinighandai2098
    @martinighandai2098 5 лет назад +4

    Madebe we nikiyoo cha jamii haukoseagi kufundisha nakuelewa sana yaan na napenda sana unavyotumia mafumbo mazito n yakili uko vzur kingne rekebishen sauti kuna sehem huw inakata na kunitoa kwenye mzuka sn ila kwa kwel npend mv zako uk vzr sn

  • @tajirimdogo1075
    @tajirimdogo1075 2 года назад +2

    Sauti hupotea kwenye sehemu tofauti tofauti ya filamu

  • @emmanuelwere9992
    @emmanuelwere9992 2 года назад +3

    Thanks madebe maana misemo yako ishaa nigenganga kitambo zaidi sasa inayi fata huwa naskia rahaatu kupitiya filam zako

  • @meshackshark7953
    @meshackshark7953 2 года назад +3

    Kaka madebe Unamaneno Mazuli Sana Ndomana Amepewa Jina fickr Afikir Nakukubari Sana Kaka Madebe MUNGU Akupe Maisha Marefu Sana.

  • @kasalamrisho6702
    @kasalamrisho6702 2 года назад +1

    Tatizo la move nyingi za Madebe huwa zinazingua sana sauti

  • @isaacsimiyu2208
    @isaacsimiyu2208 2 года назад +1

    kazi nzuri madebe, funzo nzuri kwa jamii tatizo sauti, inapotea potea na kutufanya tupoteze mtiririko wa ujumbe

  • @faustindon4865
    @faustindon4865 2 года назад

    Tatizo za filamu za Madebe sauti inajikata pamoja na Ile inaitwa Nabii mswahili sauti inajikata sana

  • @mwogeramwimeti9902
    @mwogeramwimeti9902 2 года назад +1

    Mbuzi kafia kwa muuza supu

  • @giftmsakuzi2530
    @giftmsakuzi2530 Год назад +1

    Madebe unajua kuigiza sana🤣🤣👍👍👏👏

  • @bakaribingwa8849
    @bakaribingwa8849 2 года назад +1

    Fantastic

  • @meshackshark7953
    @meshackshark7953 2 года назад +1

    Move Tamu Sauti Amna.

  • @omaryshabani722
    @omaryshabani722 2 года назад +1

    Nice

  • @Nikeolando
    @Nikeolando 4 месяца назад +1

    Nick

  • @KwisakwaniBakuru-pw2em
    @KwisakwaniBakuru-pw2em 10 месяцев назад

    Epinesi

  • @idasastephen3627
    @idasastephen3627 2 года назад

    3fulll

  • @siadibrahim8111
    @siadibrahim8111 6 месяцев назад

    Movie zote za madebe ovyo sauti hazina

  • @bonifaceontiri1186
    @bonifaceontiri1186 Год назад +2

    Sauti inswashinda Sana kwa kila uigizaji wenu, tatizo hili halina solution hapo kwenu Tz au?

  • @nkangaphilipo1648
    @nkangaphilipo1648 2 года назад +1

    Sauuuuuuuuuut

  • @epiphanieniyonizeye6207
    @epiphanieniyonizeye6207 Год назад +1

    Wao

  • @mwogeramwimeti9902
    @mwogeramwimeti9902 2 года назад +4

    That's good,,,,a well organized movie with full of lessons just feel much encouraged Ed appreciated

  • @ramazanirichard7564
    @ramazanirichard7564 2 года назад +1

    The mistress team

  • @ciscongala1037
    @ciscongala1037 2 года назад +1

    Mtoto anajicho balaa

  • @hajimuhammed4442
    @hajimuhammed4442 2 года назад +2

    Move nzuri ila ila tatizo vipande vingi havina sauti

  • @shadrickmwanjabala4681
    @shadrickmwanjabala4681 Год назад

    Mbona movie inakatakata sauti aaaaaaaaa inakera movie nzur alafu sauti chenga

  • @alainwario7473
    @alainwario7473 Год назад

    vizuri

  • @kotokulimoge4355
    @kotokulimoge4355 2 года назад

    Ongera kwamuvi mzuli

  • @michelmondondo1608
    @michelmondondo1608 2 года назад

    Tokoss

  • @yssuphuamani5068
    @yssuphuamani5068 2 года назад

    Nimependa

  • @rahimukarim8174
    @rahimukarim8174 2 года назад

    Dada umeshindwa kutongoza mwanzot

  • @abeidwemba3853
    @abeidwemba3853 2 года назад

    Upande wa Saudi mmechemka sana tuu

  • @DanielKalungwana-uz8xr
    @DanielKalungwana-uz8xr 9 месяцев назад

    Muvizenu jamani mbonazinakatasauti

  • @Nikeolando
    @Nikeolando 4 месяца назад

    Nike olando

  • @AbdullaiKareem-fd8wd
    @AbdullaiKareem-fd8wd 9 месяцев назад

    Sauti inapotea

  • @jux90
    @jux90 Год назад

    ❤🎉Richards fivhard@@@@@#@@@@##@@

  • @McgweryBuffa
    @McgweryBuffa 10 месяцев назад

    improve the sound quality

  • @mpinaskid9316
    @mpinaskid9316 2 года назад

    Iyo nembo apo itolewe

  • @masanjamihayo3471
    @masanjamihayo3471 2 года назад

    Kg

  • @samyabahatialhiani401
    @samyabahatialhiani401 8 месяцев назад

    Madebe amegeuka askare lini

  • @ramadhannyae4562
    @ramadhannyae4562 2 года назад

    1w

  • @rajabkiti896
    @rajabkiti896 Год назад

    Hahaha nmefel masomo lakn mipango ya hela bado cjafel

  • @amina2044amin-zv2gh
    @amina2044amin-zv2gh 10 месяцев назад

    👏👏😂😂😂

  • @dicksonisalustini1523
    @dicksonisalustini1523 2 года назад

    Mmeboa kwenye sauti

  • @ligorasalum1960
    @ligorasalum1960 2 года назад

    Swaumu

  • @saidkulwa4604
    @saidkulwa4604 Год назад

    Ottoman

  • @atkayussuf7041
    @atkayussuf7041 2 года назад

    Hii movie part 2 yake iko wapi!?????

  • @chrispinusshikuku7294
    @chrispinusshikuku7294 2 года назад

    Sauti yapoteapotea Why???

  • @thegoldentime4700
    @thegoldentime4700 6 лет назад +38

    Jitahidini kwenye movie zenu zisiwe zinazingua kwa upande wa sauti maana ikifika kwenye point unashangaa et saut imepotea so mjitahidi sana na kwa upande wa sauti ili tuendelee kuifurahia bongo movies na wala sio tuendelee kufurahia movie za wenzetu tu mwisho wa siku tunaipoteza bongo movie ila kwa uigizaji huu wazungu hawata nipata kucheki movie zao na wala sio kila kukicha hadithi ziwe zile zile tu ndo maana walipoteza soko la movie zao . hahaha mm ni mmoja kati ya wanao kubali kazi ya Lp media aka madebe huyu kwa upande wangu aaaaa ni mkali wa bongo movie salute kwako bwana madebe lidai👏👏👏👏👏👏👈✅✅✅✔✔✔✔✔

    • @mariokaboba4649
      @mariokaboba4649 5 лет назад

      THE GOLDEN TIME saut najanga

    • @mbatatakiazi1678
      @mbatatakiazi1678 5 лет назад

      haswa ilo nalo ni mujarabu sana

    • @kessylukombe1718
      @kessylukombe1718 5 лет назад

      Yani mnatengeneza movie, mnazisikiliza mnagundua sauti hakuna na bado mnazipeleka sokoni tunajifunza nini sasa jamani

    • @MOJAZAIDI.
      @MOJAZAIDI. 5 лет назад

      ni mbinu ya kuepuka kipigo cha kopi raiti

    • @fizzomnyama6672
      @fizzomnyama6672 5 лет назад

      Hatari nimekubali

  • @ovetykilasi3912
    @ovetykilasi3912 5 лет назад +4

    Nazipenda sana move za hyu jama sema zinaniuziii sehem zingine hazina sautii

  • @isaacsamson6730
    @isaacsamson6730 5 лет назад +6

    Asante Sana Bröo madebe ninapenda Sana movie zako ílaaa naomba usiwe unakatä sauti kwenye baadhi ya matukio ndani ya movie

  • @nurhambadru3772
    @nurhambadru3772 5 лет назад +5

    Wallah nimeshindwa kuhimili ukosefu wa sauti... Yaani inakera sana jaribu kurekebisha naomba

  • @britonweja7490
    @britonweja7490 5 лет назад +2

    Unajitahid sana made be kwa movie zako nzut zinamafundisho

  • @georgejindwa8135
    @georgejindwa8135 5 лет назад +1

    Sehemu zengine hazina sauti mjirekebishe na hilo. Ila movie zenu ninzuri sanaaaaaa

  • @abdullahchumjuma3696
    @abdullahchumjuma3696 5 лет назад +8

    Aiseee kuhusu sauti mjitahid move zenu ni mzur sana

  • @wavigoodjr8524
    @wavigoodjr8524 6 лет назад +99

    Kama unakubali kazi za lp media gonga like hapa

    • @Quilant749
      @Quilant749 6 лет назад

      Wavigood Jr hallow! is thi movie complete na pia sauti iko poa?

    • @wavigoodjr8524
      @wavigoodjr8524 6 лет назад

      chichi back ya its true namkubali sana Adam juma mzee wa totoz

    • @AfrichaEntertainment
      @AfrichaEntertainment  6 лет назад

      full Part 1 is complete

    • @Quilant749
      @Quilant749 6 лет назад

      Wavigood Jr u did not even get to understand my quistion your just ignorant

    • @petrombilinyi9063
      @petrombilinyi9063 6 лет назад

      Hapo kazi

  • @abdallahilu8332
    @abdallahilu8332 5 лет назад +5

    i do enjoy all your movies brother. your the best Madebe . Abdallah ilu from Mombasa kenya

    • @rehemamussa3306
      @rehemamussa3306 5 лет назад

      Abdallah ilu kumanina jitaidi sauti madebe

  • @adanletoo2530
    @adanletoo2530 5 лет назад +5

    naipenda kazi ya Lp japo sauti mmeimeza

  • @muwezahakika4302
    @muwezahakika4302 5 лет назад +5

    hongera sana bonge la movie

  • @ismaelmabavu5620
    @ismaelmabavu5620 5 лет назад +4

    Duh ata mimi zaman likua siogopi ukimwi nlikua naogopa mimba lkn saii naogopa ukimwi sijui nani atanipa mimba naogopa ukimwi.

    • @amocomedian3901
      @amocomedian3901 2 года назад +1

      Kama ww ni mume wa mtu Sema😀😀😀

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 5 лет назад +6

    Filamu iko vizuri sana tu tatizo sauti mbona kwengine haisikiki.plz sisi kama sisi watazamaji twaomba mturekebishie sauti,Madebe lidai producer vp kk mbona watubwagaa

  • @officialbroja3536
    @officialbroja3536 5 лет назад +6

    nice movies

  • @boscomwaisaka1010
    @boscomwaisaka1010 5 лет назад +5

    Unatisha lidai waonyeshe kwamba unaweza

  • @adventswai4460
    @adventswai4460 6 лет назад +8

    Madebe uko juuu ongera sana una tengeneza vtu kwa kutumia akili sana vina sisimua kiukweli safi sana

  • @jacksonpeter4267
    @jacksonpeter4267 6 лет назад +10

    Uko vizuri kaka maana filamu zako zinafundish kama mtu akiwa makin nakuelewa kinoma.

  • @ediusfredrick7906
    @ediusfredrick7906 5 лет назад +3

    Sauti ndo shida madebe mnazingua

  • @hilalimohd9759
    @hilalimohd9759 5 лет назад +1

    SAUTI SAUTI SAUTIIIIIIIIII

  • @haningtonjuma6508
    @haningtonjuma6508 5 лет назад +7

    Lidai madebe kiswahili kama meno kiswahili safi misemo

  • @japhethmorris5269
    @japhethmorris5269 5 лет назад +3

    LP media movie zenu tamuu, tatizo sautiiiii

  • @huldaholiud5428
    @huldaholiud5428 5 лет назад +6

    wanawake tunahitaji kujifunza kitu kwenye hii move

  • @ridhone8193
    @ridhone8193 5 лет назад +5

    Uyo mtt mwenye jich zur anaitwa nan jmn

  • @fahmiiidrissa6120
    @fahmiiidrissa6120 5 лет назад +3

    Dah!!! Jman jtahdin xan upnde wa xaut inapnguza ladha ya movie....

  • @mohamedjbakari2770
    @mohamedjbakari2770 5 лет назад +5

    Daa jitaid kweny saut mnazingua

  • @jaredmogere378
    @jaredmogere378 5 лет назад +4

    From 254 check on ur voice

  • @tresortankeni332
    @tresortankeni332 5 лет назад +1

    l like all your movies you ' re a best one ,frome DRC lubumbashi

    • @congoqueen8084
      @congoqueen8084 5 лет назад

      🤩🤩🤩😋🇨🇬😉👐🏿👐🏿

  • @ramlatomary2536
    @ramlatomary2536 5 лет назад +3

    hivi madebe hizi koment zetu wazisoma au kwelii /? maana nazifuatilia move zako kama zote utajiharibia soko braza wangu

    • @rehemamussa3306
      @rehemamussa3306 5 лет назад

      ramlat omary kaka madebe unayumba kwenye sauti inakata kata sanaaaa yaaaan

    • @mussamussa7415
      @mussamussa7415 5 лет назад

      Saut.sasa

  • @yonayamphuala1028
    @yonayamphuala1028 5 лет назад +2

    Mov nzuru kikwazo. Sauti

  • @kisongokhamisi4044
    @kisongokhamisi4044 5 лет назад +1

    Tisha sana nabii mswahili

  • @zabronpaul3625
    @zabronpaul3625 5 лет назад +5

    daaah unafeli brother kwenye sauti

  • @asherinashoni4526
    @asherinashoni4526 5 лет назад +1

    Movie inazingua sauti

  • @tzmagaladiah5680
    @tzmagaladiah5680 5 лет назад +3

    Iko pouwaaaaaa

  • @congoqueen8084
    @congoqueen8084 5 лет назад +4

    🇨🇩🇨🇩🤞🏿🤞🏿naipenda Sana mu movies zako madebe wetu

  • @ashrafumwinge5199
    @ashrafumwinge5199 5 лет назад +1

    nakubali

  • @jessicakhamisi3653
    @jessicakhamisi3653 5 лет назад +3

    Nzur sn jamani mmejitahidi sana Ila sauti tatizo

  • @rabanjuma9277
    @rabanjuma9277 5 лет назад +2

    movie zen kal

  • @sowanaandsonakshi9385
    @sowanaandsonakshi9385 6 лет назад +10

    Madebe oyeeee 😀😀🌷🌷

  • @suleimanhassan3604
    @suleimanhassan3604 5 лет назад +5

    Mnacheza movie nzuri sana, ila shida moja sauti inapotea katikati jaribuni kurekebisha.

  • @amosimwangonji6891
    @amosimwangonji6891 5 лет назад +1

    Nakubari sana kazi zenu mkuu ila saut mnazingua

  • @herbertleslie8455
    @herbertleslie8455 5 лет назад +5

    Iko vzr

  • @eliudchubwa6277
    @eliudchubwa6277 5 лет назад +10

    Mke wa Fikiri jamani.
    Namkubari sana yuko makini na Kazi ivi anaitwa nani wadau?

  • @bonisachubwa1046
    @bonisachubwa1046 5 лет назад +8

    Madebe noma. anaitwa MUHENGA WA KALINE YA SASA

  • @mwaijahusein7307
    @mwaijahusein7307 5 лет назад +4

    sauti madebe othman

  • @abdonimasika1453
    @abdonimasika1453 5 лет назад

    Sana br Madebe nakubali

  • @jaladollar7745
    @jaladollar7745 5 лет назад +2

    Movie ninzuri sana lakini kitu kimoja ambacho nimekiona ktk harakati zako mwanangu madebe ni sauti tu hakuna kingine ukizingatia hili ndugu yangu utafika mbali sana zingatia hili.nakuambia hivyo kwa sababu movie ukisha upload RUclips wanaiangalia watu wengi ndani na nje ya nchi pia.

  • @aguivan7272
    @aguivan7272 5 лет назад +8

    mmb n moto ilaa saut 2

  • @citymwacheo4497
    @citymwacheo4497 5 лет назад +3

    Fikiri hilo kwapa

  • @newbornhaule1635
    @newbornhaule1635 6 лет назад +13

    Haka kablack Beauty nikazuri then Jicho sasa

  • @godystambuli1485
    @godystambuli1485 5 лет назад +10

    Ujumbe mzur ila tatzo sautiiïiiiiiiii

  • @edsonjohn217
    @edsonjohn217 5 лет назад +4

    👆 ujumbe mwema uriomo ndaniya moves hii 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @alexanzuruni1965
    @alexanzuruni1965 5 лет назад +3

    Mjitaidi kurekebisha sauti zenu basi maana zinatubowa sana.

  • @princepaul926
    @princepaul926 5 лет назад +4

    Dah saut Jau ndg zng