GB G4 KWA HASIRA AMPASUA MANGUNGU Achukizwa AGGY SIMBA NA DR MO KUFUNGIWA | ONDOKA TUACHIE TIMU YETU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 июн 2024
  • #gb64 #simbasc #mangungu #simbaleo #migogoroyasimba
  • СпортСпорт

Комментарии • 166

  • @khamisalawi9397
    @khamisalawi9397 Месяц назад +8

    Kimenuka na kitaendelea kunuka🤣🤣🤣🤣🤣♥️🙏

  • @LilianMasilayo
    @LilianMasilayo Месяц назад +11

    Mangungu mzee wa lushwa yanga wanamtumia mangungu kutuumiza Hela hawana wanatumia Hela za nchi walikula Hela 5 goli prisons manual mangungu wanatuhujumu mangungu ipo siku wanaokupa bichwa Leo kesho haijulikani

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng Месяц назад +9

    Mangungu Akakae mwenyewe uwanjani mashabiki Atuendi

  • @reinfridlipili5666
    @reinfridlipili5666 Месяц назад +2

    Press YAO lakini maelezo meeengi Yanga wanaimbwa😇😇, Huku kuchanganyikiwa bana, Wanawaza Yanga tu..

  • @NoelKiwike-wc8wh
    @NoelKiwike-wc8wh Месяц назад +8

    Mangungu mwehu😮

  • @nesto_automobiles6537
    @nesto_automobiles6537 Месяц назад +6

    Umeongea ukweli GB

  • @mkaguru-lz2tn
    @mkaguru-lz2tn Месяц назад +8

    GB unanikosha kaka hunatupa serious issue

  • @AtuganileMwaigomole
    @AtuganileMwaigomole Месяц назад +10

    Umenena wengi hatuna kadi tunambiwa hamna

  • @yusufsong7993
    @yusufsong7993 Месяц назад +7

    Cha kufanya jezi akuna kununua basi iyo ndio dawa yao

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh Месяц назад +5

    Nikweli kaka yanga hawana hera Eng heris atajuta kuwaongoza watu wa ccm wanaopenda vya bule bule yanga nitimu ya siasa hawana hera

  • @user-wc6dl8kp9p
    @user-wc6dl8kp9p Месяц назад +5

    Umemsahau Mohamed Mwameja Idd Pazzi

  • @moseshaji1177
    @moseshaji1177 Месяц назад +9

    Jezi hatununui na uwanjani simba day hatwendi

    • @user-gx4if4dk3m
      @user-gx4if4dk3m Месяц назад

      Sem hauwendi ww wengine bado tunaendaa

    • @SADICKITHOMAS
      @SADICKITHOMAS Месяц назад +1

      hatuendi na wengi hawataenda Amin kwamba

    • @iddykivu1336
      @iddykivu1336 Месяц назад

      ​@@user-gx4if4dk3mNenda hujalazimishwa Kutokuenda Sisi Wenye Akili Timamu Hatuendi

    • @MilyaLemanda-lr2vu
      @MilyaLemanda-lr2vu Месяц назад

      Kuku wewe usiende mwenyewe nyani mzee wew

    • @bulugubujashi6378
      @bulugubujashi6378 Месяц назад

      Hatuendi hawa Jamaa wajinga sana

  • @franccoz94
    @franccoz94 Месяц назад +10

    BILAA MANGUNGU KUTOKA MADARAKANI SISI WANASIMBA HATUTANUNUA JEZI NA UWANJAN HATUENDI

  • @LilianMasilayo
    @LilianMasilayo Месяц назад +9

    Jezi atanunua mangungu na familia yake uwanjani ataenda mangungu na gsm mangungu njaa kali hana pakwenda

  • @AyubuKhalid
    @AyubuKhalid Месяц назад +9

    Mangungu Hana Kila kitu hataki kukoselewa.

  • @adilmohamed2117
    @adilmohamed2117 Месяц назад +5

    Gb tupo na ww jezi hamna kununua kaka tuna isusa mpka kielewe

  • @omarymtotela3751
    @omarymtotela3751 Месяц назад +2

    Mm nampenda mangungu muacheni bana yupo vizuri

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng Месяц назад +10

    Simba day waende hao viongozi waende peke yao kwa nini hawataki kusikiliza mashabiki viongozi waende wenyewe hiyo simba day

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot Месяц назад +8

    Mangungu ondoka

  • @Ommybabaa47
    @Ommybabaa47 Месяц назад +4

    MO +Magori+Barbara❤ Speed 200 Alhamdulillah

  • @YohanaMwakaje
    @YohanaMwakaje Месяц назад +12

    Naipenda Simba ila mangungu hatukutaki wewe nimchawi wetu sinunui jez 🤸

  • @vuauvae8552
    @vuauvae8552 Месяц назад +1

    Kwani Mungungu anakaa wapi tukamjazie nzi Geto kwake

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Месяц назад +6

    MANGUNGU SIMBA SIO TIMU YA MKEWE AONDOKE TU KUMA LA MAMAKE

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 Месяц назад +7

    Mangungu ni kimavi

  • @user-bf6tg3ji7t
    @user-bf6tg3ji7t Месяц назад +4

    Mbona Gb64 kama anapiga vilevi😂, ukifuatilia hata haelewi yani, simba inaitaji Maombi kwakwel

  • @user-kn7bo6iz4n
    @user-kn7bo6iz4n Месяц назад +6

    Mangungu ni mwehu

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 Месяц назад +3

    Mangungu mchawi wa simba kazee kipara haka kana maudhi . harafu kaking'ang'anzi hako

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 Месяц назад +3

    Hard drive ikingia virus memory inaanza kuchanganya ma file, inaanza kuwa slow katika ku process data. Illogical thinking. Ni kweli ana jitekenya na kucheka Mwenyewe.

  • @leonardlunguya7112
    @leonardlunguya7112 Месяц назад +3

    Mangungu laana itamwandama kama haachii timu.Masononeko ya watu anapataje usingizi huyu Mzee? Ana roho mbaya sana huyu Mangungu,yaani Kila mtu hakutaki lakini anakomaa tu na anapata usingizi.
    Huyu Mangungu mmmh

  • @omarysebwa8280
    @omarysebwa8280 Месяц назад +3

    Pambana Mangungu aweze kuondoka atuachie timu yetu sawa kiongozi?

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 Месяц назад +2

    Ngao tuliwachia kwa figisu ,mleteni boss wenu anatangaza biashara zake ,anapiga hela.msimu ujao kufa kupona ,team spirit.nyamaza kenge.shikaa mo fc ,tukutane uwanjani wengine tushacheza mpira wa kibongo,shirikisho fikeni hata nusu tuwapongeze.kenge wa jangwani.

  • @user-zh1fd8zv1x
    @user-zh1fd8zv1x Месяц назад +2

    Tugome kununua jezi zao na tusiende uwajani, uyo mangungu ndo sumu inayotusumbua asipotoka tugairi maswala yote yatimu

  • @user-xq8oo1qz3p
    @user-xq8oo1qz3p Месяц назад +3

    Azizi yupo Sana mzee

  • @protaspeter5371
    @protaspeter5371 Месяц назад +2

    Hata Fredy aondoke msimsahau hana ubora wa kuichezea simba,badae mtakuja kunikumbuka

  • @MICHAELLUHUNGA-oz1rh
    @MICHAELLUHUNGA-oz1rh Месяц назад +3

    Tuungane tusinunue jezi Wala kwenda uwanjani aende Mangungu na wahuni wenzie

    • @sadih5333
      @sadih5333 Месяц назад

      Wewe ni Yanga usituletee habari za kususia timu yetu ya damu.

  • @protaspeter5371
    @protaspeter5371 Месяц назад +2

    Mangungu atoke we Gb 64 umeanza uoga au umekula hela,mangungu abaki tena

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng Месяц назад +2

    Mnawafunga watu wanaopambania timu yao yani hi simba ni hovyooo sana wanaoteseka kwa Aajili ya timu yao wanazuiliwa kuongelea timu yao hi timu mbovu sana haki tena mimi tahama huu ni ujinga sana

  • @allysinge7096
    @allysinge7096 Месяц назад +2

    HUYU NDO ANASABABISHA MASHABIKI WA THIMBA WAONEKANE HAWAJUI WANATAKA NINI.... YAANI UKIMFATILIA KWA UMAKINI UTAGUNDUA ANATAKA KULAUMU LKN HAHUI ALAUMU NINI

  • @KASKOCHAWAPROMAX
    @KASKOCHAWAPROMAX Месяц назад +2

    Ni kweli somba yenu amnazo

  • @shabanikamchacho1949
    @shabanikamchacho1949 Месяц назад +3

    Kabla ya kumlaumu Mangungu turejee kwenye KATIBA yetu

  • @user-ps2om3fg8x
    @user-ps2om3fg8x Месяц назад +1

    Jb64 unanikosha sana, unalaumu weee mwisho wa siku unatambaaaa na usajili.

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 Месяц назад +2

    HIVI MANGUNGU HIYO SIMBA NI YA KWAKO? UNATAKA TUFANYAJE ILI UELEWE HATUKUTAKI KWENYE SIMBA YETU MWISHOWE UVUMULIVU UTATUSHINDA

  • @ZamizaKinyamkela
    @ZamizaKinyamkela Месяц назад +1

    Mangungu,ondoka kwa heshima,usingoje kufedheheshwa

  • @cornelkapinga8926
    @cornelkapinga8926 Месяц назад +2

    Mangungu aondoke

  • @YoabuNdabhaha
    @YoabuNdabhaha Месяц назад +2

    Majez watanunua wakina mangungu na familia yake

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Месяц назад

    SIMBA NGUVU MOJA🎉🎉🎉❤❤❤

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Месяц назад +2

    Wewe km ni kiongozi kwann hutaki kuambiwa ukweli? badala yakujenga timu nyie mnapoteza muda kuwajadili mashabiki nakuwafungia mashabiki hawajafurahishwa kabisa na hicho kitu. au mnataka mashabiki wasiende uwanjani? MUWE MNAKUBALI MABADILIKO NDY MAANA MNAFELI HAMTAKI UKWELI KUIGA CY DHAMBI IGENI KWA YANGA.

  • @adilmohamed2117
    @adilmohamed2117 Месяц назад +2

    Kifupi mangungu hutoki jezi utanunua mwenyewe tuwe wamoja

  • @daudhabona8897
    @daudhabona8897 Месяц назад +3

    Simba mna mikwara. Tukutane ngao ya jamii. 😊

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi9716 Месяц назад +2

    Kama hamniridhiki na viongozi acha neni na timu lao

  • @clarencemeena1628
    @clarencemeena1628 Месяц назад

    Mangungu amekosea sifa zote za kuwa Kiongozi, haiwezekani mashabiki wanampigia kelele nchi nzima lkn Bado ameshindwa kuwajibika, nafikiri kuna kitu kikubwa sana anakipata pale Simba

  • @AmiriMalenge-kc5jk
    @AmiriMalenge-kc5jk Месяц назад

    Unazungumzaaa halafu unaludi nyuma 😂😂😂 na bado na nimeitunza hii tukutane mwisho wa msimu Inshallah biidhinllah

  • @andrewmaiga4331
    @andrewmaiga4331 Месяц назад +2

    Umenena kweli,

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 Месяц назад

    Yule mzee na kamati ya maadili iondolewe ndiyo wachawi wetu

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng Месяц назад +5

    Mangungu Asipotoka uwanjani mashabiki tusiende tuweni wamoja wana simba

  • @omarysebwa8280
    @omarysebwa8280 Месяц назад +1

    Mangungu anatakiwa aondoke siyo aendelee kubaki, abaki ili iweje? Huyo Mzee ni kabila gani kwanza? Ili tujue asili ya kazi anazotakiwa kuzifanya? Maana siyo lazima aongoze klabu ya mpira

  • @LorynNila
    @LorynNila Месяц назад

    Movement iendelee like south africa mpaka waondoke amna kutafuta timu zingine waondoke tu

  • @user-yu2hh7kh8o
    @user-yu2hh7kh8o Месяц назад

    huyu mangungu huyu tunamshitakia mungu ahukumu

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 Месяц назад

    Huyo alikuwa mwanasiasa ana damu ya ccm kuachia ngazi mpaka muende nyumbani kwake mpige ngoma ndani ya siku 5 mkiimbwa hatukutaki mangungu

  • @malietamaliet
    @malietamaliet Месяц назад

    😂😂😂ety yanga ??? Sijasikia vizur jichanganye daima mbele nyuma mwiko tanben pande zenu tu na babra mwenyewe anawachamba ety oooh diarra aziz ki juzi walikua dodoma vip dodoma inapatikana kenya??

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Месяц назад

    Wanaogopa kufukuzwa kwanza serekali inakosea kuingiria mambo ya mchezo

  • @ramaMuhomba
    @ramaMuhomba Месяц назад

    Hapo cha msingi tukitaka kuonyesha nguvu za mashabiki tusinunue jezi wala simba day tusiende kujaza uwanja ndio tususie wote

  • @matronamushi7021
    @matronamushi7021 Месяц назад

    Mchekeshaji huyo...et Aziz Ki hayupo zuzu kama zuzu😂😂

  • @rashidmkoga3053
    @rashidmkoga3053 Месяц назад

    Mwaka huu jezi tuna mwachia mangungu na Mo wanunue wenyewe

  • @GentleGiant-pj2rk
    @GentleGiant-pj2rk Месяц назад

    Mangungu ndiye atakayeivusha Simba

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 Месяц назад +1

    Atununui jezi na uwanjani atuwendi

  • @johnmarwa4702
    @johnmarwa4702 Месяц назад

    We mbwa kweli kisugu kaangalie familia Acha taarabu

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Месяц назад

    Mm naomba mashabiki tusiende uwanjani Wala jezi tusinunue

  • @abdallahathumani3796
    @abdallahathumani3796 Месяц назад

    Mangungu hatumtaki bila yeye kuondoka pale tutashabikia simba yetu kwenye TV uwanjani wataenda viongozi wenyewe

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Месяц назад

    Pale Yanga palitokeaga mgogoro mkubwa sana, wakafukuzwa wachezaji wotee, wakaanza na vijana wadogoo kabisa ndo wakala 6 na simb ( ndo kibadeni akafunga 3) je mnayataka hayo?.

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Месяц назад

    Leo machawa mmeona ujinga wenu WASHABIKI WOTE UNGANENI UMOJA

  • @user-zi7ku2gs3h
    @user-zi7ku2gs3h Месяц назад

    Mangungu ana kigogo anaemsapoti kuiharibu simba asipotoka basi abaki na timu yak

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Месяц назад

    We mtu achana na maneno unasababisha migogoro simba

  • @LESHABAHATI
    @LESHABAHATI Месяц назад

    Nendeni nyie viongozi simba day mnatukosea sana

  • @maribahanyora8478
    @maribahanyora8478 Месяц назад

    Mi naona upande wapili walitaka wamtoe mangungu kama huamini mbona waliojiuzuru mbona wote wamerudi??

  • @JumanneMakaluti
    @JumanneMakaluti Месяц назад

    Nikisikia tu hilo jina la Mangungu au kuona hata mchoro wa sura yake basi moyo na nafsi yangu inachafukwa mnoooo!

  • @user-fg1gg3ec2o
    @user-fg1gg3ec2o Месяц назад

    Mangngu achia timu bana mpaka uchomewe nyumba

  • @erickmasumbuko3841
    @erickmasumbuko3841 Месяц назад

    Bwabwaja😂😂 tu ngao ya jamii sio mbali tutakutana😂😂😂

  • @ibrakulwa2737
    @ibrakulwa2737 Месяц назад

    Kuchanganyikiwa kubaya

  • @nkansionlinetv
    @nkansionlinetv Месяц назад

    mangungu asepe

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Месяц назад

    Wewe unawafanya yanga waendelea kuchochea fujo katika simba

  • @meshackthomas1341
    @meshackthomas1341 Месяц назад

    Hayo maneno ya kipuuzi kama haya. Ndo tatizo hayana uhalisia unasfia 0. Et Kwa sababu zipo nyingi 😂😂😂😂. Sifuri ni nini?

  • @YosiaKasabago255
    @YosiaKasabago255 Месяц назад

    Uwanjani ataenda Mangungu na mke wake

  • @mbogowambogosabaganga
    @mbogowambogosabaganga Месяц назад +1

    😢 5:54

  • @HAMIDURAMADHANI-ev5od
    @HAMIDURAMADHANI-ev5od Месяц назад

    Shondoooooooo😂😂😂😂😂😂😂

  • @zainabsimbamtoro6790
    @zainabsimbamtoro6790 Месяц назад

    Mimwe yewe Nataka kadi jamani Simba tuko Wengii

  • @ziadantara1345
    @ziadantara1345 Месяц назад

    Hakuna kununua jezi wala simba day

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Месяц назад

    Tumsikilize mangungu wanini

  • @peterjisema4222
    @peterjisema4222 Месяц назад

    GB 64 Kweli ni shabiki wa Simba ila kichwani hamnazo,ndio maana anaropoka na kutiwa ndani kwa kuwa huwa anaingia bila kufikiria.Mdomo huwa hauna ushirikiano na ubongo,anaongea kabla ya kufikiri huyu jamaa.Sielewi hata alivyokuwa anafundisha huko shuleni

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Месяц назад

    Sasa kaka yangu Gb 64 ninyi mnataka kufanya mikutano na maandamano kwani ninyi Chadema ? Mambo hayo wenyewe Tundu Lissu na Mbowe pamoja na Msigwa na Sungu ninyi Simba maandamano wapi na wapi nyie ngojeeni Tabu lele waaaaaa

  • @AdamGerson-hz2gs
    @AdamGerson-hz2gs Месяц назад

    Yanga ni Tim ya ccm

  • @valentinotemba505
    @valentinotemba505 Месяц назад

    Ningewa mchawi ngemloga mangungu huyu mzee spend hvi Simba n baba ake hili lizee bhna

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu Месяц назад

    MANGUNGU sio astahilikuwa kiongozi na nimamluki.

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p Месяц назад

    KAMA CCM INAKOSOLEWA ITAKUWA HUYO MANGUNGU ASIKOSOLOWE YEYE AKIWA NANI? KWELI TUMEROGWA. JEZI SINUNUI. SIMBA DAY SIENDI. MECHI ZA LIGI NA KIMATAIFA SITOHUDHURIA. SITOSAFIRI NA TIMU MECHI ZA MIKOANI NA NJE YA NCHI.

  • @papaahussein5263
    @papaahussein5263 Месяц назад

    Mangungu ni mpumbavu sana ila atarudi

  • @Ally-zz2hv
    @Ally-zz2hv Месяц назад

    Kutoa ni moyo sio utajiri gb64 jiliwaze tu

  • @CareenJulias-iu7tf
    @CareenJulias-iu7tf Месяц назад

    Kaka GB wewe Ni kiboko yao haswa. Umenyooka Kaka. Sasa viongozi wengine wa Simba kuweni makini tumesema Sana kuhusu huyu chizi Mangungu. Sasa Kuna hasara kubwa inakuja msimbazi. Mangungu hebu kuwa na hekima ya madaraka kwa Hali hii wewe Mangungu HAKUNA utakayemwongoza sasa akakuheshimu Kama mwenyekiti wao. TUACHIE TIMU YETU BASI.

  • @saddiqmageta7904
    @saddiqmageta7904 Месяц назад

    Hawa kuwasusia tu msimu mzima

  • @user-qy2me3yv9j
    @user-qy2me3yv9j Месяц назад

    Mangungu niwakupiga mawe nahicho kichwa kigumu

  • @omarymtotela3751
    @omarymtotela3751 Месяц назад

    Umeanza kuwaliwaza wenzio