Wachezaji wanne wabaki wengine wote kwa watoto wao huseni chemelone chama na ayoubu lakred Patrick mwenda wabaki akina kapombe ngoma micqison onana babacar sir balua mzamiru kanoute waondoke tu na viongozi
Safi sana Gb64 kungekuwa na Wanachama angalau 20 wenyeakili kama wewe Simba isingefika hapa ilipo lkn akina kisugu wanatumika kutugawa mashabiki na ndio hii ya Leo,Mo atoke hadharani atuambie kwa nini timu ipo hivi kama anaona anapata hasara aseme kama hawezi Tena kujifanya simba isonge mbele aiache ama bodi ivunjwe
nyieee TATU TU fukuzeeni hayoo majiziii mapigaa helaaa tu hakuna uongoziii hapo hata huyoo msomalii ragee anashomboo sanaa juu yetu ila badoo hamjasemaa na mpakaa mtasemaa tu😂😂😂😂😂😂😂
Hawa ni waislam.gani.maagizo ya bwana.mtume s.a.s viongozi.mkisemwa.semwa.uongozi.wenu.ndio.unakua umekoma.hawa viongozi wa.simba.vip ila sikio lakufa.halisikiidawa.yatawakuta tu
Wee mjinga Simba hawajakosa fedha za usajili wala Preasison fedha ipo ila upigaji wa fedha ktk usajili fedha inatoka watu wanaleta wachezaji wa viwango vya chini.
Aikilizeni jamani mm naona hiyo ni kudra ya mungu lakini wala sio ajabu ziko yim kubwa kama bayan munic , man u, mbona zipo katika hali kama hiyo asanal pia ni ni shida hauwezi kuwa wa kwanza tu wakati hujaumbwa pekeyako#simba nguvu moja mbele kwa mbele
NYIE VIONGOZI KWANI HAMUONI MASHABIKI WANAKUFA SABABU YA SIMBA? MO ANASEMA ANATOA HELA NYIE MNAKULA MNAWASAJILI MNAOWAJUA NYIE KWANN MSIIGE UONGOZI WA YANGA?
Wewe magungu kwani simba ni mali ya baba yako au ni mkeo una kiapo cha kutenganishwa na kifo tutanzisha maadamano tukutukane mpaka utuachie simba yetu wezako tumechoka maisha ya kumpigia mtu magoti tueleze ukweli hera Ya usajili inatoka au haitoki na kama inatoka inatosheleza?kifupi ni kwamba Wewe na huyo muwekezaji wako hatuwaelewi ondokeni tujichange tufanye usajili
Kwani pesa za Super League zilienda wapi? Na pesa ya robo fainali imeenda wapi? Kwa pesa hiyo ngoja tuone wachezaji watakao sajiliwa msimu ujao. Na wakati wa kusajili ni sasa tulipaswa kuwa tumekamilisha ili wawahi Preseason. Wakisajili midebwedo tena basi mimi nitahamia Azam. Sipendi aibu kama hii inikute tena.
Tunaoshabikia miaka mingi tunafahamu raha na maumivu. Hizi timu unazoziona bora sasa na zenyewe kuna kipindi zitapitia magumu. Sasa utakuwa unahama timu ngapi? Simba forever.
😂una akili sana GB ongea kaka kila siku unatupa madini vitu adimu sana big up
mwamba nakukubali sana bro ❤❤❤
Mimi J k mbwambo namsapoti GB 64 tatizo niviongozi kwaheshima wajihuzuluwenyewe bilakutumia mabavu❤simba
Mm niwaombe mangungu na tray again hebu jiuzuluni tafadhalini ili heshima zenu zibaki please tunamuombeni jitoweni wenyewe
mwamb we ni noma yani mpak hapo wasipokuelewa wana nia mbaya na ss ktk timu yetu
kweli kabis 4g😊😊😮
Kaka Asante Mashabiki tunaumia sana
Big up kaka
Simba haina mashabiki mil 20 kinachopoza Simba, ni kubaki na na historia na kujipa sifa za kitoto. Mtaumia sanaaaaa UMBEA FC
Mimi nafikiri tatizo ni mo hatoi Pesa na bahati mbaya sana magungu anaamini simba bila mo haiwezekani
Viongozi wa Simba wote waondoke wengine waingie
Tunalia kaka angu. Gb 😢😢
Jamani mashabiki tunaumia lkn hatuna namna tujipange mwakani Simba nguvu moja
Jaman sis machabiki tunaumia kweli
waondoke hao haraka ni shida kabisa
mo aondoke atuachie timu yetu,tutachanga hata elf 50000 kila mshabiki maana tunaipenda
Ndio maana tulistuka kumpatia mo hati ya simba. Pumbafu kabisa. Yeye mo na mabasha wake ty agan na mangungu wote mabasha wanamfila mo
Rahaaaa sanaaa jinsiii mnyootaabikaaa ss furahaaaa sanaa mungu atulindeee na chiki zenuu😅😅😅😅😅
timu itapotea hii...
Wachezaji wanne wabaki wengine wote kwa watoto wao huseni chemelone chama na ayoubu lakred Patrick mwenda wabaki akina kapombe ngoma micqison onana babacar sir balua mzamiru kanoute waondoke tu na viongozi
Safi sana Gb64 kungekuwa na Wanachama angalau 20 wenyeakili kama wewe Simba isingefika hapa ilipo lkn akina kisugu wanatumika kutugawa mashabiki na ndio hii ya Leo,Mo atoke hadharani atuambie kwa nini timu ipo hivi kama anaona anapata hasara aseme kama hawezi Tena kujifanya simba isonge mbele aiache ama bodi ivunjwe
nyieee TATU TU fukuzeeni hayoo majiziii mapigaa helaaa tu hakuna uongoziii hapo hata huyoo msomalii ragee anashomboo sanaa juu yetu ila badoo hamjasemaa na mpakaa mtasemaa tu😂😂😂😂😂😂😂
Hawa ni waislam.gani.maagizo ya bwana.mtume s.a.s viongozi.mkisemwa.semwa.uongozi.wenu.ndio.unakua umekoma.hawa viongozi wa.simba.vip ila sikio lakufa.halisikiidawa.yatawakuta tu
Gb,iv,mgynda,hatosh,adimlete,mzung,na,matola,hamend,mgunda,matola,asepe,twqmtaka,mgnda,
Viongozi makalio tu hao
Mo ni BOSS AU BOX
TAPELI LA HESHIMA.
Kwakweri inauma sana simba wamejaa wezi tu hapo
WOTE WEZI NA VIBARAKA WA UTOPOLO
Munafukuza makocha kumbe wachezaj ovyo
Hatuna uongozi Simba,mnatuumiza xana mashabik kiukweli
Wee mjinga Simba hawajakosa fedha za usajili wala Preasison fedha ipo ila upigaji wa fedha ktk usajili fedha inatoka watu wanaleta wachezaji wa viwango vya chini.
MPAKA MO MPIGAJI ANATOWA ANATOWA B MOJA ANAWAPA WALAJI WAPIGE ZAO KISHA ANATANGAZA KATOWA B 5 WOTE MAFISADI TU.
Sasa hapo mlichombishia ni nini hapo?? Nyote mabwege tuuu
@@MansourKabuhaya BWEGE MWENYEWE
@@salimmalaka256 sawa umemaliza???
Wewe hunaakili muache jb 64 aongee anaongea point sana wewe hayakuhusu bwege wewe
Ila huyu mtu ana akili!
WEWE JUWA MIMI BILIONI MOJA PATA GUNIA NGAPI YA DENGU??? AU PATA GUNIA NGAPI YA CHOROKO??? 😂😂😂😂😂 WEWE TAKA FURAHIA KOMBE TU 😂😂😂😂 SWAHILI JINGA SANA.
😂😂😂😂
Aikilizeni jamani mm naona hiyo ni kudra ya mungu lakini wala sio ajabu ziko yim kubwa kama bayan munic , man u, mbona zipo katika hali kama hiyo asanal pia ni ni shida hauwezi kuwa wa kwanza tu wakati hujaumbwa pekeyako#simba nguvu moja mbele kwa mbele
Faza tuandamaneni kuupinga uongozi 😮😮😮hata huyo Semapigaji ni msaliti
Andamana uwekwe ndani, utaulizwa we timu inakuhusu nn, si ufanye kazi zako????? We ni mchezaji au mtazamaji mpenzi
Wanangangania Nini? Watu hawataki si muondoke tu mmeferi
hao wapumbavu waondoke tu hapo simba watuachie simba yetu maana niwapigaji tu hao pia hao ni wapigaji
Ila pia wanachama wengine wajiondoe akina kisugu
Heritage msenne mwenyewe..ndo uzuri wa kumwachia mtu 1 club
Sisi waingereza ndo misemo yetu 😂😂😂
Elewaneni tu jamani mtatukuta mwakani sawa we Tatu !
Huyu jamaa anasema maneno ya maana lazima watu wamsikilize
Natamani nikutane na mangungu nimpige
NYIE VIONGOZI KWANI HAMUONI MASHABIKI WANAKUFA SABABU YA SIMBA? MO ANASEMA ANATOA HELA NYIE MNAKULA MNAWASAJILI MNAOWAJUA NYIE KWANN MSIIGE UONGOZI WA YANGA?
Wewe magungu kwani simba ni mali ya baba yako au ni mkeo una kiapo cha kutenganishwa na kifo tutanzisha maadamano tukutukane mpaka utuachie simba yetu wezako tumechoka maisha ya kumpigia mtu magoti tueleze ukweli hera Ya usajili inatoka au haitoki na kama inatoka inatosheleza?kifupi ni kwamba Wewe na huyo muwekezaji wako hatuwaelewi ondokeni tujichange tufanye usajili
Unawezaje kumpangia boss matumizi ya hela yake?,Hiyo timu ni ya MO alishainunua au mmesahau??
jamaa ni kichwa msimpuuze
Caca watoke2
Huyo jamaa hana madini
Tatizo lako MATUSI, watukane baba na mama yako.
DADEKI 😅
Wewe dogo funga domo lako wacha kuzunguwua wewe. Yanga tunajuwa mshabiki mandazi
Bola angemweka babla mwanamke imala
WAPIGAJI WAMEMPIGA VITA BABRA
hao ni wanyonyaji tuu
Kwani pesa za Super League zilienda wapi? Na pesa ya robo fainali imeenda wapi? Kwa pesa hiyo ngoja tuone wachezaji watakao sajiliwa msimu ujao. Na wakati wa kusajili ni sasa tulipaswa kuwa tumekamilisha ili wawahi Preseason. Wakisajili midebwedo tena basi mimi nitahamia Azam. Sipendi aibu kama hii inikute tena.
Tunaoshabikia miaka mingi tunafahamu raha na maumivu. Hizi timu unazoziona bora sasa na zenyewe kuna kipindi zitapitia magumu. Sasa utakuwa unahama timu ngapi? Simba forever.
BORA MTU ASIWE NA TIMU KABISA KULIKO USENGE HUU
Very facts
wamezoa kunyona
Kuna mbunge ana hiyo pesa wewe? Kila wakati jaziba mtupu
Sisi simba viongozi wasanii
SIO WASANII NI WEZI MAFISADI
Mia basi