GB64 AVURUGWA: WACHARUKIA VIONGOZI SIMBA KUSHIKA NAFASI YA3 MANGUNGU, TRY AGAIN, MO WAMEYATAKA HAYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 72

  • @SimonSanka-os2wc
    @SimonSanka-os2wc 3 месяца назад +7

    😂una akili sana GB ongea kaka kila siku unatupa madini vitu adimu sana big up

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo2794 3 месяца назад +1

    mwamba nakukubali sana bro ❤❤❤

  • @jumakengia1070
    @jumakengia1070 2 месяца назад

    Mimi J k mbwambo namsapoti GB 64 tatizo niviongozi kwaheshima wajihuzuluwenyewe bilakutumia mabavu❤simba

  • @user-hi5hi7nt3b
    @user-hi5hi7nt3b 3 месяца назад +4

    Mm niwaombe mangungu na tray again hebu jiuzuluni tafadhalini ili heshima zenu zibaki please tunamuombeni jitoweni wenyewe

  • @SophiaMhina
    @SophiaMhina 3 месяца назад

    mwamb we ni noma yani mpak hapo wasipokuelewa wana nia mbaya na ss ktk timu yetu

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s 3 месяца назад +1

    kweli kabis 4g😊😊😮

  • @SamwelMagala
    @SamwelMagala 3 месяца назад +2

    Kaka Asante Mashabiki tunaumia sana

  • @saidizuber8831
    @saidizuber8831 3 месяца назад

    Big up kaka

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 3 месяца назад

    Simba haina mashabiki mil 20 kinachopoza Simba, ni kubaki na na historia na kujipa sifa za kitoto. Mtaumia sanaaaaa UMBEA FC

  • @user-gp3pm4qp5y
    @user-gp3pm4qp5y 3 месяца назад

    Mimi nafikiri tatizo ni mo hatoi Pesa na bahati mbaya sana magungu anaamini simba bila mo haiwezekani

  • @user-fl7jl7vk3n
    @user-fl7jl7vk3n 3 месяца назад +2

    Viongozi wa Simba wote waondoke wengine waingie

  • @user-wp9wf3et1n
    @user-wp9wf3et1n 3 месяца назад

    Tunalia kaka angu. Gb 😢😢

  • @beatricembunda6168
    @beatricembunda6168 3 месяца назад

    Jamani mashabiki tunaumia lkn hatuna namna tujipange mwakani Simba nguvu moja

  • @user-qr4wv2cm7q
    @user-qr4wv2cm7q 3 месяца назад +2

    Jaman sis machabiki tunaumia kweli

  • @jofreysikomele7056
    @jofreysikomele7056 3 месяца назад +2

    waondoke hao haraka ni shida kabisa

  • @knowledgeispower1118
    @knowledgeispower1118 3 месяца назад +1

    mo aondoke atuachie timu yetu,tutachanga hata elf 50000 kila mshabiki maana tunaipenda

  • @user-tg2dj2vi7w
    @user-tg2dj2vi7w 3 месяца назад

    Ndio maana tulistuka kumpatia mo hati ya simba. Pumbafu kabisa. Yeye mo na mabasha wake ty agan na mangungu wote mabasha wanamfila mo

  • @hemedrashid2921
    @hemedrashid2921 3 месяца назад

    Rahaaaa sanaaa jinsiii mnyootaabikaaa ss furahaaaa sanaa mungu atulindeee na chiki zenuu😅😅😅😅😅

  • @BahatiChidawali
    @BahatiChidawali 3 месяца назад

    timu itapotea hii...

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 3 месяца назад

    Wachezaji wanne wabaki wengine wote kwa watoto wao huseni chemelone chama na ayoubu lakred Patrick mwenda wabaki akina kapombe ngoma micqison onana babacar sir balua mzamiru kanoute waondoke tu na viongozi

    • @kassimntara6901
      @kassimntara6901 3 месяца назад

      Safi sana Gb64 kungekuwa na Wanachama angalau 20 wenyeakili kama wewe Simba isingefika hapa ilipo lkn akina kisugu wanatumika kutugawa mashabiki na ndio hii ya Leo,Mo atoke hadharani atuambie kwa nini timu ipo hivi kama anaona anapata hasara aseme kama hawezi Tena kujifanya simba isonge mbele aiache ama bodi ivunjwe

  • @hemedrashid2921
    @hemedrashid2921 3 месяца назад

    nyieee TATU TU fukuzeeni hayoo majiziii mapigaa helaaa tu hakuna uongoziii hapo hata huyoo msomalii ragee anashomboo sanaa juu yetu ila badoo hamjasemaa na mpakaa mtasemaa tu😂😂😂😂😂😂😂

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh 3 месяца назад +2

    Hawa ni waislam.gani.maagizo ya bwana.mtume s.a.s viongozi.mkisemwa.semwa.uongozi.wenu.ndio.unakua umekoma.hawa viongozi wa.simba.vip ila sikio lakufa.halisikiidawa.yatawakuta tu

    • @HasaniMayunga-vq4tm
      @HasaniMayunga-vq4tm 3 месяца назад +1

      Gb,iv,mgynda,hatosh,adimlete,mzung,na,matola,hamend,mgunda,matola,asepe,twqmtaka,mgnda,

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h 3 месяца назад +1

    Viongozi makalio tu hao

  • @alfoncejohn2104
    @alfoncejohn2104 3 месяца назад +1

    Mo ni BOSS AU BOX

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 3 месяца назад +1

    Kwakweri inauma sana simba wamejaa wezi tu hapo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 месяца назад +1

      WOTE WEZI NA VIBARAKA WA UTOPOLO

  • @IslahiMohamed-qi2jf
    @IslahiMohamed-qi2jf 3 месяца назад +2

    Munafukuza makocha kumbe wachezaj ovyo

  • @KarimuKalinga
    @KarimuKalinga 3 месяца назад

    Hatuna uongozi Simba,mnatuumiza xana mashabik kiukweli

  • @user-wc6dl8kp9p
    @user-wc6dl8kp9p 3 месяца назад +2

    Wee mjinga Simba hawajakosa fedha za usajili wala Preasison fedha ipo ila upigaji wa fedha ktk usajili fedha inatoka watu wanaleta wachezaji wa viwango vya chini.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 месяца назад +1

      MPAKA MO MPIGAJI ANATOWA ANATOWA B MOJA ANAWAPA WALAJI WAPIGE ZAO KISHA ANATANGAZA KATOWA B 5 WOTE MAFISADI TU.

    • @MansourKabuhaya
      @MansourKabuhaya 3 месяца назад

      Sasa hapo mlichombishia ni nini hapo?? Nyote mabwege tuuu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 месяца назад

      @@MansourKabuhaya BWEGE MWENYEWE

    • @MansourKabuhaya
      @MansourKabuhaya 3 месяца назад

      @@salimmalaka256 sawa umemaliza???

    • @raymondmoma2485
      @raymondmoma2485 3 месяца назад +1

      Wewe hunaakili muache jb 64 aongee anaongea point sana wewe hayakuhusu bwege wewe

  • @dicksondkaganga1290
    @dicksondkaganga1290 3 месяца назад +1

    Ila huyu mtu ana akili!

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 3 месяца назад +1

    WEWE JUWA MIMI BILIONI MOJA PATA GUNIA NGAPI YA DENGU??? AU PATA GUNIA NGAPI YA CHOROKO??? 😂😂😂😂😂 WEWE TAKA FURAHIA KOMBE TU 😂😂😂😂 SWAHILI JINGA SANA.

  • @makamelila
    @makamelila 3 месяца назад

    Aikilizeni jamani mm naona hiyo ni kudra ya mungu lakini wala sio ajabu ziko yim kubwa kama bayan munic , man u, mbona zipo katika hali kama hiyo asanal pia ni ni shida hauwezi kuwa wa kwanza tu wakati hujaumbwa pekeyako#simba nguvu moja mbele kwa mbele

  • @hamisiyoyo5847
    @hamisiyoyo5847 3 месяца назад +1

    Faza tuandamaneni kuupinga uongozi 😮😮😮hata huyo Semapigaji ni msaliti

    • @MansourKabuhaya
      @MansourKabuhaya 3 месяца назад

      Andamana uwekwe ndani, utaulizwa we timu inakuhusu nn, si ufanye kazi zako????? We ni mchezaji au mtazamaji mpenzi

  • @user-oo8tn1vh1r
    @user-oo8tn1vh1r 3 месяца назад

    Wanangangania Nini? Watu hawataki si muondoke tu mmeferi

  • @HemedMjema
    @HemedMjema 3 месяца назад

    hao wapumbavu waondoke tu hapo simba watuachie simba yetu maana niwapigaji tu hao pia hao ni wapigaji

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 3 месяца назад

    Ila pia wanachama wengine wajiondoe akina kisugu

  • @user-jn3nf7uw1w
    @user-jn3nf7uw1w 3 месяца назад

    Heritage msenne mwenyewe..ndo uzuri wa kumwachia mtu 1 club

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 3 месяца назад

    Sisi waingereza ndo misemo yetu 😂😂😂

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 3 месяца назад

    Elewaneni tu jamani mtatukuta mwakani sawa we Tatu !

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps 3 месяца назад

    Huyu jamaa anasema maneno ya maana lazima watu wamsikilize

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 3 месяца назад

    Natamani nikutane na mangungu nimpige

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 3 месяца назад

    NYIE VIONGOZI KWANI HAMUONI MASHABIKI WANAKUFA SABABU YA SIMBA? MO ANASEMA ANATOA HELA NYIE MNAKULA MNAWASAJILI MNAOWAJUA NYIE KWANN MSIIGE UONGOZI WA YANGA?

  • @user-gp3pm4qp5y
    @user-gp3pm4qp5y 3 месяца назад

    Wewe magungu kwani simba ni mali ya baba yako au ni mkeo una kiapo cha kutenganishwa na kifo tutanzisha maadamano tukutukane mpaka utuachie simba yetu wezako tumechoka maisha ya kumpigia mtu magoti tueleze ukweli hera Ya usajili inatoka au haitoki na kama inatoka inatosheleza?kifupi ni kwamba Wewe na huyo muwekezaji wako hatuwaelewi ondokeni tujichange tufanye usajili

  • @suleimanjokoro
    @suleimanjokoro 3 месяца назад

    Unawezaje kumpangia boss matumizi ya hela yake?,Hiyo timu ni ya MO alishainunua au mmesahau??

  • @jofreysikomele7056
    @jofreysikomele7056 3 месяца назад +1

    jamaa ni kichwa msimpuuze

  • @IsackMahenga
    @IsackMahenga 3 месяца назад +1

    Caca watoke2

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps 3 месяца назад

    Huyo jamaa hana madini

  • @user-rq4fq4pw4y
    @user-rq4fq4pw4y 3 месяца назад

    Tatizo lako MATUSI, watukane baba na mama yako.

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 3 месяца назад

    DADEKI 😅

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 3 месяца назад

    Wewe dogo funga domo lako wacha kuzunguwua wewe. Yanga tunajuwa mshabiki mandazi

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c 3 месяца назад +1

    Bola angemweka babla mwanamke imala

  • @jofreysikomele7056
    @jofreysikomele7056 3 месяца назад +1

    hao ni wanyonyaji tuu

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 3 месяца назад +1

    Kwani pesa za Super League zilienda wapi? Na pesa ya robo fainali imeenda wapi? Kwa pesa hiyo ngoja tuone wachezaji watakao sajiliwa msimu ujao. Na wakati wa kusajili ni sasa tulipaswa kuwa tumekamilisha ili wawahi Preseason. Wakisajili midebwedo tena basi mimi nitahamia Azam. Sipendi aibu kama hii inikute tena.

    • @bahatimshali2731
      @bahatimshali2731 3 месяца назад

      Tunaoshabikia miaka mingi tunafahamu raha na maumivu. Hizi timu unazoziona bora sasa na zenyewe kuna kipindi zitapitia magumu. Sasa utakuwa unahama timu ngapi? Simba forever.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 месяца назад +1

      BORA MTU ASIWE NA TIMU KABISA KULIKO USENGE HUU

    • @HamzaAlly-tu7ju
      @HamzaAlly-tu7ju 3 месяца назад +1

      Very facts

  • @jofreysikomele7056
    @jofreysikomele7056 3 месяца назад

    wamezoa kunyona

  • @user-rq4fq4pw4y
    @user-rq4fq4pw4y 3 месяца назад

    Kuna mbunge ana hiyo pesa wewe? Kila wakati jaziba mtupu

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb 3 месяца назад

    Sisi simba viongozi wasanii

  • @user-pk4qq6kn9c
    @user-pk4qq6kn9c 3 месяца назад

    Mia basi