TAZAMA NDARO NA LEONARDO WALIVYOZICHAPA/BEEF ZITO/NDARO ATOKA NDUKII/WATAMBIANA NAN MKALI KUCHEKESHA
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- WAZTAZAMA NDARO NA LEONADO WALIVYOZICHAPA/BEEF ZITO/NDARO ATOKA NDUKII/WATAMBIANA NANI MKALI KUCHEKESHA #NDARO #LEONADO #chekatu #utacheka #ndaroleonado #carrymastorytv #ndarowakizichapa #ndaronaleonadowakizichapa #leonard #ndaroleonardo
Kwenye stande up leonardo yuko vizuri zaidi ya ndaro.kwenye comedie za mitaani ndaro yuko vizuri sana.chapeni kazi vijana achaneni nahao watangazaji taarabu.
Makini
Kweli
Ila leonard hayuko serious😃😃😃
Wote wapo vzr nawapenda sana haswa wakiwa pamoja
Yani nakubali sana Leonardo mana uyu jamaha ni smart sana
Ndaro is the best comedian
Usifanyeeeeee ndaro waandishi wa Habari wanafki sanaaaa
Waandishi wa habari mnakosea sana yan mnatengeneza bifu kilazima
Leornado hajawai kuwa seriouse,,,thts the comedy we want now,,,sio kuwa seriouse na wewe ni comedian,,ila nyote mko vizuri,,sema utofauti ni bidii ya mazoezi na kipaji Cha kuzaliwa nacho
Leornado amezaliwa comedian na ww ndaro zidi kufanya zoezi
Au tafuteni advices kwa best comedians in Kenya how they react✌️✌️
Nakushika na nakushikashika 🤣🤣🤣🤣
Kazi nzuri zinazokuja kutoka kwa ndaro na Leonardo maana tayari mshatengeza introduction
Eti nimekimbia moment kwanza 😅😂😅😂
Et tathnia ya comedy imeingiliwa na mwqlm ndaro😅😅😅😅
Leonard acha vurugu ogopa waty wakimya wew jifunze kwa waty mbn unasifaa broo acha sifa
Kama kweli mmegombana mie sijapenda,,,napenda Saana kazi zenu
😂😂😂😂😂 Leo .. cjui mda Gani tupo serous me naona tu anachekeshaa😂😂
Ndaro bado sana kwa leornado
Kiukweli anajua sana
Leonardo anajua sana
Ndaro ni mnyama
Yaan hawa hawajui chochote, sanaa yakishamba saa hii wanayotak kutuonesha
I love this guys Leo and Ndaro👌
Ila waandishi nao wachonganishi sana
Wanahabari wa bongo wengi wachonganishi sana adi mnakera aisee 😎
Team Leonardo tujuane
👇
Lrleonrdo pesa iyo sasa weka kwenye tofar
Waandish wa habari kumbe wambea ivi acheni ushamba ndaro yupo vizuri nyiee acheni umama
Ukute Kiki ya kubrand show ohoo
Hhhhh uyo ndaro ni kama anamawivu flan iv af pia kam mmesanuka nikwel anamwogopa Leonard hhhhh😂
Ndaro asa mihasira ya nn😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Halafu Ndaro yupo serious kweli
Waandishi wachonganishi sanaa
Mwanaume anasema hataki😂😂😂😂👐👐👐
Ila Leonard 😂😂😂😂😂😂khaaaaaaaaa
Waandishi wa bongo cjui wanasomea na wapi tuu asei...ndaro mkali saana namkbl cema hakuna ndaro bila leonardo🤪🤪🤪
safi ndaro
hv hawa wana beef kweli au,maan walikuwa mabest sana mbona ghafla sana hivo
Waqndiahi wa habari wasenge kwelii yaan wanawachonganisha watu aisee
Kwan n kweli ama utani 😂😂
Uniwezi kiuchawi😅😅😅
Roasting ambaz wakiw pamoj n nzur mnooooo
What a volley ❤❤
🤣🤣🤣🤣 aka kajamaa kanachekesh jinsi kalivoo
Ndaro kakua nifund Sanaa bajibu kiutu uzma kuliko mtu mwenye watoto
Ndaro kamaindi,
Ukimaindi bila sababu mbele ya wanaume wenzako au watu iyo ni point ya udhaifu(uwoga).😂
Hajamaindii na yy anaigiza tu muangalie akiondoka kwenye cameras anacheka añgalia vzr utaagundua hicho kitu
Kiukweli hili battle ni atar ndaro asili yetu wa kigoma wa bishi kweli lakini ku panic kwa reply za nduguyo huyu best wako kaka kama ni kick watu wa cuba tuna elewa njoo uchukue uchawi ziwani na lime jaa
Sema hao wanaochonganisha ni makolo sana aseee
Hapo kwenye menye menye...(menejment)
Uyu Leonard ahache ujinga awezi mfikia ndaro kwa chochote
Huyu Leonardo kumbe ni mjinga sana Sasa mnamlazimishaje mtu agombane na mtu waandiahi wa habari nao mabwege wote
Hawa gombani wote wapo kwenye matani angalia vzr utagundua ndaaro anacheka akiondoka kwenye camera
madogo zangu acheni utoto huo pigeni kazi....
Leonard hajui
Na huyu Leonard kama mtoto na sifa nyingii mara maraa khee
Wanatuchora mapimbi ao
Leonard ❤
Yani ndaro bana😂😂😂😂
Leornado kiboko ❤😊
Ndaro amekasirika kweli 😮 ata upendezi kuwa hivo
Kwel anaonyesha zahir kua hamuwez Leonardo 😅
😂😂😂
KUMBE WASU MKEREBHE
Hii imepangwa aliemuona ndaro wakati anapita alikua anacheka like hapa😂😂😂😂
Anasoma aibu
Wahaa wabishi jamini
Kama umegundua kma mm gonga like angalieni video vizur ndaro aanacheka akiondoka kwenye camera
Leonardo we ni mkali sana. Ndaro pia mwamba kweli kabisa. ila wewe ni ju kumuzidi Ndaro
Waandishi wahabari unafiki upo kwa damu mpka hapo mmezingua sana rudini shule tena mkajiongeze mnashida
Mmebase upande mmoja tu wanafiki hadi so poa
Ndora is the best
Ndaro kakasilika kweli yaani
Hajakasirika anaigiza angalia vzr ukiondoka kwenye camera unagundua anacheka
Achaneni na hao watangazaji fanyeni kazi
Is that real guys 😯😯 in need your answers
Acha usenge ndaro mnamfananisha nawapumbavuu
Acheni kutuingizia
Anaogopa lol 😂😅
Bongo kazi awafanyi mpaka kwanza wafanye kiki ndio baadae kazi
Afu Kuna wanaojua ety Wana bifu kweli wakati ni inatengenezwa2 ku push comedy ya bongo😂hawana bifu Wala nn
Leonard umejishusha Sana kaka
KWANI lonardo ninani Congo hatumujuwi fala wewe acha ndaro🇨🇩
Huyu leonard sifa zimemzidiii
Yan aka kadog anawajua Waha kwel😂
Nmemdharau leonardo
Leo the best
Mashindano ni siku gani?
Ovyooooooooooo, yaan kazi ya ugombanoshi tuu hmna lolote, fanyeni ya maana acheni kugombanisha watu , maadui wakubwa nyinyi.
Ndaro anajinunisha
Is that real guys or they're just joking
Ndaro do tunamtambua
Hii imepangwa iwe hivo wasituchezee akili
Kiki😂😂🙌
Leonardo Ana tafuta kipigo
Ety kwetu ukerewe ujue
Kwani kuwa na mtoto ndo kuwa na nguvu za kiume kumbe 😅
Tunajua sio bifu mchongo tu alafu mkituchekesha tumacheka hadi kingwendu anachekesha nado achaukocho kingeleza nn maku ww
Leonardo anajikut kinyama an
Mbona kama leonardo anajisikia hivii
Mmh asa kajiskia wapi kijana anabattle😂😂😂😂
😀😀😀😀😀😀
Leonardo hawezi kuacha masihara
mtangazj zombi
Leonardo nimegunduwa ni mtoto, kingeleza sio kitu chakujivunia
Acha ujinga wewe Leonard mtoto mdogo
😅😅😅
Hawa waandishi walisomea uandishi au mbn wa hovyo? Hivi
❤❤🎉😂😂😂🎉
👇
Mmm😂
Ndaro Yuko sahih kabisa mnaoona leonado na wandish wako sahih fikilien vizur hamjui ndaro alikuw kwenye mishe gan hapoharaf mnamvamia huenda ana mambo yake hapo na ndo maana Yuko silias hata kama niwew
Vjitu vyembamba vkorafi