TAZAMA NDARO NA LEONARDO WALIVYOZICHAPA/BEEF ZITO/NDARO ATOKA NDUKII/WATAMBIANA NAN MKALI KUCHEKESHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • WAZTAZAMA NDARO NA LEONADO WALIVYOZICHAPA/BEEF ZITO/NDARO ATOKA NDUKII/WATAMBIANA NANI MKALI KUCHEKESHA #NDARO #LEONADO #chekatu #utacheka #ndaroleonado #carrymastorytv #ndarowakizichapa #ndaronaleonadowakizichapa #leonard #ndaroleonardo

Комментарии • 131

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 4 месяца назад +20

    Kwenye stande up leonardo yuko vizuri zaidi ya ndaro.kwenye comedie za mitaani ndaro yuko vizuri sana.chapeni kazi vijana achaneni nahao watangazaji taarabu.

  • @MiddyTuesday-on8jp
    @MiddyTuesday-on8jp 4 месяца назад +19

    Ila leonard hayuko serious😃😃😃

  • @ShamsaOmary-l9g
    @ShamsaOmary-l9g 3 месяца назад +5

    Wote wapo vzr nawapenda sana haswa wakiwa pamoja

  • @ibraimoselemane17ibraimo29
    @ibraimoselemane17ibraimo29 4 месяца назад +12

    Yani nakubali sana Leonardo mana uyu jamaha ni smart sana

  • @Zpauljr994
    @Zpauljr994 4 месяца назад +12

    Ndaro is the best comedian

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 4 месяца назад +11

    Usifanyeeeeee ndaro waandishi wa Habari wanafki sanaaaa

  • @gaudeciajackson8398
    @gaudeciajackson8398 4 месяца назад +10

    Waandishi wa habari mnakosea sana yan mnatengeneza bifu kilazima

  • @Mouse-bw9xx
    @Mouse-bw9xx Месяц назад

    Leornado hajawai kuwa seriouse,,,thts the comedy we want now,,,sio kuwa seriouse na wewe ni comedian,,ila nyote mko vizuri,,sema utofauti ni bidii ya mazoezi na kipaji Cha kuzaliwa nacho
    Leornado amezaliwa comedian na ww ndaro zidi kufanya zoezi
    Au tafuteni advices kwa best comedians in Kenya how they react✌️✌️

  • @shadracksinody
    @shadracksinody 4 месяца назад +6

    Nakushika na nakushikashika 🤣🤣🤣🤣

  • @AmanJuma-qj5yy
    @AmanJuma-qj5yy 4 месяца назад +5

    Kazi nzuri zinazokuja kutoka kwa ndaro na Leonardo maana tayari mshatengeza introduction

  • @PascalChales-r7o
    @PascalChales-r7o 3 месяца назад +2

    Eti nimekimbia moment kwanza 😅😂😅😂

  • @MagdalineProsper
    @MagdalineProsper 4 месяца назад +4

    Et tathnia ya comedy imeingiliwa na mwqlm ndaro😅😅😅😅

  • @EsterLuchanganya
    @EsterLuchanganya 3 месяца назад +2

    Leonard acha vurugu ogopa waty wakimya wew jifunze kwa waty mbn unasifaa broo acha sifa

  • @Tiba-dk9wm
    @Tiba-dk9wm 2 месяца назад

    Kama kweli mmegombana mie sijapenda,,,napenda Saana kazi zenu

  • @mariamandambike5013
    @mariamandambike5013 4 месяца назад +3

    😂😂😂😂😂 Leo .. cjui mda Gani tupo serous me naona tu anachekeshaa😂😂

  • @AbdalahDullah
    @AbdalahDullah 4 месяца назад +4

    Ndaro bado sana kwa leornado

  • @ivankadaudi8161
    @ivankadaudi8161 3 месяца назад +2

    Kiukweli anajua sana

  • @JninjaH2R
    @JninjaH2R 4 месяца назад +2

    Leonardo anajua sana

  • @Mubarakaashim
    @Mubarakaashim 3 месяца назад +4

    Ndaro ni mnyama

  • @ibrahimthomas5041
    @ibrahimthomas5041 3 месяца назад +1

    Yaan hawa hawajui chochote, sanaa yakishamba saa hii wanayotak kutuonesha

  • @mhabimina4023
    @mhabimina4023 4 месяца назад +2

    I love this guys Leo and Ndaro👌

  • @RemmisonSangatiti
    @RemmisonSangatiti 4 месяца назад +5

    Ila waandishi nao wachonganishi sana

  • @SafariJamal
    @SafariJamal 4 месяца назад +3

    Wanahabari wa bongo wengi wachonganishi sana adi mnakera aisee 😎

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 4 месяца назад +36

    Team Leonardo tujuane
    👇

    • @AsmaAlly-m9i
      @AsmaAlly-m9i 3 месяца назад

      Lrleonrdo pesa iyo sasa weka kwenye tofar

  • @MsafiHaji-tv4no
    @MsafiHaji-tv4no 3 месяца назад +1

    Waandish wa habari kumbe wambea ivi acheni ushamba ndaro yupo vizuri nyiee acheni umama

  • @musaabdul4397
    @musaabdul4397 4 месяца назад +5

    Ukute Kiki ya kubrand show ohoo

  • @ngalohboe1808
    @ngalohboe1808 3 месяца назад +1

    Hhhhh uyo ndaro ni kama anamawivu flan iv af pia kam mmesanuka nikwel anamwogopa Leonard hhhhh😂

  • @Jacklinejohn7
    @Jacklinejohn7 3 месяца назад +1

    Ndaro asa mihasira ya nn😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @KaburaBerchimas
    @KaburaBerchimas 3 месяца назад +2

    Halafu Ndaro yupo serious kweli

  • @Halim-in5gm
    @Halim-in5gm 4 месяца назад +2

    Waandishi wachonganishi sanaa

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 4 месяца назад +1

    Mwanaume anasema hataki😂😂😂😂👐👐👐

  • @Jacklinejohn7
    @Jacklinejohn7 3 месяца назад +1

    Ila Leonard 😂😂😂😂😂😂khaaaaaaaaa

  • @KishoraKishoralimbu
    @KishoraKishoralimbu 3 месяца назад +1

    Waandishi wa bongo cjui wanasomea na wapi tuu asei...ndaro mkali saana namkbl cema hakuna ndaro bila leonardo🤪🤪🤪

  • @djjailoskyelambeya6072
    @djjailoskyelambeya6072 3 месяца назад +1

    safi ndaro

  • @ashirafkhamis1556
    @ashirafkhamis1556 3 месяца назад

    hv hawa wana beef kweli au,maan walikuwa mabest sana mbona ghafla sana hivo

  • @IreneMacha-g8o
    @IreneMacha-g8o 4 месяца назад +1

    Waqndiahi wa habari wasenge kwelii yaan wanawachonganisha watu aisee

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri 4 месяца назад +1

    Kwan n kweli ama utani 😂😂

  • @JansanMokiwa
    @JansanMokiwa 3 месяца назад +1

    Uniwezi kiuchawi😅😅😅

  • @DicksonMhagama
    @DicksonMhagama 3 месяца назад

    Roasting ambaz wakiw pamoj n nzur mnooooo
    What a volley ❤❤

  • @DayramGibson-x5b
    @DayramGibson-x5b 4 месяца назад +1

    🤣🤣🤣🤣 aka kajamaa kanachekesh jinsi kalivoo

  • @HusseinIsmairy-gj5ux
    @HusseinIsmairy-gj5ux 3 месяца назад

    Ndaro kakua nifund Sanaa bajibu kiutu uzma kuliko mtu mwenye watoto

  • @thompsonkiputa6842
    @thompsonkiputa6842 4 месяца назад +6

    Ndaro kamaindi,
    Ukimaindi bila sababu mbele ya wanaume wenzako au watu iyo ni point ya udhaifu(uwoga).😂

    • @warshysaid8564
      @warshysaid8564 3 месяца назад

      Hajamaindii na yy anaigiza tu muangalie akiondoka kwenye cameras anacheka añgalia vzr utaagundua hicho kitu

  • @DoubleD69114
    @DoubleD69114 3 месяца назад +1

    Kiukweli hili battle ni atar ndaro asili yetu wa kigoma wa bishi kweli lakini ku panic kwa reply za nduguyo huyu best wako kaka kama ni kick watu wa cuba tuna elewa njoo uchukue uchawi ziwani na lime jaa

  • @SimonWembo-re3sq
    @SimonWembo-re3sq 3 месяца назад

    Sema hao wanaochonganisha ni makolo sana aseee

  • @jumamshana3417
    @jumamshana3417 3 месяца назад

    Hapo kwenye menye menye...(menejment)

  • @CharamKabul
    @CharamKabul 4 месяца назад +9

    Uyu Leonard ahache ujinga awezi mfikia ndaro kwa chochote

  • @asnathally18
    @asnathally18 3 месяца назад +1

    Huyu Leonardo kumbe ni mjinga sana Sasa mnamlazimishaje mtu agombane na mtu waandiahi wa habari nao mabwege wote

    • @warshysaid8564
      @warshysaid8564 3 месяца назад

      Hawa gombani wote wapo kwenye matani angalia vzr utagundua ndaaro anacheka akiondoka kwenye camera

  • @djjailoskyelambeya6072
    @djjailoskyelambeya6072 3 месяца назад +2

    madogo zangu acheni utoto huo pigeni kazi....

  • @KassimuKiponda
    @KassimuKiponda 3 месяца назад

    Leonard hajui

  • @IreneMacha-g8o
    @IreneMacha-g8o 4 месяца назад +1

    Na huyu Leonard kama mtoto na sifa nyingii mara maraa khee

  • @AgueroBoaz-ei5qt
    @AgueroBoaz-ei5qt 3 месяца назад +1

    Wanatuchora mapimbi ao

  • @Zahara-or3cf
    @Zahara-or3cf 3 месяца назад

    Leonard ❤

  • @bukurufreddy28
    @bukurufreddy28 3 месяца назад

    Yani ndaro bana😂😂😂😂

  • @nyandatesther6045
    @nyandatesther6045 4 месяца назад +1

    Leornado kiboko ❤😊

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 4 месяца назад +2

    Ndaro amekasirika kweli 😮 ata upendezi kuwa hivo

  • @Jeysen_lemar
    @Jeysen_lemar 3 месяца назад +3

    Hii imepangwa aliemuona ndaro wakati anapita alikua anacheka like hapa😂😂😂😂

    • @sulleRuth
      @sulleRuth 3 месяца назад

      Anasoma aibu

  • @irenekaro2848
    @irenekaro2848 3 месяца назад

    Wahaa wabishi jamini

  • @warshysaid8564
    @warshysaid8564 3 месяца назад +1

    Kama umegundua kma mm gonga like angalieni video vizur ndaro aanacheka akiondoka kwenye camera

  • @SMLS995
    @SMLS995 3 месяца назад +4

    Leonardo we ni mkali sana. Ndaro pia mwamba kweli kabisa. ila wewe ni ju kumuzidi Ndaro

  • @Mzunah
    @Mzunah 4 месяца назад +1

    Waandishi wahabari unafiki upo kwa damu mpka hapo mmezingua sana rudini shule tena mkajiongeze mnashida
    Mmebase upande mmoja tu wanafiki hadi so poa

  • @irenemtaguzwa-lf6rd
    @irenemtaguzwa-lf6rd 4 месяца назад +1

    Ndora is the best

  • @mwajabukapemba5458
    @mwajabukapemba5458 4 месяца назад +5

    Ndaro kakasilika kweli yaani

    • @warshysaid8564
      @warshysaid8564 3 месяца назад

      Hajakasirika anaigiza angalia vzr ukiondoka kwenye camera unagundua anacheka

  • @JamesJoseph-l4n
    @JamesJoseph-l4n 3 месяца назад +1

    Achaneni na hao watangazaji fanyeni kazi

  • @KasikileKaluta
    @KasikileKaluta 3 месяца назад +1

    Is that real guys 😯😯 in need your answers

  • @starfireog8695
    @starfireog8695 4 месяца назад +1

    Acha usenge ndaro mnamfananisha nawapumbavuu

  • @Rafaeli-ml3ji
    @Rafaeli-ml3ji 3 месяца назад

    Acheni kutuingizia

  • @SurprisedBakedCustard-vp8oi
    @SurprisedBakedCustard-vp8oi 4 месяца назад +1

    Anaogopa lol 😂😅

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 4 месяца назад +1

    Bongo kazi awafanyi mpaka kwanza wafanye kiki ndio baadae kazi

  • @OfficialChaly
    @OfficialChaly 4 месяца назад +1

    Afu Kuna wanaojua ety Wana bifu kweli wakati ni inatengenezwa2 ku push comedy ya bongo😂hawana bifu Wala nn

  • @AdamAnold
    @AdamAnold 3 месяца назад +3

    Leonard umejishusha Sana kaka

  • @officielmiraclemimason4370
    @officielmiraclemimason4370 3 месяца назад

    KWANI lonardo ninani Congo hatumujuwi fala wewe acha ndaro🇨🇩

  • @IreneMacha-g8o
    @IreneMacha-g8o 4 месяца назад +1

    Huyu leonard sifa zimemzidiii

  • @NancyNyary
    @NancyNyary 4 месяца назад +1

    Yan aka kadog anawajua Waha kwel😂

  • @samwelsengati1369
    @samwelsengati1369 3 месяца назад +1

    Nmemdharau leonardo

  • @marymoshi572
    @marymoshi572 4 месяца назад +1

    Leo the best

  • @JaphetRimba
    @JaphetRimba 3 месяца назад +1

    Mashindano ni siku gani?

  • @EvaAbery
    @EvaAbery 3 месяца назад

    Ovyooooooooooo, yaan kazi ya ugombanoshi tuu hmna lolote, fanyeni ya maana acheni kugombanisha watu , maadui wakubwa nyinyi.

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 4 месяца назад +1

    Ndaro anajinunisha

  • @KasikileKaluta
    @KasikileKaluta 3 месяца назад +1

    Is that real guys or they're just joking

  • @kelvinmaluki6131
    @kelvinmaluki6131 3 месяца назад

    Ndaro do tunamtambua

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye8377 3 месяца назад

    Hii imepangwa iwe hivo wasituchezee akili

  • @EdwardJasper-wk9yn
    @EdwardJasper-wk9yn 3 месяца назад

    Kiki😂😂🙌

  • @MasokaSakina
    @MasokaSakina 3 месяца назад +1

    Leonardo Ana tafuta kipigo

  • @thomaschacha2739
    @thomaschacha2739 4 месяца назад +1

    Ety kwetu ukerewe ujue

  • @kdpretoria780
    @kdpretoria780 3 месяца назад

    Kwani kuwa na mtoto ndo kuwa na nguvu za kiume kumbe 😅

  • @antonymodestus2872
    @antonymodestus2872 3 месяца назад

    Tunajua sio bifu mchongo tu alafu mkituchekesha tumacheka hadi kingwendu anachekesha nado achaukocho kingeleza nn maku ww

  • @ShehzadaJr-ih7os
    @ShehzadaJr-ih7os 3 месяца назад

    Leonardo anajikut kinyama an

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 4 месяца назад +1

    Mbona kama leonardo anajisikia hivii

    • @MagdalineProsper
      @MagdalineProsper 4 месяца назад

      Mmh asa kajiskia wapi kijana anabattle😂😂😂😂

  • @wildlife5730
    @wildlife5730 4 месяца назад +1

    😀😀😀😀😀😀

  • @ismailwiliam385
    @ismailwiliam385 3 месяца назад

    Leonardo hawezi kuacha masihara

  • @barackiadam5611
    @barackiadam5611 3 месяца назад +1

    mtangazj zombi

  • @KaburaBerchimas
    @KaburaBerchimas 3 месяца назад +2

    Leonardo nimegunduwa ni mtoto, kingeleza sio kitu chakujivunia

  • @RibinByamungu
    @RibinByamungu 3 месяца назад

    Acha ujinga wewe Leonard mtoto mdogo

  • @JOSEPHKOMBA-yt3hd
    @JOSEPHKOMBA-yt3hd 3 месяца назад

    😅😅😅

  • @PhilipoDeogratius
    @PhilipoDeogratius 4 месяца назад +1

    Hawa waandishi walisomea uandishi au mbn wa hovyo? Hivi

  • @shakilaDaudy
    @shakilaDaudy 4 месяца назад +1

    ❤❤🎉😂😂😂🎉

  • @Napioni2
    @Napioni2 3 месяца назад

    👇

  • @thomgeon74
    @thomgeon74 4 месяца назад +1

    Mmm😂

  • @KisagaJohn
    @KisagaJohn 3 месяца назад

    Ndaro Yuko sahih kabisa mnaoona leonado na wandish wako sahih fikilien vizur hamjui ndaro alikuw kwenye mishe gan hapoharaf mnamvamia huenda ana mambo yake hapo na ndo maana Yuko silias hata kama niwew

  • @aziza9093
    @aziza9093 4 месяца назад +1

    Vjitu vyembamba vkorafi