#live GB64:NILIKAMATWA KISA SIMBA,TUTAKUTOA UTAKE USITAKE,TUNAUMIA NI SISI WANACHAMA,MNIFUNGIE TU!

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 46

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Месяц назад +3

    Gb 64 mangungu niroho yakufa anahangaika atoke anatuharibia umoja wetu

  • @user-rt3ff9iq1g
    @user-rt3ff9iq1g Месяц назад +3

    Dah safi sana mko vema sana

  • @dennisndimbo4600
    @dennisndimbo4600 Месяц назад +2

    Lazima watoke maana hata wajembe waliofanya mkutano wa kumpinga Mo sio halali

  • @user-iq4rv8dq5r
    @user-iq4rv8dq5r Месяц назад +2

    Mangungu darasa atalipata maana Simba ya Sasa Ina mashabiki bora sio mambumbumbu na CAF imetoa tunzo ya mashabiki bora na hiyo ndio kazi yake kushauri, kusifia,kuhoji ,kukosoa na kushiriki kwenye mambo mbalimbali yenye tija sio viongozi kuendesha timu kwa kujiamulia wao wakati timu ya watu wengi inahitaji ushirikiano wa mawazo na umoja

  • @alamamedia
    @alamamedia Месяц назад +2

    Hawa viongozi ili waelewe inatakiwa Sasa tutangaze maandamano, maana tukitaka kuifuata Sheria wao hawataki, au kama wakiendelea kuzingua, tutaitangaza kugoma kwenda uwanjani kwenda kusapoti timu, tutakua tunaangalia kwenye vibanda umiza tu, Hadi watakapo tambua UWEPO wa wanachama.

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb 29 дней назад

    Mangungu yanga anaharibu simba

  • @dasadremandad9208
    @dasadremandad9208 Месяц назад +4

    Kwani hawa wakinanani? Mangungu chapa kazi, acha mashabiki wajiuzulu wao

  • @mwanangusana
    @mwanangusana Месяц назад +4

    😂😂😂 hawa walikuwa wanatembea na vibokooooo kwenda 😂😂 kuwatandika wale waliokuwa wanapinga viongoz ..nakumbuka ile game 2 kwa 2 kati ya madunduka na kmc 😂😂 ....viboko vilitembezwa kwel kwel 🤣😂😂 na hawa ndo makanjanja wenyewe 😂😂😂😂 ...... Kamati ya mapambiooo 😂😂 wa wazee wa kuitwaaaa maeneoo

  • @gregoryshao1302
    @gregoryshao1302 Месяц назад +3

    Watufungie wote kiongozi gani mangungu ameshindwa kuunganisha wanachama na mashabiki ni kufungia watu kwani simba ndio pumzi yake akiiacha atakufa huyu mangungu na genge lake

  • @amoursalimalialjabri6131
    @amoursalimalialjabri6131 Месяц назад +1

    Mangungu Ana watu nyuma yk. Na ndiyo wanamsaidia kuwaweka ndani

  • @leoncearistides3448
    @leoncearistides3448 Месяц назад +1

    😅😅 boss wenu kasema achen makundi ila bado mnaendekeza ujinga huu haya tukija kuwapiga 5 tena msianze kumtafta mchawi wakat nyie ndio mnayataka

  • @ezrahaloyce1230
    @ezrahaloyce1230 Месяц назад +1

    Uswahili pro max

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 Месяц назад

    Kwan mangungu ana Kaz yakufanya akakae na wajukuu kashazeeka sasa

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Месяц назад +2

    Zungumzeni ya simba hayo ya spande wa pili myaache.

  • @julianakhahima6409
    @julianakhahima6409 Месяц назад +1

    Mangungu atuachie timu yetu, HATUMTAKI. Hivi anang'ang'ania nini ! Mxxxxuuuh !!!!!

  • @mwanangusana
    @mwanangusana Месяц назад +3

    Madunduka watu ni ao ao shangazi 😂 , jaribu tena , magori .......mo anachofanya ni kutengua na kuteuwa halafu mnasema alikuwa hayupo ...ayo maamlaka kayapata wap ???

  • @user-dv2xk7ir6f
    @user-dv2xk7ir6f Месяц назад

    Nko vzr sn hongereni, Hawana pakutokea

  • @EdithaAlasi-wg2pt
    @EdithaAlasi-wg2pt Месяц назад +1

    Kwaiyo utaki kusikia ukweli gb 64 anasema ukweli unaemchukia ujitambui akisem ukweli eti ni yanga ww unaesema hivyo ndouipendi Simba anaipenda Simba lazima atataka mabadiliko

  • @JohnJohn-fs8ex
    @JohnJohn-fs8ex Месяц назад

    Sasa timu imeanza kufanya usajili mwisho Julai 15, nyinyi mnataka mikutano na maandamano , wapi na wapi !!

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u Месяц назад +1

    Kesho mangungu bye bye

  • @jacksonmofulu9336
    @jacksonmofulu9336 Месяц назад

    Hivi hawa viongoz wachache wanatusumbuaje akili si tuchukue maamuzi magumu tuwafanyie umafia kenge hawa wangekukuwa Chuga wangetafuta pa kwenda nyumbu hawa

  • @farujohn622
    @farujohn622 Месяц назад

    Mitano tena kwa Mangungu

  • @user-rt3ff9iq1g
    @user-rt3ff9iq1g Месяц назад +1

    Ww usiemtaka gb4 mpumbavu .gb4 ndio mshabiki wa simba msema kweli .mangungu hafai hafai tena hafai

    • @jackmabirangacharles9398
      @jackmabirangacharles9398 Месяц назад

      Swala hao hao kina GB ndio walio wachagua hao Viongozi
      Hakuna Mwanachama wa Pan African ,au Pamba au Namungo walio chagua Viongozi ni Wanachama wa Simba , iweje Leo mnasema MANGUNGU ni Yanga Jambo la kujiuliza Simba shida Iko wapi? Wala sio MANGUNGU Bado Sumu ya Simba hamjaijuwa

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u Месяц назад +1

    Wanasimba mnaongea sana huyu jeuri tumsomee tu albadil Mimi ninaye msomaji Tena mwana Simba alafu mangungu nawenzake wataona kitawatokea hilo amini usiongenao sana hao wadogo sana sisi wapemba dawa Yao tunayo

  • @jacksonmofulu9336
    @jacksonmofulu9336 Месяц назад

    Mangungu na kundi lake watakuja kujua kilichomtoa nyani manyoya makalioni wanakera mno

  • @user-dv2xk7ir6f
    @user-dv2xk7ir6f Месяц назад

    Nadkiri machawa wa na gungu Bado wapo na wametumea kutuchafua humu,,tutaanza na wewe chawa naenpinga gb64

  • @mohamedsoud4166
    @mohamedsoud4166 Месяц назад +4

    G64 sisi wanasimba hatukutaki wewe ni yanga Acha kutuzuga

    • @florakasike4331
      @florakasike4331 Месяц назад

      jisemee wewe achana na wengine

    • @user-tm7nt8wm1x
      @user-tm7nt8wm1x Месяц назад +2

      Wewe mpumbavu gb 64 sio yanga yanga wewe ni na mama yako msenge

    • @EddySempay-qf1on
      @EddySempay-qf1on Месяц назад

      Wewe ndo yanga yani wewe nimnafiki wawazi ilasio 64gb

    • @bakanga1410
      @bakanga1410 Месяц назад

      wee Simba unaijua? mgonjwa wa akili

    • @anselmjohn7819
      @anselmjohn7819 Месяц назад

      Huna cha kuposti kojoa kalale