Uandishi wa kazi zenu Benroyal, unanigusa moyo wangu sana, naomba mniruhusu nisome hata tution kwenu, ni aina ya movie ambazo zinaelimu ndani yake, mumepangilia vzr matukio mpka raha wala haichoshi kutazama. Pongezi sana kwenu 🎉
MONA NI KAMA HARMONIZE akipenda kapenda kweli.mona nimpole adi raha nakupenda sana nimefurai kumuona ajenti bavo na uyo kijana namkubali sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Daaaaah katika movies bora kwenye maisha yangu basiii hakika hiii Movies Ni Bonge Moja la Yaaan apa mwandishi alituliza kichwa chini na kuwaza ninii Awape Mashabiki zake Bro/Sister kwa ujumla umemaliza sana hii movies big up kwa waigizaji wanajua sana pia Derector tukupe maua yakoo umetisha sanaa 👏👏👏👏👏
Nisiwe mchoyo wa fadhila kiukweli mmeuwa xanaa ani mwanzo mwisho sijarusha hata kipande jah awa bless xana Bro seba acha mitungi mchumba kakuacha😂 boe from #SIMIKE✊
KAZI ZOOTE MLIZOZIFANYA ZIMEKUA NA FAIDA SANA KWANGU HUNA NAJIFUNZA MENGI SANA KUPITIA NYINYI MWENYEZI MUNGU AZIDI KUWAPA AFYA NJEMA, MAARIFA YA KUTENGENEZA KAZI ÑZURI BA NYINGI ZAIDI BILA KUSAHAU NASUBIRI MUENDELEZO WA MOVIE YA ( AMANI EPISODE 5) KILA YA KHERI ✨✨👏🤝
Nilikuwa day shift nikapigiwa simu na boss niendelee na nightshift na nishende tena dayshift kesho sunday niwe off . Je wapendwa munajua nilivyo enjoy usiku mzima ? Wacha . kazi nzuri sanaa hongereni sana hasa Paula wewe nakupenda sana . Tabia zako zina nikosha sana isay basi tuu kama maisha halisi uko hivyo umetisha sana
Uandishi wa kazi zenu Benroyal, unanigusa moyo wangu sana, naomba mniruhusu nisome hata tution kwenu, ni aina ya movie ambazo zinaelimu ndani yake, mumepangilia vzr matukio mpka raha wala haichoshi kutazama. Pongezi sana kwenu 🎉
Karibu sana
Mgeweka english subtitle ingekua bora zaid, ni bonge moja la movie❤❤❤
Kwangu mko number one namisapoti kutokea drcongo❤❤❤🔥🔥🔥🔥
MONA NI KAMA HARMONIZE akipenda kapenda kweli.mona nimpole adi raha nakupenda sana nimefurai kumuona ajenti bavo na uyo kijana namkubali sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Unawazs nn rfk nambie, unashida gan rfk nambie 🎉🎉🎉👍👍
Yaani ilitakiwa kuendelea movie ni nzuri Sanaa hii 🎉 to Ben Royal wote.
Really you are in the first position ❤❤❤, lkin naomb tu kichpo yaan ngumi 👊na kuzidish volume please kk
Kazi nzuri sana nime Enjoy kuitizama hii movi❤️🔥🥰
Woow thank you so much.God bless this movie.kuna mafunzo kabisa.I love you all
Ushauli wangu weka mwendelezo iendele maana mlipo ishia inawezekana kutunga story nyingine ya maisha yenu nyie wawili ❤❤❤
Hakika wewe ni mtunzi bora mwenyez Mungu azidi kukulinda leo na kesho ili watu wengine tuzid kujifunza kupitia wewe. 🔥🔥🔥🔥
Tuwape na like basi tusiangalie tuuu tukapita tuwpe moyo
Nawakubali sanaaa kwa kaziiii nzuri mungu awabariki sana🙏👊
Iyi move imenifunza kitu chamuimu katika maisha ❤❤uzuri sio tu katika mavazi tu 🎉🎉🎉🎉🎉 nime jifunza vitu ongereni sana mwisha mzuri🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
kamependeza sana kamovie,muandae na kengine❤❤❤❤❤❤❤❤uzuri hauko kwenye mavazi
Bunji limechukua vijana wa benroyal na APM ,,, good work tupeni kidogo kidogo kama hivi👊👊👊
Daaah kamenigusa aiseee hongereni san nimejifunza pia mung abariki kaz zenuuu🌹🌹🌹
Daaaaah katika movies bora kwenye maisha yangu basiii hakika hiii Movies Ni Bonge Moja la Yaaan apa mwandishi alituliza kichwa chini na kuwaza ninii Awape Mashabiki zake Bro/Sister kwa ujumla umemaliza sana hii movies big up kwa waigizaji wanajua sana pia Derector tukupe maua yakoo umetisha sanaa 👏👏👏👏👏
Hii movie ni tamu sana🎉🎉🎉🎉🎉
Nimeipenda sn move Kali mno hongereni ❤🎉
Safi sanee, mi niko msobiji🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🎉🎉🎉
Mnajua Sana, HONGERENI SANA
Ulimleta jamaa ata ajui kuvaa😅😅😅.mona iyo sauti yako tu inanibamba.aise mnajua sana
Kazi kazi hakuna kuchokaaaa❤❤
Safi sana brother hunaga kazi mbovu umetisha sana hongereni kwa kazi nzuli
Mmetisha sana asee
Mkuu huna baya story nzuri sana😍
Nisiwe mchoyo wa fadhila kiukweli mmeuwa xanaa ani mwanzo mwisho sijarusha hata kipande jah awa bless xana Bro seba acha mitungi mchumba kakuacha😂 boe from #SIMIKE✊
Gooood, bonge la moveeeeee
Daah ebwanaee noma we jamaa mbona kichwa sana daah bigger up
Wow I really love this movie ❤❤❤🥰😘
Barnaba na Mona my favorites kwa movie zote nawapendaa ❤️🎉🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪 movie nzuri ila benroyal aiii nawaona sana
KAZI ZOOTE MLIZOZIFANYA ZIMEKUA NA FAIDA SANA KWANGU HUNA NAJIFUNZA MENGI SANA KUPITIA NYINYI
MWENYEZI MUNGU AZIDI KUWAPA AFYA NJEMA, MAARIFA YA KUTENGENEZA KAZI ÑZURI BA NYINGI ZAIDI
BILA KUSAHAU NASUBIRI MUENDELEZO WA MOVIE YA ( AMANI EPISODE 5)
KILA YA KHERI ✨✨👏🤝
Ben royal ni mmoja tu ❤❤ mko vizuri nawapenda
Pokeen maua yenu love story ♥️ amazing thanks
Kazi nzuri pambana brooo
Kazi nzuri kabisaaa
Kazi nzur sana
Mmetisha sanaa MUNGU awazidishie maarifa👏👏👏👏
Bennroyal mko vizuri sana , nimeipenda sana hii movie hongereni sana ..🎉🎉🎉🎉🎉.
Haya bhana,, mnajua🙌
Iko vzr sana nimejifunza kwamba subira ndio kila kitu daaah safi sana
Kazi kuntu benrayol nimependa kazi yenu
Kazi nzuri sana ❤❤🇧🇮🇧🇮
NAKUPENDA sana Mzee kwa Kusaliiiii hapoooo
Yani nampenda huyu kaka hatari❤❤🎉
Hakika move zenu zinaukonga moyo wangu nawapenda sana Bp❤❤❤❤
hii movie nimejifunza meng sana ongern guys 🎉🎉🎉
KAZI nzuli❤
Waooo jaman wa kwanza Leo like zangu plzzzz♥️♥️
Paula and peter also ben royal pictures i like you all guys ❤❤❤🇧🇮🇳🇦
Wanawake dah 😅😅😅🎉
Natakaaa namba yakooo😅😅😅ilaaa nyieee nikooo paleeeeeee rafikiii
Hongera sana Mr Benard
🇧🇮🇧🇮🇧🇮tunawapenda,nice movie
MB zangu zimeenda kwa haki Asante sana nimejifunza kitu
Your the best
Nilikuwa day shift nikapigiwa simu na boss niendelee na nightshift na nishende tena dayshift kesho sunday niwe off . Je wapendwa munajua nilivyo enjoy usiku mzima ?
Wacha . kazi nzuri sanaa hongereni sana hasa Paula wewe nakupenda sana .
Tabia zako zina nikosha sana isay basi tuu kama maisha halisi uko hivyo umetisha sana
Umeanza na kumaliza vizur
Good work
❤big up barnaba much love ❤
good job broo, ila mona ni zaid ya rafki wa kwelii
Me nawakubar sana hawa jamaa
Kazi nzuri sana akili nyingiii kuna shots zimetuliaa sana so professional 🫡
Asante sana
The best always on🔥🔥
🔥🔥🔥 moto umewaka huku
Hakuna kupoa Rafiki ni 🔥🔥
Benroyal mnajua sana tena mnajua haswa bonge moja la muvi yani natamani isiishe 😂
Uandishi wa viwango sana💪
Nitapata wapi mwanaume kma barnaba 😢 kam yupo kwa jina la yesu ajitokeze 😊
Woow kazi nzuri sana
Mmetixh
My favourite channel
Barinaba ni kama bunji jaman ❤❤❤
Good job bro itapendeza ukiiwekea series,,
Nawapenda❤
Hua nawakubal sana
Ben Royal never disappoint 🙌🏾
🔥🔥🔥🔥🔥🙌
hii movie ni nzur sana
Asandi sana mafuzo mazuri mwendelezo please 🙏
Nawakubali sana mwana na Bana boy
Kazi nzuli sana🎉
Mmetisha sana
Kazi nzuri jaman 🙏🙏
Kazi safi❤
Kazi nzuri sana hongeraaaa
Kazi nzuri sana, Mungu awabariki🙏.
Nyie buana AMANI mmeikaushia juu juu
Kama ningekuw mbeya ningefaiti sana tukutane na mm nijiungee kweny iih cruel natokea morogoro nawakubalii sanaaaa
Nakubali kaz
Utakomaaaa😅😅😅max au siooo😅
Mwasomola ni big actor kinyama,na huyu Paula ni nyoko
Nzuri sana ❤❤🎉🎉
Amjawah alibu na mnatuwakilisha vyema ndugu zenu waapa mbeya tunajivunia nyie🙏🙏🙏🙏🙏
Ila ben uyu nikimkamata napigaaaa😂😂😂😂
Nisamehe bure🤣
54:41 hivi ndio imeisha Mungu aendelee kuwatunza wadada kama mna na kaka barnaba
Next 🎉🎉🎉🎉🎉
@Benroyal pictures
Kwa wazo langu la harak harak nafikiri hii kitu inahitaji series na sio part 1 na 2 😂😂😂 try it
Kaz nzr mbone lkin hamuendelez Amani ama ilisha❤❤