Amani Episode 5 || Action series

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 июл 2024
  • #benroyalpictures #amaniepisode5 #amaniep5 #benroyalmovies #juakaliseries #chekatu #zuchu
  • КиноКино

Комментарии • 98

  • @benjagabril9994
    @benjagabril9994 21 день назад +27

    Najuwa kuwa majukumu ndo yanafanya munazingua sana ila like 3 zinatosha Mozambique 🇲🇿

  • @ImaniIbrahim-rt2js
    @ImaniIbrahim-rt2js 21 день назад +10

    Kah mpaka nilisha sahau kua kuna move inaitwa amani ❤❤❤❤😅

  • @YoungblackPeople-qf7vx
    @YoungblackPeople-qf7vx 21 день назад +10

    Chupa kalii ila mna chelewesha sana mpaka tuna sahawu tulipo ishiaaa #yote kumi kazi nzuliii sanaaaaaaaaaaaaaaaaa pamojaaaaa #sanaaaaaaaaaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-ok9oq3rg5m
    @user-ok9oq3rg5m 21 день назад +10

    Team Bon msipende kuichelewsha hil kz nzr San nawapenda yte ❤❤❤❤

  • @elphusamanya5457
    @elphusamanya5457 21 день назад +11

    I'm a Kenyan,, Bonnie you're my role model ,,nawapenda sana 🔥🇰🇪

  • @rajabmkali2357
    @rajabmkali2357 20 дней назад +4

    Hakika ni Big Talent.

  • @Mamalyzzy004
    @Mamalyzzy004 21 день назад +7

    Muwe mna ambia watu kama mna changamoto tujue bana ila mkinyamaza tutaelew nn kama mashabik

  • @DelvinSalim
    @DelvinSalim 21 день назад +5

    mnajua sana🙌🏾🙌🏾👏

  • @gadafimuemede2985
    @gadafimuemede2985 21 день назад +7

    Movie nzuri sana from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @ABC00482
    @ABC00482 21 день назад +5

    Siwapingi family ya benroyal picture 🙌🏽🙌🏽

  • @benardmukani902
    @benardmukani902 21 день назад +4

    munatuweka sana aise

  • @RichadRichadselemanSeleman
    @RichadRichadselemanSeleman 21 день назад +7

    Kazi nzuri nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @mohamedoman9344
    @mohamedoman9344 21 день назад +2

    Mm napenda sana kuangalia movies zenu nzuri sana kweli mm nimeipenda sana nyimbo ya humu ndani tamthilia hii

  • @ministerchristopherjohn7781
    @ministerchristopherjohn7781 21 день назад +3

    Jitaidin muwaz kuachia vipandee tunawakubal msituvunjee moyoo

  • @yamngukadai6414
    @yamngukadai6414 21 день назад +2

    Jamani musiwe munatuchelewesha kiasi hicho mpaka tuisahau tunawapenda sana mashabiki zenu form mwanza

  • @ottomanmorand8087
    @ottomanmorand8087 21 день назад +5

    Duuh kitambo sana

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 21 день назад +2

    Pita nakubali sana nkiona movi sura ako tu lazima niicheki 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @rizikisam6481
    @rizikisam6481 21 день назад +2

    Nliimic na huu wimbo ndo kabsaa ❤❤

  • @farijala0893
    @farijala0893 21 день назад +4

    Mnasiz sana wazee ,mashabiki zenu tunapoteana tunasubir mpka tunachoka .

  • @eliamkonda5162
    @eliamkonda5162 21 день назад +5

    hii nikiisubiri kitambo sana

  • @brightonwafula-yy7wc
    @brightonwafula-yy7wc 21 день назад +2

    ii nayo mlizingua ady nilikuwa nmesahau waaaaah

  • @ShannyShauri-jr7ch
    @ShannyShauri-jr7ch 20 дней назад +3

    Maupendo kwenu watu wangu ❤🎉 🎉one love kutoka 🇰🇪🇰🇪

  • @callytonetz-ct4yt
    @callytonetz-ct4yt 21 день назад +3

    Aiseee paula ni🔥🔥🔥

  • @gidymanmusiq2544
    @gidymanmusiq2544 21 день назад +3

    Paula wewe ni crushie

  • @Adroit_editz_pictures
    @Adroit_editz_pictures 21 день назад +2

    Your top fan from Kenya 🇰🇪..kazi yenu safi sana ❤

  • @Wisefolktale
    @Wisefolktale 21 день назад +4

    Since episode one we are to gether

  • @winiechebetbera9541
    @winiechebetbera9541 20 дней назад +2

    Weee tulikuwa tumengoja Kwa mpika❤😂🙆🤝✌️

  • @AbidahRashidMwachupa
    @AbidahRashidMwachupa 19 дней назад +2

    Kazi nzuri sana ndugu zangu

  • @gasambisaid563
    @gasambisaid563 21 день назад +3

    Salutes sana kw kaz nzur#254🇰🇪

  • @user-fe5jl3jd3t
    @user-fe5jl3jd3t 21 день назад +3

    I am from Kenya and i really like benroyol movies

  • @EdwardTz.
    @EdwardTz. 19 дней назад +1

    Nakubali sana kazi zenu japo zinakuja kwa kuchelewa sana

  • @user-gg5dq6ir5p
    @user-gg5dq6ir5p 20 дней назад +3

    Nyiwa akina Aman mlikuwa mmepata msiba 😂😂

  • @gidymanmusiq2544
    @gidymanmusiq2544 21 день назад +3

    Napenda Paula sana na bonnie

  • @Maduhu-mk6tm
    @Maduhu-mk6tm 19 дней назад +2

    😢😢😢 daaah mnafeli sana wanangu mnacheleweshaaaaaa sanaaaaaaaa

  • @user-by5ot6ed6c
    @user-by5ot6ed6c 21 день назад +2

    Bon mambo shwari sahii mambo ndio kaa haya

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 20 дней назад +1

    Kazi NZURI,,, AMANI IPO WAPI🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ronaldnjulu1913
    @ronaldnjulu1913 20 дней назад +2

    Kazi nzuri sana lakini munachelewesha movie paka tunasahau

  • @user-dz4vl7wm5n
    @user-dz4vl7wm5n 20 дней назад +2

    Japo nimechelewa jamani ila tujuane Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @SumailAbdala-lf3ii
    @SumailAbdala-lf3ii 20 дней назад +1

    Good sana Benroyal🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @AndersonNyanje
    @AndersonNyanje 20 дней назад +1

    Kazi nzuri Sana ilike paula

  • @fazogdesigner1570
    @fazogdesigner1570 21 день назад +2

    Hatimaee Ombilangu Limejibiwa

  • @suleOficialtz8451
    @suleOficialtz8451 19 дней назад +1

    Wahisheni kazi tunasubir sanaa

  • @user-zw7mr6jo9b
    @user-zw7mr6jo9b 20 дней назад +2

    Pole sana Paula wewe ni wife Martial

  • @teddysananga
    @teddysananga 20 дней назад +3

    Hatimae tumekumbukwa😂

  • @JuliusLankoi
    @JuliusLankoi 21 день назад +1

    Movie nzuri sana ila inachelewa

  • @mkacibeiib7278
    @mkacibeiib7278 20 дней назад +2

    lkn pesa untk rafikiyng 😅😅😅🎉

  • @rajabmkali2357
    @rajabmkali2357 20 дней назад +3

    Ila mapenzi Shikamooo.

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics 20 дней назад +1

    Ahsante kwa kutukumbuka leo.

  • @bonifacewiliam4695
    @bonifacewiliam4695 20 дней назад +2

    Mbona kama mmeirudia

  • @shamimucollectiondubai9727
    @shamimucollectiondubai9727 21 день назад +2

    Mmezidi miez2

  • @sirfaryshombeclassic
    @sirfaryshombeclassic 15 дней назад

    movieeee kali sanaaa wanangu siku ya sita leo kila saa nachungulia kama nimebandika maharage

  • @Khavanny
    @Khavanny 20 дней назад +1

    Leo atimaye nimekuona wa 20 jamani nipeni maua yangu❤🎉🎉

  • @user-ki6wm3ul9i
    @user-ki6wm3ul9i 21 день назад +2

    Big up friends

  • @RAMSABOYTZ
    @RAMSABOYTZ 21 день назад +2

    nice job kaka

  • @AlfredMusau
    @AlfredMusau 20 дней назад +2

    Part 6 najua mtatoa mwezi ujao

  • @stewardmyombe6547
    @stewardmyombe6547 5 дней назад

    mwambigija apa kaz ya ukwelii wananguu pia mjitaid kwenye upande wa love story awee muusika stering ndo aimezee sana kipande kikubwa cha love namkubar sana bone akicheza kipande cha love anajua sana sijamuona

  • @stammwabukusi6436
    @stammwabukusi6436 17 дней назад

    Bonge moja la move yan; hii picha wausika na muanda aji mna chukulia mkopo kabisa

  • @samwel_laurent
    @samwel_laurent 18 дней назад +1

    This movie 🎥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌

  • @MustafaMdeda
    @MustafaMdeda 12 дней назад

    Musicheleweshe sana maan story mzulisanaaah

  • @b_fc_chaduma
    @b_fc_chaduma 21 день назад +3

    mmechelewa saana kutoa hii

  • @Twopac-w4u
    @Twopac-w4u 20 дней назад +1

    Kitambo sana ad tuliisahau

  • @rajabmkali2357
    @rajabmkali2357 20 дней назад +2

    Umelala wapi? Unaficha nini? Yaani balaa zito:

  • @babunyau2749
    @babunyau2749 20 дней назад +1

    Ni MOTO sana

  • @rajabmkali2357
    @rajabmkali2357 20 дней назад +3

    Kimeumana/ Kizungumkuti:

  • @gershomchallo
    @gershomchallo 19 дней назад

    MNACHELEWESHA SANA WAZEEE, MNABOA

  • @facebmzeewakimba1546
    @facebmzeewakimba1546 19 дней назад +1

    Niliisha wasahau

  • @jumannekamota4870
    @jumannekamota4870 20 дней назад

    Mbona mnafanya kazi kimaringo sana yani mnafanya kazi kama hamna shida napesa kwanini yani mnafanya kama kupoteza muda tu sio kama kazi ya kuwaingizia kipato duuuh

  • @johnosoro6033
    @johnosoro6033 21 день назад

    Wanangu mnachelewesha sana jamani ebu jaribu,,,maana karibu kuzahau series. Tunaomba lakini.

  • @whitemusic1419
    @whitemusic1419 20 дней назад +1

    mzigo wa moto

  • @munixpicentertainment
    @munixpicentertainment 12 дней назад

    dah tumesubir kinoma...

  • @ngomekatana6301
    @ngomekatana6301 17 дней назад

    Kidogo niisahau 😅 🇰🇪

  • @hamzaali-vy8tq
    @hamzaali-vy8tq 21 день назад

    Mnakera Sana mbna mnachelewa hivyo kupandisha episode

  • @willyjose2553
    @willyjose2553 21 день назад

    kazi nzuri pongezi kwa crew nzima ya ben royal ila tatizo lipo kwenye miendelezo daa! mpaka tunasahau 😟

  • @nabosedward4836
    @nabosedward4836 20 дней назад

    Inakua inachelewa sana jaman

  • @elibarickfredrick1449
    @elibarickfredrick1449 21 день назад +1

    Duuuh Yani mpaka nmesahau epsod ya 4 ilikuaje mpaka kumshika huyo afande na huyo aliyepigwa apo chini Ila bc

  • @jamesmboneko2952
    @jamesmboneko2952 21 день назад

    Yaan mpaka nilisahau kama kuna EP ya AMANI😊

  • @selemanisalehe7559
    @selemanisalehe7559 8 дней назад

    Hadi tumesahau

  • @TantineZuzu
    @TantineZuzu 20 дней назад +2

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @sifamalingi3014
    @sifamalingi3014 20 дней назад

    Kwan mulikua mune safiri

  • @officialbekajoh3986
    @officialbekajoh3986 21 день назад +1

    🔥🔥

  • @kifimboThemaster
    @kifimboThemaster 20 дней назад +1

    nice work

  • @DominicKarani-vl7cn
    @DominicKarani-vl7cn 17 дней назад

    Kwani kunakitu chengine ama vip

  • @madollarmadollar7097
    @madollarmadollar7097 13 дней назад

    Muendelezo mbona mnauchelewesha mnafeli aki

  • @tracebeiber2729
    @tracebeiber2729 21 день назад

    I like it

  • @shallabiz
    @shallabiz 20 дней назад

    Imagine jana nimepitia hii page kama kama hii episode ilishawai kutoka maybe ikanipita kumbe Leo itapostiwa dah msikae sana

  • @MatokeoEmmanuel-h2m
    @MatokeoEmmanuel-h2m 21 день назад +1

    Together

  • @mickbrown850
    @mickbrown850 20 дней назад

    💥💥💥

  • @lutachahalajohnkalokozi6297
    @lutachahalajohnkalokozi6297 20 дней назад

    Aman

  • @user-qj6vq4qf1z
    @user-qj6vq4qf1z 16 дней назад

    Movie Kal xana ila mnachelewa xana kutoa vpande vnavyoendlea jitaidini kdg

  • @alvannykiba281
    @alvannykiba281 16 дней назад

    🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @stewardmyombe6547
    @stewardmyombe6547 5 дней назад

    mwambigija apa kaz ya ukwelii wananguu pia mjitaid kwenye upande wa love story awee muusika stering ndo aimezee sana kipande kikubwa cha love namkubar sana bone akicheza kipande cha love anajua sana sijamuona

  • @JohnasNestory
    @JohnasNestory 20 дней назад

    Nawakubari san wanangu ❤❤❤❤❤

  • @mcnabwina
    @mcnabwina 21 день назад

    Kmy mpk tuna saau