mwambigija apa kaz ya ukwelii wananguu pia mjitaid kwenye upande wa love story awee muusika stering ndo aimezee sana kipande kikubwa cha love namkubar sana bone akicheza kipande cha love anajua sana sijamuona
Mbona mnafanya kazi kimaringo sana yani mnafanya kazi kama hamna shida napesa kwanini yani mnafanya kama kupoteza muda tu sio kama kazi ya kuwaingizia kipato duuuh
mwambigija apa kaz ya ukwelii wananguu pia mjitaid kwenye upande wa love story awee muusika stering ndo aimezee sana kipande kikubwa cha love namkubar sana bone akicheza kipande cha love anajua sana sijamuona
Najuwa kuwa majukumu ndo yanafanya munazingua sana ila like 3 zinatosha Mozambique 🇲🇿
Kah mpaka nilisha sahau kua kuna move inaitwa amani ❤❤❤❤😅
Chupa kalii ila mna chelewesha sana mpaka tuna sahawu tulipo ishiaaa #yote kumi kazi nzuliii sanaaaaaaaaaaaaaaaaa pamojaaaaa #sanaaaaaaaaaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
Team Bon msipende kuichelewsha hil kz nzr San nawapenda yte ❤❤❤❤
I'm a Kenyan,, Bonnie you're my role model ,,nawapenda sana 🔥🇰🇪
Hakika ni Big Talent.
Muwe mna ambia watu kama mna changamoto tujue bana ila mkinyamaza tutaelew nn kama mashabik
mnajua sana🙌🏾🙌🏾👏
Movie nzuri sana from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Siwapingi family ya benroyal picture 🙌🏽🙌🏽
munatuweka sana aise
Kazi nzuri nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Mm napenda sana kuangalia movies zenu nzuri sana kweli mm nimeipenda sana nyimbo ya humu ndani tamthilia hii
Jitaidin muwaz kuachia vipandee tunawakubal msituvunjee moyoo
Jamani musiwe munatuchelewesha kiasi hicho mpaka tuisahau tunawapenda sana mashabiki zenu form mwanza
Duuh kitambo sana
Pita nakubali sana nkiona movi sura ako tu lazima niicheki 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nliimic na huu wimbo ndo kabsaa ❤❤
Mnasiz sana wazee ,mashabiki zenu tunapoteana tunasubir mpka tunachoka .
Sorry
hii nikiisubiri kitambo sana
ii nayo mlizingua ady nilikuwa nmesahau waaaaah
Maupendo kwenu watu wangu ❤🎉 🎉one love kutoka 🇰🇪🇰🇪
Aiseee paula ni🔥🔥🔥
Paula wewe ni crushie
Your top fan from Kenya 🇰🇪..kazi yenu safi sana ❤
Since episode one we are to gether
Weee tulikuwa tumengoja Kwa mpika❤😂🙆🤝✌️
Kazi nzuri sana ndugu zangu
Salutes sana kw kaz nzur#254🇰🇪
Asante sana
I am from Kenya and i really like benroyol movies
Karibu sana
Nakubali sana kazi zenu japo zinakuja kwa kuchelewa sana
Nyiwa akina Aman mlikuwa mmepata msiba 😂😂
Napenda Paula sana na bonnie
😢😢😢 daaah mnafeli sana wanangu mnacheleweshaaaaaa sanaaaaaaaa
Bon mambo shwari sahii mambo ndio kaa haya
Kazi NZURI,,, AMANI IPO WAPI🔥🔥🔥🔥🔥
Kazi nzuri sana lakini munachelewesha movie paka tunasahau
Japo nimechelewa jamani ila tujuane Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Good sana Benroyal🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Kazi nzuri Sana ilike paula
Hatimaee Ombilangu Limejibiwa
Wahisheni kazi tunasubir sanaa
Pole sana Paula wewe ni wife Martial
Hatimae tumekumbukwa😂
Movie nzuri sana ila inachelewa
lkn pesa untk rafikiyng 😅😅😅🎉
Ila mapenzi Shikamooo.
Ahsante kwa kutukumbuka leo.
Mbona kama mmeirudia
Mmezidi miez2
movieeee kali sanaaa wanangu siku ya sita leo kila saa nachungulia kama nimebandika maharage
Leo atimaye nimekuona wa 20 jamani nipeni maua yangu❤🎉🎉
Big up friends
nice job kaka
Part 6 najua mtatoa mwezi ujao
mwambigija apa kaz ya ukwelii wananguu pia mjitaid kwenye upande wa love story awee muusika stering ndo aimezee sana kipande kikubwa cha love namkubar sana bone akicheza kipande cha love anajua sana sijamuona
Bonge moja la move yan; hii picha wausika na muanda aji mna chukulia mkopo kabisa
This movie 🎥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
Musicheleweshe sana maan story mzulisanaaah
mmechelewa saana kutoa hii
Kitambo sana ad tuliisahau
Umelala wapi? Unaficha nini? Yaani balaa zito:
Ni MOTO sana
Kimeumana/ Kizungumkuti:
MNACHELEWESHA SANA WAZEEE, MNABOA
Niliisha wasahau
Mbona mnafanya kazi kimaringo sana yani mnafanya kazi kama hamna shida napesa kwanini yani mnafanya kama kupoteza muda tu sio kama kazi ya kuwaingizia kipato duuuh
Wanangu mnachelewesha sana jamani ebu jaribu,,,maana karibu kuzahau series. Tunaomba lakini.
mzigo wa moto
dah tumesubir kinoma...
Kidogo niisahau 😅 🇰🇪
Mnakera Sana mbna mnachelewa hivyo kupandisha episode
kazi nzuri pongezi kwa crew nzima ya ben royal ila tatizo lipo kwenye miendelezo daa! mpaka tunasahau 😟
Inakua inachelewa sana jaman
Duuuh Yani mpaka nmesahau epsod ya 4 ilikuaje mpaka kumshika huyo afande na huyo aliyepigwa apo chini Ila bc
Yaan mpaka nilisahau kama kuna EP ya AMANI😊
Hadi tumesahau
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Kwan mulikua mune safiri
🔥🔥
nice work
Thanks
Kwani kunakitu chengine ama vip
Muendelezo mbona mnauchelewesha mnafeli aki
I like it
Imagine jana nimepitia hii page kama kama hii episode ilishawai kutoka maybe ikanipita kumbe Leo itapostiwa dah msikae sana
Together
💥💥💥
Aman
Movie Kal xana ila mnachelewa xana kutoa vpande vnavyoendlea jitaidini kdg
🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
mwambigija apa kaz ya ukwelii wananguu pia mjitaid kwenye upande wa love story awee muusika stering ndo aimezee sana kipande kikubwa cha love namkubar sana bone akicheza kipande cha love anajua sana sijamuona
Nawakubari san wanangu ❤❤❤❤❤
Kmy mpk tuna saau