ZAIDI YA RAFIKI 1 || Love story 💕💕|| bongo movie mpya 2024
HTML-код
- Опубликовано: 7 сен 2024
- #bongomovie #netflix #movie #penzilarafiki #benroyalmovies #swahilimovies #comedy #chekatu #juakaliseries #film #zaidiyarafiki
#diamondplatnumz #comedy #love #rafiki #zaidiyarafiki #video #filamyamapenzi
Miss you guys nilikuwa najiuliza mmeenda wapi wanangu
Jaman benroyar munaweza Hadi munaweza Tena mungu awajalie mufikie malengo❤❤❤❤❤
Wakwanza Leo hapa...
I really love this channel. Thanks 🙏 on the behalf of Ugandans who missed this 😊
Thanks for watching
nzuri sanh lkn mwakaa sana bila kutuletea vitu watu wagu❤ bonny nakupenda banh
Benroyal my best channel in Tanzania huwa mnaangusha vitu Kali Kali sana ila tu mnatufanya tungoje sana
Karibu sana
ntatupia kakofia kangu na kakiatu kangu hapo, ntakusanya watoto, kumbe hunijuagi. My favourite part❤❤
😂😂😂😂Nafurahi ombilangu limejibiwa maan nilikuwa napenda san hawa jama wataweza movie pamoja
Alafu @mbanga napenda sana hip-hop zenyu + nala mzalendo🎉🎉
❤❤❤mlikua wapi wanangu,mbona mlipotea hivyo tunawapenda sanaa 2 mtupewendelezo wa zile mlizo acha basi
Daaah jamani ongereni Sana kwa hiyi movies Kali Sana big un sama
Kazi nzuri Sana tumetoka mbali. Salimika Sana Modesta love you
Movi zenu ni nzuri saaana tu tunapenda kufuatiria kwa mfurulizo mzuri A to z
Safi brother kazi nzuri rafiki
Nawakubali sanaa. Jitahidini kupandisha kaz kwa wakati
Napenda sanaa movie zenu naomba nitoe kama ushauri tunaomba muwe mnatuwahishia pls
Ila barnaba na mona.mona sauti kama katoto❤❤❤.barinba pacha wa luka sura mpaka sauti mpaka tabasam naisi ndungu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Love U so much Peter.Mungu awabariki benroyal film producers
Mlipotea sana wazee ijue cc tupo dar akin tunawafuatilia sana kazi zur ongezen juhudi
Kaka benloyalty hii movie nzur sana maana mmeelezea changamoto ambazo tunazipitia mitaani kwenye mahusiano na maisha ya kawaida
niliwamiss sana alafu nawapenda sana Ndiyo mnafanya kazi nzuri sana🌹♥
Huwa nawafuatilia sana movie zenu mko vzuri na mpo tofauti sana ❤
Kazi kazi bila kuchoka mzigo ni wamoto 🔥🔥🔥
Kazi nzuri nawapenda sana❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Nmecheka sana 😂😂 kazi nzuri sana
Bora mmetuletea, maana tulihitaji sana kazi kama hizi
Yup well cme back
Oyaa!! Wanakubl sn ❤ ila shid sauti bro increase the volume please, na wekeni dizeni chach ya kichapo mwanangu 👊 yaan namanish ngumi bro
Nimefurahi sana kumuona bavo humu ndani
namkubali sana boni
Duh, niliwamiss sana asee. Kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉
daaah nikajua mmedata na bunji mmetukosea sana 😂😂😂😂😂
sema nampenda uyu dada paula dah bas tu
Duuuh.....huyo Jamaaa namuonea huruma sanaaaa
Mlikaa kimyaa sanaa
Kazi nimoto sana
Aisee turikua tumewamiss saana kaka bonny
Dah mwanetu umepotea sana
Amani itawale,,,,malizieni❤❤basi
Saaafiiiii,
Yan nimefurahi atari,
Kama kuna comedy fran hivi,
❤❤
Dah hio sound track noma xana
Kazi nzuri wanangu
Kuwamiss tu nimewamiss mmejua kututelekeza jaman ❤❤❤
Ila wewe kaka upo vizuri sana 🤗
Nawakubali sana wadau
ulijua jiskiaj baada ya kujua uki tap tap kwenye comment unakua ume copy .....!!?
❤❤ mko vizuri ndugu zangu
Alooh me sijawahi kuwapinga 🙋♀️
May God Bless You For what You doing♥️♥️
Congratulations sana
Tulimic Kitu kutoka kwa benroyal picture hatimay You are back 🙌🏽🙌🏽
Zaidi ya Rafiki@benroyal@Bon@miss chuleha❤❤.love u gys
Mona Lisa. ni msichana mrembo sana ningekua na uwezo nimpa zawadi. halafu nawapenda wote. likes zikuje
Next ❤❤❤❤❤❤❤❤
Huwezi amini niliacha kuwach movie mwamba iz back respect
Nawapenda
Muache kutuonjesha bana sasa series ya amani haijaisha bado
My brother umerudi ila baadhi ya vipaji nilivyo viona kwako now naviona katika bunji ni furaha
BP mmekimya sana watunguyaz...watching from Mombasa
Paula is the most beautiful girl in Tanzania, I feel like meeting her in person. Love you all
Jamaangu ndevu moja Mr max kaua sanaaa...but Kazi nzuri myamba
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ni nomaaa kikosiiiiiiiii
naona mmeniwekea mwanangu wa michezo yenu ya 👊 nimependa sana iyo
Nice one
Hongera sana ❤❤❤❤❤ part two lini inatoka
Mr benroyal
Bonny inapendeza sana mkawa mke na mume yani ww bonny na Paula mnapendezana sana niwe wafatilia muda mrefu sana kiufupi mnaendana sana.
Bonge la move
Leoo nime muona class mate humuu, jescaaa mambo vp
Mnakaa sana hadi tunawasahau,naona hata bavo mlimchukua
Ila haunaga kaz mbaya
Napenda sana kazi zako Ben❤
Benroyal wana kazi nzuri tatizo ni wanachelewesha kazi...much love from kenya 001
Wow, this movie is so amazing, it made my day. Watching from Uganda
Sema mnajua sana✊
Bonny (Barnaba) ni fundi sana
😂😂😂😂😂😂watu wanao sali hawafanikiwi
Daah wanangu wa benroyal mmepotea san leten kaz nawakubli san kaz zenu
Jaman malizieni na series ya amani, alaf mtuletee msatari wa dam muendelezo wake
Napenda sana kazi zenu
Wow...
Tunaomba Mwendelezo Wa amaniii Basii ndug zangu
Jamani tusiombe like 👍 😂😂😂tafadhaliii una weza uka ozea jela kama #msanii see more.....................
Tuna miss sana kazi zenu asee
🔥🔥🔥Rafiki
kitu kikali sana❤❤
Turikua tumewakumbuka san wanangu ❤❤❤❤❤❤
Sema mmekaa kuachia kaz
move nzuri sana
Nala mzalendo
Location zenu pia ziko sawa I love it
Wow 😮
I'm watching from Kenya give me likes
Oyo oyo❤
Nawakubali sana
Mkopowa
Kk unajua mpaka unaumwa
Oyaaa humu kuna bavoooo
natamani sana bony na paula liwe kapo mnaendana sana
Vip bana what happened cz munakaa saana bila kudupatia movie
Mnaish maish ya furah san good job Big ap san
Benroyal,nilikuwa naomba ikiwezekana mututumie link ya wastap au link ya izi hiphop sehemu salama na husika pa mashabiki zenukuzipata,tafadhali
Tunafurahia uwepo wenu
Jamani vp kuhsu series ya AMANI tulitegemea muendelezo wake 😢